Watumishi wa Mungu wengi wameonyeshwa juu ya hali ya Tanzania ili TUTUBU k.mf. Askofu Lazaro, Mch. K. Mwasumbi wa Tanzania ITUBU. Mungu atusamehe amekuwa mvumilivu sana kwetu. Ole wetu. Na ashukuriwe Mungu tumaini lingalipo, nafasi ingalipo. TUTUBU tu. Tuwe na watu wa KUMCHA MUNGU.
Roho ya kiongozi huwa juu ya anaewaongoza. Mungu turehemu. Magufuli alituzoeza maombi alikuwa na hofu ya Mungu, ila kwa viongozi wa sasa hawaheshimu watumishi wa Mungu hawana hofu ya Mungu wala hawawasikilizi watumishi wa Mungu. Eee Mungu turehemu Wakristo tungane tumlilie Mungu uwenda akatusikia😢
Ushuhuda huo na ufunuo huo unaweza kuwa na asilimia 97, kwani ni dhahiri hakuna litendekalo rohoni lisidhihirike mwilini. Tatizo watanzania tumeharibiwa na siasa, kila mmoja ni mjuaji. Hii ni mbinu ya shetani kutupiga upofu, kwani wsnaoifahamu kweli nao hawaaminiani, kila mmoja anajihesabia haki mahali anapoongoza. Migogoro ndani ya madhehebu imekuwa mingi mno. Mungu aturehemu sana, na tuutafute unyenyekevu.
Mungu turehemu Taifa la Tanzania. hii ni kweli kabisa nimeota ndoto za Gharika na majanga ya moto zaidi ya miaka 10 lkn sikuwa naelewa nn maana yake Sasa nimeelewa, Ee Mungu turehemu, jamani hasira ya ghadhabu Mungu ni Kali mno haitazamiki Kwa macho ya kawaida inatisha sana jaman tubuni Kuna hatari kubwa inakuja mbele yetu😭😭😭
Mungu atusaidie sana kunamchungaji amekuja kutuambia huu jumbe kwa habar ya toba juu ya nchi ya Tanzania cha kushangaza wachungaji wamekataa kutubu na kuwambia waumini wasitubu kwani nimtumishi wa shetani Mungu atusaidie sana
Mimi kila siku napata neno hili hapa Yeremia 5: 15-19 na 30-31 kila mwenye biblia na asome jamani tusiwazarau Hawa watu, kiukweli wengi tunapewa ujumbe kama huu kuanzia mwaka jana. Mi mkatoriki lakini napata ujumbe huu!??! Jamani tutubu wapendwa!!??!!!!!!3
Hakika mtumishi Mungu amekusudia kama watu wa Mungu watapuza na hili nilifunulia mazito Sana Sana tuna paswa kukusanyika kila mahali tumulilie Mungu sana
Shetani ametutenda jeuri, ameleta magonvi kwenye madhehebu ameleta tamaa ya fedha, ametugaw hovyo, kiasi kwamba hatuwezi kukaa kwa pamoja kuliombea Taifa hili kila mmoja hamwamini mwenzake dharau ndicho kinachoendelea. Tumebaki kushindania magari ya kifahari majumba ya kifahari huku tukiacha Taifa linaangmia. Eee Mungu turehemu watanzania.
Wana wa Mungu ikiwa mmpewa ujumbe huu kwa kuaminiwa na Mungu tangent mbiu ya kufunga na kuomba kama alivyofanya Yona ujumbe huu ukinenewa kwenye mitandao tu inaweza isisaidie kwani si wote wanaotumia simu janja jambo hili liwe la kitaifa kwa kutumia majukwaa ya nje ( mikutono ya nje)
Amen mtumishi hakika mtumishi mpaka Sasa tuko kwenye maandalizi ya kongamano la maombi kuanzia hapa Mwanza uwanja wa furahisha tuna omba tu mchango wako mtumishi
Biblia inasama katika Isaya1:2 Nimewalisha watoto na kuwalea ,Nao wameniasi 3.Ngombe amjia Bwana wake na punda hukijua kibanda cha Bwana wake lakini watu wangu Israeli hawafikili
Mungu amelifanya kila jambo kuwa jema na pia liwe na makusidi maalum kwa wakati wake chini ya mbingu,..kuna wakati wa kuua na wakati wa kuhuisha,wakati wa kucheka na wakati wa kulia.Mhubiri.3:1-9
Nikweli mtumishi lakini walio wateule wake wapo wakisikiliza na kutangaziwa kukusanyika kwajili ya kuomboleza sauti zetu zita fika kwa Mungu kabisa mana ndicho alicho niambia Kama tutakwenda tuna kusanyika tunaomba tunaenda na pengine napo tunaomba atasikia
Tuna hitaji Rehema Sana mtumishi yemekusudia mabaya mazito Sana nilio yaona kwa Mungu na ile saa ambayo iko juu ya Hilo geti mbinguni kwajili ya Tanzania
Huu ni unabii wa kweli, Kanisa litapita ktk wakati mgumu sana, na wengi watavunjika moyo na kuacha kusali. Tutubuni kwa kumaanisha, TANZANIA itapepetwa.
