Check on TH-cam they are fighting him,there is a fake account on TH-cam with poor lyrics audios,poor vocals,poor melodies using Aslay's name and picctures.
Hvi ukiwa mfanyakaazi wa moo unagawana mapato nae mziki ni biashara mwenye biashara ndie mwenye maamuzi ukiona huwezi kuwa chini ya mtu jisimamie mwenyewe watu waweke pesa uje ujifanye una kipaji
Miaka yote nitaenda piga show Burundi, kenya, wapi huko mbona huendi! Promoter nani atakupa show wewe? Kumbuka ulichofanya show ya wasafi festival alipokuja Wiz, ulipopanda ulifanya nini?
From KENYA nampenda sana ,ASLAY na pia dudu Baya enzi zake. Kiukweli mimi humia sana kuona waafrika wanakadamizana shida.
Nipee like hapa
Dudu watu huwa wana muchukuliya kichaa ila ana points zamaendeleo God bless you Dudu
Huyu jama ukimfatilia anaongea madini sana lakin watu wanamchukulia pow safi sana mzee dudu baya
.v
Kwerii
Huyu jamaa namkubali sana anajua kuongea vizuri sana yaani hadi raha
Na mambo
Akitoka Diamond namkubali sana Aslay...Dua zangu kwako Aslay Baba Mozza 🙏
We need Aslay back. We can't afford to lose such beautiful talent
Check on TH-cam they are fighting him,there is a fake account on TH-cam with poor lyrics audios,poor vocals,poor melodies using Aslay's name and picctures.
Brother anaongea point sana 🤟
you speak the truth📌
Kaka mkubwa mkongwe nakukubali wachane kaka masnichi 👏👏👏
Suree kwa kwelll ponts tupuuuu big up brooo
We Kenyan we ❤ u💯
Anaongea fact sanaa
Mzee dudu utabakia kusema konki konki wenzio wanaimba nyimbo za kutengeneza pesa😅😅
You are welcome bro
Facts 👏
Nakukubali sana kwakua msema kweli ♥️
Mkongwe Dudu ,,,ukweli kabisa🔥🔥🔥🔥
Lazima aondoke huko mwarogana sana huko na waibaji wa bongo wengi ni ma freemason
Sema Clouds wanaua wasanii sana
Aslay ananiuma kweli kupotea ktk muziki,huyu dudubaya anaongea kweli
Respect Konk Master,umeongea point sana 💯
Nakupenda kaka umeongea point
🤣🤣🤣🤣dudu we noma corona
A candid and outspoken guy.Please tell them.
Dudu baya nakukubali sana mzee uwa unaongea point sana....ila aslay yupo apa Dar es salaam anaishi uku boko karibu na kanisa la roma
DuDu huku Kenya tunakutambua...🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uko sahih sana mnyama Dudubaya🤛
Tingisha kidogo nione wako mwanyA🙄🙄🙄😅😅😅😅😅😅😅
Dudu umepotea sanaa mwamba!
True🔥🔥🔥
Very true Oil chafu🇰🇪
Well said
Okay mwamba tishaaaa a mbaya
Hahahahaha Hahahahaha Tz bado saaaana
Jamaa anaakili ndefu mno ukitulia kwa makini utakubaliana na maneno yangu
Dudu Baya ameongea points za maana sana ambazo ndizo ukweli wa mambo jinsi wanavyobaniwa wasanii
Mambaaaaaaaaaa!!!...
Wapi bro umekuwaga auna sauti yakuimba ata sijuwi umetokaga vipi 🤣🤣🤣
Ndugu umezaliwa juzi au hujui Muziki wa Bongo, huwezi ongelea Muziki wa Bongo bila kumtaja huyu jamsa
Kama aslay ako kenya ...l need connection please to reach him
Mboso mariooo wote wakubwa kiumri kwa aslay lkn kimziki ni vifarangaaaaa
Uko sahihi..facts tupu
Yote ni kweli kaka DUDUBAYA sikupingi kabisa
Facts..mkongwe
Yuko Kenya ngani huyo aslay juu mm Niko hii Kenya msa na simuoni🙄🙄🙄
Yani Kenya yote Ni nyumba yako..... useless
Kenya yote watembea ww jamani watu choka sana
Nakukubar ankooo
Ila konki anaongea kweli wajameni
Huyu wangempa uongozi selikalini katika balaza la sanaa
Hadj mambo
Fact sana
Jamaa ana ongea mambo ya maana bas tuu
Namkubari dudu baya
Sis watz ni wehu huwa hatupendan hata kidogo sijui kwa nin kwa kweli??
