Katika serikali yako kuna mauwaji mengi kwa sababu katika serikali nyingine haijawai kutokea kuwashusha kutoka kwenye mabus na kuwauwa. Kuteka vijana na kwenda kuwatupa misituni
Kwa kuongea utopolo tu haujambo lakini majibu ya hoja za msingi zinazolikabili taifa huna na washangiliaji wa utopolo pia unao wa kutosha, mpo vizuri, utopolo oyeee. Pongezi kwenu wanaume mnaoingia vikao vya wanawake
Raisi wangu unaposema mtu unamaanisha nini? naomba kukukumbusha kuwa kama unavyosifiwa huku mitaani kuwa ndio umefanya kila kitu hata kuziba nyufa za vyoo inabidi ukubali na mambo yote yanayohusishwa na watendani walio chini Yako (polisi)
msiogope Tanganyika hawezi kuwa raisi Tena anguko hili ni la mungu na si la ccm ni mwisho wa ccm ila ni mungu mbongu na arizi vitawajibu na siyo Mimi Alla akbar
Comment hizi niza watu wenye akili timamu au hiyo misukule inayotumwa kukashifu kila kitu? Mwenye macho ahambiwi tazama na mwenye masikio na asikie msondo ngoma akili kichwani mwako. Lkn yote ni tamaa ya madaraka.
Achana na hao wapuuzi maana hawajui watendalo. Kuna siku watalaaniwa kwa chuki zao za wazi. Hata Libya walimuita Gaddafi gaidi na dikteta na wakashirikiana na Wamarekani kumuua na leo wanalia sana
Tunafahamu wote mnaounga mkono huu upuuzi unaoendelea hapa nchini ni familia, koo au jamii zenye wateule na kelele zenu ni kutetea ugali wenu tu hamza hoja za msingi
Huyu ndiyo Rais wa Jamhuri. Maneno yake mazito sana na yanaukweli , watanzania ndivyo wanavyotakiwa kujibiwa hivyo. maana muda uliopita wameishasahau yaliyo wakuta! Rais huyu kaleta UTULIVU na Amani sasa anaambulia matusi! Ama kweli WAFADHILAKA WAPUNDAKA , Wazee wetu walisema. Ongera Mama MwenyeziMungu akuzidishie kila la heri wewe na wananchi unaowaongoza.
Mama pole kwa yote unayopitia Mh Rais wangu, ni ngumu kuvumilia matusi yanayoendelea mitaani ,lakini mama naimani yatapita na Nipo nyuma nakuombea Mungu aendelee kukutia nguvu na asikuvunje moyo ,akupe na Afya njema mama yangu inauma sana lakini Mungu yupo anakupigania kupitia maombi yetu.
Katika serikali yako kuna mauwaji mengi kwa sababu katika serikali nyingine haijawai kutokea kuwashusha kutoka kwenye mabus na kuwauwa. Kuteka vijana na kwenda kuwatupa misituni
ameanza mwenyewe kujitaja kuwa ni muuaji/the guilty are always afraid damu za watu wasio na hatia zimeanza kumtafuna na bado
Hapo hakuna rais huyu rais anahis Tanzania ni familia hajui kama hii ni nchi....
Hatuna uwezo wa kumtetea atakwenda jitetea mwenyewe mbele ya muumba
@@musa-v3fKwan ww unadhan nan atakutetea kwa dhana zako mbaya kwa wengine?
