Hawa wametumwa na watu walioshindwa hawa wote ni Simba nasema haiwezekani hilo jambo la hovyo kabisa hizo kanuni ni baada ya simba kufungwa mara nne mfululizo hawa wote simba wamechanganyikiwa
Kwq kanuni izi zimelenga san kuijenga time bora yatqifa napiq kukomesha tabia yaushilikinq katika mpila maan ukikatwa point 3 zitauma io tabia itaisha. Tu😂
Sasa ligi yenu njo bora zaidi Afrika?kuzidi ligi zote za Afrika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Tanzania Tanzania Tanzania kama leo munajiona kwenye soka la afrika mko juu siyo wachezaji wa ndani 😂😂😂😂😂😂 acheni utani pesa watu wanaweka pesa zao juu ya club zao leo na kesho iyo kauli zenu mutajuwa amujuwi vimbeni kichwa tu kesho kesho yake mtaviba midom😅😅😅😅
Katika watu wapuuzi wewe ni mwalimu wa wapuuzi wote. Hayo mapendekezo anzisha team yako ukifanikiwa utakuwa umeshawishi..... Mpira ni biashara siyo maneno maneno.
Haya mapendekezo na kanuni ni za kijinga...huwezi kuwa na kanuni baada ya ligi kuanzia.....ni ujinga mtupu ilibidi haya yafanyoke kabla ya ligi.....tafutenibibunifu sio kuleta mambo ya kijingan yasiyo na tija hasa ligi ikiww imeanza Upande wa makocha ...angalieni upande timubyavtaifa na siyo kilabu
Hakuna geni hapo Mnyama alishachukua ushindi mara 4 mfululizo nyie utopolokwinyo mkiwa Chali Sasa nyie kushinda mara 4 tu ndo mnajikuta wababe ushindi wa kayoko nao 😂😂😂😂😂
Naongeza nyingine Kama Ikibainika kuwa mchezaji alipewa KADI nyekundu kimakosa na ikatengliuliwa wakati mpinzani amenufaika kwa kupata point 3 kwa kupungua kwa mchezaji huyo basi points 3 hizo zifutwe ili ilete uwiano kwa kuwa kuendelea kwa mpinzani huyo kunufaika itakuwa bado haisaidii chochote kufutwa huko kwa KADI hiyo
Ligi Gani namba sita hata refa wa kimataifa Moja TU hamna, pumbavu nyinyi TU wa tz hamna lolote, tafuteni na wachambuzi, hamna wachambuzi, wachambuzi wenu wa mchongo
Hivi ninyi munageuza kama vile hizi timu Kuna kitu mnazisaisia ktk kugharamia! Mnakuja na midomo yenu mioano tu,mkifikiri Kuna kitu mnakiongeza badala ya kubomowa,hivi nani atakubai kuweka fedha zake,kwakuwa na timu ambayo hamfikishi kwenye malengo yake ya kurejesha gharama zake? Achaneni kabisa na mawazo ya kutaka kutawaliwa mambo ambayo hajawahi kushiriki ujenzi wake
Hakuna Cha maana kabisa kwenye Hilo na Hilo suala halitoumiza sana yanga TU hata hao makolo pia nao watateseka Bure , huu ujinga unasababishwa uchoyo wa ushindani
Acheni mnachokifanya ni kutaka kuharibi ligi yetu kwanini tff isiwe na timu yao ili iwe timu ya taifa ? Mpango huo mnataka kuhumu Yanga kifupi sikubaliani na maoni yenu hata kidogo .
@@IssaBosco Bora umemuuliza anajikuta yeye nani eeeehhh mharo unaanza mapema utopolokwinyoooo hizo ni Kwa timu zote sio nyie tu maana naona mshanza kuchachawa
Bodi mbona mnataka kuirudisha Ligi kwenye kupoteza Ubora? Unamlinda nani wakati Hana kiwango? Naona ninyi munayaendee mambo kimhemko saana na Wala hakuna mnacho kijenga kwenye lingi.Achaneni na siasa ktk Maendeleo ya mpira.
