Asante sana Ndugu yangu kutujuza habari za Dikiteta huyu wa Malawi. Naomba tu unisaidie yafuatayo Mpendwa wangu kuhusu Diiteta huyu. Mosi, ilizuka tetesi kuwa Banda aliwahi kuwa Daktari wa Malkia au kuitumikia familia ya Kifalme ya uingereza kabla hajawa Rais wa malawi. Je, ni kweli? Pili, eti kulikuwa na tetesi kuwa huyu Banda aliyejulikana kama Hastinga Kamuzu Banda HAKUWA Hastings Kamuzu Banda mwenyewe ORIGINAL bali ulifanyika mchoro wa KUMPOTEZA Hastings mwenyewe na AKAPANDIKIZWA huyu tunayemuona pichani ambaye kihalisia alikuwa ni mtu kutoka Nigeria au jamii ya Waliberia waliokuwa wakihodhi madaraka Liberia kabla ya Mapinduzi ya Sajenti Samweli Doe. Wengine walisema huenda alikuwa mtu wa Ghana, nk. Na kuwa hii ndiyo sababu alikuwa HAWEZI kabisa kuongea Lugha yoyote ya Kienyeji ya Malawi pamoja na Kichewa. Je, ukweli ni upi? Tatu. Kulizuka ama Tuhuma ama ni kweli (mimi sijui) kuwa Mheshimiwa huyu HAKUWAHI KUOA MKE WALA KUZAA WATOTO maishani mwake mwote. Je, hii ni kweli au uzushi tu? Na kana ni kweli SABABU hasa ilikuwa nini? Nne, kulisikika pia kuwa eti Mheshimiwa huyu alikuwa ANAKULA NYAMA ZA WATU hasa za wanasiasa aliokuwa anawaua kwa kuwashuku kuwa wlikuwa wanapanga njama za kumfurusha madarakani wakiwemo kina Arton Chirwa na wengine. Tafadhali nipe elimu zaidi kuhusu Dikteta huyu, habari zake ni nyingi zilizovuma juu yake. Asante
Mpendwa Emmanuel Shilangi. Sijakuelewa vizuri unachokisema. Unaniomba namba yangu ya simu? Usihofu, wewe nitumie tu ya kwako kwenye ukurasa huu kisha nitakupigia mimi pasi shaka. Asante sana
Nafurahia sana stori zako kujikumbusha historia muhimu za Afrika, lakini Naomba upunguze sauti ya soundtrack na uongeze sauti ya narration kwani inaleta shida kusikia vizuri. Asante!
@@officialyoctanyavani776 msenge mwenyewe, tena labda wewe ni msenge wa kiume ndio maana ukawaza yote haya, ckutoa tuc Bali nimeomba atoke mziki msenge wewe hapo ×100 kwani kibaya nilichosema ni kipi au unataka mambo ya instagram na babdle lako la wiki mxiiiiiii
Kumbe vibalaka walianza kitambo na wazungu ndio wanavyotaka watu kama banda wasiopenda maendeleo na uzalendo wa nchi ila kunufaisha tumbo lake ndio watakuwa sambamba na wewe kuichukulia mali na kufanya shamba la bibi
Kwako sina Ubishi na Wajua vile Nakukubarigi100%
Uko vizur kwa utoaji Wa habar unasomeka vizur honger kaka
Walikua wanauwana utafikiri wao watahishi milele . Wakowapi Sasa zambi zabure raha duniani ukifa mateso . Bora mateso ukifa furaa
muziki unaweka juu sana inakua ngumu ku concentrate
Music Upo Juu sana kuliko sauti yako mzee Baba.. Next time Fanyia kazi Please. But be blessed Chief
