Nakuelewa sana Mtumishi,tusaidie tupate kupona.
Yesu nisaidie
Mungu tusaidie Mabaya tusaidie
Asante Sana YESU KRISTO kutujulisha haya tusaidie yaliyoamriwa na mbingu tuweze kuyastahimili na imani yetu usitindike,, uwiiiiiiiii naskia kupiga yoweee yakilio mimi eeee BABA utusaidie wanao asante.
SoMo zuri sana,tunapaswa kuwa sadaka kwaajili yawatu wengine,sikwaajili yetu,ndipo tutakapobarikiwa,
Asante Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana Yesu Kristo aliye hai, mimi nipo newala mtwara naomba kujiunga na wanamaombi
Mchungaji analazimisha tumjengee nyumba yakuishi,lakini sehemu yakuabudia hatuna,mvua ikinyesha hatuabudu,naumia lakini lakufanya Sina,tutahama dino Hadi lini??,Bora Yesu arudi tu ijulikane tu nani anaingia rahani!
Ameen, Mungu akubariki sana
Mtumishi wa Mungu aliye hai
Ameen Baba
Mungu akubariki
Asante Yesu kwa neno lako
Amen Yesu akulinde nakukuhifadhi
Ulikuwa ni wakati wa utawala wa shetani duniani sasa ni utawala wa Yesu duniani ni siku ya Bwana.
Mungu nisaidie kukujua kikamikifu
Mungu atusaidie
Mungu tusaidie
Ameeeeen
Sasa nimeanza kukuuelewa Sana tegwa
Tunafanyaje ss
Asante kwa mafundisho yako mema, Mungu akubariki sana. Naomba unijilishe Wana maombi wa Ubungo ili niweze kujiunga nao. Asante
Amen mtumishi, piga namba hii ya kiongozi wa maombi UBUNGO
0713 334 665
Tunakutana pale Big brother Urafiki siku ya alhamisi saa 11 jioni kila wiki.
Mungu akubariki sana mtumishi.
Hakika ni nyakati za mwisho nimeamini,yanipasa kuomba na kumlilia Mungu
Tuko wengi tunaopitia mateso kama hayo na mambo ya kishirikina na nyota ndo yamepamba moto
+254Yesu tusaidie
Tunaepkaje kWa watakatif na iktokea MTU akasain inamana haingii au itakuwaje tunashindwa kuelewa hyo ulyoyafunua tunaepkaje mana inatisha weng wako gzan mtumishi
Mbona mateso makali mimi nimeanza kupata zamani sana mpaka najiuliza haya mateso yaliyoandikwa ktk Ufunuo ni kwa ajili yangu tu
Tufanyeje sisi tunaotoa sadaka?
Tutapataje kupona kizazi hiki
Tunafanyaje ss
Mafundisho yako mtumishi nimagum sana ila na msgukilu Mungu Nina kuelewa Barikiwa sana mtumishi Tengwa