Kutoka kuwa rais wa nchi mpaka kuwa ombaomba mtaani ijue historia yake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ส.ค. 2018
  • Kutoka kuwa rais wa nchi mpaka kuwa ombaomba mtaani

ความคิดเห็น • 229

  • @edwensimon6283
    @edwensimon6283 5 ปีที่แล้ว +12

    Ahaa hii nimependa,bigup huko juu sana mdogo wangu

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 5 ปีที่แล้ว +8

    Kweli malipo ni duniani kwaiyo alishindwa hata kumjengea nyumba mama yake duh🤣🤣🤣

  • @vivardagesa8420
    @vivardagesa8420 5 ปีที่แล้ว +1

    From somewhere in AFRICA,i love your voice and this beat you used in ithis story,big up bro

  • @marckozakayo5987
    @marckozakayo5987 5 ปีที่แล้ว +1

    I like your educative staffs

  • @kogotamedia5832
    @kogotamedia5832 5 ปีที่แล้ว +11

    unaumiza sana akili kuleta vitu vya maana ambavyo wengi hawezi kwa uvivu wa fikra. kila siku habari za diamond na kiba tu azitunufaishi kitu

  • @machaineomahe6697
    @machaineomahe6697 5 ปีที่แล้ว

    hongera sana maan mnatujuza tulikotoka kwa ajil ya kujifunza

  • @mcharomshana2167
    @mcharomshana2167 5 ปีที่แล้ว +1

    Fundisho zuri sana kwa wote

  • @stanleykomba7550
    @stanleykomba7550 5 ปีที่แล้ว +2

    mmm noma hihi iwefundisho kwawengine

  • @jamesokari9787
    @jamesokari9787 4 ปีที่แล้ว

    ahsante sana kwa historia ambayo sikujua

  • @christianbaba9971
    @christianbaba9971 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana... Nakutakia kila la kheri.. Ufanikiwe ktk kazi yako Good Voice. "Note" Unajua kutangaza Broo.

  • @yonakiza1471
    @yonakiza1471 5 ปีที่แล้ว +1

    I like it

  • @suwedilibaba557
    @suwedilibaba557 5 ปีที่แล้ว

    Vip tafsili moves mzee baba upo ok sana

  • @betramart
    @betramart 5 ปีที่แล้ว +3

    Uko vzuri ila jitahidi kutafuta vielelezo zaidi ambavyo vitafanya watu waendelee kufuatilia zaidi bila kuchoka,vielelzo ninavyomaanisha ni kama vile picha za kutosha na video footage chache zitakazo fanya story yak ice ya kuvutia kama wafanyavyo global tv online,but all in all uzo vzuri sana

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 5 ปีที่แล้ว +6

    Amepata laana. Adhabu nyingine zipo hapa hapa duniani

  • @goldengilbertmunge4456
    @goldengilbertmunge4456 5 ปีที่แล้ว +3

    Upo vzr aiseee sio kila dk stori za akina diamond

  • @getajo1153
    @getajo1153 5 ปีที่แล้ว +11

    We ni kati ya Wachache wenye kipaji na uwezo wa Kutoa #SIMULIZI ikavutia ...

  • @mpulitv8011
    @mpulitv8011 5 ปีที่แล้ว +1

    Iko poa brother

  • @petronasken7504
    @petronasken7504 5 ปีที่แล้ว +2

    Aliye juu mgoje chini

  • @amaniramadhani3867
    @amaniramadhani3867 5 ปีที่แล้ว +12

    Tatizo waswahili tunapenda ubishi bila ya kufanya utafiti, fanyeni research ndo muanze kubisha hayo anayosema ni ukweli mtupu

  • @husaynamri7006
    @husaynamri7006 5 ปีที่แล้ว

    maisha yana stori ndefu sana....
    na kwa matukio kama haya twajifunza.... viva africa

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 5 ปีที่แล้ว +34

    Una sauti nzuri ya kutangaza. Sasa tutafutane nikupe story kisha uzitangaze wewe.

  • @florentbunzaly6391
    @florentbunzaly6391 3 ปีที่แล้ว

    Good lesson to other leaders

  • @elkanaalkado7625
    @elkanaalkado7625 5 ปีที่แล้ว +2

    Xo amazing

  • @kadutimmy4871
    @kadutimmy4871 5 ปีที่แล้ว

    Duhhh

  • @jrcollins6073
    @jrcollins6073 5 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana kijana

  • @elkanaalkado7625
    @elkanaalkado7625 5 ปีที่แล้ว +3

    Unapokuwa unafanya mambo kumbuka kuwa kunayakesho

  • @wiliammemba4920
    @wiliammemba4920 5 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi mungu kamuadhibu hapa hapa duniani kuonesha mfano kwa binadamu wenye Tabia kama zilivyokua zake.

