CHA KUTUMAINI SINA TENZI No.15 By DANIEL SIFUNA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Cha kutumaini sina,
ila damu yake Bwana
Sina wema wa kutosha,
dhambi zangu kuziosha
Kwake Yesu nasimama,
ndiye Mwamba ni salama
Ndiye Mwamba ni salama,
Njia yangu iwe ndefu,
Yeye hunipa wokovu
Mawimbi yakinipiga,
nguvu zake ndizo nanga
Damu yake na sadaka,
nategemea daima
Yote chini yakiisha,
Mwokozi atanitosha.
Nikiitwa hukumuni,
rohoni nina amani
Nikivikwa haki yake,
sina hofu mbele yake
God bless you more and more
Mungu awabariki zaidi na zaidi.