Uwt ni tawi la ccm,hawzi kuesema lolote,
Kwanini uwaue ao sisimizi kwani wamekukosea nini😢
Eti ccmizi, lkn kinyume ni chadema anawaua
Kwa kuongea utopolo tu haujambo lakini majibu ya hoja za msingi zinazolikabili taifa huna na washangiliaji wa utopolo pia unao wa kutosha, mpo vizuri, utopolo oyeee. Pongezi kwenu wanaume mnaoingia vikao vya wanawake
Kuongea kua muuaji nipale mauaji yanatokea na hakuna chochote kinaendelea kusema kuhusu kuwazi hayo mengine nivionjo Tu visivyo na msingi
Sitaki kusikia hata sauti nasikia kutapiga roho mbaya , please akina soka warudishwe
Naomba unisaidie km nilivyokuomba. Hujawahi kunijibu, Rais wetu wa Tz
Hiyo inayoshangilia ni misukule au zimepewa maji kandoro yanywe
Raisi wangu unaposema mtu unamaanisha nini? naomba kukukumbusha kuwa kama unavyosifiwa huku mitaani kuwa ndio umefanya kila kitu hata kuziba nyufa za vyoo inabidi ukubali na mambo yote yanayohusishwa na watendani walio chini Yako (polisi)
Tuonyeshe wauji maana wanakupaka matope wewe rais wa nchi hii
ameanza mwenyewe kujitaja kuwa ni muuaji/the guilty are always afraid damu za watu wasio na hatia zimeanza kumtafuna na bado
msiogope Tanganyika hawezi kuwa raisi Tena anguko hili ni la mungu na si la ccm ni mwisho wa ccm ila ni mungu mbongu na arizi vitawajibu na siyo Mimi Alla akbar
🙏🙏
Rais samia ndio rais wa Tanzania tanganyika unaijua wewe uanefikiria na matako sio akili
@@ThomsMollel Mollel yajayo yanafurahisha
@@CopperBelt daaaah wananchi wanateseka sana
Tunaomba walitekwa warudishe
Awarudishe hao ccmizi
KEMEA MAUAJI KWANZA POLICE ZAKO ZINAMALIZA WATU WABAKAJI WAKOHAPO WAPORAJI WAKOHAPO UNASEMA NINIKWAHILO??
Mbona ww unawaita mbwa wanabweka, wajibu ww c unayo mipasho, wala hujaua nguvu ya upinza umeuwa watu ,hakuna uchumi umerkua ,ndio hao ccmizi binadamu
MAMA POLICE ZAKO ZINAKUHARIBIA AWAMU NYINGINE HAUPITI WANAUA WATU KISHAWANASEMA WARU WANAUWAWA NAWASIO JULIKANA KEMEAHILO 😢😢😢😢
Wezi wakubwa, kwahiyo mtt akikukosea unamuua
Chawa lazima wasifie
Kisha anawataja wanaoiba pamoja mbona hawataji wasiomuonea haya
Comment hizi niza watu wenye akili timamu au hiyo misukule inayotumwa kukashifu kila kitu? Mwenye macho ahambiwi tazama na mwenye masikio na asikie msondo ngoma akili kichwani mwako. Lkn yote ni tamaa ya madaraka.
Achana na hao wapuuzi maana hawajui watendalo. Kuna siku watalaaniwa kwa chuki zao za wazi. Hata Libya walimuita Gaddafi gaidi na dikteta na wakashirikiana na Wamarekani kumuua na leo wanalia sana
Tunafahamu wote mnaounga mkono huu upuuzi unaoendelea hapa nchini ni familia, koo au jamii zenye wateule na kelele zenu ni kutetea ugali wenu tu hamza hoja za msingi
Hayo maendeleo yako wapi
Umeishiwa ww dhangingi
Mipasho upinde
Huyu ndiyo Rais wa Jamhuri.
Maneno yake mazito sana na yanaukweli ,
watanzania ndivyo wanavyotakiwa kujibiwa hivyo. maana muda uliopita wameishasahau yaliyo wakuta!
Rais huyu kaleta UTULIVU na Amani sasa anaambulia matusi! Ama kweli WAFADHILAKA WAPUNDAKA , Wazee wetu walisema.
Ongera Mama MwenyeziMungu akuzidishie kila la heri wewe na wananchi unaowaongoza.
raisi wa mchongo
Hongera raisi sana❤❤❤
Mama yangu mpendwa Rais wangu moyo wangu Unaugua sana ila nakuombea sana lakini pia nyamaza mama usiwajibu
Piga Kazi Mungu anaendelea kukutetea kwa Watesi wako.Ubarikiwe Sana.
Mama pole kwa yote unayopitia Mh Rais wangu, ni ngumu kuvumilia matusi yanayoendelea mitaani ,lakini mama naimani yatapita na Nipo nyuma nakuombea Mungu aendelee kukutia nguvu na asikuvunje moyo ,akupe na Afya njema mama yangu inauma sana lakini Mungu yupo anakupigania kupitia maombi yetu.
Kabisa mama lazima wajibiwe tunaomba msizuie watu kujibiwa bara na znz wajibiwe kunyamaza ni kuaminisha uongo ,,ccm oyeeeéeeeee