  • @godfreykatunzi9680
    @godfreykatunzi9680 5 ปีที่แล้ว +6

    Safiii miatisaa inapendeza

  • @neemaamon4960
    @neemaamon4960 5 ปีที่แล้ว

    Una sauti nzuriiiii😍😍

  • @niceladeus1697
    @niceladeus1697 5 ปีที่แล้ว +3

    woooh

  • @cyprianbernard907
    @cyprianbernard907 5 ปีที่แล้ว +1

    Da! Kuna wa2 vituko

  • @kithikimanyaki9849
    @kithikimanyaki9849 5 ปีที่แล้ว

    What a lesson for one to learn

  • @domydocta.
    @domydocta. 5 ปีที่แล้ว

    Duuh hii imenishangaza kweli

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 ปีที่แล้ว +1

    Walioumizwa wanashindwa vipi kumshughulikia kulipa kisasi kwa aliyowafanyia

  • @silasmzawa8522
    @silasmzawa8522 5 ปีที่แล้ว +2

    Kk unajua keep it up kweli unachimbua

    • @johncharles1180
      @johncharles1180 5 ปีที่แล้ว

      tatizo lako hukutaka kujilimbikizia Mali ona sasa mwanangu

  • @allybakari7888
    @allybakari7888 5 ปีที่แล้ว

    Aisee

  • @alialesry5131
    @alialesry5131 5 ปีที่แล้ว

    Shukran sana kaka ila punguzeni mziki

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 5 ปีที่แล้ว +5

    Magufuli na sheni jee mmewaona wakorofi wenzenu wanavozalilika hapa hapa duniani

    • @faridahhamza8704
      @faridahhamza8704 5 ปีที่แล้ว

      Haaaaaa we huogopi wamchezea chui sharubu eee🙊👐akuuuu mi simu, shauri yko

    • @giangaguti2816
      @giangaguti2816 4 ปีที่แล้ว

      Wewe watakubeba uende jera mshenzi ww

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 ปีที่แล้ว +38

    Tamaa mbele mauti nyuma, malipo ni hapahapa.

    • @shabanramadhan2539
      @shabanramadhan2539 5 ปีที่แล้ว

      Saumu Hassan assalaam aleykum

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 5 ปีที่แล้ว

      Shaban Ramadhan Waleykum Warahmatullah Wabarakatuh

    • @sayyidtawaqal1754
      @sayyidtawaqal1754 5 ปีที่แล้ว

      Unajua actually mungu Hana haraka

    • @hashimrupia8727
      @hashimrupia8727 5 ปีที่แล้ว

      Huo ni uongo unaofanana na ukweli

    • @muhariwaruua8888
      @muhariwaruua8888 5 ปีที่แล้ว

      @@saumuhassan6365 What does this mean ??

  • @bizoskiyagistrapper2479
    @bizoskiyagistrapper2479 5 ปีที่แล้ว +7

    Asante kwa kutujuza mengi

  • @tamalalee2169
    @tamalalee2169 5 ปีที่แล้ว

    Alisahau kuwa Mungu ni wa kila mtu

  • @user-wo2gd5su4q
    @user-wo2gd5su4q 5 ปีที่แล้ว

    mungu so kipofu wala kiziwi 2muogope mungu sana alimpa pia amempokonya kuna weng vyeo walivyonavyo hawajui Kama mungu anaweza kuwashusha Kama unamuogopa mungu sema amennnnnnnnnnnnnnnnnnnnn!

  • @ramadhanimussa882
    @ramadhanimussa882 5 ปีที่แล้ว +2

    Maisha Bana !!!!!!

  • @manonimshindikwa1974
    @manonimshindikwa1974 5 ปีที่แล้ว

    Ana duniya taduru

  • @mylasadick5189
    @mylasadick5189 5 ปีที่แล้ว

    Duh

  • @freddymo
    @freddymo 5 ปีที่แล้ว

    Napenda hadithi zako zapendeza aizee kweli

  • @stonyshipind7777
    @stonyshipind7777 5 ปีที่แล้ว

    komesha laana zinafanya kazi

  • @user-sq8pq1xj7m
    @user-sq8pq1xj7m 2 ปีที่แล้ว

    hilo nilaana la wananch alivyo wadhilm na pia hakujua maana ya uongozaji ni nini

  • @muthegreat3667
    @muthegreat3667 5 ปีที่แล้ว +2

    Sima nni kaka sautu yako iko sawa ila music ulio uweka ungepunguza kidog saut mzee