Mtoto wacku tatu sita aliyezaliwa kule mbea aliongea kuusu iloswala na mchungaji mmoja akasema msibeze maneno hayo kwenye 2 Kuna moja,Kama Sio kweli wazazi wanaujasili gani yakuongea hayo? Kama nikweli Rais ajitafakari kunanini mbele,tunaweza kuzalau mguu ukaota tende.
Nilicho onyeshwa nimazito Sana mtumishi tunapaswa kuomba Sana mtumishi mana yanakuja wala si ya Rais tu mana kila mtu alioko kwenye nchi hii yatamupata Kama hatuta omboleza kabisa watumishi
Mungu wetu tunaomba utuhurumie Kwa ajili ya mtakatifu aliyeko chini ya jua anayekutumikia Kwa uamiminifu utuhurumie nchi yetu imelaaniwa maisha yamekuwa magumu tunaomb tuhurumie Mungu wa huruma.
Taifa kama Taifa tumeacha kumtegemea (kumuomba) Mungu tumekuwa ombaomba kwa mataifa ambayo Mungu aliyaadhibu kwa ugonjwa wa Corona tunawakabidhi rasilimali za nchi kutokana na misaada wanayotupatia Mungu tuokoe/tusaidie tenda miujiza ili taifa letu Lisiangamie.
TUTUBU na kuiamini INJILI. Ikiwa Bwana amenena atalitimiza ...ile wetu Tanzania...maana tumepiga kelele sana juu ya toba ya taifa hilo. Watanzania wana majivuno ya uzuri wao ambao utawaponza kama wasipotubu. Naona aibu kwa ajili ya watu wangu Tanzania. Tugeukie upesi muda umeisha.
Ee Bwana Uturehemu kadiri ya Wingi wa Rehema zako tunakiri tumekukosea, tumekutenda dhambi nyingi tusamehe ee Bwana tuhurumie Mungu wetu , tunatubu tusaidie Bwana
Mungu atusaidie mtumishi
Watumishi wa Mungu wengi wameonyeshwa juu ya hali ya Tanzania ili TUTUBU k.mf. Askofu Lazaro, Mch. K. Mwasumbi wa Tanzania ITUBU. Mungu atusamehe amekuwa mvumilivu sana kwetu. Ole wetu. Na ashukuriwe Mungu tumaini lingalipo, nafasi ingalipo. TUTUBU tu. Tuwe na watu wa KUMCHA MUNGU.
Hakika tusimame ,na MUNGU,Kwa uweza Kristi YESU,,aturehem,,,NEEEMA yako Bwana ituokoe Watanzania
mimi napenda unavyoelezea unafafanua kwa hekima sana na ustarabu mwingi namtukuza akaaye ndani yako.
Utukufu kwa Bwana Yesu alie tupa kazi hii ubalikie Sana
Roho ya kiongozi huwa juu ya anaewaongoza. Mungu turehemu.
