VITU 6: VITAKAVYO IFELISHA YANGA KIMATAIFA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024
  • #YangaKimataifa #ReturnofChampion #SoccerData

ความคิดเห็น • 74

  • @kaisarimbisso5011
    @kaisarimbisso5011 2 ปีที่แล้ว +3

    Upo sahihi kwa mwamnyeto. Jamaa inabidi abadilike. Bila Bangla na job, mwamnyeto ni mlinzi wa vilabu vya Kati. YANGA inahitaji beki mwingine wa kati. YANGA itakuwa Bora zaidi next season.

  • @jrmsilimu3982
    @jrmsilimu3982 2 ปีที่แล้ว +3

    Ujawahi kufeli bro👊👐

  • @shabbazeltv7491
    @shabbazeltv7491 2 ปีที่แล้ว +1

    itafika hata final.YAAAN BOSS 🙏🙏

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 2 ปีที่แล้ว +2

    Wengi sana wanawaza namna yanga itakavyo feli, lkn Mungu ana mpango wa kuifanya yangu kuwa Bingwa kimataifa. ✊✊💛🖤💛🖤🖤

    • @allyhuyu1892
      @allyhuyu1892 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa utopolo hii ichukue ubingwa Afrika?🐸

  • @kelvinmtavangu7701
    @kelvinmtavangu7701 2 ปีที่แล้ว

    Hallow Mchambuzi, nimekupenda Sana kwa uzuri wa vipengete vyako vya Utafiti wako ulioufanya. Kongole Sana. Je, unaweza kufanya Utafiti kama huu Kwa TFF? Au Hilo tuliache tuu wasije wakufungia. Wasilisha taarifa hii Kwa uongozi wa Yanga ili waifanyie KAZI. Ahhhh!!! Hongera sana Mtafiti wetu.

  • @siafuvideo2541
    @siafuvideo2541 2 ปีที่แล้ว +2

    Mala nyingi nimekuwa wakuangalia tu video zako nakufutiliia baadhi ya comment na ku like ila leo umenishawishi niandike japo kwa uchache kwanza kongole kwa kazi nzuri,pili nichangie japo kidogo inshu ya kocha Nasreedin Mohammed Nabi kwenye uwezo wa kuwabadilisha wachezaji kwa kuwaangalia wachezaji wanne hadi sita kabla na baada ya ujio wa Kocha NABI Tuanze na Mwamnyeto ukweli nikuwa Bakari amebadilika sana nadhani ulimfutilia Mwamnyeto wa COASTAL UNION na wa msimu wa kwanza pale YANGA kabla ya NABI na huyu ukweli nikuwa ameimprove sana sisemi hana mapungufu lkn ameonesha kiitu tofauti baada ya ujio wa NABI.Itaendelea.....

    • @chrysanthushakaunga6560
      @chrysanthushakaunga6560 2 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa ni mchambuzi feki kama mapungu yote hayo ingekuwa kweli performance inapatikanaje?

  • @shabbazeltv7491
    @shabbazeltv7491 2 ปีที่แล้ว +1

    soccer dataa soccer data 🙏🙏🙏

  • @habibahmuhammed3534
    @habibahmuhammed3534 2 ปีที่แล้ว

    Hizi video msije mkazifuta mambo yakija kua tofauti maana hua hamchelewi

  • @muhyoisah4433
    @muhyoisah4433 2 ปีที่แล้ว +1

    Msimchukie kwa Ukweli wake. Angesema Yanga imetimia kila idara naamini mngemsifia , sasa amesema akionacho mnamkasirikia. Acheni mautopolo Utopolo yenu.

