Steve mweus anawashinda wakina chesco coz wao wanavaa nusu Uchi kwenye kazi zao mara mtu kavaa kanga tu afu anigiza I think ndo 7bu ilomtoa hajra ila kwa Steve sijawahi kuona wakiigiza na mavazi ya hovyo hongera kwa Steve mweusi
Ila ana roho mbaya steve bora chesco mtu kama humjui steve unaweza msifia sasa nena kafanyenaye kazi akikubalia uniite mbwa ila chesco mtu poa sana hana makuzi pia hata mambo mengi amewasaidia wengi ikiwemo steve amesaidiwa kwa wewe usijua sanaa unaweza sema hivyo
Mtoto mzur hastahili kuzuzuka na mitandaon ni mtoto wa kuolewa na kulea watoto,mrembo sana hajra achana Mitandaon uolewe dunia itakudanganya uzidi kupotea
Mashaa ALLAH to hajra beautiful girl with those hijab Mashaa ALLAH congratulations to you hajra and Steve ako na moyo mzuri Mashaa ALLAH.. we love you All ..
Kujistiri ni kutoka nywele mpaka miguu sio kichwa au nywele pekee sasa ukiangalia clip anazo cheza anajistiri mwili mzima na pia kuna kujistiri ya mwanaume yeyote asiuguse mwili wako jee yeye anajistiri kwa hayo?.
Assalaamu alaykum warahmatullah wabarakatu rudi kwa mola wako kama ni kutoa elimu kalinganie dini maana kwa madai ya kuelimisha jamii hivyo kwa kukumbatiana na wanaume ambao sio wako kwa Mungu ni mtihani,,fanya yote lakini kumbuka maisha ya akhera
That's good Alf wew MBENGO After kufanyisha interview huyo Dada, m nataka umtafute yule mwingine bado anaigizaga huko kwa STIVU, Dada mwenye Hips zake hivi......yeah
Huo ushungi kumbe sio kwa ajili ya Mungu na kama kwa ajili ya Mungu basi usivue kwa ajili ya kazi kama uliacha kazi kwasababu ya dharau basi ikifika unatakiwa uvue huo ushungi acha kazi kwa ajili ya Mungu
Kweli nami nimeshangaa ila nilichokiona ushungi kwake ni mazoea tu ambayo amekuwa akiwa kazoeshwa hivyo na wazazi hapa ndipo unaona umuhimu wa kusoma dini yako mtu yuko kwenye mahusiano anaziniwa tu wala haoni shida Utandawazi umeshamvaa ndio maana anasema ikija kutokea kufanya komedi ya kichwa wazi pia atafanya astaghafil
Umeongea vitu vzr ila hapo kwenye swala huwezi kutoka kimahusiano na mtu sababu ya dini tofauti umefeli pakubwa sana mahusiano huwa hayachagui dini wala kabila
Innalilahi wainnailayhi rajiun binti mzuri wa kiislam anavua uislam wake kwaajili ya matamanio ya kidunia anatafuta pesa kwanjia ya kharamu ajue tu kwamba dunia ni mapito makaziyetu ni akhera na hatujui tutaondokalini katika hii dunia namuomba atubu kwa Allah na arejee katika maarisho ya Allah na akatazike nayote aliyo kataza muumba wake
Steve mweus anawashinda wakina chesco coz wao wanavaa nusu Uchi kwenye kazi zao mara mtu kavaa kanga tu afu anigiza I think ndo 7bu ilomtoa hajra ila kwa Steve sijawahi kuona wakiigiza na mavazi ya hovyo hongera kwa Steve mweusi
Kwl
Ila ana roho mbaya steve bora chesco mtu kama humjui steve unaweza msifia sasa nena kafanyenaye kazi akikubalia uniite mbwa ila chesco mtu poa sana hana makuzi pia hata mambo mengi amewasaidia wengi ikiwemo steve amesaidiwa kwa wewe usijua sanaa unaweza sema hivyo
Hongera xana mtangazaji wanawake wachache xana wanaoweza kumsifia mwanamke mwenzao🔥🔥🔥🔥
Kweli kabisa 🎉🎉🎉
Hongera Sana classmate hajra kdoti napenda vile unavyoendelea kujistiri from ilala islamic up to now bg up my bff❤
Hajra mrembo kweli, likes from Kenya
absolutely
❤❤🎉
Mtoto mzur hastahili kuzuzuka na mitandaon ni mtoto wa kuolewa na kulea watoto,mrembo sana hajra achana Mitandaon uolewe dunia itakudanganya uzidi kupotea
Kwakweli hii ni ukweli thanks for this from Kenya 🇰🇪
Mtangazaji unamlazimisha Hajra iwe unachotaka wewe tu why?
