kuna watu wanafanya haya mambo kwa makusudi ili wananchi waichukue serekali ya magufuli ila mungu mungu yupo ipo siku kila kitu kitakua adharani mungu tupe utulivu ktk inchi yetu
Amakweli baadhi ya watu Tanzania wamegeuka kuwa washenzi kiasi hiki tazama jinsi watoto wanavyolia kwa machungu shauri ya mpuuzi au wapuuzi wachache wamemuuwa mtu pengine ndiye aliyekuwa na jukumu kubwa katika familiya na jamii aliyokuwa akiiongoza anyway tumuachie MUNGU maana yeye ndiye mwenye hukumu ya haki na iliyo kweli
Fatma uja utekwe ww kaa utasema ni kawaida hebu cheki hio akili yako kaa yafanya plz!!!! eti nikawaida daaaah!!!! unaroho Kali basi bila kusita unatamka hivyo ilhali watu wamalia!!!!!!mmmmh!sikuwezi!!
Saidy Kipalo waah mi mkenya but pia nataka jua kaa ndie ndgu wa gwajima juu juzi jumapili kanisani nilimsikia askofu akiongelea hili swala la mchungaji kutekwa
Saidy Kipalo poa nasubiri nijue ukweli kaka! juu nilimsikia gwajima juzi jumapili kwa utbe!juu mm nimkenya but niko Saudi kikazi!but hua naangalia matukio kwa utbe Kenya kwetu tz sote wamoja hua naangalia yaliyojiri!
Mtu Ibwenge kweli kabisaaaaaaa waambie wajue maana ni shidaa kila baya makonda kila baya magufuli alafu wote wanaowakandamiza viongozi wetu ukute niwahamiaji tu hapa Tanzania kama niwahamiaji watuachie nchi yetu wakawapige madongo viongozi wao huko nchini kwao pumbavu sana wanataka watuwekee nchi yetu matatani
kuna watu wanafanya haya mambo kwa makusudi ili wananchi waichukue serekali ya magufuli ila mungu mungu yupo ipo siku kila kitu kitakua adharani mungu tupe utulivu ktk inchi yetu
Allah atusameh makosa yetu polen wana familia Allah awape subira
Oh God the Creator of all visibles and invisibles, Humbly I Beg You so much To cut Devils' chains troubling our Country Tanzania nowatimes, Amen!
Hope taarifa zitamfikia Baba #BishopNgwajima na kutuletea update...
#Wapigweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hakuna namna
Amakweli baadhi ya watu Tanzania wamegeuka kuwa washenzi kiasi hiki tazama jinsi watoto wanavyolia kwa machungu shauri ya mpuuzi au wapuuzi wachache wamemuuwa mtu pengine ndiye aliyekuwa na jukumu kubwa katika familiya na jamii aliyokuwa akiiongoza anyway tumuachie MUNGU maana yeye ndiye mwenye hukumu ya haki na iliyo kweli
mtu imbwenge.....umenisaidi kuuliza ...asante.
POLENI SANA KWA MSIBA MLIONAWO,NI KITENDO CHA UNYAMA KILICHO FANYIKA.
Pole sana
Poleni sana
jmn jmn muogopen mungu
😢😢😢tanzania wapi tunaenda
poleni sana mungu awafunge mkanda
poleni wafiwa jaman
Kweli TANZAGIZA
So sad poleni sana
Dah! Huu utekaji mpaka lini haya mauaji mpaka lini je ni nani huyu
tumefika pabaya sana
Hivo vitu vipo tangu zamani, uhalifu, utekaji, uwaji, uvamiaji nashangaa mnafanya kama ni mapya Tanzania
Fatma Ww kama unaona ni Kawaida ndugu yng subir atekwe Babako mzazi ndio ujue raha yake
Fatma Mambo ya kawaida sivyo
Ngoja atekwe mamaako nae si kawaida
Fatma uja utekwe ww kaa utasema ni kawaida hebu cheki hio akili yako kaa yafanya plz!!!! eti nikawaida daaaah!!!! unaroho Kali basi bila kusita unatamka hivyo ilhali watu wamalia!!!!!!mmmmh!sikuwezi!!
Fatma Ngoja utekwe wewe
good night
mhmh nyie mungu yupo atatujulisha hapaha duniani haya tuambieni huyo nae katekwa na nanani?
maskini poleni sna😢😢😢
Hata matajiri poleni sana umuombemungu sana
yesu wangu Teena!!!!!
Hakika ni uzun
Nyimbo za Taarab
This is so scarry...
😭😭😭😭😭 jaman poleni sana ndugu yaani saizi tutaishi kwawasiwasi sasa
jamani naomba mnisaidie mchungaji huyu alie tekwa ndio yule ndugu yake na gwajima? au nimwengine? naomba mnisaidie
Saidy Kipalo waah mi mkenya but pia nataka jua kaa ndie ndgu wa gwajima juu juzi jumapili kanisani nilimsikia askofu akiongelea hili swala la mchungaji kutekwa
ok thanks me nipo dar es salaam nadhani kesho naweza pata ukweli then nitaku breaf? wewe una itwa nani please?
Saidy Kipalo poa nasubiri nijue ukweli kaka! juu nilimsikia gwajima juzi jumapili kwa utbe!juu mm nimkenya but niko Saudi kikazi!but hua naangalia matukio kwa utbe Kenya kwetu tz sote wamoja hua naangalia yaliyojiri!
mmh ok saudia kwema huko! nivizuri kufatilia kujua dunia na matukio yanayo tokea!
wot is happening in my country
Taarab
Nafsi yake ilazwe pahala pema
Yamata Baraka -Ameeen/
jamni
mh!!!!!!!!
Taarabu
huyu naye ni Makonda au Magufuli waliye mteka huyo mchungaji ? wapinzani wanachochea fucho kisiri siri, mpaka watu waichukie serekali ya Magufuli. subirini mtakipata mnacho kitafuta kwenye inchi hii. mnafikiri warundi na wacongo wanafurahia kuishi makambini.
Mtu Ibwenge umeona eeeeh acha mimi nifunge bakuri langu nikojoe nilale maana bado mdogo sana mie.
umeongea point sasa nhojs lije puuzi moja linaloshabikia siasa za kipuuzi..utasikia pumba soon
Mtu Ibwenge kweli kabisaaaaaaa waambie wajue maana ni shidaa kila baya makonda kila baya magufuli alafu wote wanaowakandamiza viongozi wetu ukute niwahamiaji tu hapa Tanzania kama niwahamiaji watuachie nchi yetu wakawapige madongo viongozi wao huko nchini kwao pumbavu sana wanataka watuwekee nchi yetu matatani
Mtu Ibwenge umeongea point watu wapuudhi wasijitambua utasikia aliyefanya hivi nimakonda na Magufuli
POLENI xana
Tatizo ni njaa yawezekana wamekuwa laki 3 tu!kumtoa roho mwenzao kwa kitu cha kijinga. Damu ya mtu huwa haipotei kamwe. MBONA watajitaja.
pileni sana
BADO GWAJIMA NAE TUNANGOJA SIKU SINYINGI
BASHITE MAKONDA
ngojea sana eti afe Askofu Gwajima...utakufa Wewe mwenyewe,...maana Gwajima aliisha funikwa na Damu ya mwana Dondoo wa Mungu.
huyu nae nimakonda au nimakufuli semeni ss maana muzidi kitu kiki toke ya makonda makufuli haya semen na hapa
yusuf almamari unafirwa ww maneno gani hayo
we nae cjui umekunywa maji ya chooni... mxeeeew
rafa wewe
so, bad. Polen, xna
So sad poleni sana