UPANDE WA MUNGU AU WA SHETANI!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 126

  • @mtumishiraymond2001
    @mtumishiraymond2001 ปีที่แล้ว +18

    Mungu akubariki Mtumishi David kwa mahubiri mazuri hakika Mungu anakutumia vyema nakukubali sana, Tumpeni Bwana Yesu utukufu na sifa!!

  • @ghatichacha837
    @ghatichacha837 ปีที่แล้ว +14

    Amen, kila ninapokusikiliza ninapiga hatua moja mbele. Mungu Akubariki Sana.
    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇨🇳🇨🇳🇨🇳🇨🇳

    • @samwelmwirigikenda6688
      @samwelmwirigikenda6688 ปีที่แล้ว +1

      Mchungaji Mungu azidi ku kubariki kwa kazi ya injiri unayo ifanya. Umekuwa wa msaada katika maisha yangu ya kiroho. Niko Kenya mjini NAKURU

  • @sarahmwakisu2702
    @sarahmwakisu2702 ปีที่แล้ว +6

    Amina! Sifa na utukufu ni kwa BWANA. YESU kwa ajili ya karama aliyoiweka ndani yako MUNGU akubariki. Niko mjini Mbeya ninajengeka sana kiroho kwenye masomo yako ya youtube hata ya miaka mingi iliyopita kwangu ni mapya kila siku. Asante. By. Dominick Maluli.

  • @wilfridamanono2667
    @wilfridamanono2667 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu atukuzwe, i listened your sermon and helped me sana. I was sick when I followed your prays through TH-cam channel, i got cured. God to be given glory for using you pastor.

  • @user-bl8lk7hy1s
    @user-bl8lk7hy1s 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji ubarikiwe sana hakika nimeona mungu akinitendea mambo makubwa mungu azindi kufunulia wewe mambo mapya

  • @bossladyjv3828
    @bossladyjv3828 ปีที่แล้ว +4

    Everline
    Olphah
    Edwin
    Tabitha
    Christine
    Christopher
    Trecy
    Tupokee wokovu mwenyezi Mungu awe mkombozi wa maisha yetu
    Kusizia wakati wa maombi na wakati wa kusoma Biblia iise katika jina la Yesu Kristo Amina

    • @agustinomangi1796
      @agustinomangi1796 ปีที่แล้ว

      Pastor Mungu akubariki sana. Huwa ninapokusikiliza napata kitu kipya nisichokijua.

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 ปีที่แล้ว +4

    Jambo moja la ajabu na baya Sana Ni huu wote Ni waumini mpo kanisani ila mkitoka ibadani kila mmoja na njia yake Ile salaam ya upendo haipo Tena yaan hawajuani kabisa,haya kaja mgeni kanisani anataka kumpokea YESU watashangilia kinafiki ngoja ibada imalize hata wakumuuliza Yule mgeni unaishi wapi karibu Sana hakuna hata wa kumtia moyo aupende wokovu hayupo kila mtu na lake hii NI mbaya Sana

  • @mbaabu-mk
    @mbaabu-mk 5 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa sana mchungaji..mm ni mkenya upande wa meru Umekuwa wa msaada sana kwangu haswa upande wa maombi ya imani..

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 ปีที่แล้ว +9

    Amina, be blessed pastor

  • @eliaskahindi7995
    @eliaskahindi7995 ปีที่แล้ว +4

    Mimi nikijana msabato kutoka Kenya, nakufuatilia sana, Mungu akubariki kwa kutufunza neno la Mungu....natoka Kenya, in Coast region, mahali kunaitwa Malindi

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 ปีที่แล้ว +4

    Amen nimebarikiwa sana, ubarikiwe sana Mchungaji

  • @deohcivilian
    @deohcivilian ปีที่แล้ว +4

    👏👏👏 Ubarikiwe mchungaji

  • @ezekieljuma308
    @ezekieljuma308 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa san Mungu na atusaidie tusiwe n hofu ya kumtangaza Mungu

  • @user-yz1nh8gc9d
    @user-yz1nh8gc9d 11 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mchungaji kwa mafundisho...namuona Mungu kupitia haya mahubiri.....

