BISHOP GAMANYWA AZUNGUMZA KUHUSU KIFO CHA TB JOSHUA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- #kupokeanguvuzaRohomtakatifu #ShuleyaUnyenyekevu #Mubasharajumapilibcic #ShalomtvTanzania
Kwa Taarifa mbalimbali kuhusu huduma zetu,pamoja na Mafundisho ya KINA ZAIDI,
TEMBELEA Website yetu www.wapomission...
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia / bishopsylvestergamanywa
TEMBELEA SHALOM TV TANZANIA KISHA
Subscribe👇👇👇👇👇👇👇
/ shalomtvtanzania
Umelezea vizuri sana Mungu akubariki.
Askofu huwa nakupenda sana na huwa unanibariki mno you are a real servant of God and a gifted teacher of the word of God operating under super natural power of the holy ghost . natamani sana nipate contact zako ninayo mengi ya kuzungumza na wewe bishop
Mungu akubariki baba askofu kwa maneno ya hekima na faraja, Mungu akubariki kwa kutambua mchango wa Mtumishi mwenzako katika Bwana , na huu uwe mfano wa kuigwa na wale wanao chafua majina ya watumishi wengine, umeonyesha sifa za Mtumishi wa kweli. Mungu akubariki baba🙏
Wewe pia ni mtumishi wa mungu ......mungu akubariki kazi eindelee r.I.p kwa senior prophet tb joshua
Mungu akubariki sana Bishop; Kumbe bado Tanzania kuna watumishi wa Mungu wa kweli ww ni mkweli, nasikitika sana kuondokewa na babangu prophet Tb Joshua.Nambie branch yako mbeya iko wapi
Ameen..asante mtumishi wa Mungu, , mtumishi wa Mungu ameondoka kwa mapenzi ya Mungu bila kujali umri..ile kazi aliyopangiwa ameimaliza..
Jina la Bwana lihimidiwe.
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu. Ni kweri amemaliza kazi yake. Japo ninalia, ninalia kwa furaha. R I P PROPHET T.B JOSHUA
ASKOFU GAMANYWA Umeongea kwa Upendo sana.🙏🙏🙏
Amina baba hakika Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe RIP in peace man of God TB JOSHUA
Mungu aipokee roho ya marehemu Pema peponi .Amen
Asante Askofu,kwa maneno ya faraja,Nabii Tb Joshua amelala kazi ameimaliza kwa kishindo ktk maisha yake aliyoyaishi hapa Duniani jiña la Bwana libarikiwe
Mimi ni mfuasi wa Kristo nasio mfuasi wa nabii awaye yeyote yule ila wapo manabii wanaoni-Inspire kwa kazi zao njema wanazozifanya hapa duniani.
Asante Yesu kwa Maisha ya TB Joshua. Vita umevipiga Imani umeilinda na mwendo umeumaliza salama Lala salama Baba TB Joshua. Tutakukumbuka daima.🙏🙏
Umeongea kitumishi kwa hekima yote, barikiwa mtumishi
God bless you brother in Christ for speaking the truth
"eh M/Mungu wajalie watu wako uliowaita kwa Jina lako mwisho mwema wa maisha yao hapa duniani, Amen". Rest in eternal peace Gods' general.
#RIP Tb Joshua
God bless you for your faithfulness
Wewe mtumishi wa mungu una hekima na hakika unamjua mungu.
Nambariki Mungu kwa maneno yako ya faraja Askofu. Asante Sana baba
Barikiwa baba Askofu
Ahsante mtumishi wa MUNGU umejibu vyema, natamani mkamhoji na asikofu kakobe.
Asante baba kwa ujumbe mzuri na mzito.Ni mahubiri tosha kabisa
Blessed you Bishop
Thank you very much Bishop God bless you
Amen mtumsh
Well said pastor......
Mmmh Bishop i knew you are one of the most liberal and reasonably flexible man of God in our country ever sensitive to the word of God, and craves to comply with the Word.
Mathew 5: 44 & 46.
Bravo man of God and Remain Blessed
Amina sana pastor wetu
Ww kweli mtumishi wa mungu.nimekuelewa
Ubalikiwe Sana baba kwa maneno yako mazuri na ya busara.
Be blessed .
