Hiyo ni dawa kweli na sana sana vina toka saudi 🇸🇦 🥰😍😘 unaweza weka kwenye chai ua kumumunya pia bwana weee temperature uwa ina panda hadi raha utamu hadi kisogoni unackizia pale tu 😄😆😊🤣💖😜
Dear ,,dawa ni Imani unapoamini kwamba ktu kitakuponya bas mung anakusaidia unapata ponyo kweli😊,, ila Mimi binafsi niliwahi kutumia Kwa vidonda vya tumbo sio kuongeza hamu😂
Pipi hizi zipo toka enzi na enzi zaidi ikitumiwa na Jamii ya wahindi, zipo tele toka India , Dubai , pakistan , Tanzania , kenya , Saudia nk nk nk zinajulikana kama SAKRIN hazina cha mahaba wala utumbo wa mahaba
@@franceezekia7586 , nenda MTAA wa Zanaki Kuna HABIB BANK usoni yake kuna duka ulizia SALEH MADAWA kama unakumbuka lilipokua duka la AK' S Karibu na msikiti wa MASHIA MTAA wa INDIRA GHANDI
Weee! It works huyu dada anatupiga nimewahi mchukulia mtu changes zipoo😂
Vinafanya kaz Ila sio kwakil mwanamke mm naushahid navo
Hello
Na mbagala vinapatikana wapi
Nilimeza bhana wee kichefu chefuuu kutapika khaa sitamani ten
Tunaotengeneza keki tunanunua hizo pipi kupambia keki Aina ya Geode. Yan zinauzwa Hadi supermarkets,zinaitwa sugar lumps
Ata mm alioniuzia alitest kimoja na mmakanipa kimoja sikuis chochote akasema ulitaka kupiga shoow kula vitano na chai ya tangawizi
Hiyo ni dawa kweli na sana sana vina toka saudi 🇸🇦 🥰😍😘 unaweza weka kwenye chai ua kumumunya pia bwana weee temperature uwa ina panda hadi raha utamu hadi kisogoni unackizia pale tu 😄😆😊🤣💖😜
Inakuwa na ladha gani?
Hamna kitu hivi mhh
@@khadijaomar7706 iko sukari alafu laini kwa mbali hapa saudia ziko tele mbona
Muongo wewe khaaaaaa😊😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅wala hamna lolote utam mtu alizaliwa nao😊😅😅😅😅sisiote tupo saudia aca uongo wanatumia kwa chai ayo yangine weka wewe
Nikama sukariii vile vile
Dear ,,dawa ni Imani unapoamini kwamba ktu kitakuponya bas mung anakusaidia unapata ponyo kweli😊,, ila Mimi binafsi niliwahi kutumia Kwa vidonda vya tumbo sio kuongeza hamu😂
Ukapona
Mwisho wa siku wapate madhara sasa nguvu za kike si ina lazimisha moyo ufanye kazi raha ya tendo muandaane siyo madawa
Abari naitaji vipi uko wapi
VIP na weye mtazamaji ulipokula ulinunuliwa nyumba na gari?
siyo wongo nikweli ni utamu sana
Vipp ndo nn
Hii haswa ni sukari guru ziko tokea enzi na ezi
Pipi hizi zipo toka enzi na enzi zaidi ikitumiwa na Jamii ya wahindi, zipo tele toka India , Dubai , pakistan , Tanzania , kenya , Saudia nk nk nk zinajulikana kama SAKRIN hazina cha mahaba wala utumbo wa mahaba
Kwahiyo hazinaga kazi Wala Nini Aunt ?
Wanatuibia 2
Kwa kihindi zinaitwa Sakrin
😅😅😅😅
Kibongo bingo kipi hizi kwanza zinauzwa ktk maduka ya dawa za asili na hutumiwa na.waganga wa kienyeji kuwafurahisha majini wakati wa kuwapa chano.
Niko ilala
Waongo wakubwa nyiye mnatafuta pesa kwanjia nyingi apa saudi-arabia 🇸🇦🇸🇦 zimejaa naniko nakashashe kamejaa nipipi mzingine hakuna lolote 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Havna maajabu yoyot nshawah tumia
Ujatumia vizur shoga angu
Namba. Jamani😅😅😅
hakun kituu hap
Jibu
Acha nitumie mgagani wangu tu
Unasaidia nn
Ukila vinaharufu kaa miwa boss Wang anatumia kunywa kama juice na ndimu
Waizi hawa
Mbona huku uarabuni tunavitumia kawàida tu hkn Cha ni Wala nn huku wanapewa adi watoto wachanga wanapewa na maji vugu vugu acheni uongo
Ni kweli hapa kwangu zitele namumunya kila siku yani kawaida tu😅😅
@@ayushayush2313 zaitwaje huku kwa warabu
Wacha nijaribu
Hakuna chochote
Nahitaji
Kujitafutia maradhi ya sukari 2
havina hasala
Znapatkana wap
Wiziiiii
Ndapataj
@@franceezekia7586 , nenda MTAA wa Zanaki Kuna HABIB BANK usoni yake kuna duka ulizia SALEH MADAWA kama unakumbuka lilipokua duka la AK' S Karibu na msikiti wa MASHIA MTAA wa INDIRA GHANDI
Mie naona ni kuwaibia tu watu Basi na kujitafutia fangas za bure tu
Nilikula kama 10 kwa cku hakuna lolote
Ujatumia vizur shogaa
Wanavitumia vip
Ukutumia vizur shoga kula vitano kwa maramoja ukimaliza tangawiz chai ndani ya lisaa limoja utainjoi kwenye tendo
Ukula vizur