  • @busta_malik5971
    @busta_malik5971 2 ปีที่แล้ว +1

    Yess yanga hata hatua ya makundi hawatofika anatolewa hatua za awali kabisa naomba socerdata hii coment yangu muihifadhi 🙏🙏

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 2 ปีที่แล้ว

      Kabla hujamuombea adui yako mabaya kumbuka naww kujiombea Dua tafakar napia kila baya unaloliomba litakurud mwenyewee

  • @HildegadaMtayomba-os4up
    @HildegadaMtayomba-os4up ปีที่แล้ว

    Leo nimeamin ww jamaa unajua

  • @ahbakumhusseinabubakar1532
    @ahbakumhusseinabubakar1532 2 ปีที่แล้ว +3

    Huaga mtu akiongea ukweli anapigwa, sema kweli uwokoe Taifa😂😂😂😂

  • @emmanuelcalist954
    @emmanuelcalist954 2 ปีที่แล้ว +2

    We ni kocha wa timu gani kwanza mbn kama mjuaji sana kuliko guardiola...tuonyeshe kazi yako sio kukosoa tu ilhal za kwako hatuzioni au unachambua tu kama si mashabiki wengine tu.

    • @simonraphaeli1426
      @simonraphaeli1426 2 ปีที่แล้ว

      Wewe kweri maembe hivimnaakiri kweri hapomchambuzi anakosa Gani arichoongea niukwerimtupu achenikufanya arichoongea muone kama hamjaishia hatua zamwanzo kwanza hatakwenye maisha unatakiwa ukosorewe ndio upatemaendereo

    • @emmanuelcalist954
      @emmanuelcalist954 2 ปีที่แล้ว

      @@simonraphaeli1426 sawa we si bogaa...ungekua na akili ungeelewa nilichocomment sio kukurupuka na kujibu kishabiki kolo mkubwa ww...kwanza jifunze kutofautisha kwanza hizo r na l ...bado zinakupa tabu apo unaandika kama mtu wa ndaani uko ..cjui kabila gani kwanza ww..unajifanya unaandika ukweli...ukweli gani umu..kaa kwa kutulia uko...una mbeya city usiku huu kakamilishe ratiba uko.

    • @adamfundikira742
      @adamfundikira742 2 ปีที่แล้ว

      @@simonraphaeli1426 hawatafika mbali mbwa Koko hawo yanga ukimuondoa mayele Nani mwingine ubishi wa uzwazwa

  • @mudywambash6684
    @mudywambash6684 2 ปีที่แล้ว

    Heee makolo mmekuwa waganga wakienyejie

  • @mathiaschoma4423
    @mathiaschoma4423 2 ปีที่แล้ว

    Omba kazi

  • @alexdjmoviestv3712
    @alexdjmoviestv3712 2 ปีที่แล้ว +1

    Acha upuuzi wewe uku sio kuchambua ni kufedhehesha hakuna sehemu uliozungumza ukweli hata kama imekosa kazi kalaleeee

  • @fundimsati4026
    @fundimsati4026 2 ปีที่แล้ว +1

    Umeshindwa kutuambia kocha anaitaji mdagani kuyatimiza hayo uliyo yasema nimapungufu kwake? Au ndyo naww umeumia na matokeo ya yanga msimu huu na unatamani kuiona yanga ikitimua timua benchi lake la ufundi ili mkikutana mikiani huko mjisifie? Hayo uliyo yasema je simba hayakuwepo mpk wakafika robo ?

  • @johnkandege9812
    @johnkandege9812 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmm mchambuzi uchara kaanzishe timu yako tuone mnajifanya wajuaji sana ninyi wakati hamna lolote

  • @mundhirsuleiman7830
    @mundhirsuleiman7830 2 ปีที่แล้ว

    We ni mnafki sana kk kwsbb simba unawapa point zote ila yanga unahitaj kuirudisha nyuma kwa huo unafki na ufisadi wako

