Bongo Star Search 2021 Episode 03 Mbeya
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 พ.ย. 2021
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - บันเทิง
😂😂where do people buy this courage?😂😂mtaniua!! Anyway if you are watching from 🇰🇪tusalimiane hapa
Haaaaaahhhhhaaaa
Salama ndo Ian wa Tanzania😂😂😂
Mimi uyu🤚. Na uliza ni ukweli ama ni comédie ?😂😂😂😂😂😂😂
Haha tuko hapa😂😂
Kutoboa kwenye bongo star search nikazi unaimba huku unachambwa😂😂
😂😂walah kazi ipo
@@neemaayubu1786 😂😂tena sio kdg
🤣🤣😂😂😂😂
Hhhhh ati unaimba hapo hapo unachambwa
Elisha amekosa mentor . Nisamehe kama nimekosea kuandika. Lakin ameshiriki 4 time . Huyu jamaa ana kipaji nafikiri angepata mtu anayejua soko la muziki huyu Elisha ni star kabisa bss najua wanaweza kumpa mwongozo wa nni hafanye. Maan mmi naona Kuna namna anaweza kutoka bila bss
Jamaa mjuaji kinoma season iliyoisha ktk jumba alikuwa hata anaboa
Thank you
Salama don’t Know what she’s looking for 😂🤦🏽♂️
Katika show ninazozipenda bongo starch
Duuuuhhhh!!!! watu wa konde mna kazi kweli😀😀😀😀
😂🤣🤣🤣 mshiriki namba 3 anafanana na aristote 😆😆😆😆
😂😂😂😂
Hivi Bongo search pia yaweza endelezwa mpaka Kenya sisi tutashukuru
wafanye nn uku km amuez kuza vpaj kaeni
Hivi mmemuona salama alivyoingia jamani Hadi watu wanaogopa kumshika lol 🤣🤣🤣
Chief judge Fanya msimu ujao usimuweke salama maanake anakatisha tamaa hata wale ambao wanaohitajika kuongeza vipaji vyao tafadhari mtafute mtu kwenye busara kidogo. Itakuwa vizuri pia kumrudisha host wetu Idris Sultan
Salama ndiye Jaji makini
@@georgeigogo9259 she unprofessional
Elisha wewe ni 🌟 ndugu yngu
ommy and stick-on guy made me cry , plzzz ommy help that guy
Kudadadeki 😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 omy dimpo nakupenda omy dimpo naomba niwe mtumwa wako 😅😂😂😂😂😂
Salama anazingua sana eeeeeh...😂😂😂
Mbeya watu wengi wanavuta Bange
🤣🤣🤣
Honestly we need the other guy back he was funny !!
Nawapenda sana Ommydimpoz na Rita
Salama yuko period 🤗
😁😁😁 mganga wake
😅😅😅😅
Salam elewa watu ni wanadamu wanamioyo pia
Meena ally😂❤️ agh just love you
Salama acha roho mbaya Kwan ww unaweza kuimba unawavuja moyo watot wawt Kwan kama hawez kuimba cumwmbie kawaid ty mpka umseme vibaya
Noma sanaa
I watching this drunk and watched ommy as khaligraph jones
aliye sikia staili ya panua paja toka kwa salama like
Salama bana.Watching from Qatar
Daah😂😂😂😂😂😂 ommy dimpomz ni falaaa sanaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ommy ni comedian
Ila Salama jamani huwa maliza 🤣🤣❤️
salama rekebisha tabia , nazani kila mtu ameona alivyo pita
Dimpoz big up sana uli sakimia wana bila kujali ni watu gani
Official Ben bizzo from Kenya moto
Nakubali san chama hili la boss.
Salama na master J. mm ni moja fan base wenu muhimu
Salam S.K ako mrude sana
Ila mwaka huu master anahuruma jaman🇰🇪🇰🇪 salama wauwe🤣🤣🤣🤣
Elisha nailed it...cause you are my Fantasy
Big up my friend elisha kama buti mnooo
Idriss kaenda wapi munazingua sana leta Idriss apa
Unaona huyo binti anafaidi sana ..kupata fursa kuma wewee
Salam anazingua sana
Sio vizuri kupingana jamani Salama hapo naushauri unatakiwa kududi mtu asipate misongo mwitu
Salama sometime sio mnafikii
Huyo jamaa watatu bro hajui kukata tamaa.. keshashiriki mara kibao alafu anaimba wimbo huo huo bana 😁😁😁
Thank God Salama is not even my relative 😭😭she’s so rude
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
To my opinion she's not rude it's just that she's too straight and most people can't handle it
So we all missed idriss sultan
We have really missed him, alikuwa anajua
dada salam ukovizuli san simama iviivi kwenye msimamo wako dad
Diamond platnumz si amsign elisha
Host uko na upuuzi mwingi 😂😂😂
This Judges are really confused people with talent are been kicked out with disrespect but people with no talent wanakubaliwa how🤔🤔🤔🤔🤔
Andika kiluga chako,hizi mbungi zikaushie
Unbelievable 🧐
@@simulizitanzania2571 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yan ommy sijui kwanin hafanyi comedy 😂😂
Elishaaaaaaaaaaaaaaaaaa
8:41 Beathone 👍
For really Salama is too much, Try to be nice some times. Being in industry for so long it doesn’t mean you have to be too much. Look at OMMY , Master and M . Try to be nice Salama please.