  • @nadinekatungu6987
    @nadinekatungu6987 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa mafundisho mungu akubariki sana solo limetujenga

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 4 หลายเดือนก่อน

    Nakushukuru sana Mungu kwa kumtuma Mch . Mmbaga

  • @janewaititu8051
    @janewaititu8051 ปีที่แล้ว +1

    Asifiwe Yesu mchungaji,nahitaji tuombee Ndugu zangu wokovu na mume wangu na pia watoto wangu wasimame imara kwa imani..asante

  • @eustina0
    @eustina0 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa pr Mungu azidi kukutia nguvu na uzima ufanye kazi yake 🙏🙏🙏🙏

  • @SAMWELMERIDA-jf8sg
    @SAMWELMERIDA-jf8sg ปีที่แล้ว +1

    Amina nimebarikiwa sana natamani Mungu anisaidie kuhubiri nakuongoa roho Mungu anisaidie sana majirani niwatagamzie wote Mungu nisaidie nipe nguvu

  • @WilheliminaMatekere-rc5gy
    @WilheliminaMatekere-rc5gy ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana Mchungaji maana huwa unanibariki sana kwa Mahubiri yako

  • @lornaareba3286
    @lornaareba3286 5 หลายเดือนก่อน

    Pastor Mungu akubariki natazama kutoka kenya. Majina ya ndugu zangu. Elikana, Peter, Phillip, kefha nd Lewis. Pombe imewatawala

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj ปีที่แล้ว +1

    Amina mtumishi

  • @hapysonrithe3842
    @hapysonrithe3842 ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji barikiwa sana Mungu akuongoze katka kutangaza kaz yake

  • @Shirimaneema
    @Shirimaneema ปีที่แล้ว

    Amina Pr. Mungu azidi kukutumia.

  • @upendoloondokalembekela7748
    @upendoloondokalembekela7748 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana pastor mmbaga

  • @JaneKyusa-xy9xz
    @JaneKyusa-xy9xz ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa sana

  • @limbeguga4853
    @limbeguga4853 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe pastor kwa somo NZUR, nimebarikiwa Sana

    • @dofiwanyonyi9477
      @dofiwanyonyi9477 ปีที่แล้ว

      009p

    • @margaretmuchiri
      @margaretmuchiri ปีที่แล้ว

      Mm ni mugeni ubarikiwe mutumisi wa mungu nimebarikiw na nikafunguka macho sana

  • @user-ue7wo8th7d
    @user-ue7wo8th7d ปีที่แล้ว +1

    BWANA YESU Asifigwe kwakuli Nana balikiwa namafundiso BWANA YESU Akutia Nguvu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪👏

  • @froline5209
    @froline5209 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atukuzwe milele na milele Amina mchungaji barikiwa sana.

  • @izackngido
    @izackngido ปีที่แล้ว +2

    Daaah aminaa sana

  • @lizzylucy4479
    @lizzylucy4479 ปีที่แล้ว

    May God bless you pastor na azidi KUKUPA hekima kwa neno Lake toka nianze kufuatilia mafundisho yako hujipata sifai macho pa BWANA sometimes nikama Mungu hunituma hapa kunirudi

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 5 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana Mchungaji

  • @piucmadaraka1597
    @piucmadaraka1597 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @user-ii2li2mp8p
    @user-ii2li2mp8p ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi mungu aendelee kukutumia

  • @hellenokere
    @hellenokere ปีที่แล้ว +2

    Nabarikiwa xna kutoka kenya bt naomba mtumishi tomba kutoka kwako nnetoa mimba mbili na nmelala n wanaume zaidi y thirty nko n watoto nanne n sahii cna doa nmekata tama y maisha

    • @onesmoelias2285
      @onesmoelias2285 ปีที่แล้ว +1

      Mtazame yesu krsto yeye ndo anatoa faraja yesu hakukata tamaa alivumilia had mwsho ili mm na wewe tuokolewe so be tolerance

    • @hellenokere
      @hellenokere ปีที่แล้ว

      @@onesmoelias2285 amina

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 ปีที่แล้ว

    Tuombee Mimi na watoto wangu n'a wajukuu wawili pastor Mungu atubariki sote tufanye kazi ya Mungu

