TAFAKARI YA DOMINIKA YA 27, MWAKA "B"- 06-10-2024 | Na Pd. Bonaventure Maro, C.pp.S
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Itukuzwe Damu ya Kristo! - Milele Amina!
◻️Karibu Mwanafamilia ya St. Gaspar Media!
◻️Hili ni Channel maalum inayomilikiwa na Seminari kuu ya Mt. Gaspari del Bufalo, Ipo mahususi kwa ajili ya kushare Taarifa mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Mafundisho ya TASAUFI YA DAMU AZIZI YA YESU , Uinjilishaji kwa njia ya Tafakari za Kila Siku, Nyimbo za Dini, na matukio mbalimbali ya Kanisa Katoliki ambayo tutakuwa tunayaweka katika Channel yetu ya TH-cam @st.GasparMajorSeminary
◻️Pia kama utakuwa na Swali lolote kuhusu Damu Azizi ya Yesu, Shirika la Damu Azizi ya Yesu, Kumfahamu Mt. Gaspari del Bufalo unaweza kuuliza na kupata majibu humu.Karibu sana tushirikishane Tone la Upendo!
MAWASILIANO
📱 +255 715 999 802
📧Stgasparmajorseminary@gmail.com
@st.GasparMajorSeminary
#St. Gaspar Media Ndoto_inaendelea
Mungu akubarik kwa tafakari nzuri ya siku hii Leo amin
AMINA ndugu,
Tubarikiwe sote ndugu yetu.
Nimeipenda sana tafakari hii ya Padre Bonna. Imenijenga upya mimi mtu wa ndoa
Nimejifunza mengi, arii mpya ndani ya ndoa, hata kama unajikuta umechoka ndani ya ndoa yako simama tena sawasawa na neno hili la Mungu kupitia Padre huyu. Ahsante sana Baba kuamsha tena mioyo yetu wana Ndoa. Tumsifu Yesu Kristo.
Amina.....barikiwa sana
Nilikuwa naisubiria sana Tafakari hii. Nawashukuru sana kwa namna mnavyotuimarisha kiroho. Nawaombea baraka na neema kutoka kwa Mungu Baba Yetu.
Karibu sana tupo kwa ajili yako ndugu
Barikiwa sana
hahha AMINA Ndugu, ASANTE sana, Tubarikiwe wote. Tuzidi Kuombeana.
Mfupa unasimama badala ya nguvu na nyama udhaifu. Nimeipenda sana. Tunatakiwa kweli tuombe sana neema ya Mungu ili malezi bora katika familia yalete watawa bora na walei bora. Barikiwa mno kwa mafubiri yenye uzito na uvuvio wa Roho Mt.
AMINA dada Rosemary.
Tubarikiwe wote na tuzidi kuombeana ndugu yetu.
Ahxante yesu kwa baba bony emee e!
AMINA ndugu, tuzidi kuiombea Miito na kuombeana sote.
Asantee sana baba Kwa tafakari nzuri 🙏🙏
Amina
Baba mahubiri Yako yananifariji sana. Mungu akubariki Kwa neno
Utume mwema
AMINA Sr. Malanji Emmanuela, Tumshukuru Mungu anayetufariji daima. Tuombeane ili Kazi yake izidi kuendelea mbele ndugu yetu.
Ee MUNGU tuongoze
AMINA ndugu.
Amina father Bonaventure tumebalikiwa na tafakari
Amina
Asante sana Padre🙏
Tumshukuru Mungu dada Judy.
Amina.Mungu azibariki familiya zetu.
AMINA Ndugu.
🙏🙏🙏🙏🙏🥳,itukuzwe damu ya kristo,.
Milele Amina dada Christina.
Amina kwa tafakari ya leoo
AMINA Dada Paulina.
❤❤❤aksanti kwa tafakari nzuri ❤❤❤
Tumshukuru Mungu ndugu.
🙏🙏🙏
AMINA