Uadilifu kwenye ajira angeunda tume ikafanya assessment kila nyumba ina watu wangapi ? Wangapi waloajiriwa wangapi bado? Wasioajiriwa kiwango chao Cha elimu ,gani au ujuzi waLionao ni upi? Baadae wakaangalia mahitaji yao ya ajira wanahitaji watu wangapi hapo wangepata watu wenye ufanisi. Na uchumi wa nchi ungekuwa na baraka ingeingia lakini kinyume chake ni kupunguza ufanisi makazini na kudhoofisha uchumi..Mungu atusamehe na atuongoze tusiwe katika kaumu za mujahilina. atujaalie tuwe wapenda haki na uadilifu. Na endapo akiwepo mwenzetu anakosea tumkumbushe ili tujitoe katika dhima na aneambiwa ni juu yake kufuata miongozo ya Mungu wake au ya nafsi yake mwisho wa siku malipo ni kwa Mungu
Ah yaani jamani si kila kitu mukitolee ufafanuzi,ivi nikuulize kwani serikali yetu ni ya chama gani,ivi kwanini makka uwe ndo mji mtukufu,ivi kwanini uislamu ndo dini ya haki na isiwe dini nyengine,kwaiyo kama huseni chama chake ni CCM na kapigiwa kura na Wana CCM na waliokuwa wakipiga makofi na kuhangaika huku na kule ni Wana CCM hivi Kuna ubaya gani akawapa kipaumbele vijana wa CCM ivi waafrika hususana wazanzibar tuna nini mbona hampendi kujituma kiakili😂
Asalam Aleikum, ndugu yangu huu ujumbe wako hauko sahihi,hicho unachokieleza ulishindwa kutambua Raisi anaongea na akina nani,Nilifikiria uko sahihi wakati ukituma hii clip,ila baada ya kutoa kipande cha hutiba ya Rais,hapo ndipo,nimeona kuwa ndugu yangu hujui protocol za hutuba zinakuwaje, hapo Rais anongoongea na wana CCM tu,na kama angalikuwa anaongea na watanzania wote,kama vile anavyofanya kila mwezi,suala la ajira angelizunguzia kivyengine ili kuonyesha kwa kunufaika kwa watanzania wote,nakuomba futa hii clip yako sababu haina mshiko.
Hao kawajibu kisiasa kwanza wanachama wa ccm wengi wao hawakusoma vijana walosoma wengi wapenzani hususani zazibry na pemba na wapemba kwanza wanakipaji cha kusoma pale kwetu zanzibry vijana wengi wanashuhulika na ngoma angalia vikundi viya ngoma wapigangoma wamezaliwa wapi
Ni mjadala mrefu kwa sababu Serikali inaongozwa kwa ILANI ya chama sasa utamuajili vipi mtu asiyetekeleza Ilani. Mbona hujauliza kwa nini hutakuwa Rais, Mbunge, Waziri kama huna chama cha siasa? Yetu pamoja ni nchi Serikali ni mali ya chama na ndio vyama huigombania, kama Serikali ni wote kumbe vyama hugombeana nini.
@@msabahaali758 Nyinyi ni vilaza ,Muheshimiwa amekwenda kutembelea miradi ya Chama chake ambacho ni CCM ,na hizo ajira alizozizungumza ni katika miradi ya CCM sasa inapokamilika unadhani nani watakuwa wahusika?kama sio wenyewe CCM?
DR.Mwinyi anahaki kwakauliyake lazima amuenzi MAGUFURI na asie penna na akushiriki KUMWAGA DAMU ZA WA ZANZIBARI HUYO SIO KATIKA MRENGO WAKE ,ILI 2025 BILA KUA KATIKA SAFUYAKE ATACHUKUA URAISI NANDIO MTAMJUA KUNGUNI ZOTE ZA ZANZIBARI NA VIROBOTO VYA VYAMA VINGINE ....