Kissing mapendekezo mengi hayana tija ktk mustakbari ya hadhi ya ligi yetu. Bodi ya ya ligi insoaswa ijitambue majukumu yake mambo mengine yatakiwa yabski kwa timu husika. Pili kuna swala hili la ushirikina na hali ya labia ya sasa kwa baadhi ya washabiki maana utamuona ni shabiki wa yanga lakini anajifanya ni shabiki wa simba sasa kwa staili hii akifanya tendo au mambo ya kishirikina si mtaiadhibu timu wakati kiuhalisia si shabiki wa timu husika..
HAPO HAKUNA KANUNI MAROFA NA NYINYI NDIE MMEBEBA RUSHWA MGONGONI ,HAPO MPUNGA UMEINGIA MBONA MUNATAKA KUTURUDISHA NYUMA MAWAZO HAYO YOTE NI CHENGA TU HAMNA KITU HAPO
Ushirikina Ni dini ya mtu. Basi tusiruhuru hata kusali. TFF, WASIINGIE HUKO WAWAPIGE FINE TU. INATOSHA.ILA FINE IWE KUBWA, Kwa mfano Kapombe ( Baba Ester) kiteleza Utasema Ushirikina au Ishara ya kushindwa kabla ya mechi. CHONDECUONDE TFF ACHENI HAYO. kwani ukinyewa na kunguru anashabaha?? Rais wetu wa Awamu ijao Mama, Kazi IENDELEE MICHEZO NI FURAHA , MAAMUZI YA MCHEZO NI REFA, KESHO NAYO NI SIKU. TUJALI KESHO YETU. MTU AMBAYE HAPENDI MPIRA NAMWONA KAMA ANAUPUNGUFU fulani.( SAMAHANI)
Mimi ni Simba, ndana ya Tz na nje ya Tz. Lakini kwa Yanga Mimi Ni Mpenzi wakicheza nje ya Tz, lakini Yanga wakicheza na Timu yeyote ile iliyosajiliwa na TFF hata ikiwa daraja la la tano natata WAPIGWE TU .
Sasa ukiichukia Yanga na kusema ifungwe na wageni, wakati Baka, Clement, Mwamnjeto, Jobu, Yahaya, wanaweza wajao wakweo halafu unataka wafungwe, nafikiri mirembe ya Dom inawasubiri ili kupimwa tu.
Hapo hakuna mulicho jadili baada ya kuja na kauli kuhusu kayoko munatuletea upumbavu tuu vioengele hivyo ulaya hakuna kama mmechemka achieving ngazi hivi wewe Huna hadhi ya hayo
Amna jema kabisa nyie kwani mnataka kuludi kwenye mpira wa zamani acheni ujinga kwani waseme na mo aweke pesa ili na wao wawe vizuli kwani atutaki kuludi nyuma
Washamba tu nyie mngejua mpira unaendeshwa kwa gharama huo ugoro wenu usinge ongea yani watu wanendesha mpira usonge mbele nyinyi unataka mpira urudi kule ulikotoka
Mapendekezo ya Hovyoo. Hapo kwenye GOAL KEEPER MMEMLENGA DJIGUI DIARA. PILI VIJANA WATAFUTE TIMU YAO. MPIRA NI BIASHARA. ACHA UJINGA.
Wamlenge diara kwa lip?shat kama lilee
Hamna kitu hapo ni kuweweseka tu, unafikiri ligi ya NBC kushika nafasi ya 6 Africa ingewezekana kama porojo unazozisema zingetiliwa maanani?Tafakari
Simba wanateseka kipigo tulicho wapiga kenge hawa kila siku wanakuja na hoja nyengine
Wacheni uchawi utopolo
Hawa wametumwa na watu walioshindwa hawa wote ni Simba nasema haiwezekani hilo jambo la hovyo kabisa hizo kanuni ni baada ya simba kufungwa mara nne mfululizo hawa wote simba wamechanganyikiwa
Huyu anaweweseka hii kamati haijitambui ni vema ifutwe hovyo kabisa kanuni hizo kapelekeni nyumbani kwenu
We huna akili wacha wenye wanajua sheria za mpira wafanye kazi yao
@@saidjoseph9280Utopoloooooo ukweli utaendelea kubaki kuwa ukweli mnatesekea wapi mmezoea kubebwa eeehhhhh
Kwenye Kigezo cha Goal keeper yaani naona kabisa mnavyourudisha nyuma mpira wetu wa Tanzania, sidhani kama mmeliangalia hilo kwa mapana.
Kwenye wachezaji wazawa unataka kuinua vipaji sawa ila hamkuangalia kwenye ushiriki wa mechi za kimataifa tutaburuzwa kama zamani
yaani team km simba au yanga isajili wachezaji wa 4 tu pumbavu sana halafu unategemea ukachezea na mamelod au Al ahaly aisee acheni upuuzi wenu huo
Mukosaw lakini kwanza mwafaja kuhusu hujuma waliyofanya yanga narefa wao ilitujue kwer mnataka haki
Anzisheni Timu Zenu Mchezeshe Makipa Wazawa
Makolo mnateseka mkiwa wp?
Andaen academy ya kuwajenga vijana na kujenga timu ya taifa hizi timu achen kuzibana hayo mapendekezo yenu hayana mashiko.
Kaka hapo amjafikiria je shabiki wa timu nyengine akajigeuza shabiki wa timu nyengine na kufanya madudu ya kishirikina
Tutashuka hata ya 20 ligi yetu kwa ujinga wa viongozi wa tff waliokuwa wanaegemea kwenye timu fulani
Nyiendiyo mnavuruga livi mngekaa kwanza navilabu namkazungumza namkakubariana hapomnawalinda yanga
Andaeni academy za vijana vilabu vinatumia gharama kubwa hamjaongea point hata moja😂😂😂
Acha sisa kwenye mpira
Mnataka kuharibu mpira wetu tanzania siyo ya wajumbe wa tff ni ya wote, et mashabiki wafungiwe nyi mnajielewa kweli?
Na wanaopewa penalty za uongo na magoli ya offsiide point 3 zifutwe yote ni dhuluma ileile tu
Soka letulitashuka sana,tunarudi kulekule,wachezaji wetuhawajitumi mnatakakuwabebatu
Kwq kanuni izi zimelenga san kuijenga time bora yatqifa napiq kukomesha tabia yaushilikinq katika mpila maan ukikatwa point 3 zitauma io tabia itaisha. Tu😂
Huu ndio upuuzi na upunbavu mkubwa zaidi
Unatokewa na chombo I watakao kuwepo
Sasa ligi yenu njo bora zaidi Afrika?kuzidi ligi zote za Afrika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Tanzania Tanzania Tanzania kama leo munajiona kwenye soka la afrika mko juu siyo wachezaji wa ndani 😂😂😂😂😂😂 acheni utani pesa watu wanaweka pesa zao juu ya club zao leo na kesho iyo kauli zenu mutajuwa amujuwi vimbeni kichwa tu kesho kesho yake mtaviba midom😅😅😅😅
Nyie hacheni mapendekezo yasio na na faida kwa vilabu.namini wenye akili timamu hawezi pitisha zaidi ya 10 % ya mapendeko hayo
Naona washirikina wameanza kulalamikaaa"na kupita mageti ya uwani nayo ni ushirikinaaa
Katika watu wapuuzi wewe ni mwalimu wa wapuuzi wote.
Hayo mapendekezo anzisha team yako ukifanikiwa utakuwa umeshawishi.....
Mpira ni biashara siyo maneno maneno.
Wasege
Mbona sijaona ishu ya kayoko na leseni yake
Sasa mtajuaje mshabiki kama amejifanya simba au yanga,akikutwa na hayomambo ya ushirikina adhabu mtachukua vp?jitafakarin.
Hawa wasenge Nini yaani waandishi wakawahoji wachezaji
Hivi wanadhani Yanga tumesahau aliyotufanyia Jembe kwa Morrison😢
Hawana sera wakijipange upya
Kuhusu kocha msaidizi mzawa ni utayari wa mtu matola mwaka wa ngapi huu na hakuna anachojifunza hapo mmefeli
Mpira wa sasa , hauendani kabisa na mapendekezo yenu, huwo ni upuuzi mtu, hamna cha maana .
Vijana wawe 2 hapa lazima na Tz( wazawa WENGINE wawe 4) . Yaani mechi ya NBC WA Tz wasiwe chini ya wachezaji 6.
Haya mapendekezo na kanuni ni za kijinga...huwezi kuwa na kanuni baada ya ligi kuanzia.....ni ujinga mtupu ilibidi haya yafanyoke kabla ya ligi.....tafutenibibunifu sio kuleta mambo ya kijingan yasiyo na tija hasa ligi ikiww imeanza
Upande wa makocha ...angalieni upande timubyavtaifa na siyo kilabu
Ndiyo yale kocha wa timu Moja kuzuiwa kuvaa pensi uwanjani
Hii yote ni kwakuwa kolo amechezea mara 4 mfurulizo
Amechezea"au mmenunua mechi mara 4 mfululizoo
Hakuna geni hapo Mnyama alishachukua ushindi mara 4 mfululizo nyie utopolokwinyo mkiwa Chali Sasa nyie kushinda mara 4 tu ndo mnajikuta wababe ushindi wa kayoko nao 😂😂😂😂😂
Mnataka ligi iwe ya mwaka 47 mmechemsha
Naongeza nyingine
Kama Ikibainika kuwa mchezaji alipewa KADI nyekundu kimakosa na ikatengliuliwa wakati mpinzani amenufaika kwa kupata point 3 kwa kupungua kwa mchezaji huyo basi points 3 hizo zifutwe ili ilete uwiano kwa kuwa kuendelea kwa mpinzani huyo kunufaika itakuwa bado haisaidii chochote kufutwa huko kwa KADI hiyo
Hawa supu fc watashuka daraja"msisahau na wanao nunua mechii"
TPLB siyo kuchukua fedha tu na kuongea mdomoni anzisha academi moompo tu na kuropoka hivyo kabisa
Ligi Gani namba sita hata refa wa kimataifa Moja TU hamna, pumbavu nyinyi TU wa tz hamna lolote, tafuteni na wachambuzi, hamna wachambuzi, wachambuzi wenu wa mchongo
Yanga inawaumiza kichwa sana viongozi
Hivi ninyi munageuza kama vile hizi timu Kuna kitu mnazisaisia ktk kugharamia! Mnakuja na midomo yenu mioano tu,mkifikiri Kuna kitu mnakiongeza badala ya kubomowa,hivi nani atakubai kuweka fedha zake,kwakuwa na timu ambayo hamfikishi kwenye malengo yake ya kurejesha gharama zake? Achaneni kabisa na mawazo ya kutaka kutawaliwa mambo ambayo hajawahi kushiriki ujenzi wake
Hakuna Cha maana kabisa kwenye Hilo na Hilo suala halitoumiza sana yanga TU hata hao makolo pia nao watateseka Bure , huu ujinga unasababishwa uchoyo wa ushindani
Pumba tupu hayo mapendekezo
Wanao nunua mechi wameshaanza kuogopaaa"😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna point hata moja ya uboreshaji hapo Kuna kitu kinakuumiza
Acheni mnachokifanya ni kutaka kuharibi ligi yetu kwanini tff isiwe na timu yao ili iwe timu ya taifa ? Mpango huo mnataka kuhumu Yanga kifupi sikubaliani na maoni yenu hata kidogo .
Ww ni kama nani 😂
@@IssaBosco Bora umemuuliza anajikuta yeye nani eeeehhh mharo unaanza mapema utopolokwinyoooo hizo ni Kwa timu zote sio nyie tu maana naona mshanza kuchachawa
Bodi mbona mnataka kuirudisha Ligi kwenye kupoteza Ubora? Unamlinda nani wakati Hana kiwango? Naona ninyi munayaendee mambo kimhemko saana na Wala hakuna mnacho kijenga kwenye lingi.Achaneni na siasa ktk Maendeleo ya mpira.