Amen,
Well said papa🙏🙏 the heavens has gain🙌🙌 we celebrate your life T. B Joshua 🙏🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi kwa maneno mazuri
*_Hvyo ndivyo ilivyo dhahiri shahiri Tb Joshua alikuwa mtumishi wa Mungu hakuiga Cha mtu alimsikiliza Mungu na kumtafuta kwa gharama_*
Ameen
Umeongea kweli tupu nimekupenda Askofu barikiwa kwa kweli yako
Gamanywa thank you, you have spoken well HE WAS USED BY GOD HIMSELF WHOM HE CALLED HIM IN HIS WRIGHT TIME, HE HAS FINISHED HIS JOB HERE. REST IN PEACE PROPHET TB JOSHUA PAPA WE MISS YOU ALREADY. TANZANIA
Aameeen
Very true 🙏
Amina baba
R. I. P Man of God.
Marko 5 :1-20 yesu aka mwuliza we nani ? Pepo akajibu mimi jeshi maana tu wengi in English we are regions we are united shetani ana umoja lakini wakristo hatuna umoja,mchungaji naomba umuonye kakobe na genge lake astop kuwa sema vibaya manabii na mitume ,mungu akubariki sana na akuongezee miaka ya kuishi ,
Watumishi wa Mungu huwa wana manemo ya busara sana kama huyu baba Gamanywa. Mungu azdi kukupa he
MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI WA MUNGU GAMANYWA, UNA HEKIMA SANA
Hakika tumeumia sana esp mie binafsi nimepoteza mtu mhm sana
OK!
Wewe ni mtumishi wa MUNGU wa kweli.
Kifo kifo kifo kila mtu anakiogopa. Uniqueness
NI kweli jina la bwana lipewe sifa na utukufu
Language pls
Jamani samahani huku Morogoro wapo redio hatuwapati
Filemon 1;9 Paulo mzee
Askofu alimaanisha kuwa miaka 62 ni umri mdogo kuondoka duniani, ukizingatia umri wa Biblia ni maka 70, 80 hadi 120.
Ndo mjifunze, mwenzenu kaifanya kazi ya bwana kwa uaminifu, acheni kupiga hela tu, Bali uaminifu ndo uwe msingi..
Kwa ukosefu wamaarifa watu mtaangamiya
Nadhani Paulo alikufa akiwa mzee sidhani kama 62 ni mzee soma Tito utaona Paul the aged
Naona atakuwa sahihi kwani ukiangalia vitu alivyovifanya Mtume Paul hadi kufa kwake alionekana bado kuwa na nguvu, angekuwa na zaidi ya 60 angekuwa amechoka sana. Yohana Mbatizaji alikufa na miaka thelathini, kumbuka walipishana umri na Bwana Yesu miezi sita tu na wakati anafungwa ndiyo Bwana Yesu alikuwa ameanza huduma akiwa na miaka 30. Vivyo akina Stefano na wenigine walikufa wakiwa bado vijana kwa kuwa walionekana kumaliza kazi waliyoitiwa.
ALIKUA ANAJUA KUTUMIA
MEDIA VIZURI, NIMEKWELIWA
BABAANGU UNGEONGEA KINYUME
NISINGEKWELEWA, UHAI KWA
KILA BINADAMU UKO MIKONONI
MWAKE, MWAMPOSA MKUU KAONDOKA JKKK JUKWA LA
KUMHUBIRI KRISTO MMEFURAHI
ACHENI UNAFIKI MMEFURAHI.
Wamefurahi,kivipi?
Cjui kwnn hakwenda mzee wa upako Anthony lusekelo.
Anakusubiri wewe utangulie
The Game? Are you Serious?
🙄🙄🙄
Nakwanini we we usitangulie??
Sasa baba kwamanyo na wewe unakosea kumwita nabii tb joshua. Kwasababu BWANA WETU YESU KRISTO yeye anaondoka lakini watakuja manabii wa uongo na kudanganya watu, na kufanya miugiza mingi,
Nenda chuo ukasome biblia ili uielewe. Kuna huduma tano kwenye biblia 1.uchungaji 2uinjilisti 3ualimu 4.utume 5. Unabii
MUNGU AKUBARIKI Askofu.
@@ngwanafabian9668 Wacha nimsadie maana Ake anaoneka mjinga sana ,asome WAEFESO 4;11,,ILI AWACHE MABISHO NA MATAMSHIO ISIO NA MAANA ..
Jitaidi kupata mafundisho maana Mungu ametupa taarifa utaelewa zaidi
Ameen Baba umeongea vema.
Umeongea vizuri sana Mungu akubariki sana!!