IFAHAMU HISTORIA YA DARAJA LA MTAMBASWALA LINALOUNGANISHA TANZANIA NA MSUMBIJI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2020
  • Daraja la Umoja Mtambaswala lililopo wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara lina urefu wa meta 720 na upana wa meta 13.5 ni kiunganishi kizuri kwa nchi hizi mbili Tanzania na Msumbiji,daraja hili limezinduliwa rasmi May 12/2010 na Rais wa awamu ya nne Dr Jakaya Mrisho Kikwete na rais wa Msumbiji Mh Armando Emilio Guebuza lengo ni kuinua uchumi wa nchi hizi mbili, wazo la kujenga daraja hili lilitolewa na marais waasisi marehemu Julius Nyerere wa Tanzania na Samora Machel wa Msumbiji mwaka 1975.
  • เพลง

ความคิดเห็น • 25

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 3 ปีที่แล้ว +3

    hongera kwako mkuu umetujuza mambo

  • @cidewashington467
    @cidewashington467 3 ปีที่แล้ว +7

    We mzee wa uhamiaji nimekuelewa ,ila inabidi wakupe na kazi ya mambo ya utalii maelezo yako yanajitosheleza

  • @hamzakimbengele6584
    @hamzakimbengele6584 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana umeonesha weledi wa hali ya juu katika kuelezea historia na Mambo yote kuhusu hili daraja inabidi wakuongezee kazi ya kulitangaza na kuongoza watalii wa sehemu hiyo!

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 3 ปีที่แล้ว

    safi sana asfa hii ndiomana halisi ya afande Tanzanian najivunia

  • @faqueabdala4099
    @faqueabdala4099 3 ปีที่แล้ว +1

    Sawa mh tumikwelewa

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 ปีที่แล้ว

    Ni kweli,kutoka Tanzania kwenda Afrika kusini kupitia msumbiji Ni rahisi na karibu kuliko kupitia tunduma,shida Ni usalama maana msumbiji haijatulia.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 3 ปีที่แล้ว +1

    Maduwi wafrika watafurahi kweli sasa vita navuguru zimasha anza msubiji mauaji.kuchoma nyumba yukimbizi wavijiji jiulizeni sasa Hao yanatokea wapi? Eti kuna majihati wadini wakati ambao msubiji tokea uhuru mambo ya dini wakuni lakini sasa hivi pétrole n'a gaz zimepatikana kwahio lazima vurugu navita zingie au zianze sasa

  • @blazingsaddle7492
    @blazingsaddle7492 2 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania ni nyota ya afrika mashariki

  • @ashirafukitololi540
    @ashirafukitololi540 ปีที่แล้ว

    Na hao wenzetu wa msumbiji wawe Sirius daraja limefunguliwa zaman hadi leo wanasua sua kwenye kukamilisha barabara upande wao hii ndo Africa yetu duh....

  • @hamisilukanda4725
    @hamisilukanda4725 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamaa alisomea uwandishi wa habari maana anavongea

    • @s33dm20
      @s33dm20 3 ปีที่แล้ว

      Kikubwa huyu jamaa napenda anachokifanya na ana ueweledi wa hali ya juu. kama hauna interest na kazi na upo upo tu basi huwezi kuwa deep huyu jamaa anaelewa sana kazi yake

    • @hamisilukanda1008
      @hamisilukanda1008 2 ปีที่แล้ว

      Yupo vizuri katika kuwelezea

  • @ashirafukitololi540
    @ashirafukitololi540 ปีที่แล้ว

    Daraja limeisha toka zaman mbona hatuon taa za barabaran hata kwenye daraja lenyewe au ndo kipind hicho cha serikal za wapigaji , bora liende tuu sio kiwango cha kizalendo

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 2 ปีที่แล้ว

    Hawajengi tena

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 3 ปีที่แล้ว

    Afisa unatiwa upewe na idara ya utalii

  • @kanikionlineTV
    @kanikionlineTV ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/ExjfShs-Z0U/w-d-xo.html baadhi ya maeneo ya mkoa wa tunduru taarifa ambayo imetolewa na moja ya viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema mara baada ya benderea zao kuondolewa katika baadhi ya maeneo mkoani tunduru th-cam.com/video/ExjfShs-Z0U/w-d-xo.html

  • @anthonyvitulis5174
    @anthonyvitulis5174 3 ปีที่แล้ว +1

    Naww ukienda kutalii

  • @yaqoobalhinai3805
    @yaqoobalhinai3805 3 ปีที่แล้ว +1

    C.c.m kila kitu kwao ni utalii hatadaraja ni utalii kazi ipo

    • @paulpalapala7043
      @paulpalapala7043 3 ปีที่แล้ว +1

      Sawa mkuu

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 2 ปีที่แล้ว

      Tupe maana ya utalii kwa wwe unaefahamu
      Hivi unajua wazungu unajua wanakwenda chi flani kwenda kutalii utalii wao mkubwa sehemu za siri za wanaume sasa sijui wwe unamaanisha utalii unaanzia wapi😅😅😅
      Kila kitu ni utalii inategemea kimeboreshwa vipi na sio lazima wwe ujue ila kuna wanaojua maana ya utalii hata wwe mwenywe watu wanakutalii

  • @fatmaali2050
    @fatmaali2050 3 ปีที่แล้ว +1

    Utalii kwa hilo daraja huko ulaya kuna madaraja tele mazuri

    • @hemedimangole9231
      @hemedimangole9231 3 ปีที่แล้ว +1

      Afisa unaeleweka vizuri sanaaa

    • @barakachawe6241
      @barakachawe6241 3 ปีที่แล้ว

      Hilo daraja lina mito kama hiyo yenye wanyama kama mamba na viboko, na vinginevyo vilivyopo na vinginevyo vya utofauti vilivyopo hapo. Acha kuwa mpinzani kwa kila kitu hao marekani na uliowataja wana madaraja mazuri ya kisasa kutokana na level ya technology yao ila je yana vivutio kama hivyo..

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 5 หลายเดือนก่อน

      Nenda bac huko Us lkn sisi tutabakia hapahapa Tanzania. Hatutaki vya wazungu. Sisi tunathamini yetu.