MBONA NI WAPOTOSHAJI NYINYI?RAISI ALIKUWA KATIKA ZIARA YA CHAMA CHAKE CHA CCM,ALIKUWA ANATEMBELEA MIRADI YA CCM,ANAZUNGUMZA NA WANA CCM SASA KUWAAHIDI AJIRA KATIKA MIRADI YA CCM KUNA UBAYA GANI?AU WAPI ALIPOKOSEA?MUNAPOTAKA KUTAKA KUPOTOSHA WANANCHI KWANZA MUTENGENEZE HOJA.KISHA NDIO MUJE MBELE YA CAMERA...MJUE TU HUSSEN MWINYI NI RAISI ILA ANA CHAMA CHAKE.
Mbona Zanzibar ajira km huna kadi y ccm hupewi kazi viongozi wa Serekali wote kwanzia sheha adi raisi ccm kasoro hao mawaziri wa 2 so Ccm ndio mana wanawekana wasokua n elimu n kazi ccm ndio aduwi wa maendeleo 😂😂😂
Huna hoja yoyote ajira siserikali tu hata kwenye chama cha mapinduzi niajira .Hujuwi sasa mheshimiwaRais wa Zanzibar nimakamu wa mwenyekiti wa CCM taifa kutoka,Zanzibar.!!!Unajua ajira ni serikalini tu hata CCM inaajiri watumishi .Unaumia nini acha uwanaharakati ya kijinga .Huna chakusema wewe kaa,kimya
Bora ujifundishe Kiswahili kwanza. Umekosea mengi katika clip yako lakini sio tatizo kwa sababu wewe sio wa kabila la Kiswahili. Kubwa kuliko yote ni hili - "haswa" kwa lugha yetu sisi Waswahili ni uchi wa mwanamme. Nadhani ulichotaka kusema ni HASA ambalo linatamkwa "has'a" sio HASWA. Sisi Was'ahili tunapenda matumizi sahihi ya lugha yetu ambayo pia ni lugha ya taifa letu adhimu.
@@mohamedatismail mpumbavu mama yako kumamamamayo mi apa sija muita mtu mpumbavu usilete kujua hapa kua na heshima narudia tena mpumbavu mama yako aliekuzalia mkunduni
Wewe humjui mwinyi. Hawezi kuajiri CCM yoyote asie na sifa ya kuajiriwa sana sana atakua mlinzi labda
Huyu raisi sio MUADILIFU halafu wanamwita mchamungu kweli watu weusi hawana AKILI
Hivyo ndiyo ilivyo miaka yote walikuwa hawasemi tu
Uadilifu kwenye ajira angeunda tume ikafanya assessment kila nyumba ina watu wangapi ? Wangapi waloajiriwa wangapi bado? Wasioajiriwa kiwango chao Cha elimu ,gani au ujuzi waLionao ni upi? Baadae wakaangalia mahitaji yao ya ajira wanahitaji watu wangapi hapo wangepata watu wenye ufanisi. Na uchumi wa nchi ungekuwa na baraka ingeingia lakini kinyume chake ni kupunguza ufanisi makazini na kudhoofisha uchumi..Mungu atusamehe na atuongoze tusiwe katika kaumu za mujahilina. atujaalie tuwe wapenda haki na uadilifu. Na endapo akiwepo mwenzetu anakosea tumkumbushe ili tujitoe katika dhima na aneambiwa ni juu yake kufuata miongozo ya Mungu wake au ya nafsi yake mwisho wa siku malipo ni kwa Mungu
Ah yaani jamani si kila kitu mukitolee ufafanuzi,ivi nikuulize kwani serikali yetu ni ya chama gani,ivi kwanini makka uwe ndo mji mtukufu,ivi kwanini uislamu ndo dini ya haki na isiwe dini nyengine,kwaiyo kama huseni chama chake ni CCM na kapigiwa kura na Wana CCM na waliokuwa wakipiga makofi na kuhangaika huku na kule ni Wana CCM hivi Kuna ubaya gani akawapa kipaumbele vijana wa CCM ivi waafrika hususana wazanzibar tuna nini mbona hampendi kujituma kiakili😂
Wewe pimbi
hakuna kuleta ubaguzi ktk nchi hii , hii nchi ni yetu sote
Hamna shukran mote mmo nyie
Kaka uko sawa hujakosea hata kidogo Zanzibar hupati ajira kama hujawa mwana ccm na haya hayajaanza Leo yapo Toka zamani
Ccm.bado.mnaamini.mna.uwezo.wa.kuongonza.watanzania?