Magufuli alituzoeza maombi alikuwa na hofu ya Mungu, ila kwa viongozi wa sasa hawaheshimu watumishi wa Mungu hawana hofu ya Mungu wala hawawasikilizi watumishi wa Mungu. Eee Mungu turehemu
Wakristo tungane tumlilie Mungu uwenda akatusikia😢
Ushuhuda huo na ufunuo huo unaweza kuwa na asilimia 97, kwani ni dhahiri hakuna litendekalo rohoni lisidhihirike mwilini. Tatizo watanzania tumeharibiwa na siasa, kila mmoja ni mjuaji. Hii ni mbinu ya shetani kutupiga upofu, kwani wsnaoifahamu kweli nao hawaaminiani, kila mmoja anajihesabia haki mahali anapoongoza. Migogoro ndani ya madhehebu imekuwa mingi mno. Mungu aturehemu sana, na tuutafute unyenyekevu.
Nimeona maono yanayofanana kama haya siku ya, watu wa Mungu tuombe rehema na toba kwa nchi yetu
Amen 🙏 mtumishi wa Bwana kweli kabisa watu waache mizaha kabla hatujalia tuomboleze kweli
MUNGU BABA yetu UTUSAMEHE. Tumekutenda DHAMBI. UTUSAMEHE.
Mungu turehemu Taifa la Tanzania. hii ni kweli kabisa nimeota ndoto za Gharika na majanga ya moto zaidi ya miaka 10 lkn sikuwa naelewa nn maana yake Sasa nimeelewa, Ee Mungu turehemu, jamani hasira ya ghadhabu Mungu ni Kali mno haitazamiki Kwa macho ya kawaida inatisha sana jaman tubuni Kuna hatari kubwa inakuja mbele yetu😭😭😭
Amen mtumishi wa Bwana tena ni hatali sana mtumishi kama hatutaanguka kwa Bwana Yesu
Mungu atusaidie sana kunamchungaji amekuja kutuambia huu jumbe kwa habar ya toba juu ya nchi ya Tanzania cha kushangaza wachungaji wamekataa kutubu na kuwambia waumini wasitubu kwani nimtumishi wa shetani Mungu atusaidie sana
Mbona ni hatali sana katika hilo mtumishi
Kweli hiyo meseji ulio ipata nikweli kabisa sauti ya Mungu imesikika ndani yangu,Mara nyingi Mungu atusaidie ,
Mtumishi tushilikianeni kuponya kanisa na taifa mtumishi nilio onyeshwa nimazito Sana hakuna mtu yeyote katika nchi hii atakae simama Wala kustahimili
Mungu anataka watu wamrudie na kama bado hatusikii acha ya tukie.
Mimi kila siku napata neno hili hapa Yeremia 5: 15-19 na 30-31 kila mwenye biblia na asome jamani tusiwazarau Hawa watu, kiukweli wengi tunapewa ujumbe kama huu kuanzia mwaka jana. Mi mkatoriki lakini napata ujumbe huu!??! Jamani tutubu wapendwa!!??!!!!!!3
Turehemu Yesu kupitia Damu yako watanzania,tuitafute iliyo kweli yako na tuyaishi yaliyo mapenzi yako.
Nikweli kabisa mtumishi wa Mungu. Mungu aturehemu
Makanisa tuungane tuombe na kutubu bwana yesu atuokoe
Mtumishi tuambie tuombe tu Samia hajawekwa na Mungu Samia ni Argent wa shetani, lakini ni sawa tutaomba kiufupi aliyewekwa na Mungu ni JPM
Mungu atusaidie kusikia ujumbe wake,natubu kwa ajili ya Nchi yangu Tanzania
Hakika mtumishi Mungu amekusudia kama watu wa Mungu watapuza na hili nilifunulia mazito Sana Sana tuna paswa kukusanyika kila mahali tumulilie Mungu sana
Mtumishi meseji hiyo namimi nimepewa miezi miwili iliyo pita na ikaniludia Mara tatu,
Shida ipo kubwa mno,
Sasa mtumishi tunafanya Nini mana kuna tatizo kubwa Sana Kama hatuta fanya Mungu anavyo taka wewe uko mkoa gani mtumishi
Mungu anacho kitaka kwasasa juu ya Taifa hiili nikuomba Rehema Sana shida inakuja kwenye galama zinakua changa moto kubwa Sana kuandaa watu Ili waombe
Shetani ametutenda jeuri, ameleta magonvi kwenye madhehebu ameleta tamaa ya fedha, ametugaw hovyo, kiasi kwamba hatuwezi kukaa kwa pamoja kuliombea Taifa hili kila mmoja hamwamini mwenzake dharau ndicho kinachoendelea. Tumebaki kushindania magari ya kifahari majumba ya kifahari huku tukiacha Taifa linaangmia. Eee Mungu turehemu watanzania.