Sssszzzzzssss
Sssszzzzzssss
Sssszzzzzssss
S***s*ss
S***
Salama yuko hovyo anaroho mbaya .
Bongo Ina vijana WA hovyo snaaaa
Salama change ure behaviour maana watu wanakuogopa mnooo sio vizuri bwana daaah unakera
Mtu akisema ukweli mnaona anasema vibaya, salama anafanya sahihi kwasababu wanahitajika 6 ukichukua kila mmoja afu mwisho wa siku unampa matumaini yasio na umuhimu unajua hapo wako wengi zaidi ya 100 afu utoe sita tu
She just needs to be calm nd sensitive when dismissing someone
Mm binafsi nampenda salama na mikwara yake lakin inawafanya watu wajitahidi kufanya vizur
@@marselineooko6860 but ain't possible for Tanzanian people kwasababu hawaamini katika kushindwa hata sauti mbaya ye anaona ni yupo sahihi na hii ni kutokana na watu kutokuangalia what other nation do just assume kama tungepeleka this people kwenye America got talent nan angepita hapo yaan hata yule anashinda hapa asingepata hata nafasi kule
@@upendomorris7140 kwaiy sis ni WA america au
BANGI sanaaa
😂😂😂bss kuna watu wako so funny
Iyi show niya kuchekesha tu🤣🤣
live performance ndo tunataka kabla ya hii acheni upuuzi BSS vipande vyote tushaona weeks 4 sasa.
salam hana tofauti n jini kisirani
Salama unazingua 🤣🤣🤣🤣
Tena sana
Kweli bana
Anaumiza wangine mara mbili mbili why is she there self ?simpendii ppfff
Nibora itenganishwe mashindano ya nyimbo za kidini na nyimbo zingne kuwe na pande mbili za majaji
YAAANI SALAMA ANANIFURAHISHAAA HAHAH
hyo dem ameimba ngoma ya otile brown amenibariki
Wa Kwanza ameua aki
Dah huyu mkongo 52:36 wasimuache please, Anajua sana
😂😂😂😂Ommy Jaman eti nilijua tu😂😂😂😂😂😂eti vyen
Daah
Jaman😅😅😅
🤣 🤣 🤣 🤣 Jamani humu ndani Kuna burudani jamani 😂😂😂😂😂
Salama unakula nn weweeee.. hyo jamaa wa Gita kaua
Salama kwanini anamajibu mabaya kama hatokua na shida siku moja
Sauti imenyooka😂😂
Salama ana mdomo hata wenzake hawapi Amani khaaa
Salama acha kubana sana ma underground
Jamani wewe mtangazaji Kitulo haipo Mbeya iko Makete-Njombe tafadhali
Nitakuja bongo star kwa ajir ya ommy
natamani sku moja bongo star search wakose hata mshiriki mumoja ili wakome.wapuzi wanazingua washiriki
Waooo!!!
Awape moyo watu wajitahid asa yeye ana mvunja mtu moyo
Huyu salama anaroho mbaya. Unawakatisha watu tamaa
Kama mtamsaidia Elisha ili atoke hata kwa msaada wa kumpromote na kumsaidia kutoa video nyimbo zake
Salama ana majibu yakijinga
Ila mbeya daaaa😂😂😂😂
Hawa judges walitolewa wapi.....😀😀I'm here for the judges baaasii
Salama ananikeraaa Msimu Huu.
Salama wewe pilipili 🤣😅🤣😅971
Walioshiriki na kifik dar wasirudie ten tumechok kuwaona kila siku waachien wengine wapate nafasi
Kabisa
Mwenye kipala kanambia sinjui kuimba
Jamani elisha inatakiwa ujishushe Mungu atakusaidia
The lady in green is sooo rude tf.🤣🤣🤣🤣🤣🤣the guy who sang miss independent wuuueeeh 💔💔💔
Salama
Salama hii siku alikua kwenye periods nini 😅😅 dah mkali kweli
Bro kitaulo vipi meena😂😂😂😂leo mm nacheka mpka basi yaani
Punguza mbwembwe bro
Salama hujamaaaa analia...hahahaha
😂😂😂😂huyo kaka wa nivute kwako katisha
Salama sio poa
Kunafanana na hapa switzerland
Judges mko na viburi 🙄hakuna kitu mnafanya 😥 Soo hash and rude
Wanawatukana 😢😢
Anaepaka kucha rangi kaniliza😢😢
Mbona anafanana na ARISTOTE 😄😄
Judges mkue patient mshiriki amalize kupresent ndo muongee...
Dimpoz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wapuuzii woteee majaji..hampendi nyimbo za diniii
Mhh salama kavu sana
Salama akuna kusikiliza my