Asante sana Ndugu yangu kutujuza habari za Dikiteta huyu wa Malawi. Naomba tu unisaidie yafuatayo Mpendwa wangu kuhusu Diiteta huyu. Mosi, ilizuka tetesi kuwa Banda aliwahi kuwa Daktari wa Malkia au kuitumikia familia ya Kifalme ya uingereza kabla hajawa Rais wa malawi. Je, ni kweli? Pili, eti kulikuwa na tetesi kuwa huyu Banda aliyejulikana kama Hastinga Kamuzu Banda HAKUWA Hastings Kamuzu Banda mwenyewe ORIGINAL bali ulifanyika mchoro wa KUMPOTEZA Hastings mwenyewe na AKAPANDIKIZWA huyu tunayemuona pichani ambaye kihalisia alikuwa ni mtu kutoka Nigeria au jamii ya Waliberia waliokuwa wakihodhi madaraka Liberia kabla ya Mapinduzi ya Sajenti Samweli Doe. Wengine walisema huenda alikuwa mtu wa Ghana, nk. Na kuwa hii ndiyo sababu alikuwa HAWEZI kabisa kuongea Lugha yoyote ya Kienyeji ya Malawi pamoja na Kichewa. Je, ukweli ni upi? Tatu. Kulizuka ama Tuhuma ama ni kweli (mimi sijui) kuwa Mheshimiwa huyu HAKUWAHI KUOA MKE WALA KUZAA WATOTO maishani mwake mwote. Je, hii ni kweli au uzushi tu? Na kana ni kweli SABABU hasa ilikuwa nini? Nne, kulisikika pia kuwa eti Mheshimiwa huyu alikuwa ANAKULA NYAMA ZA WATU hasa za wanasiasa aliokuwa anawaua kwa kuwashuku kuwa wlikuwa wanapanga njama za kumfurusha madarakani wakiwemo kina Arton Chirwa na wengine. Tafadhali nipe elimu zaidi kuhusu Dikteta huyu, habari zake ni nyingi zilizovuma juu yake. Asante
Wolfram Chikomo walflam. nituminambayakonishapoza
.mijamaayakowa. ushirombo
Mpendwa Emmanuel Shilangi. Sijakuelewa vizuri unachokisema. Unaniomba namba yangu ya simu? Usihofu, wewe nitumie tu ya kwako kwenye ukurasa huu kisha nitakupigia mimi pasi shaka. Asante sana
Kama hakuwa na mke Wala watoto,bhas ni kweli alikuwa daktar wa malkia kea sababu kila aliyekuwa karibu na malkia alihasiwa😥
Hongera mkuu much respect you, wish tuonane mkuu
Unaijua kazi Mzee safi Sana,,
nimekupenda bure brazee your good enough
Nakuona mbali Sana.. Nitakutafuta one day tupate autograph
Davista nakukubali sanaa unaongea point tupu na sauti yako sijui umeitoa wapi unique sanaa kaka big up sanaa
Punguza kidogo sauti ya "Background sound". Awesome narration.
Broo asante kwa taarifa zako zisizo na ubabaishaji.
Simulizi nzuri sana hizi lakini usiweke bed hiyo music kwenye background inadistort isikivu
Kazi nzur kaka Mungu akusimamie
Mungu akuongoze Katika kutufungua ubongo hongera sana
Kumbe Mambo yanajirudia Asante kwa kutu habarisha
Nakubali sana mzee baba
Nakukubali sana davista
Nomaaa sanaaa bro..
Madkta ndio fashen inayo jirudia afrika
Bro unafanya kitu ambacho ni kidogo cha dakika chache tu ila kina maaana kubwa Sana
Iyo kweliii kbs
uko vzur kaka
kaxi nzuri kijana
Dah maisha Aya tunapita kweli
YOU THE BEST
kipaji chako ni kikubwa brother sana hongera
Amen amen. Inasikitisha .
Nafurahia sana stori zako kujikumbusha historia muhimu za Afrika, lakini Naomba upunguze sauti ya soundtrack na uongeze sauti ya narration kwani inaleta shida kusikia vizuri. Asante!
ulipotoa historia na matukio mengi, nilikufuatilia sana. Lakini hii umeitoa kama ilivyo maana niliisoma shuleni huko huko kama ilivyo. wewe ni hatari.
Upo vizuri kaka
Kaka hujawai niangusha upo poa sana kwa stor nzuri
,uko vizuri baba
Safi sana brooo ngoja nisabsabscribe maana uko vizuli MUNGU AKUBARIKI KATIKA JINA LA YESU
Nimefurahi sana kunielemisha historia hii.
Safi, ila soundtrack ipo juu sana
TUPE HISTORIA YA BOB MARLEY
Nikweli kabisa
True...
Rekebisha usomaji. Ukitaja mwaka mtu unashindwa kuelewa ndo mwaka wa tukio pita au lijalo
Much respect broo
Kwa kweli umebarikiwa Kwa kueleza mambo.
