ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

HII ITAKUWA NI INDUSTRIAL PARK YAKWANZA AFRIKA NZIMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 มี.ค. 2022
  • HII ITAKUWA NI INDUSTRIAL PARK YAKWANZA AFRIKA NZIMA

ความคิดเห็น • 8

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 ปีที่แล้ว +1

    Uwekeni mukataba huwo wazi Watanzania wauone. Kuna uwekezaji wa Kigamboni uliughalimu Watanzania fedha nyingi na ukafa. Mpaka tuone kwa macho yetu.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 ปีที่แล้ว +1

    Kama tusipoangalia wakoloni wetu watarudi kama Wawekezaji. Hapa tunadanganywa kama dili ya Kigamboni. Nchi haina hata umeme wa kutosha. Wizi kila kona, sheria hazifuwatwi, ufisadi na rushwa kwenye viongozi. Tunauzwa muchana kweupe. Hata muchina kaisha fundishwa kuimba serikari awamu ya sita. Mama Ana kiu ya sifa. Bila kupigana na ufisadi ni watu wachache tu watajirika kwa jasho la wengi.

  • @guzomc255
    @guzomc255 2 ปีที่แล้ว +1

    Ninachokipenda mimi na watanzania walio wengi ni kuona serikali yetu au watanzania wenzetu kuwekeza katka secta ya viwanda na sio kusikia watu wa nje kuja kuwekeza kwa sababu walio wengi huja kutunyonya na si kingine wanakuja na zaidi ya malengo serikali yetu inabidi kuwa makini sana na hili tunao umia ni sisi wananchi..

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 2 ปีที่แล้ว +5

    Umeme unakatika Mara kwa Mara kwanini wakati wa Magu haikuwa hivyo? siwaelewi hawa wanasiasa wa nyakati hizi waziri wa nishati ni nani?

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 2 ปีที่แล้ว +2

    Muwe makini mnapofanya mikataba na hawa watu msije mkauza nchi.

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 2 ปีที่แล้ว

    Hii mikataba hii tutakukaja kulia. We ngoja tu. Wachiinaaaa we ngoja madhara yakija tokea itakuwa too late, too late.

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 2 ปีที่แล้ว +1

    Nina imani binge litahusika kujadili na kuafiki mikataba hii! Hatukatai maendeleo; tunakataa upigaji na ubabaishaji na hatimaye kuangamiza nchi na watu wake

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 ปีที่แล้ว

    .