Balikiwa sana mtumishi wa Mungu
Mungu Akutunze
Turehemu eeh Yesu
Wana wa Mungu ikiwa mmpewa ujumbe huu kwa kuaminiwa na Mungu tangent mbiu ya kufunga na kuomba kama alivyofanya Yona ujumbe huu ukinenewa kwenye mitandao tu inaweza isisaidie kwani si wote wanaotumia simu janja jambo hili liwe la kitaifa kwa kutumia majukwaa ya nje ( mikutono ya nje)
Amen Mungu,tusaidie. 🙏🙏🏼🙏🙏🏼
Huwo wimbo Mtumishi wa Mungu unaoimba sehemu ya Kwanza na yapili unaitwaje najua TU ni Mtumishi wa Mungu Imanuel mgogo unaitwaje?
Ndiyo ni Emanweli mgogo unaitwa moyo wangu ukichoka ukae name
Moyo wangu ukichoka kaa nami
Tumwabudu Mungu wetu...Bwana u.sehemu yangu...Lutheran Hyms
Huu Ni muda wa kuombea Taifa Tanzania Mungu eepushie mbali
Amen mtumishi hakika mtumishi mpaka Sasa tuko kwenye maandalizi ya kongamano la maombi kuanzia hapa Mwanza uwanja wa furahisha tuna omba tu mchango wako mtumishi
Kweli Mungu anatupenda ila sisi hatupendeki
Biblia inasama katika Isaya1:2
Nimewalisha watoto na kuwalea ,Nao wameniasi
3.Ngombe amjia Bwana wake na punda hukijua kibanda cha Bwana wake lakini watu wangu Israeli hawafikili
Hakika mtumishi kwakweli Mungu atusaidie Sana mtumishi wa Bwana
Tumuombe sana Mungu nishawahi kuota ndoto Tanzania tunalia sana watu wanakufa nikaona hadi watu waliokufa wamekuja wanahangaika
Bwana turehemu, fungua masikio yetu
Mungu amelifanya kila jambo kuwa jema na pia liwe na makusidi maalum kwa wakati wake chini ya mbingu,..kuna wakati wa kuua na wakati wa kuhuisha,wakati wa kucheka na wakati wa kulia.Mhubiri.3:1-9
Baba wa mbinguni turehemu sisi uiponye nchi yetu.
Maono hayo nikweli kabisa meseji tunapata kutokana na watu wanchi hii tunashindwa maana hata waumini wenyewe tunafundisha neno nikama atufundishi,
Nikweli mtumishi lakini walio wateule wake wapo wakisikiliza na kutangaziwa kukusanyika kwajili ya kuomboleza sauti zetu zita fika kwa Mungu kabisa mana ndicho alicho niambia Kama tutakwenda tuna kusanyika tunaomba tunaenda na pengine napo tunaomba atasikia
Natamani kupata watumishi walio waminifu kwa Mungu hata kama niwachache tuta amusha nia za watanzania kuomboleza
Mungu atusaidie
Eeee mungu tusamehe watanzania tunamioyo migum
Eeeh Mungu tuhurumie tumekutenda dhambi geuza mioyo yetu eeeh Yesu krisito tuhurumie 😭
Ameni mtumishi hakika tuna itaji Rehema Sana Sana
@@malendejamakashi588 endelea kumwambia Mungu atuhurumie na sisi tuko nyuma yako mtumishi 😪
Bwana Yesu na aturahem
Mungu akubariki sana
Amen mtumishi hakika Mungu atusaidie Sana ubelikie Sana mtumishi
Turehemu MUNGU wangu
Sodoma na Gomora
Mungu uturehemu Tanzania
Inatisha, Mungu aturehemu.
