Safi sana umeonesha weledi wa hali ya juu katika kuelezea historia na Mambo yote kuhusu hili daraja inabidi wakuongezee kazi ya kulitangaza na kuongoza watalii wa sehemu hiyo!
Na hao wenzetu wa msumbiji wawe Sirius daraja limefunguliwa zaman hadi leo wanasua sua kwenye kukamilisha barabara upande wao hii ndo Africa yetu duh....
Nimeipe ripot yako mkuu nikiwa nakusiliza kutoka palma ningetamani serikali zote mbili ² zingejalibu tufanyia kirambo boder vs namoto kwani ni moja ya vitu vizuli ,,,,,,,assante
Kikubwa huyu jamaa napenda anachokifanya na ana ueweledi wa hali ya juu. kama hauna interest na kazi na upo upo tu basi huwezi kuwa deep huyu jamaa anaelewa sana kazi yake
Maduwi wafrika watafurahi kweli sasa vita navuguru zimasha anza msubiji mauaji.kuchoma nyumba yukimbizi wavijiji jiulizeni sasa Hao yanatokea wapi? Eti kuna majihati wadini wakati ambao msubiji tokea uhuru mambo ya dini wakuni lakini sasa hivi pétrole n'a gaz zimepatikana kwahio lazima vurugu navita zingie au zianze sasa
Daraja limeisha toka zaman mbona hatuon taa za barabaran hata kwenye daraja lenyewe au ndo kipind hicho cha serikal za wapigaji , bora liende tuu sio kiwango cha kizalendo
Tupe maana ya utalii kwa wwe unaefahamu Hivi unajua wazungu unajua wanakwenda chi flani kwenda kutalii utalii wao mkubwa sehemu za siri za wanaume sasa sijui wwe unamaanisha utalii unaanzia wapi😅😅😅 Kila kitu ni utalii inategemea kimeboreshwa vipi na sio lazima wwe ujue ila kuna wanaojua maana ya utalii hata wwe mwenywe watu wanakutalii
th-cam.com/video/ExjfShs-Z0U/w-d-xo.html baadhi ya maeneo ya mkoa wa tunduru taarifa ambayo imetolewa na moja ya viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema mara baada ya benderea zao kuondolewa katika baadhi ya maeneo mkoani tunduru th-cam.com/video/ExjfShs-Z0U/w-d-xo.html
Hilo daraja lina mito kama hiyo yenye wanyama kama mamba na viboko, na vinginevyo vilivyopo na vinginevyo vya utofauti vilivyopo hapo. Acha kuwa mpinzani kwa kila kitu hao marekani na uliowataja wana madaraja mazuri ya kisasa kutokana na level ya technology yao ila je yana vivutio kama hivyo..
Safi sana umeonesha weledi wa hali ya juu katika kuelezea historia na Mambo yote kuhusu hili daraja inabidi wakuongezee kazi ya kulitangaza na kuongoza watalii wa sehemu hiyo!
hongera kwako mkuu umetujuza mambo
safi sana asfa hii ndiomana halisi ya afande Tanzanian najivunia
Mtosaaaa!!
We mzee wa uhamiaji nimekuelewa ,ila inabidi wakupe na kazi ya mambo ya utalii maelezo yako yanajitosheleza
Umoja wetu uwendelee jamani
Ni kweli,kutoka Tanzania kwenda Afrika kusini kupitia msumbiji Ni rahisi na karibu kuliko kupitia tunduma,shida Ni usalama maana msumbiji haijatulia.
Sawa mh tumikwelewa
boda megomano kuna rushwa sana upande wa msumbiji
Na hao wenzetu wa msumbiji wawe Sirius daraja limefunguliwa zaman hadi leo wanasua sua kwenye kukamilisha barabara upande wao hii ndo Africa yetu duh....
Nimeipe ripot yako mkuu nikiwa nakusiliza kutoka palma ningetamani serikali zote mbili ² zingejalibu tufanyia kirambo boder vs namoto kwani ni moja ya vitu vizuli ,,,,,,,assante
Jamaa alisomea uwandishi wa habari maana anavongea
Kikubwa huyu jamaa napenda anachokifanya na ana ueweledi wa hali ya juu. kama hauna interest na kazi na upo upo tu basi huwezi kuwa deep huyu jamaa anaelewa sana kazi yake
Yupo vizuri katika kuwelezea
Negomano cabo delgaldo
Maduwi wafrika watafurahi kweli sasa vita navuguru zimasha anza msubiji mauaji.kuchoma nyumba yukimbizi wavijiji jiulizeni sasa Hao yanatokea wapi? Eti kuna majihati wadini wakati ambao msubiji tokea uhuru mambo ya dini wakuni lakini sasa hivi pétrole n'a gaz zimepatikana kwahio lazima vurugu navita zingie au zianze sasa
Tanzania ni nyota ya afrika mashariki
Daraja limeisha toka zaman mbona hatuon taa za barabaran hata kwenye daraja lenyewe au ndo kipind hicho cha serikal za wapigaji , bora liende tuu sio kiwango cha kizalendo
Hawajengi tena
C.c.m kila kitu kwao ni utalii hatadaraja ni utalii kazi ipo
Sawa mkuu
Tupe maana ya utalii kwa wwe unaefahamu
Hivi unajua wazungu unajua wanakwenda chi flani kwenda kutalii utalii wao mkubwa sehemu za siri za wanaume sasa sijui wwe unamaanisha utalii unaanzia wapi😅😅😅
Kila kitu ni utalii inategemea kimeboreshwa vipi na sio lazima wwe ujue ila kuna wanaojua maana ya utalii hata wwe mwenywe watu wanakutalii
Afisa unatiwa upewe na idara ya utalii
th-cam.com/video/ExjfShs-Z0U/w-d-xo.html baadhi ya maeneo ya mkoa wa tunduru taarifa ambayo imetolewa na moja ya viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema mara baada ya benderea zao kuondolewa katika baadhi ya maeneo mkoani tunduru th-cam.com/video/ExjfShs-Z0U/w-d-xo.html
Tunduru siyo Mkoa Ndugu,ni wilaya ya Mkoa wa Ruvuma ikiunganisha Mkoa wa Mtwara,KUPITIA Nanyumbu DC
Naww ukienda kutalii
Utalii kwa hilo daraja huko ulaya kuna madaraja tele mazuri
Afisa unaeleweka vizuri sanaaa
Hilo daraja lina mito kama hiyo yenye wanyama kama mamba na viboko, na vinginevyo vilivyopo na vinginevyo vya utofauti vilivyopo hapo. Acha kuwa mpinzani kwa kila kitu hao marekani na uliowataja wana madaraja mazuri ya kisasa kutokana na level ya technology yao ila je yana vivutio kama hivyo..
Nenda bac huko Us lkn sisi tutabakia hapahapa Tanzania. Hatutaki vya wazungu. Sisi tunathamini yetu.