❤ Siku mwema mrembo hajra information sleeping beauty i love❤you
Hyo mwanadada ni mzuri sana vipindi vyake vya busara pamoja na Steve bila kusahau ndaro😂😂😂😂
Mdada mtangazaji you have so nice voice 😘😘😘😘
Yeah like Zamarad
You zai
Mtangazaji pia ni mzuri MashaAllah ❤❤❤
Congrats 👏 Steve mweusi I love your work
❤❤❤❤
😂 please Siku njema Kaka Steven mambo
Mashaa ALLAH to hajra beautiful girl with those hijab Mashaa ALLAH congratulations to you hajra and Steve ako na moyo mzuri Mashaa ALLAH.. we love you All ..
Steve. Mkweli
Love from Burundi
Mambo😢🎉
Safi sana mnaipenda nchi yetu na watu wake
yes tuneipenda sana
Ila Hajira ndaro umejuwa kumnyoosha asee🤣🤣🔥
Hongera sana mtangazaj wangu Unajuwa kuupig mwing na maojiano yko nimeapend sana nakwakutoa sif kwa mdada hyo we kma mtoto wakik duh Hongera sana ❤❤❤❤
Big up dada hajirat uko vizuri kwenye kazi yako na interview imekaa vyema
Mashallah mungu azidi kumpa moyo waimani hatakama yuko kazini lakini anajistiri vizuri
Kujistiri ni kutoka nywele mpaka miguu sio kichwa au nywele pekee sasa ukiangalia clip anazo cheza anajistiri mwili mzima na pia kuna kujistiri ya mwanaume yeyote asiuguse mwili wako jee yeye anajistiri kwa hayo?.
Assalaamu alaykum warahmatullah wabarakatu rudi kwa mola wako kama ni kutoa elimu kalinganie dini maana kwa madai ya kuelimisha jamii hivyo kwa kukumbatiana na wanaume ambao sio wako kwa Mungu ni mtihani,,fanya yote lakini kumbuka maisha ya akhera
Hongera ndugu mtangazaji unajua kuhoji maswali yenye maana all the best
she is so kill and pretty love from south Africa
Mitihani ila una subra simchezo alafu mzuri dada 🥰🥰🥰
Tatizo la Steve sura na na usilious kwenye comedy ndio unaomponza
Hajira uko sawa,na content yenu iko juuu sana
Je t'aime trop ajira ❤ ila mupende clam vevo niko from Congo uvira like apo
Hapa ni kiswahili tu! Kiingereza hamna...........
Hongera sana kwake mdada🙌🏿🥰
Nampenda sana hajra kidoti kwakazi nzuri anazofanya mashallah 👍
❤
Mashallah hajira yko na majibu mazr san wallah❤❤❤
Hajra mzuri sisiri namfatilia sana👌
sasa mimi nipo USA sasa nawezakupata excusiv zeni vipi nazipenda namimi ni mtanzaniya
Hajraa anaweza sana mtangazaji upo vzr sana maswali yako ya kiakili mnoo
Nguvu moja twende sawa 💪
Tafadhal naomba namba zake Ni mzuri sana kidoti namkubal
That's good Alf wew MBENGO After kufanyisha interview huyo Dada, m nataka umtafute yule mwingine bado anaigizaga huko kwa STIVU, Dada mwenye Hips zake hivi......yeah
Aziza ?! Washamfanyia interview
@@elmosteve586 bytha niliiona.....NILIKUA NATAKA INTERVIEW YAKE BAADAE NIKAJA KUMUONA ✅
Kwel Hajra is so beautiful 😍,namkubal sn huyo mdada
Na Shukuru..naitwa Fernand ku toka congo DRC
Ni mzur kwel masha-allah
Kama unasoma comment huku unaangalia video gonga like ili tujuane
good
nooma sanaaaa
@@evancedamiano1860 ndiyo
Hatari
My beautiful sister kiukweli upo vizuli kimaadili mungu azidi kukubariki kwa style nzuli ya kivazi
Hongera sana Hajira wakwetu iramba nkulu
Angera sana Steve nakubali kuwa ww upo vizuri
Wanyiramba wazuri sana...nimeoa huko
Ni kweli wanyiramba wazuri sana.kifupi watu wa singida wazuriiii
Nakupenda wewe mdada mtangazaji. Nimzuri sana ❤❤❤
Hajra uko mlembo saana 🌹💐🌹🥰🥰🥰 likes from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ni2mie namba yako bc hajira jaman
Yeah it's true that this lady is beautiful
Huyuu dada yuko sawa. Kwanza mstarabu kabisa. Yupo vizuri. Nita fwata stevu anipe number
Uchokozi huo hukumwona siku zote mpka mmezio kapta
wow jicho mama
wanaendana waowane tu mungu atawabariki
Fanya uolewe,au kama hana mpango wa kukuoa huyu basi njoo nikuoe mm🙆🙆🙆🙆
Mm nimeipenda huyo mtagazaji😂😂😂
Unapendeza na vazi yako ya kiisratabu. Nasisi tunakupenda hili vazi. U are u beautiful dear.