Kissing mapendekezo mengi hayana tija ktk mustakbari ya hadhi ya ligi yetu. Bodi ya ya ligi insoaswa ijitambue majukumu yake mambo mengine yatakiwa yabski kwa timu husika.
Pili kuna swala hili la ushirikina na hali ya labia ya sasa kwa baadhi ya washabiki maana utamuona ni shabiki wa yanga lakini anajifanya ni shabiki wa simba sasa kwa staili hii akifanya tendo au mambo ya kishirikina si mtaiadhibu timu wakati kiuhalisia si shabiki wa timu husika..
Wapi academy mlioanzisha acheni kuharibu Biashara ya mpira,watu wameweka pesa ili wapate matokeo msiturudishe nyuma,hawa ndio watu wa kuwapiga chini
Mbona kichwa Cha habari hakiendani na mada iliyo mezani!
HAPO HAKUNA KANUNI MAROFA NA NYINYI NDIE MMEBEBA RUSHWA MGONGONI ,HAPO MPUNGA UMEINGIA MBONA MUNATAKA KUTURUDISHA NYUMA MAWAZO HAYO YOTE NI CHENGA TU HAMNA KITU HAPO
Msisahau na mtu mmoja kudhamin timu nane"
Hayo mapendekezo yenu hayapo sw kikubw makocha na wchezaj wa ndan waongeze juudi ili waonekane
Makolo wanaweweseka sana na kayoko
Mambo yenu ya ovyo bodi ya ligi,mjitafakali upya mfyuuuuu
Msiweke kanunua za upuuz kama mnataka mamb makubw wekezen kw vjana ili muwe na tim ya taifa
Nyie Watanzania mpira ni uwekezaji siyo maneno...Simba wekeza jamani
Kingine kila mechi 3 zitakazochezwa wa TZ WOTE KWENYE KILA TIMU WAWE WAMEPATA NAFASI YA KUCHEZA SIO CHINI YA DAKIKA 30
Ushirikina Ni dini ya mtu. Basi tusiruhuru hata kusali.
TFF, WASIINGIE HUKO WAWAPIGE FINE TU. INATOSHA.ILA FINE IWE KUBWA,
Kwa mfano Kapombe ( Baba Ester) kiteleza
Utasema Ushirikina au Ishara ya kushindwa kabla ya mechi.
CHONDECUONDE
TFF ACHENI HAYO. kwani ukinyewa na kunguru anashabaha??
Rais wetu wa Awamu ijao Mama, Kazi IENDELEE MICHEZO NI FURAHA , MAAMUZI YA MCHEZO NI REFA,
KESHO NAYO NI SIKU.
TUJALI KESHO YETU.
MTU AMBAYE HAPENDI MPIRA NAMWONA KAMA ANAUPUNGUFU fulani.( SAMAHANI)
Mimi ni Simba, ndana ya Tz na nje ya Tz. Lakini kwa Yanga Mimi Ni Mpenzi wakicheza nje ya Tz, lakini Yanga wakicheza na Timu yeyote ile iliyosajiliwa na TFF hata ikiwa daraja la la tano natata WAPIGWE TU .
Sasa ukiichukia Yanga na kusema ifungwe na wageni, wakati Baka, Clement, Mwamnjeto, Jobu, Yahaya, wanaweza wajao wakweo halafu unataka wafungwe, nafikiri mirembe ya Dom inawasubiri ili kupimwa tu.
Mapendekezo ya kihuni hayo yaani unaamini ushirikina una nguvu kwenye soka haya roga alafu kacheze na manchesta
Mbona mapovu au ndo waarabu wa pemba😂😂😂😂😂
Tena mkome mkome mkome tuondoleeni usenge
Yani Tunaenda Kuua Soka Uchawi Una Ushahd Gani Au Mnataka Kuhalibu Ligi Yani Timu Isipite mlangoni ikatwe pwenti Nyie ni Vichaa
Mbona gsm anatoa Sayaka ya supu kwa yanga tu?timu nyingine anazozamini a hazinywi supu?hapo iko je?
Sasa kwanini upitie mlango wa nyuma, wakati mlango rasmi upo?
Hapo hakuna mulicho jadili baada ya kuja na kauli kuhusu kayoko munatuletea upumbavu tuu vioengele hivyo ulaya hakuna kama mmechemka achieving ngazi hivi wewe Huna hadhi ya hayo
Amna jema kabisa nyie kwani mnataka kuludi kwenye mpira wa zamani acheni ujinga kwani waseme na mo aweke pesa ili na wao wawe vizuli kwani atutaki kuludi nyuma
Acha kutuambia kenge huna adabu kabisa
Washamba tu nyie mngejua mpira unaendeshwa kwa gharama huo ugoro wenu usinge ongea yani watu wanendesha mpira usonge mbele nyinyi unataka mpira urudi kule ulikotoka
Mnakaa mnenenepeana tu kwenye ofisi zenu wakati nyuma ya pazia watu wanaumiza vichwa
Huuu niujinga, nahamjui gharama za uendeshaji wa club, ulaya hakuna upumbavu huu
huyu nae ni nana pale tff
Msipofungia kayoko tutadili naye mtaani
Mapendekezo yenu hayana Mshiko hayo yote ni makolo kusheng'etwa Mara 4 na yanga
Hii yote ni kwasababu kila tuzo nzr zinaenda yanga na ubigwa ndoo mnataka kuhalalisha ujinga fala sana nyie
Hizo sheria zinatungwa simba akifungwa na yanga tu?
Kwanini na vyama vya mikoa visihusiswe kuchangia mawazoyao?
Upira ni biashara acheni upuuzi
Vali iwekwe
bodi ya ligi acheni upuuzi nyie yaani mchezaji uwezo uwanjani mdogo bado apangwe tu acheni siasi wapuuzi nyie
Ila wachambuzi musiwaokote tu kama ambokile hiyo bado sana
Yiyi kege Amna jipya
Mbona mbwa kayoko amjamfungia
andaene vyuo vya makocha wenu tz acheni bangi
Acheni ujinga bana mnaturudisha kizamani sana na hii inakuja baada ya Yanga kudminet ligi wewe ni simba
Imedominate wapi Kwa hizo mechi 6 tu mbona kazi Bado sana mnajikutaaaaaaa
Karia maliza tu . Muda wako ondoka
Kayoko hajatenda haki
Ila cmbaakilizao 😅
Nyie hayoo mapendekezo yenu mengine yatarudisha mpira nyuma
Mchezo uludiwe sio ifungiwe leseni la kayoko tuu huo ndio usawa na haki haswa
Sis tunao tumia mtandao c kila kit utikan kama huwez unaacha si lazima kuchangia
Kafikirieni upya
Sawa kayombo mmefutia leseni kwahiyo ule mchezo unatakiwa urudiwe
MBONA HAYA MAELEZO YA MUDA MREFU KABLA YA LIGI KUANZA
Munazunguq San yani mbaka musema mafala Sana
Wewe haujui mpira
Hamna akili nyie
Hii Kanuni mbona ni ya Mwezi wa nanee??
KAYOKO AFUNGIWE KABISA. ANAUPENDELEO KWENYE TIMU NYINGINE
Uwe na akili haya matatizo ya marefa yanahusu kila timu ,rushwa inagharimu kila timu ipo siku yatakukuta na wewe 12:00
Mtathibitishaje huo ushirikina?
Mnawashwa mbwa nyie
HUYU REFA KAYORO AFUTWE KABISA LISENI HAFAI.PIA TIMU INAYOTUMIA UCHAWI IKIJULIKANA TIMU HIYO IFUNGIWE AU IPEWEADHABU KALI.
Jinga sana wewe huna lolote pumbaless tuuuu
Sheria za wapi hizo wewe mpuuzi
Kanye ulale
Ujinga mtupu washenzi sana nyie