AIC Shinyanga Choir - Sheria/Mahakama (Official Video)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 เม.ย. 2020
  • Kwa neema ya Mungu, AIC Shinyanga kwaya ilipata nafasi ya kuhudumu katika maadhimisho ya wiki ya sheria/mahakama ya mwaka 2020 kwa ngazi ya mkoa, mkoa wa Shinyanga tarehe 06.02.2020, kauli mbiu ikiwa "UWEKEZAJI NA BIASHARA, WAJIBU WA MAHAKAMA NA WADAU KATIKA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI YA UWEKEZAJI"
    Audio production; Edema's Digital Studio
    #specialproject
    #mahakama2020

ความคิดเห็น • 165

  • @neemafaustine2468
    @neemafaustine2468 3 ปีที่แล้ว +6

    God bless AIC shinyanga nawapenda wote jamani wapi like za Magireth Magenda

  • @joycechaz2840
    @joycechaz2840 3 ปีที่แล้ว +4

    Aisee nimefurahi kumuona tena Mage yupo hapa dah maana niliumia nilipomuona chang'ombe neema choir

  • @wallacekatini3424
    @wallacekatini3424 ปีที่แล้ว

    Barikiweni Sana ndugu kutoka Tanzania, kutoka Nairobi hapa AIC JERICHO.

  • @evadaudi5758
    @evadaudi5758 4 ปีที่แล้ว +6

    Hongera Sana mmeimba vizur kumbe mkiruhusu wengine wanaweza bonge Ana bonge la saut good

  • @timothymutinda9328
    @timothymutinda9328 2 ปีที่แล้ว +1

    Wow. The vocals are heaven sent. Heshima na utukufu zimurudie Mungu. Much love from +254🇰🇪

  • @janethmsogoti8677
    @janethmsogoti8677 ปีที่แล้ว

    Shomaaa 🙌

  • @johariabdalla3099
    @johariabdalla3099 3 ปีที่แล้ว +1

    Dah shinyanga mpo vizuri sana mungu awabariki saaaana

  • @tajaelmichael227
    @tajaelmichael227 3 ปีที่แล้ว +1

    Aic shinyanga mziki. Mzuri hiyo inaitwa sebene au nn dah kionjo tofauti

  • @francismlelema8754
    @francismlelema8754 4 ปีที่แล้ว +1

    Ni wimbo mzuri sana, hongereni kwa mtunzi na waimbaji. Kwa maoni yangu haikuwapo haja ya kuweka picha ya rais kwa sababu siyo mkuu wa mhimili wa mahakama. Mkuu wa mhilimili wa Mahakama ni Jaji Mkuu. Ikumbukwe kuna mihimili mitatu ya dola ambayo ni Serikali (Rais), Bunge (Spika) na Mahakama (Jaji) kila mhimili unajitegemea wenyewe.

  • @jamesochieng8697
    @jamesochieng8697 3 ปีที่แล้ว +1

    utunzi ya hali ya juu. good performance wana wa shinyanga.[2020]

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 ปีที่แล้ว

    Nawapenda shinyanga,,,Magreth Magenda Nkupenda xana

  • @manasetawetv6048
    @manasetawetv6048 ปีที่แล้ว

    Mbarikiwe na nyimbo nzuri .

  • @catherinearon1234
    @catherinearon1234 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni AICT shy choir kwa wimbo mzuri ....Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi

  • @estaniyongabire9956
    @estaniyongabire9956 3 ปีที่แล้ว +1

    Mliimba vizur san wana Shinyanga, mbarikiwe na Mungu🙏🙏. Especially the vocals 😚🥰

  • @shujaazfilmsproduction7115
    @shujaazfilmsproduction7115 3 ปีที่แล้ว

    naomba kuunganishwa na mwalimu wenu nina kazi naye tafathali...

  • @tamuafrikastudios6251
    @tamuafrikastudios6251 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongerei sana wimbo mzuri sana.
    Ila aliefanya video amewaaribia sana kwa kweli.

  • @lusekelodaison8159
    @lusekelodaison8159 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaaah hongeren sana sana

  • @ibrahimstanslaus2425
    @ibrahimstanslaus2425 4 ปีที่แล้ว

    Bonge la chupaaa nyimbo kali vocal balaaa nzuriii Mungu awabariki sana na aendelee kuwatumia vyema

  • @mlokolevince
    @mlokolevince 2 ปีที่แล้ว

    muzik arrangements awesome..... this guys rock av bn following ur muzik for the last 10yrs..... u r the best

  • @mutuadylan678
    @mutuadylan678 4 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri wana shinyaga

  • @selinaamenye5024
    @selinaamenye5024 ปีที่แล้ว

    Aic mpanda

  • @eunicesalewa9522
    @eunicesalewa9522 3 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana,ujumbe mzuri,Mungu azidi kuwaimarisha

  • @matseshe1
    @matseshe1 4 ปีที่แล้ว +6

    Wimbo✓
    Ujumbe✓
    Waimbaji✓
    Mavazi✓
    Kazi nzuri sana.

