vibaya kumsema mtu , nyie ndio munawaita wazee wenu wachawi kwa kuwa wamezeeka , ujue tu uchawi wa siku hizi vijana ndio wengi maana wao ndio wameingiwa na tamaa ya maisha
@@amanchatila7607 . mpira hautabiriki team ikifika final kila mtu ni best , nawawaulize Waengereza wamelia hapa ingawa wenye uelewa wamefurahi kufika pale .
atatoa mafuta mengi kwa kuendesha bike masaa marefu hayo na km ana pressure ya juu itapungua vizuri . Allah amsaidiye .
Safari njema mwananchi mungu akulinde
Whaoooooo,,whaoooooooo big up mwananchi
Mbona hawasemi safari ya dar salaamu kuja Zanzibar
Aisee ibada ingekua tunaipenda na kuifuata km izo tim za mpila sote tungenda pepon tupende ibada ndio itatusaidya kesho kwenye makaburi yet?
Carlos nawaona hapo wana Yanga. Sisi tunaeasubiri Kigoma.
Mmmh pambana mzee
mh kwa lipi sasa mpaka ujitese hivyo bado kuna watoto wanakutegemea au nikukosa kazi yakufanya bado utakuta mtu analalamikia serikali kisa hana pesa
Nyie maneno mengi alafu acheni shombo
Muzee mupili wamesha mupa hong mumwanglie
Tanga motooooo25kigomaaaaaaaaaa
Ndo wanao peleka uchawi hawa
vibaya kumsema mtu , nyie ndio munawaita wazee wenu wachawi kwa kuwa wamezeeka , ujue tu uchawi wa siku hizi vijana ndio wengi maana wao ndio wameingiwa na tamaa ya maisha
huyu bwana anajinasibu kwa mbwembwe kuwa simba anaandaliwa majibu wacha tutaona ubora wenu huko tulikowabeba
@@amanchatila7607 . mpira hautabiriki team ikifika final kila mtu ni best , nawawaulize Waengereza wamelia hapa ingawa wenye uelewa wamefurahi kufika pale .