  • @rajabedward1238
    @rajabedward1238 2 ปีที่แล้ว

    Mbonà yanga inakasi kubwa na ndio maana tunapata ushindi kila mechi

  • @anisiamalyagili9723
    @anisiamalyagili9723 2 ปีที่แล้ว +3

    Tunajipanga yanga ndo itakuwa ya kwanza kuleta kombe la kimataifa hapa tanzania

  • @petersubeth9727
    @petersubeth9727 2 ปีที่แล้ว +1

    Umesema ukweli ilakwasisi mashabiki tunakuona hufai

  • @lizashagilliard2336
    @lizashagilliard2336 2 ปีที่แล้ว

    Mtazamo wako

  • @MestonKapembati-ty7jq
    @MestonKapembati-ty7jq ปีที่แล้ว

    Tuta jitaidi

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 2 ปีที่แล้ว

    we jamaa bhan! chambua mpira acha ujanjaujanja

  • @ommymsangi9182
    @ommymsangi9182 2 ปีที่แล้ว

    Wachambuzi mandazi wanavyo hangaika kuitoa YANGA katika morali kwa kuelezea tafiti ambazo hazina kichwa wala miguu.WATUPISHE na YANGA yetu waongolee timu yao ya "mlete mdhungu,mdhungu huyooo"

  • @michaelmasalago8068
    @michaelmasalago8068 2 ปีที่แล้ว

    WEWE MCHAMBUZI WA MCHONGO, SUBILI UONE KIMATAIFA ITAKAVYOFANYA VIZURI, TUACHIENI YANGA YETU.

  • @josephmselle2071
    @josephmselle2071 2 ปีที่แล้ว +3

    Yanga umesema hawana kasi, mwalimu hana minutes pia habadilishi wachezaji kiuchezaji.
    Je ni nani aliye sababisha Fei Toto kucheza namba 10 kwa mafanikio badala ya namba 6, nani amemfanya Kibwana acheze namba tatu tena kwa mafanikio, pia nani alijua uwezo wa Faridi Mussa kicheza beki namba 3, Kiungo wa mshambuliaji, mm ningekuelewa kwanza ungemppngeza Nabi kwa kazi aliyofanya hadi wakati huu. Halafu ukamshauri nn cha kufanya ili afanikiwe huko mbeleleni.
    Hao abao hujawaelezea hapa kama wana vitu vyote hivi na vyombo vya mazoezi ulivyovitaja mbona wamefeli kotekote?

    • @SoccerData.
      @SoccerData.  2 ปีที่แล้ว

      Ambacho umeshindwa kutofautisha ni mabadiliko ya kocha kinafasi kwa wachezaji na mabadiliko ya wachezaji kisifa... Yaani individual game characters...

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 2 ปีที่แล้ว

      Wache waseme Mungu Atajalia tuu

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 2 ปีที่แล้ว

    Hahahaaa! Munyamabuana,,,,,,!

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 2 ปีที่แล้ว

    Una kipaji cha upumbavu

  • @travisgay5338
    @travisgay5338 2 ปีที่แล้ว +1

    Na Kama hutobadilika utaendelea kulalamika unaviews wachache,,,,, umekaa kisimbwasbwa hunatofaut na mpenja

    • @SoccerData.
      @SoccerData.  2 ปีที่แล้ว +1

      Views ndio Nini mzee😂🤣

    • @travisgay5338
      @travisgay5338 2 ปีที่แล้ว +1

      @@SoccerData. kuna wachezaji pale yanga hawakuwa bora kabisa lakin baada ya ujio wa nabi wamebadilika mfano, mwamnyeto, Fei ,faridi Mauya na baazi yao kwaiyo nabi ni wa kimataifa,,, ungezungumzia baazi ya wachezaji kutoimprove zaid viwango vyao Kuwa vya kimataifa ningekukubali,, acha unafiki nab ni zaid ya makocha wote waliopita tz iv karbun

    • @travisgay5338
      @travisgay5338 2 ปีที่แล้ว +1

      @@SoccerData. sisi pia tunajua soka ila tunapokusikiliza tunaongeza madini fran achakuwa Kama akina manara na Ahmed ally wanaopotosha mashabiki,,, NB :ukitaka kupata views wengi ondoa ushabiki

