TEKNOLOJIA ya KUPANDIKIZA MIMBA YAFIKA TANZANIA, GHARAMA ni MIL 10, DAKTARI AFAFANUA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- TEKNOLOJIA ya KUPANDIKIZA MIMBA YAFIKA TANZANIA, GHARAMA ni MIL 10, DAKTARI AFAFANUA...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amefungua kituo cha kisasa cha afya cha Kairuki Green IVF cha Hospitali ya Kairuki.
TBC imefanya mahojiano maalum na daktari Kairuki wa kituo cha Kairuki Green IVF ambaye ameeleza kwa kina...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Mungu awasamehe Sana maana duh
Eti nikakope kisa mtoto,,,,,nikishindwa kulipa😳. Punguzeni hizo gharama, hapo hamjawafikiria walala hoi, huo ni ubinafsi asee
Bei ni kubwa sana
😢😢😢inch ya ovyo hiii
Nduh bona pesa nyingi Ivo na masikini je?
Kueni makini sana maana huu ni mpango WA shetani
Kabsa
Wew nawe mtoto pi mpango wa shetani
Sio lazima mke mme ata ukiwa hivihivi mwanamke unaenda tu zipo mbegu za ziada unapandikizwa tu
Hiyo ni michezo ya hatari.sasa mazombi watapatikana tz
Beikubwa sana milioni 10 huo ni unyanya saji sasa fanyeni hata milioni 1 au 2
Nyooo milion kumi yote iyo mbn nch nyingi n milion nanusu
Nchi gan niende
Lakini wengine ni maskini ni wanyonge million 10 jaman mbona ivo au munataka tufe hatuna wtt
Mim nauliza je Kuna mtu ni mzima kabsaa lakin anataka kupandokizwa mimba hii okoje
Tunaomba tupunguzieni izo gharama wengine atuna uwezo wa izo hela, je kulipia awamu ngapi?
Tumieni dawa za kienyeji.
Tafuta zile nyanya ndooogo za mvirjngo kamua juice yake na mbegu zake kunywa wewe na mwenzi wako fanya hv hadi uone matokeo.
Unazijua ndulele au tulatula.chukua changaa km growing za bauskeli Chelsham kunywa nzima nzima usitafune.
Au tafuta mizizi ya mboroboro na mkumakuma changanya Chelsham kunywa. Sambazia na wengine hii tiba ukishika mimba
Jaman milion 10😳😳😳😳😭😭
Pungu zeni
Sisi wengine tunataka watoto ila mhh!! milion 10 labda niweke bond familia yng dah
Mhmh,
Million 10 mbona ni kidogo
Namuonea huruma huyo mtoto.wa pandikizi
Jamani nyie wasomi ndo mnaharibu dunia acheni kufuru jamani
Hio hela kwa maskani mutakuwa hamujawasaidia
Hatujaelewa kabisa baba wa.mtoto ni.nani
Baba wa mtoto nisindano na dawa
Wema nenda au hata million 10 nayo Huna🤔
Wanashindwa kufafanua vizuri suala la kupandikiza lina mlolongo kidogo na linaitaji umakini mkubwa sana hasa kwa mama mtoto na utaalamu wa hali ya juu na mbona ghalama kubwa hivyo daah
Alafu Naskia wanakuwa mapacha watoto lakin Mama lazima atakuja kupata kansa Baadae
Nataka muongozo
Kwahyo tutapata mtoto asie na baba.kwann msikubali kuliwa tu
Hujaelewa...lazima mke n mume
Baba wa mtoto nisindano na dawa