  • @eliebigirimana6881
    @eliebigirimana6881 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru Saana mchungaji kwa huduma zako mimi ni msabato toka Kongo mjini Goma uniombeye kwakuwa mimi sija komala kiroho kwa kweli mimi ni mvuguvugu,kinyume na ile uombeye wazazi wangu kwa magonjwa inayo wasumbuwa,mmoja anasumbuliwa n'a pepo wachafu, Mwengine ni mshipa,piya utaombeya inshi yetu ya Congo inayo pitiya vita watu wanakufa Saana apa kongo.

  • @adamkisapi9381
    @adamkisapi9381 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yesu umpe afya neema na amani maana amejitoa kwako
    Kutulisha neno lako na tunaokolewa.

    • @denonode6546
      @denonode6546 ปีที่แล้ว

      Amen pastor mafundisho yango Yana nipa moyo nafuraha na amani

  • @pendosengerema
    @pendosengerema ปีที่แล้ว

    Pastor somo hili limegusa sana family yangu hawajamwamini Mungu mpaka sasa waombee natamani sana waokolewe kama sisi

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 ปีที่แล้ว +1

    Amen.ubarikiwe pastor Mbaga

  • @PendoOscar
    @PendoOscar 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu atukuzwe kwa mambo yake mema ❤ubarikiwe mchungaji

  • @abdonmtamalo8469
    @abdonmtamalo8469 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa pastor mbaga naomba uniombee ili niweze kushinda dhambi

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  ปีที่แล้ว

      Amini kuwa wewe ni mshindi kabla hujaona kwa macho! 1 Yohana 5:4 Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.

    • @abdonmtamalo8469
      @abdonmtamalo8469 ปีที่แล้ว

      @@MahubiriPrMmbaga asante mtumishi wa Mungu

  • @petermathias8097
    @petermathias8097 ปีที่แล้ว

    Pastor Mungu akubariki sana kwa maafundisho hayo bwana yesu anavyokutumia Mungu na azindi kukutumia

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana Pastor kwa somo hili

  • @estachkm824
    @estachkm824 ปีที่แล้ว

    naitwa Estch Kweli , Amen napenda sana kukusikiliza na mafindisho yako yamenibadilisha maisha yangu ningependa siku moja niwasiliane nawe niko Dallas Texas

  • @isakabuswelu3792
    @isakabuswelu3792 ปีที่แล้ว +1

    Mungu azid kukutumia pr kama apendavyo yeye maan unanibariki sana

  • @phelixokwany5462
    @phelixokwany5462 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kadri ya mapenzi yake. Nakupata nikiwa Somali

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 7 หลายเดือนก่อน

    Shalom, there is also an offering on the altar, there is also an offering of gratitude for recovery, if he prays for him, there is an offering on the altar

  • @daudibomani1940
    @daudibomani1940 ปีที่แล้ว

    Fundisha somo la Kuhusu MUNGU Mmoja mwenye nafsi TATU

  • @eduardobabou3022
    @eduardobabou3022 ปีที่แล้ว

    Neema limeshuka Amina ♥️♥️♥️♥️

  • @joicejo3899
    @joicejo3899 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana nakufwatilia kutoka saudi Arabia

  • @cristinekenya1050
    @cristinekenya1050 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana pastor nafuatilia kutoka Lebanon

  • @luciapunte7504
    @luciapunte7504 ปีที่แล้ว +1

    Asant mtumishi wa mungu kwa mahubiri

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 ปีที่แล้ว

    Ameni kwaimani namkomboa Amani laston amludie mungu mfungue Emanueli mnyogele amludie mungu 🙏

  • @lilianeliuze3437
    @lilianeliuze3437 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa sana na mahubir Pastor,Bwana azid kukutumia

  • @musarichard3173
    @musarichard3173 ปีที่แล้ว +4

    Pastor Mmbaga mkasa wa kuandika sms na kuituma nimewahi jaribu mwezi wa 12 mwaka jana. Cha kushangaza hapa Chingola Zambia nilipoenda mwezi January mwaka huu watu sita walinipgia simu na kati ya hao watu wanne wamebatizwa na hao wengine ni kwasababu sjui lugha vizuri ya kiwemba. Hakika ninabarikiwa sana na mahubiri haya