  • @benmcdream2268
    @benmcdream2268 2 ปีที่แล้ว

    Denis nkane miak 18 na siyo 22

  • @kategiletv9154
    @kategiletv9154 2 ปีที่แล้ว

    Ngoja tuone

  • @saudajuma3129
    @saudajuma3129 2 ปีที่แล้ว

    Dongeeeeeeeeèeee

  • @jumannenuru8084
    @jumannenuru8084 2 ปีที่แล้ว

    A zizik

  • @muhammedabdurahman7953
    @muhammedabdurahman7953 2 ปีที่แล้ว

    Acha maneno yakishoga

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 2 ปีที่แล้ว

    Hunalolote pundugu weeeee

  • @aminaally3116
    @aminaally3116 2 ปีที่แล้ว

    Yaani kila coach ana mbinu sake sasa wewe ukizungumzia kasi sio kweli mchezaji anatakiwa awe na akili na mbinu

  • @aminamsimbe4034
    @aminamsimbe4034 2 ปีที่แล้ว

    Huna lolote kwenda kule

  • @decomarcos7458
    @decomarcos7458 2 ปีที่แล้ว

    We fala tu

  • @husseinkhaji895
    @husseinkhaji895 2 ปีที่แล้ว

    Mtafeli nyinyi lakini siyo nyinyi nyinyi ndiyo wadhaifu jifanyieni utafiti nyinyi

  • @victorlijaji6090
    @victorlijaji6090 2 ปีที่แล้ว

    Waandishi, wachambuzi... Acheni usimba wenu...yaani mmekuwa manyonyo ! Kazi yenu kuufikiria udhaifu wa Yanga. Mbona nguvu zao hamzitaji?

  • @chobatz8620
    @chobatz8620 2 ปีที่แล้ว

    Katika watu niliokua nawakubali ulikua niwewe lakini hapo umepuyanga labd nikukumbushe ulisema kunawachezaj 9 wanaofaa kuchez kimataifa sasa leo umewageuka🤣🤣🤣🤣🤣 umekosa chakuongelea

    • @SoccerData.
      @SoccerData.  2 ปีที่แล้ว +1

      Ukumbuke HAPA; nazungumzia Kukamilika... Ndio maana nikasema Aucho Ni Mzuri lakin ana Udhaifu fulani, the same kwa Nondo na Wengine... Kufaa Kimataifa Sio ndio kwamba Hakuna Udhaifu...Messi Mwenyewe ana unarhaifu au hujui

    • @msafirisalum8436
      @msafirisalum8436 2 ปีที่แล้ว

      @@SoccerData. utajichafua bro

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 2 ปีที่แล้ว

      Mikia tu huyu

    • @chobatz8620
      @chobatz8620 2 ปีที่แล้ว

      @@SoccerData. basi ukijua hata messi anamadhaifu frana sio uamue kuwaaminisha mashabiki kwamba wachezaji wasipobadilika utaiona ikistrag sikuzote hakuna mchezaji aliokamilika sawa ila madhaif tumeumbiwa ili tutimize agiz la mungu so mimi nishabiki yako nakufuatilia sana lakini ukiwa unapost hivo unakua unaua vibe simaanishi kwamba usikosoe wewe kosoa ila mpira haupo kama unavyofafanua wakati ule msim ulioisha hakuna mtu asiejua kaiza chif ilikua inafanya vibaya kweny lig yao ila alitoboa final

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga6560 2 ปีที่แล้ว

    Wewe mtoa post hao makolo wana nini jipya mchawi wewe tuache mwongo unampotosha nani wew kenge

    • @jumamagimu9223
      @jumamagimu9223 2 ปีที่แล้ว

      Nikweli kabisa kukosi cha YANGA michangamoto

  • @petersubeth9727
    @petersubeth9727 2 ปีที่แล้ว

    Acheni uzuzu nyie tumezoea mtuasifie kitu hatakama kibovu akisema ukwel mnaona hafai unajua skatai kua yanga ikosawa kwaligyetu haina mpinzan ilawanasema kazi imala inapimwa kwamoto nandiohicho alichozungmzia mchambuz