Nikiwa CANADA nimefurahi kuwa nasikia historia nzuri
Safisana history ipovizur
uko vzur mzeeee baba
nakubali xna kazizako kaka
Nakubali Mzee uko fiti sana
big up broo
Pamoja bro
Nzuri
nimefurahi a sana historia hii
ok uko sawa
oya mkuu uko vizuli sana wewe weka vitu tu.
Ogaaah! Huyu msimulizi hajui kunogesha hadithi
namwenyewe inatakiwa apigiliwe misumali kichwani atakama amekufa mjinga sana
👏👏👏👏👏asante kwa hili
Kumbe alkuwa mshenzi kiasi hicho,Ameacha Makovu Mabaya Mnoo...
natanzania
Uko vizur kaka ila punguza sauti ya muziki uweze kusikika vizuri
Nakubali sana
Tutakuhitaji - mimi na wenzangu. Ukiona siku zimepita nyingi, nikumbushe.
Nakukubali xn bro
Saudi kaka
punguza hyo sound track ipo juu sana hadi sauti inasika kwambali. ila bonge la documentary unatupa kaka
Nzur
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo
enderea kututafutia mastori
Kunaukweri gani kwamba Banda aliye kuwepo a alikua Banda Wa bandia nifahamishe?
nakukubali davista . uko vizur ?
Sasa hiyo back ground sound ya kazi gani, inaposababisha usumbufu masikioni.
Moco,,,upo safi broo
oya bro naomba utuletee history ya George woshnton
Ndo nani uyo wasnhton?
Mbumba ya kamuzu
Tupatie historia ya Bob Marley nayi
@@DavistarMataMediaDM Asante sana
Bro samahani ukitoa story hatuitaji music, unaboa sana.
toa ya kwako bas msengeee nn
@@officialyoctanyavani776 msenge mwenyewe, tena labda wewe ni msenge wa kiume ndio maana ukawaza yote haya, ckutoa tuc Bali nimeomba atoke mziki msenge wewe hapo ×100 kwani kibaya nilichosema ni kipi au unataka mambo ya instagram na babdle lako la wiki mxiiiiiii
safi
au mbogoso
Uko vizuri ila ila iyo mikerere vipi kama disko cc tunapenda stol zako ni nzuli ila punguza kerere za miuziki atukuerewi vema
Foyanny
zikomo kwambiri brother sitimadziwa kkkkkk ena matibisa
Kwakweli tunashukuru saana kutupatia tusivyovijua
mia mia kaka mkubwa
Nimesubscribe Hii Channel kwasababu ipo kitofauti kabiiiiiiiisa kabiiiiiiiisa
duh.
He had good education back then , but he never done any good things to help his country or his people except the dictators styles, just absurd.
najifunza mengii
Poa sana mtangazaji
Siasa za Afrika ni shida
ShukraaN
Sasa sound effect ya nini wakati mnatoa historia? Badiliken bana embu angalie Global Tv wakat wakitoa historia mtu hadi unaelewa vizuri
Katika wanablog uko vizur sana haya ndo mambo ya muhimu tunapata kuelimika
Pepo mkubwa yeye angeweza vumilia misumari hiyo?
Nitapenda kukupa tangazo nimefurahia kazi yako
Sijui nasikia vibaya?Uwingeleza,Jera,Mawazili
tumis sauti moja au tone moja iyo staili yako inapunguza umakini masikioni
Brooh una kipaji cha kuelezea history
Kumbe vibalaka walianza kitambo na wazungu ndio wanavyotaka watu kama banda wasiopenda maendeleo na uzalendo wa nchi ila kunufaisha tumbo lake ndio watakuwa sambamba na wewe kuichukulia mali na kufanya shamba la bibi
najifunza mengi kupitia channel hii
Huyu kibaraka alikuwa shenzi sana
Saafii
Huo mziki background unakera
punguza sauti ya muziki
Tupe ya hitra
Sasa tukusikize wewe au hiyo background music?
Birth place elementary education and his academic records and his wife
Uongo hausaidiyi,unao ushaidi?
nakukubali kwa utangazaji wako
naomba namba yako tufanye kazi
Foyanmu
Usomaji wako haufuati alama za uandishi.