INASIKITISHA! SIMULIZI YA MTOTO ANAYEDAIWA KUNYONGWA NA BABA WA KAMBO KISA WIVU WA KIMAPENZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
- Mkazi wa Mwitikira, Kitongoji cha Mgumwa wilayani Bahi, Mkoa wa Dodoma, Sophia Peter Thadei (27) ameeleza namna alivyompoteza mtoto wake Gooluck Mathias wa miaka mitano kwa kunyongwa na mumewe ambaye ni baba wa kambo wa mtoto huyo usiku wa Julai 7, 2024.
Mwananume huyo, Stephano Mabula maarufu Mungo (44) inadaiwa alifanya mauaji hayo kutokana na wivu wa mapenzi kwa kumtuhumu mkewe kuwa anatembea na baba mwenye nyumba.
Imeandaliwa na Hamis Mniha
Mwanaume wakupiga mimi namuogopa sana pia mwenye hasir namuogopa sana hayo maisha nimeyaishi sana kukiwa na ugomvi hulali unaogopa anaweza kuchinja pole mwanamke mwenzangu
Alafu mimi mtu akifanya ivi alafu niambiwe niwivu wamapenzi uwa sielewi kabisa sio wivu ni rohombaya
Pole sana kwa kupoteza mtoto wako. Mtoto kakatiliwa nafsi bila kosa lolote 💔😭
Ukatili mbaya sana
DAAAAA INAUMAAA SANAAA DADA POLEE SANAAA DUUUUUUUUU 👐
Your the best mwananchi digital
Yalinikuta hy mm tena mume wng kabis pole shoga ila mm nimedai talaka
Yani uchungu jamani 😭😭😭😭😭
Innalillahwainnalillah rajiuun ila kuna watu niwanyama por
Jeshi la polisi mko wapi??
Pole dear ila mm nisingekubali kabisa, amnyonge mtoto wangu labda sijaenda labor
Oyaaaa hilo suala hata polisi haliwahusu, waniachie mwenyewe, nitamuua!!!!!😢😢😢
Duh😢
😢😢😢ukatili wa kinyama sana
Kwann amuue malaika ambae hajui chochote uwiiii eeh Mungu ww ndo mtendaji naamini utafanya kitu
Sasa mtoto anahusiana nini 😢😢
Walaya chamwino au bahi??
DAAAAA INAUMAAA SANAAA DADA POLEE SANAAA DUUUUUUUUU 👐