  • @ndukukavili9452
    @ndukukavili9452 3 ปีที่แล้ว

    Very nice neema ya mungu iwatoshe

  • @jaredkarani9878
    @jaredkarani9878 4 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri Sana Mungu awabariki sana

  • @amosstephano2860
    @amosstephano2860 4 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo mrefu sana aise

  • @marycosmas4043
    @marycosmas4043 4 ปีที่แล้ว

    Na barikiwa sana na nyimbo zenu🤝🤝 Magrethi badao hajatoa Album

  • @startfodbughari7404
    @startfodbughari7404 4 ปีที่แล้ว +1

    Mkovizuri sana songa mbele

  • @abimaelkilasi2946
    @abimaelkilasi2946 3 ปีที่แล้ว

    Kinu hicho dah. Very nice

  • @shangweremiofficial4124
    @shangweremiofficial4124 2 ปีที่แล้ว

    Ujumbe mzuri Amina

  • @oliashoo4675
    @oliashoo4675 4 ปีที่แล้ว

    Ninawapenda sanaaaaaaa, barikiweni watumishi wa Mungu

  • @ambakisyemallango3911
    @ambakisyemallango3911 3 ปีที่แล้ว

    AICC zote kiboko bigup

  • @petersikombe4493
    @petersikombe4493 4 ปีที่แล้ว +1

    Lesa amipale nokwimbokusuma Amen

  • @paschaldotto8780
    @paschaldotto8780 4 ปีที่แล้ว +1

    Hizo sauti Jamani daaaaaa mko vizuri sana..Mungu awabariki

  • @kaneimnosa4836
    @kaneimnosa4836 4 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana wapendwa, wimbo mzuri

  • @petersugilo1645
    @petersugilo1645 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki mnaendelea vizuri, Mungu ni mwema.

  • @momylaviel
    @momylaviel 3 หลายเดือนก่อน

    Aminaaaa

  • @machumurobert2754
    @machumurobert2754 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwili wangu unasisimka sana.

  • @hellenarichard9486
    @hellenarichard9486 4 ปีที่แล้ว +1

    Mage ana kipaji hasa hongera kwake

  • @amosfaustine2624
    @amosfaustine2624 4 ปีที่แล้ว +1

    Mko vizuri Mungu azidi kuwabariki na kuwainua

  • @marymayoli5873
    @marymayoli5873 3 ปีที่แล้ว +1

    Sweet music, good singing, very well dressed ladies and of course also the gentlemen of the group. Shine, shine for God and the public. Wow!

  • @sethjohnson7266
    @sethjohnson7266 4 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana

  • @muokidavid3857
    @muokidavid3857 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana. Naipenda.

  • @henrykwiyeya6707
    @henrykwiyeya6707 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Sana ndugu zangu

  • @sendeesupriydewoochiagaliy7474
    @sendeesupriydewoochiagaliy7474 3 ปีที่แล้ว

    I 💘 this song i want to support!!

  • @greckalumbete6212
    @greckalumbete6212 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongeren sana

  • @pajohofficial8879
    @pajohofficial8879 2 ปีที่แล้ว

    Special message 🙏🙏🙏

  • @charlesdeus1019
    @charlesdeus1019 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mko vizuri album nyingine lini

  • @user-cm3dz6bh9i
    @user-cm3dz6bh9i 2 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @thomasnyalika7947
    @thomasnyalika7947 2 ปีที่แล้ว

    Vizuri sana

  • @felixsamson6856
    @felixsamson6856 4 ปีที่แล้ว +1

    Nawakubali sana,Mungu awabariki

  • @ngusuhivitalis3803
    @ngusuhivitalis3803 3 ปีที่แล้ว

    hamjawah kukosea mbarikiwe

  • @luppynemmy5857
    @luppynemmy5857 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwan huyo Dada solo mwenye nyewele fupi mweupe anaimba kwaya ngap jaman au nachanganya 😀😀😀 ..... Ila nampenda sana Mungu ambariki mno