Asalam Aleikum, ndugu yangu huu ujumbe wako hauko sahihi,hicho unachokieleza ulishindwa kutambua Raisi anaongea na akina nani,Nilifikiria uko sahihi wakati ukituma hii clip,ila baada ya kutoa kipande cha hutiba ya Rais,hapo ndipo,nimeona kuwa ndugu yangu hujui protocol za hutuba zinakuwaje, hapo Rais anongoongea na wana CCM tu,na kama angalikuwa anaongea na watanzania wote,kama vile anavyofanya kila mwezi,suala la ajira angelizunguzia kivyengine ili kuonyesha kwa kunufaika kwa watanzania wote,nakuomba futa hii clip yako sababu haina mshiko.
Hao kawajibu kisiasa kwanza wanachama wa ccm wengi wao hawakusoma vijana walosoma wengi wapenzani hususani zazibry na pemba na wapemba kwanza wanakipaji cha kusoma pale kwetu zanzibry vijana wengi wanashuhulika na ngoma angalia vikundi viya ngoma wapigangoma wamezaliwa wapi
IKISHA ANAPITA MISIKITINI AOMBEWE DUA, WAKATI DHULMA IMO KTK MOYO WAKE NA HANA MAPENZI NA ALIYEMUUMBA!
Hiyo ndio sawa muamba ngoma huvutia kwake
yaani upo swa kaka hii nchi ni mazingaombwe matupu
Rais hajakosea kuwalisha watoto wake kwanza baadae ndio wa jirani
Ni mjadala mrefu kwa sababu Serikali inaongozwa kwa ILANI ya chama sasa utamuajili vipi mtu asiyetekeleza Ilani. Mbona hujauliza kwa nini hutakuwa Rais, Mbunge, Waziri kama huna chama cha siasa? Yetu pamoja ni nchi Serikali ni mali ya chama na ndio vyama huigombania, kama Serikali ni wote kumbe vyama hugombeana nini.
Sio "... utamuajili..." mpumbavu wee. Kis'ahili ni ...UTAMAUJIRI...
Broo uko sawa kabisa. Bwana mkubwa amekosea.
Mimi naona Raisi ameongea sawa ila wewe hukumuelewa kabisa
raisi wangu hapo hujafanya vyema doh ajira sasa ajira zinaenda kwa wana ccm hatari sasa ajira zi za ccm hatari sanaa
Fact
HiVi Miradi ya CUf sijui ndio ACT kwa mfano wakiwa na miradi yao hivi unadhani watanufaika Wa chadema au CCM?hebu funueni bongo zenu wacheni ushabiki
😂vijana tupambane na halizetu hakun ccm wala chama pinzani" ajira hakuna"
kamsikilize roma nipe maua yangu kuna bet inakuhusu
💯
Hee baba ajira mpaka uwe ccm leo
Sheikh achana mambo ya zanzibar ataletewa mazombi kama mzee shamte utafinya mpaka ukome
Wee unataka aongee nn ndn ya Chama chakee... Chiizz wee
wewe ndio chiz hii nchi ya kila mtu
@@msabahaali758 Kalaghabhakhoo...!
Tatizo ufahamu brother mijitu haina ufahamu zaidi ya kutaka kupotosha tu
@@msabahaali758 Nyinyi ni vilaza ,Muheshimiwa amekwenda kutembelea miradi ya Chama chake ambacho ni CCM ,na hizo ajira alizozizungumza ni katika miradi ya CCM sasa inapokamilika unadhani nani watakuwa wahusika?kama sio wenyewe CCM?
Tusubiri uchaguzi 2025 mtapata ajira na heshima mtakuanayo.
