E DISC: SIRI YAFICHUKA PIPI MAHABA KWA WADADA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

ความคิดเห็น • 56

  • @thelighttv2376
    @thelighttv2376 ปีที่แล้ว

    Weee! It works huyu dada anatupiga nimewahi mchukulia mtu changes zipoo😂

  • @TalentedmzirayTZ
    @TalentedmzirayTZ 8 หลายเดือนก่อน +1

    Vinafanya kaz Ila sio kwakil mwanamke mm naushahid navo

    • @GetuLameck
      @GetuLameck 6 หลายเดือนก่อน

      Hello

  • @user-hg9xg7iv2k
    @user-hg9xg7iv2k 11 หลายเดือนก่อน +1

    Na mbagala vinapatikana wapi

  • @MarthaDanieljohn
    @MarthaDanieljohn 4 หลายเดือนก่อน

    Nilimeza bhana wee kichefu chefuuu kutapika khaa sitamani ten

  • @cicada8397
    @cicada8397 2 ปีที่แล้ว +8

    Tunaotengeneza keki tunanunua hizo pipi kupambia keki Aina ya Geode. Yan zinauzwa Hadi supermarkets,zinaitwa sugar lumps

  • @StellaMussa-bt5ze
    @StellaMussa-bt5ze ปีที่แล้ว

    Ata mm alioniuzia alitest kimoja na mmakanipa kimoja sikuis chochote akasema ulitaka kupiga shoow kula vitano na chai ya tangawizi

  • @susanabukusta467
    @susanabukusta467 3 ปีที่แล้ว +4

    Hiyo ni dawa kweli na sana sana vina toka saudi 🇸🇦 🥰😍😘 unaweza weka kwenye chai ua kumumunya pia bwana weee temperature uwa ina panda hadi raha utamu hadi kisogoni unackizia pale tu 😄😆😊🤣💖😜

    • @khadijaomar7706
      @khadijaomar7706 3 ปีที่แล้ว +1

      Inakuwa na ladha gani?

    • @muskanabdulrazak5674
      @muskanabdulrazak5674 3 ปีที่แล้ว

      Hamna kitu hivi mhh

    • @ayushayush2313
      @ayushayush2313 2 ปีที่แล้ว

      @@khadijaomar7706 iko sukari alafu laini kwa mbali hapa saudia ziko tele mbona

    • @fatmafatom3034
      @fatmafatom3034 ปีที่แล้ว

      Muongo wewe khaaaaaa😊😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅wala hamna lolote utam mtu alizaliwa nao😊😅😅😅😅sisiote tupo saudia aca uongo wanatumia kwa chai ayo yangine weka wewe

    • @fatmafatom3034
      @fatmafatom3034 ปีที่แล้ว

      Nikama sukariii vile vile

  • @ayshahajj8888
    @ayshahajj8888 2 ปีที่แล้ว

    Dear ,,dawa ni Imani unapoamini kwamba ktu kitakuponya bas mung anakusaidia unapata ponyo kweli😊,, ila Mimi binafsi niliwahi kutumia Kwa vidonda vya tumbo sio kuongeza hamu😂

  • @ishiqshau7085
    @ishiqshau7085 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwisho wa siku wapate madhara sasa nguvu za kike si ina lazimisha moyo ufanye kazi raha ya tendo muandaane siyo madawa

  • @DeymanYusuph-d3b
    @DeymanYusuph-d3b 3 หลายเดือนก่อน

    Abari naitaji vipi uko wapi

  • @nadiabakari2589
    @nadiabakari2589 3 ปีที่แล้ว +2

    VIP na weye mtazamaji ulipokula ulinunuliwa nyumba na gari?

  • @HuguetteLadi-i8i
    @HuguetteLadi-i8i ปีที่แล้ว +2

    siyo wongo nikweli ni utamu sana

  • @nouraalharthy5509
    @nouraalharthy5509 ปีที่แล้ว

    Hii haswa ni sukari guru ziko tokea enzi na ezi

  • @azizaziz7644
    @azizaziz7644 3 ปีที่แล้ว +7

    Pipi hizi zipo toka enzi na enzi zaidi ikitumiwa na Jamii ya wahindi, zipo tele toka India , Dubai , pakistan , Tanzania , kenya , Saudia nk nk nk zinajulikana kama SAKRIN hazina cha mahaba wala utumbo wa mahaba

    • @nadiabakari2589
      @nadiabakari2589 3 ปีที่แล้ว

      Kwahiyo hazinaga kazi Wala Nini Aunt ?