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba ปีที่แล้ว

    Ni kweli kabisa Mtumishi wa Mungu Leo hii Mungu anatafuta Mashahid wake ,Mungu atusaidie

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 5 หลายเดือนก่อน

    Yeri
    Kithi
    Ngari
    Steve
    Peter
    Na watoto wangu

  • @unylis-tv6905
    @unylis-tv6905 ปีที่แล้ว +1

    Pastor naomba kuongeya nawewe kuhusu uinjilisti ni hubiri neno LA Mungu.

  • @elienew3788
    @elienew3788 ปีที่แล้ว +1

    Niko na kaka Babake Eddie ametekwa na ulevi

  • @hapysonrithe3842
    @hapysonrithe3842 ปีที่แล้ว +2

    Amen

  • @lilianlima8609
    @lilianlima8609 ปีที่แล้ว

    Bwana akubariki, tunabarikiwa mno 🙏🙏🙏to God be the glory

  • @jerushakerubo1149
    @jerushakerubo1149 ปีที่แล้ว +1

    pastor barikiwa sana,napenda sana kuskza uchumbe wako kutoka Lebanon.But naomba umwombee dadangu mgonjwa sana ako na thyroid anaenda operation plz!

  • @gaselochaula2692
    @gaselochaula2692 ปีที่แล้ว

    Amina, mtumishi wa MUNGU tunabarikiwa sana

  • @user-zm8cu6ow2q
    @user-zm8cu6ow2q หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏

  • @bossladyjv3828
    @bossladyjv3828 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu

  • @ndamotz3027
    @ndamotz3027 ปีที่แล้ว +1

    Mungu anibariki kwa kuangalia

  • @joemosemediaproductions9667
    @joemosemediaproductions9667 ปีที่แล้ว +1

    Napenda mahubiri yako sana inanijenga kiroho

  • @josephinelusambo4593
    @josephinelusambo4593 ปีที่แล้ว

    umbarikiwe

  • @K9-academy
    @K9-academy ปีที่แล้ว

    I wish to be among of your students katika unabii balikiwa mchungaji

  • @user-zm8cu6ow2q
    @user-zm8cu6ow2q หลายเดือนก่อน

    My brother Benson ,Lucy

  • @neemashabani5860
    @neemashabani5860 ปีที่แล้ว

    MIUNGU waokowe ndugu zangu MOGAYA Kegori Keganyero kegori

  • @masaulemrema4437
    @masaulemrema4437 ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji nimelifurahia SoMo lako
    Je hata kwenye utube ukibagua mubiri ni vibaya??

  • @ryoaishodo309
    @ryoaishodo309 ปีที่แล้ว +2

    Blandina Gillian salma sato villa issaka Emma masato seiji Gatie Goldina komora henry Eunice takeru himiko sachiko
    Masashi megumi shigemi betty sato victor

  • @hirokay9374
    @hirokay9374 ปีที่แล้ว

    Rolf Hajime Hiroshi komora Henry sato villa issaka

  • @philipomasanja2373
    @philipomasanja2373 ปีที่แล้ว +1

    hirisomo kiraarie mpokea YESU apereke habari njema MUNGU atusaidiesana

  • @elienew3788
    @elienew3788 ปีที่แล้ว

    Mungu wetu atupenda nabarikiwa kwa neno laMungu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️

  • @jacklinejerr2447
    @jacklinejerr2447 ปีที่แล้ว

    Nimepokea 🙏

  • @saumukarisa9873
    @saumukarisa9873 ปีที่แล้ว +1

    Ombea ndugu zangu waachane na roho ya ulevi wa kila aina

  • @atanas53
    @atanas53 ปีที่แล้ว +1

    Pastor unashangaa kanisani kuna siti za watu flani, KUNA SADAKA YA KUMUONA MUNGU AKIWA AMEKAA KWENYE KITI CHA ENZI. HA HA HAAA, MUNGU ATUSAIDIE KWAKWELI.

