BabaLevo Afunguka Diamond kumaliza Bifu na Harmonize namuonya Mwijaku,Dotto waache Shobo watafungwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 มี.ค. 2024
- #babalevo #diamond #harmonize #exclusive #interview #diamondnaharmonizewapatana #bifu
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ - บันเทิง
Ndio Maana Mimi Namkubali Sanaaa Baba Levo Ndio Chawa Mwenye Akili Kuliko Mwijaku
Ni kweli akili zake zipo juu sana hadi anataka kuzaa na diamond
Kweli kabisa
Yaaani baba levo ana uchawa usiokera na Wala hamtukani mtu
@ghu😂😂😂😂😂😂😂lamhaji7856
We ongea mwenzako anasonga mbelewe ndie unamjua sisi wengine hatujui ogopa jela@@ghulamhaji7856
Leo ameongea kweli baba levo
Mungu akubariki Baba levo
Baba levo siku hizi unaongea kwa point pia hekima imeongezeka
Baba levo nakukubali sana kwa maneno yko yaliyobeba hekma kubwa sana 🙏
Kiukweli kondee hajawahi kumkosea Simba.
Halafu B Levo na Mwijaku hamna tofauti.
I love this guy is a real gentleman Blevo❤
Baba Levo big up, you have content and you're smart in mind, physically ohhh good of you
Abari ya Radio ya mpinzani wa Diamond kwanzia ana tota ina endeleaj ??
#Diamond kabisa kabisa utajiri wa #Africa na muokozi wa mziki wa Tanzania mu mkubaki mtafuka mbali coz ana uwezo waku toka mwa iyo ichi na aka fanya vitu vikubwa na kuwa acha muedelee naku kamuwa ila ana ipenda ichi yake na wana inchi na kubadilisha inchi
#Diamond mungu akubariki kaka ila sisi wasani wa ichi jirani tuna kueshimu sana naku kupenda . Diamond ❤
Huyu mwamba yupo smart sana
Kiukweli baba levo yupo vzur
Baada ya kichapo cha Harmonise
Baba Levo Akili imemuingia baada ya Kipgo 😂😂😂
Diamond Platnumz wamemumaliza na Uchawi na Harmonize amechukua hio responsibility 😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Uku Burundi 🇧🇮 kwetu tunamukubali Babalevo abarikiwe n'azidi kumukuza Mwijaku bila wewe mwijaku hangelijulikana umemutengeneza
B levoo nomaaaaa❤❤nikataka ❤
Hajaona vita ni ngumu wameamua kupatana ,ongea vizuri
Mara ya kwanza ku sukia maneno yaki sage ku toka mu kinya kya baba levo. Leo nime kupa mauwa kwa mara kwanza 🌹🌹🌹
🇨🇩🇨🇩très bien baba levo
Bro baba revo point unajua kushauli asante
Mtu wa maana sana baba levo
Safi sana
Iyonikweli babalevo muguakubari ukonahakilinyingisanaa
Iyo drip nimeikubali ni moto🔥🔥
Upo sahihi kaka
Baba levo anaakili sana
Sana baba love
Baada ya kupigwa na konde kichwa kimeongeza hekima 😂
Leo umesema vizuri
Huyu Baba Levo anaongea kidiplomasia 😀😀
Sijawai mpinga uyu bro
Amenyoka mr ngada!!!
🇧🇮🇧🇮🇿🇲🇿🇲🇿🇲baba levo umeongea ukweli bro simba aw makini 🦁🦁🦁🤍🤍🤍💥💥💪💪🦁
Kwaiyo diamond yeye hakosei kawa mtume ama vipo
😅😅😅 ivi kijana mtangazaji iyo style yako ya kunyowa inatwaje?mbona kama kofiya za kiyaudi.baba levo hamo anajuwa kama mna kesi naye na ulisha mshitaki nilazima apitiye kwa baba yake ili yaishe kimya kimya.juu anajuwa kwamba baba yake anakumudu.
Nakubali chawa wa rukuga
Chawa asiyepayuka, hapigi kelele ka nguruwe.
Hapo angekuwa mwijaku sasa, kelele ka zote. Mwehu yule
Mkorofi tu baba levo
Baba levo kweli hana akili maana bado anaongelea mamb ya ushindan mara aseme harmonize aliona kazidiwa ndomana kaomba msamaha
I doubt your understanding Sir.
Dati izi 😀😀
Father majumba
Huyu mwandishi ni Dem au mwanaume 🤣
Natoka Congo kweli baba levo wenimkweli sana Ila iyo l'onde fyoto ana ogopa Simba jomana ana ona Aachen bifu mapema kesho asiabike nakonde fyoto Yake ange nyongwa n'a Simba dume
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 utapigwa tena
Nyimbo zimebuma Popo amebuma basi Harmonize aombe Radhi Watanzania 🙏🇹🇿
❤🎉
We mbona unamuhitaga harmonise kilandage au ndo kunya anye kuku??😂😂😂😂😂😂badiliken wote
Mlimsikiya kwa sauti harmonize akiwa anamuomba msamaa?
