🔴LIVE: KADA WA CHADEMA ALIYETEKWA NA KUOKOTWA PORINI KIBITI ANAFUNGUKA KILA KITU MUDA HUU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Pole mama uyo bonge ajiandae uyo dada bongee
Loooh, mwanamke anapigwa namna hiyo!
Pole sana
POLE SANA MAMA
Huyu amejiteka muongo hizo drama waandishi uchwara hawajui kuuliza maswali wamepangwa
Kabisa
Pole sana ila ninaswali Unasema boda alikupakia ukiwa hauji elewi alikubebaje?je alikufunga na mipira kama mzigo?boda anawezaje kupakia mtu mahututi asie jitambua na hakujui amepita vituo vi gapi vya polisi?na amepita hospitali ngapi?
Duh...!!!
Ila Tanzania,bado sana Democratic hawana kabisa
Mbona maelezo yako Kama Yana utata
Utata gani sasa. Sikiliza vizuri labda
Wakati boda wanakuchukua ulikuwa hujielewi au ulikuwa na maumivu makali ? Ni bora unde kituo cha polisi ukatoe maelezo polisi hawawezi kufanya hivyo ! Polisi watafanya uchunguzi ! Pole sana !
Kwaiyo kadanganyaa
@@MkudeSimba-p3f kesi ya nyani unampelekea ngedere