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 5 ปีที่แล้ว

    Wakuu nishaelewa Kwamba sio movie

  • @allyseifu4627
    @allyseifu4627 5 ปีที่แล้ว

    asante mwana habar wetu

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu alikua sio mjanja wakuiba 😂😂😂😂

  • @tinawilliam4961
    @tinawilliam4961 5 ปีที่แล้ว

    Malipo yote nihapa hapa na huo ndo mshahara wake

  • @aliabdallah2220
    @aliabdallah2220 5 ปีที่แล้ว

    Ni mtihani kweli

  • @tolilahnathalie2658
    @tolilahnathalie2658 5 ปีที่แล้ว +2

    golden voice bro

  • @bekaamezzy742
    @bekaamezzy742 5 ปีที่แล้ว +2

    Tamaa mbele LAZMA upate chakwako

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว

    Kwel malipo n hapa dunian

  • @rosepiere1857
    @rosepiere1857 5 ปีที่แล้ว

    Mnaosema hii habari sio kweli tupeni basi ukweli

  • @emmaprotv1081
    @emmaprotv1081 5 ปีที่แล้ว

    Mziki unalia mno ungepunguza

  • @shekilashekilaabudulha5038
    @shekilashekilaabudulha5038 5 ปีที่แล้ว

    Duuu!!! hiyo ni kal kutoka rais mpaka omba omba

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 5 ปีที่แล้ว

    Safari bado, atapata pesa

  • @ramadhanjuma2433
    @ramadhanjuma2433 5 ปีที่แล้ว

    @larik mtuy kwani umeambiwa ni leo au week ilopota iyo had wayu wskarke kambi

  • @kasimugullum5862
    @kasimugullum5862 5 ปีที่แล้ว

    Mamkubuka sana huyu jamaa,wakatiwake alitikisa.

  • @emmanuelshila9885
    @emmanuelshila9885 5 ปีที่แล้ว

    naomba jina la sound track

  • @emmanuelmassawe7059
    @emmanuelmassawe7059 5 ปีที่แล้ว

    Malipo ni hapa hapa duniani na mbinguni pia, wewe ua tesa, nyonga lkn one day utavuna tuu malipo ya damu za uliowaua na kuwatesa. Tujifunze kupitia kisa hki.

  • @raydiesel424
    @raydiesel424 5 ปีที่แล้ว +17

    Hii ni kweli kabisa sio uongo kama mnavyodhani baadhi yenu

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 5 ปีที่แล้ว

      Raymond Msanga sio kweli bhana!

    • @raydiesel424
      @raydiesel424 5 ปีที่แล้ว

      Moses G. Pendael Cha kufanya chukua jina la huyo rais kisha kagugo mbona rahisi sana.

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 5 ปีที่แล้ว

      Raymond Msanga kuna vtu huhitaji kupoteza muda kugugo bro. Tumia akili tu. Alifuja mali nying za nchi. Akawa na pesa na almasi. Ada ya chuo ni trilioni ngap kwa mwaka ili asiweze kumaliza????? Inaweza kuwa true to some extent.....bt imetiwa chumvi

    • @ellynkwama8603
      @ellynkwama8603 5 ปีที่แล้ว

      Moses G. Pendael Inawezekana pengine baada ya kupindoliwa akaunti zake zilifreeze,hatuwezi jua.tusibishe kika kitu.

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 5 ปีที่แล้ว

      Ni kweli kabisa someni tatizo letu ni wavivu sana

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 5 ปีที่แล้ว

    Duh kweli sikio la kufa halisikii dawa

  • @kinglance6365
    @kinglance6365 5 ปีที่แล้ว

    POA POA hahari nzuri

  • @alexodhiambo7511
    @alexodhiambo7511 5 ปีที่แล้ว

    Ya dunia ni hivo.

  • @carloskitheka5401
    @carloskitheka5401 5 ปีที่แล้ว

    Hii ndo maana mie nikifanikiwa kuwa Rais hii leo ntaakikisha shinda hatutawahi kutana mahali..ntakuwa naona shinda kwa jirani.

  • @salymomar9793
    @salymomar9793 5 ปีที่แล้ว +3

    Duh! Msaidien

  • @salimally6877
    @salimally6877 5 ปีที่แล้ว

    Nomasanaaaaaaaaa

  • @jifunzekusamehe4527
    @jifunzekusamehe4527 5 ปีที่แล้ว

    mia mia

  • @joshuashalla1394
    @joshuashalla1394 5 ปีที่แล้ว +1

    Duuu!!!