Ila hajra Ni kisu sanna, macho kidoti amaizing sana
jaman uyodada mwenyekidoti nimemuelewa Sana dah mungufundi. kweli jaman
Steve ni fundi sana aisee,, 🚁🚁
Hajira is beautiful na kazi yake nzuri
hajira ongela sana napenda comedy zako pia wewe ni mrembo sana
Good girl.
Beautiful girl hajira ni mrembo sana aki mashallah
Mashaallah Allah akufanyie wepesi katika njia ilionyooka
Timu wanyirambaaaa 😀😀😀🤗
Hongela sana dadaa
Much 💕 hajira hongera sana
Your so beautiful dadaa
Kazi nzuri bengo
Nice san
Hajraaaaaa
Mtangazaji tomboy pita uku😢😢😢😢
❤hajra n'a wewe
Hajra waa❤
Nimeipenda hii sanaa ni elimu na msanii ni mwalimu 👏
Natokea nchini Kenya,huyu mdada mzuri sana jameni
Hiyo shungi SI ya kiislamu jitahid kujistir halafu Sanaa haiwezi kukufanya usijistir kwa namna yoyote Ile Allah akupe ufahamu uijue dini viz
Umbwa wewe
Hajranimrembo mungu akuongoze nakipajichako my
For sure she's a beautiful🇧🇮🇿🇦
Hajra mrembo kdoti kweli kweli 🥰🥰
Nimependa sana
Huo ushungi kumbe sio kwa ajili ya Mungu na kama kwa ajili ya Mungu basi usivue kwa ajili ya kazi kama uliacha kazi kwasababu ya dharau basi ikifika unatakiwa uvue huo ushungi acha kazi kwa ajili ya Mungu
Unashindwa kusema huushungi ni matendo yetu waislam na ndio stara kwa mwanamke pumbav sana
Kweli nami nimeshangaa ila nilichokiona ushungi kwake ni mazoea tu ambayo amekuwa akiwa kazoeshwa hivyo na wazazi hapa ndipo unaona umuhimu wa kusoma dini yako mtu yuko kwenye mahusiano anaziniwa tu wala haoni shida Utandawazi umeshamvaa ndio maana anasema ikija kutokea kufanya komedi ya kichwa wazi pia atafanya astaghafil
Hajira ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakubal Xan
Hajra upo vizuri bt mimi ningepata namba ya Steve ningefurahi coz najihisi nko n kipaji
Mmmm Nice content from kenya
uyo dada mm nampenda sana sema tu sina jisi ya kumpata nipeni njia ya kumuona mrembo uyo 😀😀😀
Nenda police 😄
Njoo inbox
@@jrsaid4270 una namba yake mm nataka nimuowe huyo
@@AliHassan-wf4gn nnayo
Tafuta hela
Mzur kweli
Dada napenda sana.kazi zako💖💞
Wow napenda maneno yake
Hongera sn mmy mpenzi ❤❤
Nampenda saana Hajra
Steve 👏👏👏👏
Beautiful Girl ❤❤
Mtangazaji jipende na wew bas kama mwanamke maana ulivyo rafu
Ausio 🤣🤣😂😂🤣🤣👊
Mimi sijamuelewa kama mke au mume huyu mtangazaji
@@asiakheir8684 ni mwanamke mwenzetu huyo avae hata wigi tu atapendeza
😅😅😅😅😅Comment hatari hii
😂😂😂😂 !! It's enough guys . Yani ni kwamba haeleweki eleweki nn . Sura ndo hivyo .
Safi hajrah endelea kujistir sanaa sio kujidhalilisha
Msilimishe Steve awemwiislam ...
Umeongea vitu vzr ila hapo kwenye swala huwezi kutoka kimahusiano na mtu sababu ya dini tofauti umefeli pakubwa sana mahusiano huwa hayachagui dini wala kabila
Mm namkubali sana Hajra n msuri sana
We're mrembo
Kweli uyo mwanamke ni mzuri
Innalilahi wainnailayhi rajiun binti mzuri wa kiislam anavua uislam wake kwaajili ya matamanio ya kidunia
anatafuta pesa kwanjia ya kharamu
ajue tu kwamba dunia ni mapito makaziyetu ni akhera na hatujui tutaondokalini katika hii dunia
namuomba atubu kwa Allah na arejee katika maarisho ya Allah na akatazike nayote aliyo kataza muumba wake
😢very nice
Namimi Stevi nampenda sana
Hajra jitoe kwenye commedy haikufaa
Kuna nafasi nyingi za dukani ofisini
za kujistiri tafadhali
Dukani wapi 😂😂😂