Umeongea point sana
Jembe la kazi konki 3 masta
Aslay jamani eti kweli amepotea kimziki.Dudu baya kweli maneno yako.He mungu ludi Aslay Tunakumiss sana we mtoto.
Wanampiga vita,Kuna kijiaccount Cha ushenzi around TH-cam kinatumia jina lake Aslay lakini melodies sio zake,audios mbaya sanaaaaaaa
@@jamwasike5189 account ipi kaka
Dudu Baya. Nafikiri pia jina sio zuri sana, halisadifu ukweli anaongea. Jamaa anasema ukweli sana huyu, binafsi nampenda
Ulizia pesa tukuzime kama Taa. Ulizia pesa tukuzime kama Taa.
Dudu mkali sana
Hvi ukiwa mfanyakaazi wa moo unagawana mapato nae mziki ni biashara mwenye biashara ndie mwenye maamuzi ukiona huwezi kuwa chini ya mtu jisimamie mwenyewe watu waweke pesa uje ujifanye una kipaji
😂😂😂😂 oyaaa point tupu
Natamani ubadilishe jina Hilo jina na jinsi ulivyo mkweli na bado unaongea point na pia handsome hata huendani nalo
🙌🙌🙌🙌🙌
Bless
Aaaaa noma sssssssssna
Afande Sele alimtukana Mungu utamuitaje kama Dudu baya ni Kichaa? Acheni Doublestandard Wabongo, Dudu baya ni Kichwa chenye IQ za kutosha tu.
Dudu la kweli kongi jitokese
Dahhh jamaa namuelewa sanaaa
huyu jaamaa anaongea sense
Njem hiy mzee wambie kaka mkubwa
Aslay alikuwa anakuja vzuri tuu haya yote ni uchoyo na chuki na kukosa uzalendo
Uko powa sana MAAAAAMBA
Dudu baya usiongelee jambo usilo lijua
Roho mbaya bongo ndiyo shida na ushamba
Ngoma imenikumbusha mbali dudu baya
I take my passport, I go there
dudu baya namkubali lakin anaogopa kuwachamba wcb kwa kumèpoteza aslay
Fatilia Intavew zake asha wachana vizuri tuu
Wambie wasikee
Tumekumis Asly rudi kwenye gemu baba💖
YUKO VZR
Huyu Jammaa amezidi uongo ,Grand Pa ilifungwa kitambo ni grand pa ipi inayomuita yy
Kumalamamayako bichi mbwa wewe au ndo wewe walewale mkundu wewe kuma la mama yko tena mbuzi wewe
Mamba umegusa wengi..
Dudu umesema really
Kwani huyu kawa chizi hayo manywele kama uchafu mtupu
hakika broo jamaa bado wana mtindo wa kunyenyekewa
Hav no learned something from you bro
Miaka yote nitaenda piga show Burundi, kenya, wapi huko mbona huendi! Promoter nani atakupa show wewe? Kumbuka ulichofanya show ya wasafi festival alipokuja Wiz, ulipopanda ulifanya nini?
Aliesikia tingisha nione wako wanya
Bangi nyongi sauti imepotea
Dude baya tunakuoenda saana
WANASEMA ASLAY YUKO BOKO HAPA DAR KARIBU NA KANISA LA WAROMA.
Mwambieni akate nyule daah
Mbona hamuongerei mavoko
Waliomdhulumu Aslay ni wakina nani ?
Kwani ukinyoa nywele zako uzichane vizur utakatika wp?
nenda kanyoe za kwako kwanza,mpaka uko unakovalia chupi
Madini tupuu konk
Putin pamoja sana
Ko wema atakua kama Bi. Hindu🤣🤣🤣🤣
His voice is not ok now
KWANI DUDU BAYA AMEKUWA KICHAA??
Konki Masta Putin
Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN th-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/w-d-xo.html
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
#LjayKitchen #FriedGoatIntestine #utumbowakukaanga #Ljaystunner
chuma