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 2 ปีที่แล้ว

    Soka la Afrika haliko hivyo Simba ya mwaka huu ilikosa vitu vingi Sana lakini Bado wamefanya vizuri kimataifa. Liko soka la Afrika lililomshinda Pablo na liko soka la wenzetu Kila bara linanamna yake ya kucheza soka ukiifikilia Liverpool usifikilie na mazembe hata kidogo. Na kwa acceleration Kuna timu mbili tu ambazo ni Simba na yanga zikivuka nusu ya uwanja huwa na kasi na hatari zaidi. Nilikua nawaza huyu jamaa kuongea Mambo mengi ambayo timu inatakiwa kuwa nayo ila anatakwimu ya kile anachokisema. Nikweli wachezaji wako slow kitakwimu wamanyanganya Mara ngapi na wamepoteza mipara Mara ngapi acceleration ya Kila mchezaji kwenye mechi ilikuaje? Accuracy pasi ni ngapi,

    • @SoccerData.
      @SoccerData.  2 ปีที่แล้ว

      😎😎 Ni Kazi ngumu pia kuandaa hizo chambuzi; ukizingatia Tanzania hatujaendelea Sana..

    • @nyaganyaga3876
      @nyaganyaga3876 2 ปีที่แล้ว

      @@SoccerData. Sasa hivyo ndivyo humufanya mtu aweze kusema akiwa na hakika ya kile anachosema. Baki wamefanya tackling kadhaa na kadhaa wemeshidwa, penetration pasi zifanywa ngapi zilizofika sahihi ngapi zimeshindikana, cross ngapi Bora ngapi za ovyo, kikosi Cha Kwanza kinawatu wangapi wenye uzoefu na michuano ya kimataifa bila kujali umri maana akina moloko na wengine ukimtoa nkane tu na mshery ambao ndio kikosi Cha Kwanza hao wengine akina Bryson na athuman hata benchi mechi ngumu hawakai sikumbuki hata lini athuman kacheza mechi msimu huu. Kibwana,job mwamunyeto, fei. N.k wemecheza mechi nyingi Sana za kimataifa hasa za timu ya taifa wakicheza nawechezaji wenye majina na experience bila kusahau skills kubwa Sana na wamecheza vizuri tu. Kwenye benchi sijui Kama umefuatilia cv ya nabi na kaze vizuri ninahakika hakuna club yoyote ile ambayo benchi lake la ufundi linamakocha wenye CV kubwa kwa ukanda huu wa Africa mashariki hapa namaanisha nchi kongo, tz, kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na s. Sudan.

    • @nyaganyaga3876
      @nyaganyaga3876 2 ปีที่แล้ว

      Ninachokubaliana na wewe yanga wanaitaji maboresho hasa kwa dhana ya kikosi kipana beki wa kushoto, kati na hata mshambuliaji wenye kutoa option kubwa kwenye kikosi eneo la kati halina tabu Sana. Na utimamu wa miili ya baadhi ya wachezaji Kama djuma mwili bado hauko sawa. Mbio nyingi haziwezi. Lakini Kuna baadhi hasa ya vifaa na benchi zito Sana Ni club chache afrika zenye uwezo huo na nichache Sana club za ukanda wetu na kati bado Sana. Na hivyo ni ugojwa wa bara Zima.

  • @godriankomba7816
    @godriankomba7816 2 ปีที่แล้ว

    Mchambuzi wa mchongo
    Yanga ya SS unaweza kuilinginisha na yanga ya misimu miwili iliyo pita
    Nabi anamisim mingapi ya yanga
    Usituchanganye ww ni wamchongo tu

    • @fanspeople6774
      @fanspeople6774 2 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa fanyeni mpango dirisha dogo maana aliumia mateke,bangala inaisha hiyo kifupi hilo ndo fundisho