MZEE DALALI WACHEZAJI WETU HAWALOGEKI/ NAWAJUA WAGANGA WOTE/ USO KWA USO NA KIBADEN
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Hhuyo ni Mzee Dalali akiwapa onyo Yanga kutusu kuwaloga wachezaji wao huku akijitapa kuwa anawajua waganga wote
"Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"
#sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate
Mzee kibadeni M/MUNGU akuweke sana na akupe umri mrefu zaidi INSHALLAH.
Kng Kibadeni mungu akupe maisha marefu unaumhim sana Simba tupatie ushauri
Kweli mzee:watoto wakirudi kule msiri waombewe sana. Wanaturoga sana🎉🎉🎉❤❤❤
Kibaden na kisiwa na wewe mzee wakiludi watoto wale toka msiri waombewe. Uchawi upo.tunakuwa unalogwa jamani❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍👍
Asante San mzee simba nguv moja
VWazee wetu, kumbe mmegundua.Nawapongeza Sana. Tuamkeee❤❤❤. Tusionelewe siku zote.😅😅
Wazee wetu wapo vizuri, tujifunze kwao, uchawi hapo tunawachungaji hapo!
Ukizimia zimiaa zimiaa kesho huamkiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂 🎉🎉🎉 nguvu mojaaaaaa Inshallah 🦁💪💪🙏
Jamani wanasimba amkeni mapema Hawa yanga wanawaroga sana wachezaji
Kweli viongozi walilala nashukuru mmewakumbusha viongozi muwe bega kwa bega na wazee wachezaji wa zamani . Huo ni umoja wa kujenga timu
Simba mnazidiwa nje kamati ya ufundi na akina manara
SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉🎉😂❤❤❤❤❤😂😂😂
Wzeee wameamua kwa kwelli ila Siyo magoma 😂😂😂
Akuna timu inaroga inchi hii kama yangaaaa yaani bila uchawi kushinda kwao ni mbinde hawafaiiii😂😂😂
tumefany usajir kk hay mawaz tuondoe mpira umebadlik tutabakia uchawi mpk Lin wenzet walikuw na tmu nzur na ndo ilowap ushndi kwqmwqk huu tmefny usajir mzur hvo lawam haztakiw kk
Acha bwebwe mzee nanini analoga wachezaji wabovu TU hao
Jipangeni na nyinyi
Kudadadeki😂
HALBADIRI LAZIMA
Tatizo siyo kocha mzawa au wazawa, siku hizi kocha anakua na jopo la wataalamu wake kamili kama vile kocha wa makipa, wa viungo, mtaalam wa physio, msoma video na match ,kocha msaidizi,sasa makocha wazawa bado sana kufikia level hiyo, tuwe na subira tusitake mambo kwa haraka, tuwaandae kwanza hawa makocha wazawa kwa kusoma na kuwapeleka nje kuona mambo yanavyofanyika kisasa
NJONI PEMBA MWAMBE TUIMALIZE YANGA KAMA YANGA WALIVYO IUA PAN AFRICA MWAMBE PEMBA
Mzee mbona wewe unajua kamat zipo mbona nyinyi wazee wa Simba mmelala amkeni
Hassan Dalali Mwamba
Yanga kamampira uchawi haupo mbana mnaongoza kuruka ukuta hahaha ubayaa ubayaa marahii
Aliyemwambia mpira ni sayansi ni nani bac kama mpira ni sayansi tusingeleta makocha tungeleta walimu mashuleni wafundishe ww yanga ww
Kocha py nimwalim km ujacheza mpila uwezi kujuwa
Wanga hauchezi mpira niujinga mtupu mpira ni sayan si
yani hawa ndio unawategemea waongoze mpira kwa nguvu za kiza hamfiki mbali wenzenu wanachukua wasomi nyie mnawaza uchawi
Ndio Mpira wa bongo,,,
Avick town mlikuwa mnafanya Nini??
Mzee Wacha Ujinga Hersi Said Anajua Kutafuta Wachezaji Sababu Yy Bolt Analijua Mo Mfanya Biashar Muhindi Na Mpira Km Maji Na Mafuta Mnalaumi Mnarongwa Awaroge Nani Kwa Lipi
Kwa no 6 afrika
Kibaden na kisiwa na wewe mzee wakiludi watoto wale toka msiri waombewe. Uchawi upo.tunakuwa unalogwa jamani❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍👍
Kibaden na kisiwa na wewe mzee wakiludi watoto wale toka msiri waombewe. Uchawi upo.tunakuwa unalogwa jamani❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍👍
Kibaden na kisiwa na wewe mzee wakiludi watoto wale toka msiri waombewe. Uchawi upo.tunakuwa unalogwa jamani❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍👍
Kibaden na kisiwa na wewe mzee wakiludi watoto wale toka msiri waombewe. Uchawi upo.tunakuwa unalogwa jamani❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍👍