SALLAM SK: RICH MAVOKO HAJARUDISHA HELA YETU / BADO YUPO WCB
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interviews kutoka kwa masta unaowakubali.
Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com
I like him(salam) he is straight forward and clear on answering questions....perfect
SK unaakil sana bro maelzo yanardhisha. Great bro
Mavoko is pure talent forever a legend...I dnt care wht these pple say lazima tuskie side ya mavoko pia
u r the real n best presenter OMMY, yani unajua kazi yako. Kikubwa unajua kufanya RESEARCH na unakumbukumbu ya matukio. Keep it up bro, i like you.
lichi ana yumba
Juma Sepima o
Hakuna hata pumba moja ulizoongea meneja zote pointi big up sana bosi kubwa
WcB for life hakika mnaweza just Solve the issue ya rich ila kupata solution gonga like wooZa wozaa!!!
nakubal mzee baba atakaezingua tuna pga chn team WCB drop bonge la like kwny comment #wcb4life
Huyuu jamaaa anaakili sana manager SK! Big up San,,.!
Uko vizuri...mendez....nimependa majibu yako..yako wazi tu..mpo kikazi zaidi si kimasihara
Yaan kama unawakubali WCB kwa ujumla acha majungu usione aibu acha wivu acha ubishi gonga like yako hapa
unajua sana mendez chibu ,wasafi wajivunie kua na watu kama nyie 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Riri and Diamond 🔥🔥🔥 can't wait
SALLAM WE NOMA BIG UP SANA
Mondi and Riri ts gonna be fire as hell!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Half amazing,,,,,,nakutazamia kutoka Kenya,,,,kazi Safi
Ebwane sallam.SK Mtumakini Sana'a nakukbalisana pg kzi .
olooo WCB wapo serious na kazi kama unaaakili ya kitoto haupawezi
wa tano hata mtu kama ww huwezi kubali hasara lazima hela irudi ndo uchape mwendo WCB for life
#lilommy killing voice and smart questions. Maswali ya kizazi sana bonge la interview, the best presenter. Inatakiwa umfanyie interview Brizzy, yeah definitely in the voice of #lilommy.
nimekupenda kaka maelezo yamenyooka uko sawa
Obsviously/definitely/actually at the end of the day magari ni ya mkopo 😀
@Zamizo tz english bd ip chin
Sallam upo vizuri hauna makuu ....
HUYU JAMAA NAYE NI KAMA MONDI Tu. ANAONEKANA KAUONGO Kako vizuri
Love you zarithebosslady mama tee murembo wangu WA dunia
Tatizo la wasanii wa bongo nimabendera sana yanafatafata sana upepo hayana malengo kabisa mavoko angetakiwa atulie atimize atakacho kwanza
binafsi nawakubali sana WCB
Shukurani sana ❤
shart kwak mzee wa play liste ommy bro nakubr san afu kizaz xaw
..WCB..frevor by oppo king
ya kizazi sana kama k +254 kenya nawakilisha 💯✔️🔥🔥🔥🔥🔥💣💣💣💣
Kzaz sana wa jina
Uko vizuri kk
sk uko poa mzee baba
Mavoko ,,mi naona unapendeza sana ukiwa wcb
ninachomkubali sallam ni mkwel kwenye maelezo alaf simple and clear hana kona nyingi kama babu tale apo angezunguka tu ..ooo mavoko yupo location sjui mda bado
Ginni Moreno 😀😀😀 mara oo yupo location anashoot ni zam yake kutoa ngoma 😅😅😅 babu tale fala yule
Naseeb wachagu mzinguaji sana tale apo ata ishu ya mwarabu sallam kanyoosha tu kuwa kapewa suspension kutokana n utov wa nidham wkt tale daily anaulizwa suala ilo anazunguka2
😂😂😂😂
Kaeni chini muelewane nae nyie wote ni wa W CB..acheni hayo mambo elewaneni mavoko ni msanii mzuri..watu wanawatenganisha na hawapendi awe w cb..coment nyingi wanafurahia kutoka kwahiyo hawamtakii mema yeye wala nyie
Ginni Moreno nakubal sanaa kaka
Dah very sad mavoko angebaki tu wcb
We should hear from Mavoko's side too...
Angekuwa Babu Tale hapo 😂😂😂😃😁😁😁😁😀😀Kona kona nyingi .
kbs my team wcb 4life
Nimekuelewa boss
Mavoko anzingua nakumbuka interview alioojiwa na lily ommy ila ni mtu ambaye kashindwa kwenda sawasawa na wcb inavotaka. Coz akiitajika atoe nyimbo atoi kimya. Tatizo nini sasa.. Huyu anajipoteza mwnyewe coz ameingia wcb coz akiamini atafika mbali ila kukaa kimya sana ndio kunakompoteza ...
brother daah uko speed sana "November ngapi, November 04. mwaka jana December" 11:33
Hahahaha pitia account yangu uone mapovu aliyotoa Mavocco kuhusu Sallam
Point point apa kuna manager apa Sio babutale uswahil mwingiiii
nawakubari xana wcb
Mavoko mjinga Sana anakimbiya kazi fala
Rich anazingua sana hana shukran
WCB love you
sallam we ni mnafiki sana hadi waudhi itakuaje wcb imkwamilie mavoko kama hana faida kwenu kuwa real bro haiwezekani
Yaani sallam ww unajuwa kujieleza mpaka basiii
Rich anatabia za kiswahili afanye kazi aache kulalamika
Apo umenena bro
Vicente Dedema usilazimishe
dilisha
kuwa
mlango
atak
Collab Drake na dim wapi 😂😂😂😂
Boss na mimi nahitaji kunyonywa nipew gari😂#WCB4LIFE
Ally N2C hahahaha
Ally N2C uyonywe???
Ally N2C 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ally N2C HAHAHA fyuuuuu Gary iyo vp
Hahaha
mavoko anashikiliwa masikio na watu alafu anataka awapindue mameneja wake me nasema hatuweza
Big up mzee baba
Zabron Lameck powa
Mavoko anajifunga mwenyewe
Lily ommy uko vizuri sana
Diamond is very lucky to have sallam as his manager.. Very intelligent and honest unlike tale who always give incomplete responses when interviewed
Rich Mavoko ni kubwa jinga yaani ni mbumbumbu, hajielewi, hana maseke, si mjanja,hajui kuishi na wajanja ili apige pesa.
End of the day zimekuwa nyingi
matangazo mengi mb za shida jama tuhurumiane
Bumbu mh aiya buana sk
Unajua kuongea brother nimekukubali Sana pia kuweka mambo wazi
Sk ww nn hatar ety bad yup WCB 😂😂😂 ww ni mzazi mzur
Tambweeeee wa mwanzoooo
Da watu hawajui mondi mtu safi sana
Rich mavoko anaakili ya kitoto sana
Mavoko anazengua...kwa maelezo ya sallam sk..
yaan wcb ndiyo baba yap wavivu wote wanajitenga,wabinafsi wote wanajitenga,mind angalia watu WA kuwaweka hapo wengine ni majini na macnichiii,wanawivu kufanya kaz KWA bidii hwataki
rich mavoko kuna watu wanamdanganya
JERRy MWASa yes
Sallam amenyoosha maelezo nimemuelewa sana awo jamaa wa. Wcb woko kikazi zaidi
Mavoko n mvivu Full stop!
Hhhhhhhaaaaas
Mzembe huyo Mavoko
pwaaaaaaaaa shati limenitixha kinomaaa
rich tafuta life pengine achana na wasenge wa Wcb unawatajirisha walio kaa tyu Maisha popote utafanikiwa
Chaz Bhai hahaaaaaa we huna akili mwenyewe kakili kuwa alikuwa anamkimbia mondi kisha kumsumbua atowe ngoma kuma ww
Chaz Bhai achaujinga matuc yann
WCB wapo serious sana nakumbuka baraka rockstar alijitoa tu simple simple
Kumbe mavoko anamatatzo duuuhh, wcb naomba wamuache sabab anatualibia label yetu
Leonard Mavele lebel yenu ww na nan
Jofrey Venant 😂😂😂
Leonard Mavele atak
kuendeshwa
kwan
nn
Kumbe hayo magari hawapewi bure daaah
Good
Nilikua nahesabu hizo "at end of the day"
Big up
Harmonize,atawanyoosha!achane mungu aitwe mungu,acheni ung'ang'anizi mnawaaribia wasanii hamna lolote nyie wanafiki sana
At the end of the day haha
Kizazi sana *Sallam Sky*
Walio komenti na wanao endelea kukomenti wote ni Manyumbu vipofu
lichi ana yumba sana mzee baba
Polen wcb q boy mwarabu figter kifesi almasi mzembere
We karecord umuwakilishe
ommy we noma xna unajua kzi yako ety kwani label iko kibiashara zaidi ha ha haaa
mi naona kama mavoko vile kakaa mda mrefu bila kutoa ngoma wakaona ili apate kiki Kwa kupitia njia hii yakujifanya ametoka wcb
me nakubaliii
Salam Sk □□□□□◇♧♣
please translate it
Ten Manthes 😁😁😀
No wonder tunafeli mitihani.. jibu Yes or No..... unajibu sijuwi 😁
Big up tambweeeeeeeeee🔥🔥🔥
Sallam Sk maelezo yamenyooka, ameeleweka sn..
iko Kizazi sana
AfroTv Gasper
Mavoko ni kidudu mtu kumbe
Tabora lini wedogo ommy
Hahahahahah dah Leo nimefurah San jamni da sallam ni on ma
Rich mavoko ni vuvuzela kichwa maji
Kizazi sana
Mavoko atasota tu angefanya bidii ya kazi
MAVOKO ana kitu kinaitwa 'GUBU'
Dah Nomaa aisee et GuBu
Gubu ndo nin vileee!?