    • @nadiabakari2589
      @nadiabakari2589 3 ปีที่แล้ว +1

      Wanatuibia 2

    • @azizaziz7644
      @azizaziz7644 3 ปีที่แล้ว

      Kwa kihindi zinaitwa Sakrin

    • @ayushayush2313
      @ayushayush2313 2 ปีที่แล้ว

      😅😅😅😅

    • @nshomakawili5239
      @nshomakawili5239 11 หลายเดือนก่อน

      Kibongo bingo kipi hizi kwanza zinauzwa ktk maduka ya dawa za asili na hutumiwa na.waganga wa kienyeji kuwafurahisha majini wakati wa kuwapa chano.

  • @DeymanYusuph-d3b
    @DeymanYusuph-d3b 3 หลายเดือนก่อน

    Niko ilala

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 2 ปีที่แล้ว +1

    Waongo wakubwa nyiye mnatafuta pesa kwanjia nyingi apa saudi-arabia 🇸🇦🇸🇦 zimejaa naniko nakashashe kamejaa nipipi mzingine hakuna lolote 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @liliansimon6666
    @liliansimon6666 2 ปีที่แล้ว +2

    Havna maajabu yoyot nshawah tumia

    • @fatmaibra149
      @fatmaibra149 2 ปีที่แล้ว

      Ujatumia vizur shoga angu

  • @neemamathiasmagise5667
    @neemamathiasmagise5667 ปีที่แล้ว

    Namba. Jamani😅😅😅

  • @khdj-x3w
    @khdj-x3w 3 หลายเดือนก่อน

    hakun kituu hap

  • @DeymanYusuph-d3b
    @DeymanYusuph-d3b 3 หลายเดือนก่อน

    Jibu

  • @felistermichael979
    @felistermichael979 2 ปีที่แล้ว +1

    Acha nitumie mgagani wangu tu

  • @aishajuma439
    @aishajuma439 3 ปีที่แล้ว

    Ukila vinaharufu kaa miwa boss Wang anatumia kunywa kama juice na ndimu

  • @cesiliajoseph1669
    @cesiliajoseph1669 2 ปีที่แล้ว

    Waizi hawa

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona huku uarabuni tunavitumia kawàida tu hkn Cha ni Wala nn huku wanapewa adi watoto wachanga wanapewa na maji vugu vugu acheni uongo

    • @ayushayush2313
      @ayushayush2313 2 ปีที่แล้ว

      Ni kweli hapa kwangu zitele namumunya kila siku yani kawaida tu😅😅

    • @lilianmanguya1510
      @lilianmanguya1510 ปีที่แล้ว

      @@ayushayush2313 zaitwaje huku kwa warabu

    • @saudamohamed7539
      @saudamohamed7539 ปีที่แล้ว

      Wacha nijaribu

  • @mwaliwakizalamahazi4380
    @mwaliwakizalamahazi4380 ปีที่แล้ว

    Hakuna chochote

  • @PaulinaRungu-u4b
    @PaulinaRungu-u4b 4 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji

  • @nadiabakari2589
    @nadiabakari2589 3 ปีที่แล้ว

    Kujitafutia maradhi ya sukari 2

  • @dianangairoukovizuli2102
    @dianangairoukovizuli2102 3 ปีที่แล้ว

    havina hasala

  • @mayasaabubakarmhando8757
    @mayasaabubakarmhando8757 ปีที่แล้ว +1

    Znapatkana wap

  • @yahayab4u614
    @yahayab4u614 4 ปีที่แล้ว +1

    Wiziiiii

    • @franceezekia7586
      @franceezekia7586 3 ปีที่แล้ว

      Ndapataj

    • @azizaziz7644
      @azizaziz7644 3 ปีที่แล้ว +1

      @@franceezekia7586 , nenda MTAA wa Zanaki Kuna HABIB BANK usoni yake kuna duka ulizia SALEH MADAWA kama unakumbuka lilipokua duka la AK' S Karibu na msikiti wa MASHIA MTAA wa INDIRA GHANDI

  • @nadiabakari2589
    @nadiabakari2589 3 ปีที่แล้ว

    Mie naona ni kuwaibia tu watu Basi na kujitafutia fangas za bure tu

  • @estergodfrey4203
    @estergodfrey4203 3 ปีที่แล้ว

    Nilikula kama 10 kwa cku hakuna lolote

    • @fatmaibra149
      @fatmaibra149 2 ปีที่แล้ว +1

      Ujatumia vizur shogaa

    • @mdahmed7589
      @mdahmed7589 2 ปีที่แล้ว

      Wanavitumia vip

    • @StellaMussa-bt5ze
      @StellaMussa-bt5ze ปีที่แล้ว +1

      Ukutumia vizur shoga kula vitano kwa maramoja ukimaliza tangawiz chai ndani ya lisaa limoja utainjoi kwenye tendo

    • @StellaMussa-bt5ze
      @StellaMussa-bt5ze ปีที่แล้ว

      Ukula vizur