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 ปีที่แล้ว +1

    Amen and Amen

  • @hortensiaprotas9226
    @hortensiaprotas9226 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba yamba Yako much.

  • @RebbecaAkinyi
    @RebbecaAkinyi 11 หลายเดือนก่อน

    May God biess you❤❤

  • @siuhitv2012
    @siuhitv2012 ปีที่แล้ว

    Juma shabani

  • @joemosemediaproductions9667
    @joemosemediaproductions9667 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji hapo kwa kuhisi kuubiri injili au kufundisha wengine ukweli wa maandiko niko naye ila hiyo uoga uliosema ndio bado inanisumbua lakini bado nina imani na msukumo wakupambana nao hivyo basi unacho sema kipo kwa wengi umenipa nguvu tena ya kuendelea

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 ปีที่แล้ว +1

    yapo sana Mch. unakaa kulingana na dau lako, hata ukikuta kiti kipo wazi kama unajijua wewe sio VIP huwezi kaa, na wengine kumwona hadi 100,000, na bado, mch akihubiri unaenda kumtunza pale madhabahuni, na wananote ile mbaya

  • @joemosemediaproductions9667
    @joemosemediaproductions9667 ปีที่แล้ว +1

    Nakuskiza kutoka kenya nakuru mahubìri haya yanaponya nafsi ya watu wengi nikiwa mmoja wao

  • @user-hp7my3jt4t
    @user-hp7my3jt4t 2 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi umenifungua kupitia kwa maubiri yako eeemen

  • @ryoaishodo309
    @ryoaishodo309 ปีที่แล้ว +1

    Hajime hiroshi Elius Rolf marianna victor hawa niwalevi mchungaji naomba uwaombee Amen

  • @elviesmoranga9497
    @elviesmoranga9497 ปีที่แล้ว

    Ameen for the enlightenment

  • @elviesmoranga9497
    @elviesmoranga9497 ปีที่แล้ว +1

    Kulipia pesa wanasema n kujiunganisha madhabahu

  • @mush337
    @mush337 ปีที่แล้ว +2

    Niko na swali mtumishi wa mungu,je pastor anafaa kutoa sadaka na kusaidia masikini?Nikitoa milioni tano ama hata hamsini kama sadaka kwako,je unafaa kutoa hio sadaka pia,na ukitoa unatoa Kwa pastor mwingine?

  • @laridistrict4710
    @laridistrict4710 ปีที่แล้ว +1

    PUT THIS LESSON TO BE DOWNLOADABLE FOR EASIER SHARING WITH THOSE WITHOUT SMART PHONES

  • @tabitharobonyo6442
    @tabitharobonyo6442 10 หลายเดือนก่อน

    Walter Agao God to free him he is addicted to alcohol , tobacco and miraa

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa naomba uniambie sadaka ya madhabahu ni nini 18:36

  • @laridistrict4710
    @laridistrict4710 ปีที่แล้ว

    i cannot get the download icon like in the other lessons

  • @shazzysymon6835
    @shazzysymon6835 ปีที่แล้ว +1

    Hellow vijuzuu ni nini ❓ hiyo pastor anasema unachukua unagawa

    • @samwelmwirigikenda6688
      @samwelmwirigikenda6688 ปีที่แล้ว +1

      Vijuzuu ni small cards abazo Zina ujumbe

    • @pendosengerema
      @pendosengerema ปีที่แล้ว

      Pastor Kuna watu wengine ukiwapa hivyo vijizuu Huwa wanatupa na nmejionea boarding schools je watu kama hao utaendelea kuwapa?

    • @shazzysymon6835
      @shazzysymon6835 ปีที่แล้ว

      @@samwelmwirigikenda6688 thanks soo MTU huzibuy wapi ama unajiundia

  • @jerushakerubo1149
    @jerushakerubo1149 ปีที่แล้ว +1

    majina yake n phanis nyamusi

  • @lydiamapenzi2152
    @lydiamapenzi2152 ปีที่แล้ว +4

    Amen mchungaji kwa SoMo zuri tunafukuliwa tukiwa hku saudi Arabia