Wee mzee acha izooo
Sasa yeye hapo s kazungumzia chama chakee
SEMA na njaa zako pale rahisi alizungumza kama kiongozi wa chama na ajira alizokusudia kutoka katika vyanzo vya ajira vya ccm Sasa ww inakuchoma wapi
😂 ndio huyo rahisi
Yaan huyu jamaa anamatatzoo pumb tupu
Ubaguzi
Kigogo
DR.Mwinyi anahaki kwakauliyake lazima amuenzi MAGUFURI na asie penna na akushiriki KUMWAGA DAMU ZA WA ZANZIBARI HUYO SIO KATIKA MRENGO WAKE ,ILI 2025 BILA KUA KATIKA SAFUYAKE ATACHUKUA URAISI NANDIO MTAMJUA KUNGUNI ZOTE ZA ZANZIBARI NA VIROBOTO VYA VYAMA VINGINE ....
Hujamuelewa tu Ile ni offer t. Come on.
Kumekuchaaa!!!!😢
MBONA NI WAPOTOSHAJI NYINYI?RAISI ALIKUWA KATIKA ZIARA YA CHAMA CHAKE CHA CCM,ALIKUWA ANATEMBELEA MIRADI YA CCM,ANAZUNGUMZA NA WANA CCM SASA KUWAAHIDI AJIRA KATIKA MIRADI YA CCM KUNA UBAYA GANI?AU WAPI ALIPOKOSEA?MUNAPOTAKA KUTAKA KUPOTOSHA WANANCHI KWANZA MUTENGENEZE HOJA.KISHA NDIO MUJE MBELE YA CAMERA...MJUE TU HUSSEN MWINYI NI RAISI ILA ANA CHAMA CHAKE.
Kwa hyo kama c mwanaccm hupati ajira??
Ndo jiulizeni na ufinyu wenu wa akili kwani walio ajiriwa wote ni CCM
Waliokuwa Na Akili Ndogo Ndío Wanakimbilia Kwenye CCM Cuz Wapate Ajira.
Kwani lazima ajira upewe na serikali si mtu skafanye biashara yake.
Mtaji vp utanipa
Mbona Zanzibar ajira km huna kadi y ccm hupewi kazi viongozi wa Serekali wote kwanzia sheha adi raisi ccm kasoro hao mawaziri wa 2 so Ccm ndio mana wanawekana wasokua n elimu n kazi ccm ndio aduwi wa maendeleo 😂😂😂
Huna hoja yoyote ajira siserikali tu hata kwenye chama cha mapinduzi niajira .Hujuwi sasa mheshimiwaRais wa Zanzibar nimakamu wa mwenyekiti wa CCM taifa kutoka,Zanzibar.!!!Unajua ajira ni serikalini tu hata CCM inaajiri watumishi .Unaumia nini acha uwanaharakati ya kijinga .Huna chakusema wewe kaa,kimya
Wewe fudu sheikh anasema kweli haifai ni dhambi.
Bora ujifundishe Kiswahili kwanza. Umekosea mengi katika clip yako lakini sio tatizo kwa sababu wewe sio wa kabila la Kiswahili. Kubwa kuliko yote ni hili - "haswa" kwa lugha yetu sisi Waswahili ni uchi wa mwanamme. Nadhani ulichotaka kusema ni HASA ambalo linatamkwa "has'a" sio HASWA. Sisi Was'ahili tunapenda matumizi sahihi ya lugha yetu ambayo pia ni lugha ya taifa letu adhimu.
Changua hoja ya nsibgi HAKUNA anaejuwa kiswahili site tunamakosa yakikugha,kisaruf matamshi nk
@@mwigaadam1179 Ama kweli hujui Kis'ahili, ndio maana hujauelewa mchango wangu. Sikulaumu.
ndio nini iki!
@@janerouhassanjanerou7933 Weee mpumbavu wee. Kis'ahili tunasema HIKI sio "iki".
@@mohamedatismail mpumbavu mama yako kumamamamayo mi apa sija muita mtu mpumbavu usilete kujua hapa kua na heshima narudia tena mpumbavu mama yako aliekuzalia mkunduni