Nyinyi wrote mmesahau vitabu vys Mwenyezi Mungu !sasasijawelewa vyema fhamira zenu na jamii ya Tz! Kama Harmonize MNA wasiwasi nae kapekueni vitabu vitakatifu vinaelezeaje swala kama hili ? Kwani hayo yote yameshatafsiriwa yote !ktk dini mnapoteza jamii mpo kidunia sana kuliko akhera ! Wrote nyinyi no wahsribifu ewa jamii ya TZ!nyang',au
Usiseme wazungu.. sema wakenya 🇰🇪"if you can't beat them join them😂😂😂😂 tz
Wacha makasiriko wewe hujaitwa huku 😂😂😂😂😂
Wacha arudi njo moto iwake hona hii wimbo ya kwanguaru wameyoka mbali sana
Mwijaku mshamba anapeda sifa cn
Nyinyi ndio wagombanishi mmeanza agalizo kalud kwa wema au kumumaliza akiwa jirani hayo maneno yanaonyesha hamjapenda hivi basi kumbe hawatapatana kamanijema ongeleeni jema tu sio maangalizo yanini
Bola ivo
Bangii ameshawasulubu vby mnoo na amesema wazi ameshakua tajiri Hana hajaa ya bifu.kimziki kaitupa Africa mashariki mbali mnoo.na wale walikua kibiashara si ameshafaidika bangi.lazima awacheke bila kujijua
Mbona hammzungumzii mtangazaji sio poa😂😂
Huu ni mwezi mtukufu wa ramadhani mi naona tuachane na maneno ya watu tufunge na kusali
Mimi Namtaka Harmonize Ndio Ahojiwe na Ajibu Aliyo yatangaza
Sasa babalevo ww mbn unamwita harmonize kirandage
Kikana mtangazi ni mdada au hivo inakaa vioi kama mwanamke jinga la mtangazaji kama mdada
Unafaa kua kiongozi wa serikali unaelimu Boy
Umevaa Kama Police ,FFU
Ati Jeshi la polisi😂😂😂😂
Kaongea ukweli gani harmo ajamfata mtu pale harmo amefata wito wa serikari uyu jamaa anaonhea vitu tofaut nambwida uyu
We ndomana ulitaka kumzalia diamond maana unaongelea kama unamjua sana
Uyu jamaa nanguo zake izoo izoo amenipita na Honda bakola hapa makumbusho ila izoo nguo unabadili au zipo pacha 😂😂
Mwehu wala harmo ajashindwa na wala harmo hajarudi kwa sadala acha kuropoka vitu huvijui acha kumuongelea mtu hujui bwege ww
Ajarudi ila anachotaka hamo ni kuwa pamoja ili wauvushe mziki zaidi sio ww mbwa unavyo ongea
Babalevo anasema ukwl sio ulefala mwijaku wakulopokalopoka
Mukimaliza kesi anakutwanga tena
Kwani wewe ni MSEMAJI wa Diamond
Baada ya kipigo ana heshima sikuizi
Harmonaizi kashajipata kitambo iyo ni shidi zenu tu zakujifanya nyinyi ndo kilakitu 😂😂😂😂😂😂
Wabongo na media na kkkkk
Utapigwa tena, hajataka amani kwahiyo njiya mmbwa, uchawa umeisha Ndo wivu unaho, si umesema amejutia kwa nini amsitukie kwa hilo
Konde amekunyosha uko uzurii😂
Acha kubeza wasanii wengine
Baada ya kipigo unaongea kwa adabu konde nuksi
Nikajua ni mgambo😂😂
Mshamba ww kwanza unalelewa na mwanaume
🙄🙄🙄🙄🙄😂😂😂
Babalevo mbona hataji jina kilandage ?
Babalevo ameacha kutumia neno kilandage au
Tushaungana konde na wasafi kitukimoja
Baada ya kupigwa akili zimekaa sawa
Kitu watu hawaelewi Harmonise hajaenda ikulu kumuomba Diamond msamaha. Ile ilikua sadfa ambayo Mwinjaku ndio aliitengeneza. Harmonise hajapanga kuomba radhi diamond wala hajaota. So mtoe iyo mafikirio mko nayo
Wewe ulikuwepo?
Senge
Harmonize kazingua sana KUJISHUSHA KUJISHUSHA SANA
Harmonize kajishusha aje wakati mda wote iko chini ya Diamond? Sio kwa mauzo ya music, sio kwa uwekezaji, sio kwa ku promote na kusimamia wasanii, sio kwa ubalozi wa makampuni makubwa Diamond iko juu ya Harmonize kwa kila kitu sasa Harmonize kajishusha kwa lipi?
Mpumbavu zako ujui kuongea maneno ya hekima
Huna lolote wcb
Negative mind set
Utapigwa wewe ongea ujinga hapo
Konde kapiga tena
th-cam.com/video/5_6gUGtOy_U/w-d-xo.htmlsi=Xomb1LQvY3Knm0cH
Abari ya Radio ya mpinzani wa Diamond kwanzia ana tota ina endeleaj ??
#Diamond kabisa kabisa utajiri wa #Africa na muokozi wa mziki wa Tanzania mu mkubaki mtafuka mbali coz ana uwezo waku toka mwa iyo ichi na aka fanya vitu vikubwa na kuwa acha muedelee naku kamuwa ila ana ipenda ichi yake na wana inchi na kubadilisha inchi
#Diamond mungu akubariki kaka ila sisi wasani wa ichi jirani tuna kueshimu sana naku kupenda . Diamond ❤
Toka upigwe umekua mkarimu...mwana FA alisemanga mkate mitama ashike Adhabu babu 😅😅
Abari ya Radio ya mpinzani wa Diamond kwanzia ana tota ina endeleaj ??
#Diamond kabisa kabisa utajiri wa #Africa na muokozi wa mziki wa Tanzania mu mkubaki mtafuka mbali coz ana uwezo waku toka mwa iyo ichi na aka fanya vitu vikubwa na kuwa acha muedelee naku kamuwa ila ana ipenda ichi yake na wana inchi na kubadilisha inchi
#Diamond mungu akubariki kaka ila sisi wasani wa ichi jirani tuna kueshimu sana naku kupenda . Diamond ❤