Mimi jamani kichwaa tangu nipo mdogo jamani 😔 na kiliambatana na kutoka damu puani Ila Kwa sasa nashukuru nilipona tangu nikiw drs la saba.pia nikiamua langu 🙌🙌 sitaki lipigww
duh! Na mm nilizaliwa nikaitwa asha ila mm so mwisilam nilipo batizwa nilipewa jina la paulina nyumbani nafamika asha shulen paulina duh sjui nishike lipi
Upo Sahih kabisa bro Yan mwake kabisa yan nimekuelwa sana Leo nimetambua kumbe niliyyafanya yametokan na heref yangu 'A' Asante Sana bro
Mi Ally,nimecheka sana.Maana ktk sifa kadhaa ulizozitaja,1 tu(kuumwa Kichwa) hapana.
Asante sana kaka
Ni kweli
Ukoo vizurii kaka
Somo nzuri
Kwelii kabisaa babu
Naomba nichambulie doa ya shawal na anifa Ni ndoa ya Aina gani
Mimi huyo ubishi na kuharakisha mambo kufosi nyie nyie 🤣😂😂 kweli kabisa
Dah siyo powa😂😂😂😂 kwenye wasi wasi wa kufa afu nime ziamini sifa zote
Jamna nikoivyo Mimi 🔥🔥
Asante ☑️🙏
mm kabisaaaaa
Brother unatishaaaa
Kwa kweli A ni wabishi na wenye misimamo. Akiamua lake kumbadilisha sio rahisi. Unaweza Allykk. Utafiti wako ni WA kweli. Sasa dawa yake nn?
Yapo matibabu yake.
@@allykk1459 Tunapataje matibabu?
Jaman hapo kwenye haraka hapo. Utaniua, stak kabisa kusubiri ndo nilivo.
Mimi jamani kichwaa tangu nipo mdogo jamani 😔 na kiliambatana na kutoka damu puani Ila Kwa sasa nashukuru nilipona tangu nikiw drs la saba.pia nikiamua langu 🙌🙌 sitaki lipigww
Unasema kweli ??
@@naseeriddi4346 kweli .. halafu Nina hasira sana
is true
Vipi Kama wakikutana herufi A Kwenye maisha ya mapenzi au ndowa, watadumu au kuelewa na?
Mimi nacheka tu😂🙏
Asante
Mimi natumia majina ma 2 Elizabeth na Asha ila asha la kuzaliwa nilibadili badala ya kujua ni kiislamu
Hapo tazama lililo kulea mpaka kupata akili
@@allykk1459 okay thanks
duh! Na mm nilizaliwa nikaitwa asha ila mm so mwisilam nilipo batizwa nilipewa jina la paulina nyumbani nafamika asha shulen paulina duh sjui nishike lipi
Wa nanyota gani wenye herufu a
Je herufi A inaweza kuoana na Herufi H?
Ingia hapo hapo utapata majibu yote
Nimekuelewa ila apo kwenye marazi spo
Nini maana ya jina ADELPHINA😊
Ahsnte