Mungu wangu na Baba yangu uturehemu utusamehe makosa.yetu
Tuna hitaji Rehema Sana mtumishi yemekusudia mabaya mazito Sana nilio yaona kwa Mungu na ile saa ambayo iko juu ya Hilo geti mbinguni kwajili ya Tanzania
Let your will be done
Nashuhudia jambo hili nikweli tutubu jaman🧎♂️
BWANA WETU YESU KRISTO UTUREHEMU SISI WATANZANIA
Mungu haturehemu sana baba
Yani wakati ambao tunapaswa kukusanyika kwajili ya kuomboleza ni Sasa mtumishi
Nikweli baba
Ameen
Huu ni unabii wa kweli, Kanisa litapita ktk wakati mgumu sana, na wengi watavunjika moyo na kuacha kusali. Tutubuni kwa kumaanisha, TANZANIA itapepetwa.
Chanjo chanjo. Tz mbona hatutaki kumtafuta Mungu? Tumetafuta hekima ya wanadamu. Na kibali kwa wanadamu na si kwa Mungu.
Kwa maono yako niwazi kabisa ariyo tendewa JPM ndio chanzo pia yure mtoto mchanga Arie msiii mama ndio Aya sasa
Kumbe inatisha mungu tusamee
Mtumish unatufumba
Mtoto wacku tatu sita aliyezaliwa kule mbea aliongea kuusu iloswala na mchungaji mmoja akasema msibeze maneno hayo kwenye 2 Kuna moja,Kama Sio kweli wazazi wanaujasili gani yakuongea hayo? Kama nikweli Rais ajitafakari kunanini mbele,tunaweza kuzalau mguu ukaota tende.
Nilicho onyeshwa nimazito Sana mtumishi tunapaswa kuomba Sana mtumishi mana yanakuja wala si ya Rais tu mana kila mtu alioko kwenye nchi hii yatamupata Kama hatuta omboleza kabisa watumishi
@@malendejamakashi588 ASANTE kwa ujumbe huu
Mtumishi wa Mungu UBARIKIWE Sana Mungu airehemu nnchi yangu ya Tanzania pamoja na watu wake🙏
Amen mtumishi hakika Mungu tuna muitaji Sana kuliko wakati wowote ule mtumishi
Mungu wetu tunaomba utuhurumie Kwa ajili ya mtakatifu aliyeko chini ya jua anayekutumikia Kwa uamiminifu utuhurumie nchi yetu imelaaniwa maisha yamekuwa magumu tunaomb tuhurumie Mungu wa huruma.
Ndomana Mungu Kila Siku Ananiomba Nimuimbia
Fanya hivyo mtumishi mana wakati umeisha kabisa
Eee Mungu wa mbinguni uturehemu watanzania usituadhibu kwa ghadhabu yako,fungua mioyo yetu ikurudie wewe.
Hakika mtumishi tunaitaji Rehema za Mungu Sana Sana mtumishi
Mungu aturehemu
Tena tunaitaji Sana Rehema Sana mtumishi
Uturehemu ee Bwana
Eeeeh Mungu wangu uturehemu Tanzania nipo tayari kusimama kwa ajili ya taifa langu
MUNGU turehemu jehova
Bwana Yesu aturehemu
Ee mungu irehemu Tanzania... Mungu akubariki mtumishii .... Tumtafute bwana jamanii watanzania..tuombee rehema kwa pamojaa.....
Taifa kama Taifa tumeacha kumtegemea (kumuomba) Mungu tumekuwa ombaomba kwa mataifa ambayo Mungu aliyaadhibu kwa ugonjwa wa Corona tunawakabidhi rasilimali za nchi kutokana na misaada wanayotupatia Mungu tuokoe/tusaidie tenda miujiza ili taifa letu Lisiangamie.
Amen ubarkiwe mtumishi wa Mungu kwakweli tunaitaji msada wa Yesu kristo Sana taifa linaitaji msada wa Mungu
TUTUBU na kuiamini INJILI. Ikiwa Bwana amenena atalitimiza ...ile wetu Tanzania...maana tumepiga kelele sana juu ya toba ya taifa hilo. Watanzania wana majivuno ya uzuri wao ambao utawaponza kama wasipotubu. Naona aibu kwa ajili ya watu wangu Tanzania. Tugeukie upesi muda umeisha.
Ee Bwana Uturehemu kadiri ya Wingi wa Rehema zako tunakiri tumekukosea, tumekutenda dhambi nyingi tusamehe ee Bwana tuhurumie Mungu wetu , tunatubu tusaidie Bwana
Tunageuka BWANA usituagamize