😂 😂 😂 😂 hao wamachinga wataibiwa Nguo bure joo wanatwanga photo na konki master,kumbe ukifatana na mondi hta mwezi tu Nyota inawakaa km unaamini Hilo like hapa tweeeendeeee
Nimecheka kama Fara 😂😂😂😂 namwangalia wile nacheka sana harafu hizo camera jmn huwa mnatembea nazo ?? Kwamba unajua kabisa watu watakushangilia au mnatufanya Sisi kondoo 🙄🙄🙄🙄
Kawaida Ya mzazi kwani wewe mtoto uta jazwa maneno vipi utukane mzazi wako ukoje wewe Ata mimi hukosana na mzazi wangu ila huwez niona nikimtukana mbele za watu hiyo hubaki siri ya familia
Nime furahi Sanaaa baba kutimiza wajibu wake kwa mwanae mungu mkubwa 👏👏👏
Diamond amemtoa tena Dudu konki mpaka mihela imeregesha pamoja familia mungu akuzidishie Nasibu
Vzr sana dudu baya mtoto akikosea wew kama mzaz huna budi kumsamehe ukiendelea kumkazia unamzibia rehema zake Mungu
Umetisha konki we mambaaa.
dahh salute. sana kwa dudu baya hahah dingi Na mwanao wao pendeza sana Mungu awalinde
Safi sana nimefurahi kukuona namwanao
Konki konkiii ,,, hauna bifu na yyte ndio maanake uko peace popote unatembea bila wasi wsi wowte ,,,,,,, Big up konkiii nd his son
hongera sna konk konki konk master
Nafurahi kukuona na mwanao kama mume suluhisha ni sawa maisha ya endelee mtu ni wanawe nafurahi unapenda wanao
safi Kama umemsamehe willy maana mtt akinyea mkono haukatwi unaoshwa na maisha yanaendelea good dady
Jamaa anapenda watoto wake hata kwa kidogo
Watu walisha mchoka, Apite harmonize hapo au rayvany utaona tofauti.
Safi sana dudu mpende mwanao hapo ndio pepo yako ilipo
Kizazi sanaaaa
Daaah hadi raha💪👌
Diamond hatari mpska dudu kawa hivi
Safi sanaaa
konk mastaaaa💃
Konki tatu na konki moja ngoma juu
Kizazi sana kaka.
Nyota imewakaaaa
Jamaa Anajihamini Sanaa aisee kwer uyo mbabe Ataki hata Baunsa
temaaa libigijiii hiloo
Konk konk master mmependeza
NJOO MUONE
KARIAKOO KUMENOGAA
KONK KONK KONK MASTER!!!
kuna uyo kaka hyo midevu ka fagio la chooniii.....mmh mnvoshngilia sas n uyo n dudu baya angekua wizkid apo tako zngepasuka😀😀😀
willy naona jinojino ucje ukaenda vutia bangi ela ya sikukuu
baba na mwana wanatafuna big g kikonk konk2 mwanzo mwisho huy ndo konk master
Konki konki konki master
Hahahaha huyo ndo konk konk konk master Daah mmenitamanisha jamaan yaani nimepaona k/koo hadi nimetaman ningekuwa tz
kwa hili konk master uko pis sana na wana mtoto kwa mzanzi
hao walochukua video uko status watu hawapumuii..hv uyo Dada alovaa njano juu mbn smuelew
Mmmh kama kenya gikosh
Duuuh tayar jina lisharidi tena...
Nimefurahi 🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli uyu Diamond ni noma saana nyota yake ina nga'a mpaka basi
Sasa hapa mond kafanyaje
Hajagombaniwa wala nn mi naona katembe mwenyewe tuuu bila tabu yeyote
kweli nimeamini akuna nyota inayozimika moja kwa moja
😂 😂 😂 😂 hao wamachinga wataibiwa Nguo bure joo wanatwanga photo na konki master,kumbe ukifatana na mondi hta mwezi tu Nyota inawakaa km unaamini Hilo like hapa tweeeendeeee
waongo hakuna anayemgombania angepita d mmngeona au rei
nimeamin wabongo walio wengi awana kaz na ndyo mana Wanashabikia ujinga huku wamewazba wenye shughuli zao kutoendelea! kisa et konk mazuzu nyie
Kweli konk konk konk master anaga makuu
Sanaa sio mastar wengine wamefulia wanaona aibu kujichanga mwisho wa siku wanajifungia mpaka wanakula unga
Konk oil chafu
Konk master
nimependa sana ulichokifanya konk
ili jembe nimelielewa yuko powa sana
mwanangu. wille nimeondokaa
vijana Wengi wa Dar es salaam wanamatatiz ya akil
Adiraha
Kuna dada kavaa nguo ya njano kaniacha hoiii
Nimecheka kama Fara 😂😂😂😂 namwangalia wile nacheka sana harafu hizo camera jmn huwa mnatembea nazo ?? Kwamba unajua kabisa watu watakushangilia au mnatufanya Sisi kondoo 🙄🙄🙄🙄
Mtu mwenye Upendo na Watu hutembea Bila Baunsa WA Bunduki Respect #Dudubaya
Abdul Twaha kwanza huyo hana haja na baunsa nenda kiboya akufurahishe😂😂
Asia Seif Hapana Sina Ugomvi nae Usinichonganishe
Abdul Twaha tamwambia😂😂😂
KARIAKOO KUMENOGA
ok
Apo nimekuelewa konk
Mzee huyo Maria niandae sh. Ngapi
Mtoto ananiogopa baba yake
dudu kajipanga
unatisha km njaa
Dudu baya
Aache ubahili msanii hutakiw kuonekana ovyo. Inakushusha ilitakiwa a shop kwny maboutique km kwa kina chiddimapenz ,au angetuma MTU aende na mwanae
hahahaha watajuta na self machinga
huyo Dada labda bodigadi hhhhhhh
Machinga mtakuta nguo zimeibiwa sasa
hahahahaha
hahahahahaaa wamejisahay
Mapokezi yapo tofauti na kiki zako
Kweli kumbe dudu baya ni pesa tu alikua hana ila ni moja ya watumiaji wabaya wa pesa
Vijana wa kitanzani ni vichekesho
majitu mashamba yanii
Ivi miaka yake inaruhusi tabia hii?
Dondi ubalikiwe
Hana haja ya baunsa nenda kiboya
Emmanuel Gavile 😂😂😂
Nyota imewaka
wacheeni upuuzi rais wetu hana time na vibaka
Konki acha kutukana mitandaoni mzee,
Kua kiakili
huyu dogo mambo haya ndo anoyapenda kusoma hataki
😂😂😂😂
washamba wa k/koo
Konki
Konk
Anatafuta kiki hana ishu
konk kaingiliwa
hili jamaa fala kweli lilikuwa linamjataa mwanae
Kawaida Ya mzazi kwani wewe mtoto uta jazwa maneno vipi utukane mzazi wako ukoje wewe Ata mimi hukosana na mzazi wangu ila huwez niona nikimtukana mbele za watu hiyo hubaki siri ya familia
Sophia Mose we umeona dogo kamtukana wap km sio yeye alikuwa anakataa harakati zake hujielewi na wewe
dogo kaamua kurudi kwa baba ake ili apate nafasi wcb
Kuna Dada mmjoja kavaa njano juu mbona kila Konki anapoenda nae yupo nyuma🤔
Hata mm nashangaa
Ni mwanae Wa kike huyo anayeishi Mwanza
ni mwanae
Anamtaka
hahaha nkjua nmemuon peke angu anataka ashkwe shikwe
Vzr sana dudu baya mtoto akikosea wew kama mzaz huna budi kumsamehe ukiendelea kumkazia unamzibia rehema zake Mungu
Konk
Huyu jamaa umaarufu wa siku 5 unampa wenge