MBINU NNE (4) ZA KUWA NA FURAHA | DEO SUKAMBI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza MBINU NNE (4) ZA KUWA NA FURAHA.
Kwa ushauri nasihi piga +255 746 104 034 au e-mail booking@deosukambi.com
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA +255 715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA +255 746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
/ @deosukambi
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Nakufuatilia nikiwa marekani. Najifunza .familia yangu .
Hongera mwl ujumbe wa muhimu sana
Nimesikiliza hii nimelia sana only to come to realize napitia nachopita cause uwanamke wangu ulipigwa tangu utotoni kwa kweli struggle yake sio rahisi kuelewa unless na wewe ulipitia ivo. Wazazi tuwe makini na malezi ya watoto tuchunge sana maneno ya kuwambia watoto . Trauma nayopitia kama grown up ili niwe kawaida au nipate peace najikuta natumia nguvu nyingi sana. 💔
Mtumishi mm nakupata sana yani Mungu akuweke miaka mingi umeniponya nilikuwa mbali sana yani nilikua nimeshapotea ila mafundisho yako yamenijenga sana
Furaha yangu ni kusudi la kuumbwa kwangu
Amen
Daa Asante kaka nimekuelewa vema kuhusu furaha
Nakufuatilia kutoka Lindi , Asante kwa mafundisho mazuri ,ubarikiwe sana
Naitaji naomba yako ya watsap Mze MCH,ni Simon ,USA
+255746104034
Daa hii kali.somo limeniponya sanaaa
Kwa kweli tunabarikiwa sana
Barikiwa mtumishi
mimi namini kwali akuna 👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻
Great job
Nakufwatilia niko Kilimanjaro
napenda mafuso sako sana mnda ndio nakoza tu
Nikweli awana furaha
Nikweli kabisa
Great brother 💪
Asante mtumishi nimefunguka niache kusudi linipeleke