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 5 ปีที่แล้ว

    angesomeya ata ufugaji ao mkulima.

  • @zubydazad7646
    @zubydazad7646 4 ปีที่แล้ว

    Yan alijisaausn

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 5 ปีที่แล้ว

    MUNGU ATAHATHIBU KILA MFALUM ANAE ONGOZA INJI YAKE KWA UBABE AMEPOKEA MALIPO YAKE

  • @donnajnr892
    @donnajnr892 5 ปีที่แล้ว

    Kitu kizuri simulizi tamu Sana ila uwe unaandika pia

  • @sabatojoshwa6684
    @sabatojoshwa6684 5 ปีที่แล้ว +1

    Please! Arrange one day and tell us history of Mansa Musa

    • @kmkdirkaa2194
      @kmkdirkaa2194 5 ปีที่แล้ว

      Mansa musa the richest man of all time

    • @sabatojoshwa6684
      @sabatojoshwa6684 5 ปีที่แล้ว

      Yah! That man is icon of Africa, but his story is not much open. I do not know why!

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 5 ปีที่แล้ว

    Kwetu tunamuita #Mzalendo

  • @muddymwakatika8659
    @muddymwakatika8659 5 ปีที่แล้ว

    Tisha sana mata

  • @shebynega854
    @shebynega854 5 ปีที่แล้ว +6

    Miladi ayo ajipnge japo yey katoboa tyl

  • @stewartmillanzi1596
    @stewartmillanzi1596 5 ปีที่แล้ว

    Kila kitu kina mwisho....ona sasa maisha yako yalivyoishia vibaya. Ahaaah....haaaah....haaaaah... .ukicheza na jeshi vibaya, utakiona cha moto.

  • @lewisshemboko2106
    @lewisshemboko2106 5 ปีที่แล้ว +1

    how

  • @mecklaudmassawe6214
    @mecklaudmassawe6214 5 ปีที่แล้ว

    uko vzr ila punguza sound track

  • @festoedward1902
    @festoedward1902 5 ปีที่แล้ว

    Inamaana hana pension

  • @JvSVevo
    @JvSVevo 5 ปีที่แล้ว +3

    Nahitaji namba yako ya WhatsApp tufanye kazi.

  • @robertshemaonge6000
    @robertshemaonge6000 5 ปีที่แล้ว

    laana mbaya mjifuze

  • @ramadhaniomary4634
    @ramadhaniomary4634 5 ปีที่แล้ว

    sio kweli iyo

  • @kingkongmadiba3174
    @kingkongmadiba3174 5 ปีที่แล้ว

    Karma will end karma

  • @robertabely5794
    @robertabely5794 5 ปีที่แล้ว

    Nitafute nikupe story kama hizi, una sauti nzur sana kaka
    Hongera sana watsapp namba 0744547862

  • @anthonymgogo2651
    @anthonymgogo2651 5 ปีที่แล้ว

    Duh Life is a cycle

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 2 ปีที่แล้ว

    Amesaidiiwa sasa hivi na Rais aliyepo madarakani

  • @simoncosmas284
    @simoncosmas284 5 ปีที่แล้ว

    dadeq zako,ndo mana sikuzote tunaambiwa kuwa cheo ni dhamana

  • @jumahakhimu8352
    @jumahakhimu8352 5 ปีที่แล้ว +2

    Doh.!! mitamaa k-bao

    • @rehemadani3600
      @rehemadani3600 5 ปีที่แล้ว

      Hayo ndiyo malipo yamadikteta

  • @lupakisyomsese8210
    @lupakisyomsese8210 5 ปีที่แล้ว

    Mengi ni ukweli japo yapo machache yameongezwa

  • @asiaokeay1654
    @asiaokeay1654 5 ปีที่แล้ว

    muosha naye huoshwa

  • @drdioclespr6722
    @drdioclespr6722 5 ปีที่แล้ว +1

    Duuuuhhh!!!,

    • @tatutatu1976
      @tatutatu1976 5 ปีที่แล้ว

      Wewe umesomea uongo tena tunaomba utafute uongo mwingine utuletee mnashindwa kutafuta habali za maana

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว

      @@tatutatu1976kwann

  • @mswagilotvtz5060
    @mswagilotvtz5060 5 ปีที่แล้ว

    Yahayamswagilo

  • @hanifaali9526
    @hanifaali9526 5 ปีที่แล้ว

    Curse is real!