Kwamba JK alitoa hela mfukoni mwake kumpeleka rehab msanii,hiyo ibakie tu kama ilivyo,kwani hapa bongo ni vigumu sana kutambua hela itolewapo na rais kama ni yake ya mfukoni/au ni ya bajetini,mwe!
Kikwete leo kachambuliwa kwenye engo nzuri ila ukifika kwao mtaani wanalia mpaka hatembei kwamguu ktaan yan aibu nandiomaana watu hawapigi makofi manaake kavurunda
Yeeeeah bado nipo nipo kwanza hatar sana ulitisha sana bro
Ipo cku utaniheshimu ama utaheshimu hera zangu sasa hivi kweli wanamuheshimu huyu mwamba
Fa nakukubali sana bro
Hakika leo wanaeshimu pesa zako na cheo chako
Nakukubari saana mwana F A
Rap wangu bora muda wote bongo hutaki utajua hujui
Muhezaaaa one
Kipaji hakizeeki hongera
That is legendary
Daah noma sana fa
Kweliiii na Leo wanamuheshim, ndoto imetimia
Mwana f.a.profesa jey.mmemuweka wap jamani
Eti jamani!!!!!!
Uko vizuri kurap Mzee baba
Profeesa jay yupo wap
Uki muongelea jukwete tuna tapika wew
Na ndie Aliemkabidhi vyombo vya Dansi Mzee wa Baba na Mwana
Makofi mengi kwa mzee jk
Kweli kipaji kipo!!
Fact, hilo neno la maua yao
Hahahaaaa ila ROMA
Mrithi wako nipo ila hujui tu toka muheza
MKULUNGWAAA MWANA FA.FALSAFA
Mbona kikwete kikwete tu
Kuwapa maua yao 🤣🤣mpeni tuzo o
Mbona makofi hayaonekani
❤❤❤❤
Wa nyumban wape ripot ya tanga muheza
Kwamba JK alitoa hela mfukoni mwake kumpeleka rehab msanii,hiyo ibakie tu kama ilivyo,kwani hapa bongo ni vigumu sana kutambua hela itolewapo na rais kama ni yake ya mfukoni/au ni ya bajetini,mwe!
Tuzo za wcb ft basata
Naqubar sana F.A...👊👊
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Saf
Mpeni maua yake
Kikwete leo kachambuliwa kwenye engo nzuri ila ukifika kwao mtaani wanalia mpaka hatembei kwamguu ktaan yan aibu nandiomaana watu hawapigi makofi manaake kavurunda
🤣🤣..kumbe
Kwisha tukupe maua yako🎉🎉