  • @florenceakiso78
    @florenceakiso78 3 ปีที่แล้ว

    Wonderful message in the content of the song

  • @jamescotey1956
    @jamescotey1956 2 ปีที่แล้ว

    Kwaya

  • @shanvickline1184
    @shanvickline1184 4 ปีที่แล้ว +1

    Wow!!!!!! Total love MIMI NI AIC from Kenya

  • @ezesolo4861
    @ezesolo4861 4 ปีที่แล้ว +1

    Nawapendaa

  • @nikekifyoga1027
    @nikekifyoga1027 3 ปีที่แล้ว

    Nawapenda Sana

  • @marodamakungu3411
    @marodamakungu3411 3 ปีที่แล้ว

    Nawapenda sana

  • @ainandimbwa8549
    @ainandimbwa8549 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @voiceofgodcreationministry6996
    @voiceofgodcreationministry6996 3 ปีที่แล้ว

    The Lord is good all the time

  • @yohanaelia420
    @yohanaelia420 4 ปีที่แล้ว

    Mbarikiwe

  • @philippetandema2269
    @philippetandema2269 4 ปีที่แล้ว +1

    Ce n'est pas mauvais vraiment appréciable

  • @Eliuskip
    @Eliuskip 4 ปีที่แล้ว +2

    Pigo la fainalli album iko wapi wenzetu??

  • @maserekaboniface5147
    @maserekaboniface5147 3 ปีที่แล้ว

    That lady with small voice God bless her this team has really transformed

  • @peacelissa182
    @peacelissa182 4 ปีที่แล้ว +2

    Mziki mzuri 🙏🙏

  • @AggiesVine
    @AggiesVine 4 ปีที่แล้ว +2

    Mama Lukaaa.. Kipenzi cha Wakamba Kenya.. Bonge La wimbo

    • @shujaazfilmsproduction7115
      @shujaazfilmsproduction7115 3 ปีที่แล้ว

      Ni yupi hapo

    • @AggiesVine
      @AggiesVine 3 ปีที่แล้ว

      @@shujaazfilmsproduction7115 soloist

    • @boazkitela6960
      @boazkitela6960 3 ปีที่แล้ว +1

      @@AggiesVine Ni mkamba

    • @AggiesVine
      @AggiesVine 3 ปีที่แล้ว

      @@boazkitela6960 Kabisa . Tena kivindyo...😂😂

    • @boazkitela6960
      @boazkitela6960 3 ปีที่แล้ว +1

      @@AggiesVine wa side gani kitui macha ama makueni

  • @praiseurio1487
    @praiseurio1487 4 ปีที่แล้ว

    Congratulations

  • @voiceofgodcreationministry6996
    @voiceofgodcreationministry6996 3 ปีที่แล้ว

    Like preachings of Reinhardt Bonke

  • @edinalihedule3421
    @edinalihedule3421 4 ปีที่แล้ว +1

    Mage amerudi kumbe au anaimba neema gospel chang'ombe na huku?

    • @tajaelmichael227
      @tajaelmichael227 3 ปีที่แล้ว

      Hata mm nilimwona dah hongera take Dada Mage

  • @christinachiganga2358
    @christinachiganga2358 3 ปีที่แล้ว

    We isaya za masiku uko wap

  • @lydiagerald8584
    @lydiagerald8584 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @jobsrashid3133
    @jobsrashid3133 4 ปีที่แล้ว +1

    Mubariki sana

  • @annapaul8494
    @annapaul8494 4 ปีที่แล้ว +1

    Magreti kashatoka neema gospel jmniii

  • @berniethomas9883
    @berniethomas9883 4 ปีที่แล้ว +2

    Simuoni mama Pima hapo yule kiongozi wa sifa yuko wapi???

  • @marthamwangamba9505
    @marthamwangamba9505 4 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda mnoo nyie watu,dada unaesolo endelea kunyenyekea

  • @macdonamasali
    @macdonamasali 4 ปีที่แล้ว +3

    WEKENI NYIMBO ZENU KWA WINGI HUKU, SOKO LIMEHAMIA HUKU WAPENDWA

  • @stefanoolango9601
    @stefanoolango9601 3 ปีที่แล้ว

    Dada mage upo

  • @agathamwakalundwa7553
    @agathamwakalundwa7553 4 ปีที่แล้ว +1

    Bado mpo vzr

  • @gelyampagalushu5592
    @gelyampagalushu5592 4 ปีที่แล้ว +1

    Tunaomba uploads za albums zenu zilizopita maana kuna baadhi ya nyimbo zenu ni nzuri sana ila hatuwezi kuzipata kwenye hizi digital platform

  • @tamuafrikastudios6251
    @tamuafrikastudios6251 4 ปีที่แล้ว

    Yeah ni vizuri.
    Ila ni kutokana na sababu za kifundi tu hata mm huwa nafanya live recording pia.
    So labda iwe ilikua haijaplaniwa kabsa kufanyika.

  • @estaniyongabire9956
    @estaniyongabire9956 3 ปีที่แล้ว +2

    Do u guys mind if u give us the lyrics of this song?? Thanks 🙏

    • @kilangiofficial283
      @kilangiofficial283 3 ปีที่แล้ว +1

      They encourage Human rights on time in all institutions

  • @priscadanny7805
    @priscadanny7805 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu aendelee kuwainua simuoni da martha vp amehama?

  • @moshanaaman5588
    @moshanaaman5588 3 ปีที่แล้ว

    NI WIMBO MZURI

  • @isayamelamiofficial6468
    @isayamelamiofficial6468 4 ปีที่แล้ว +1

    Dada mage wewe hamia tu neema gosple hapo tayari pasha kupita uwezo japo umeitoa mbali aic

    • @frankrashd1056
      @frankrashd1056 4 ปีที่แล้ว

      Hahaha Mage kiumbe kingine ww acha br

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 3 ปีที่แล้ว

      Hapana asihame bhana tumemzoea huku, nampenda sana Mage

  • @j.pierreniyoyitungira1111
    @j.pierreniyoyitungira1111 3 ปีที่แล้ว

    Balikiweni

  • @sendeesupriydewoochiagaliy7474
    @sendeesupriydewoochiagaliy7474 3 ปีที่แล้ว +1

    Great song 🎵
    I need the cellphone number of a person who composed this song

  • @jobsrashid3133
    @jobsrashid3133 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukija mkoan magreti tuanamwita mwimbaji 🌟 magreti nakukubali sana

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 ปีที่แล้ว

      Huyu dada simchezo,nimotoooo

  • @LagatMichael
    @LagatMichael 3 ปีที่แล้ว +1

    Songs are good but poor video quality.Improve on this.Take full HD VIDEOS.Meanwhile nauliza ile wimbo inasema nina furaha sababu bwna yesu ameniokoa

  • @mselanondo5148
    @mselanondo5148 4 ปีที่แล้ว

    301 like

  • @tricykalukwa5697
    @tricykalukwa5697 4 ปีที่แล้ว +1

    Sasa sio kila mda mage wakati kumbe kuna waimbaji wazur kupita yy wakiwezeshwa

    • @isayamelamiofficial6468
      @isayamelamiofficial6468 4 ปีที่แล้ว

      Umeonaeee huyooo niwastudioo tu

    • @frankrashd1056
      @frankrashd1056 4 ปีที่แล้ว

      Mage bado anaheshimiwa coz kuna mtu anaitwa experience 😂 halaf Isaya Mage anaimba live sana we angalia Neema gospel choir

    • @tricykalukwa5697
      @tricykalukwa5697 4 ปีที่แล้ว

      @@frankrashd1056 Sijamdharau na si kwamba hajui kuimba NO anajua sana, Na nampenda pia.. Hiyo ni kwaya kama wapo wanaojua wapewe na si kila mtu tu apewe NO.. Mbona Eliza ni muimbaji mzuri sana na ni born not made lakini sijamtaja.. Raha ya kwaya unapoona kuna vinara zaid ya watatu....... Lakini hatuwezi jua pengine hao wengine wanajivuta na yeye anajuhudi.. lla katika uimbaji kuna watu hawapendi kuwa mbele, na wakipewa nafasi wanaitumia ipasavyo.. Nawapenda sana AIC shinyanga kutoka moyoni..

    • @tricykalukwa5697
      @tricykalukwa5697 4 ปีที่แล้ว

      @@frankrashd1056 Na suala la experience frank haliji tu from no where.. Kila mtu anapopewa kazi ya kusoma ndo anapata experience.. ... Experience sijahai kusikia kuwa ni taaluma kwamba utasomea.... Labda

    • @frankrashd1056
      @frankrashd1056 4 ปีที่แล้ว

      Beatrice Mwakalukwa 😂 refer your statment bhna "kumbe kuna waimbaji wazur kupita yy" no matter how they sing lkni yule anaimba vzur lkni bdo anahuyo mtu anaitwa uzoefu in such different kinds
      Ila all in all ni kwa ajili ya utukufu wa bwana hatuna neno juu ya haya

  • @marycosmas4043
    @marycosmas4043 4 ปีที่แล้ว

    Na barikiwa sana na nyimbo zenu🤝🤝 Magrethi badao hajatoa Album

  • @yohanaelia420
    @yohanaelia420 4 ปีที่แล้ว

    Sere ongera sana kaka nakubari kila ufanyacho brother

  • @moshanaaman5588
    @moshanaaman5588 3 ปีที่แล้ว

    NIWIMBO MZURI SANA

  • @mteuleclassic5398
    @mteuleclassic5398 4 ปีที่แล้ว +1

    Vizuri sana

  • @justersangule5739
    @justersangule5739 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice