Tenaaah😍 kwa Raha zako Jitumbuize Kazi na dawa💯👌 wanaosema watakufa na Vijiba vyao vyao vya Roho huku Kazi iendelee tusonge mbele Mamaetu I love you so much ❤️❤️❤️👌👍Mungu Ibariki🇹🇿 Tanzania mlinde Rais wetu na Hasaad na Chuki zao Aamin 🤲🤲🤲
Mnaosifia jicho mkumbuke mama ni umri wa mamaenu na nimke wa mtu mwenye kuithamini nakuijali ndoa yake.Ukijua umri wa ndoa yake utajua anamume mvumilivu na anaempenda kwa Kiwango gani.maana sio siri kuishi na mke anaefanyakazi tena mwanasiasa unatakiwa uwe na moyo wa uvumilivu mkubwa sana
Marhabaa, aksante Mama shujaa wa kweli, nahodha shupavu kazi unafanya haswa. Chombo kinakwenda salama. Pumzisha akili kwa taarabu asilia. Tuko pamoja na wewe mama yetu tunu yetu tumepewa na muumba. Hivi vikundi vya taarabu asili lazima uvikumbuke vinakuza utamaduni wetu.
Una uhakika watanzania tunabubujikwa na machozi???unatusemea sio,,,na hizo takwimu umechukua wapi??Jisemee mwenyewe asee!!unabubujikwa na machozi alahaa!!
Magreth usemalo ni kwel kbsa.....WATANZANIA tulio wengi na wazalendo tunabubujikwa na machoz ya uchungu....ila hawa wahamiaji ndo awaelew Tanzania Tanzania tumepoteza nn!
Mwacheni mama yetu Rais wetu apunguze stress , binadamu habebeki utakavyo mfanyia hariziki ni sawa nakusema mvua na jua kipi Bora ikijamvua watu wanapiga zogo likitoka jua pia watu wana piga zogo Kwa hio mama chapa kazi anaekutaka sawa asiekuta sawa Ila ww ni prisedent of United Republic of Tanzanai
Mama nae kama unajichanganya kidogo tu unaweza kujikuta mikononi mwa dola,hatari sana yaani,apo ndo yuko na kitu kama 60,vuta picha enzi za 30 apo,kula raha mama kesho kazini ukonyooshe vichwa ngumu uko
Kazi na dawa,na Utamaduni ni sehemu muhimu na kielelezo Cha jamii iliyostaarabiki hivyo mtu hata akiwa kiongozi kubeza Utamaduni wa jamii yake huyo ni mtumwa,hongera sana mama Samia kuonyesha mfano kwa kushiiki kuonsha mfano na mwongozo.Kazi iendelee uko juu kivitendo
Vibanda vya watu mnabomoa usiku wa manane na mnawaibia Mali zao. Umeme umetuongezea Bei umeshindwa kutofautisha umeme wa rea na tanesco. Kwani Nani ajui umeme wa rea ni mkopo tumepewa kwa ajili ya umeme vijijini nyie mnafunga huo wa rea mjini mnataka tulipie. Kuleni Bata Ila ipo siku mtakula batiki
Yeye ndio rais magufuri hakuwa raisi? Malipo hayana muda..na yeye .mungu ayajua yote na malipo na dhoruba kubwa linakuja cabana la kukosa mvua libyacha mtoto.
ka kuokoa ana kusomeshea familia yk nn Babu machawa nyinyi utawatu mpaka uku asaivi ukiwa napua ndefutu zanzibali una pata mkopo uku tuna ula wachuya nchi hii yaovyo
Imani ya mtu anaijua Allah. Kuna hadithi za Mtume sww zinaonyesha wako hadi walevi walizikwa na umati wa malaika sababu ya mema yao ambayo wengine hawakuyaona.
Acheni usenge huo kwani hao maraisi waliopita walikua hawaendi kuburudika tena walikua wakikata mauno hasa hamna isipokua ubaguzi kwakua Mzanzibari mwacheni mama atulize akili apate burudani za pwani
Mashallah mashallah mashallah Jicho analo na anajua hivyo anajua kulitumia mahala na wakati. Hakika Mungu kampendelea. Mashallah Raisi mrembo sana tena sana. Allah muhifadhi "Aamin "
@@paulinacherement2534 wewe unamatatizo ya akili wewe,kila mtu akicomment wewe unaenda kupinga kwahiyo wewe ulitaka watu wote wawe na mawazo kama yako,kama wewe humkubali basi ujue wako wtz wengi sanaa wanamkubali.hiyo dua yako haifiki kokote.
Wewe unakula rahaa huku kuna kundi LA watu wasio na hatia umewaweka ndanii,,,, inajikuta hii dunia umeiunda wewe kuamua Uhuru wa watuuu,,,,, mungu anakuonaa na wakati wako unakuja tuuuu ,,,, In shaa Allah
Tenaaah😍 kwa Raha zako Jitumbuize Kazi na dawa💯👌 wanaosema watakufa na Vijiba vyao vyao vya Roho huku Kazi iendelee tusonge mbele Mamaetu I love you so much ❤️❤️❤️👌👍Mungu Ibariki🇹🇿 Tanzania mlinde Rais wetu na Hasaad na Chuki zao Aamin 🤲🤲🤲
Allahumma ameen yaarab
Masha allah mama n8mzuri ona yupo simple lakini ana nuru yake kwa allah furshi mama yetu raisi wetu allah akulinde kwa rehma zake kazi iendeleeee
Allahumma ameen yaarab
Maana ya mashalla mnajuwa au mnajisemeatu kilakitu mashalla kunataratibu zake bahala au kitu vha kuiita mashaalla
Mama yangu,Kumbe Mama mzuri sana,mmh!!! Mama mzuri.
JIFUNZE QUR'AN KUSOMA KUANDIKA GUSA PICHA YANG HAPO KAMA HAUTOJALI
Aslm alykum
Mnaosifia jicho mkumbuke mama ni umri wa mamaenu na nimke wa mtu mwenye kuithamini nakuijali ndoa yake.Ukijua umri wa ndoa yake utajua anamume mvumilivu na anaempenda kwa Kiwango gani.maana sio siri kuishi na mke anaefanyakazi tena mwanasiasa unatakiwa uwe na moyo wa uvumilivu mkubwa sana
Analika tu kwani kuna ubaya gani?
@@emmanuelchiza7733 thobaah
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
Kweli
Kajiburudishe mpenzi wasikuchoshe kipenzi chetu.
Duuuh nimeelewa sasa namna ya kucheza kwa KUDEMKA 😂😂😂
Hhh
Mama nikama wanadamu wengine kunamuda lzima awepo kwenye majukumu ya jamaa zake ama ndugu zake. kwenye misiba hta kwenye furaha.
Aaaaaaaaaaaa Wenyewe dada zangu na mama zangu peke yenu ee ! Hutualikani ! Mashallah nimependa hii 🌺🌺🌺🇹🇿🇹🇿🇹🇿Mama Samia "umetuokowa" Hongera mama 😍🎀🌺
Marhabaa, aksante Mama shujaa wa kweli, nahodha shupavu kazi unafanya haswa. Chombo kinakwenda salama. Pumzisha akili kwa taarabu asilia.
Tuko pamoja na wewe mama yetu tunu yetu tumepewa na muumba.
Hivi vikundi vya taarabu asili lazima uvikumbuke vinakuza utamaduni wetu.
Jifunze quran kusoma kuandik gusa pich yang hapo kama hautojli
Raisi wetu Samia amependeza nanimzuri sana, mashallah, M/Mungu amlinde, that's all.
Mm sitaki kazi ya urais muda wote unalindwa tu hata wakija ndugu full kukaguliwa hata mzazi wako anaweza kaguliwa tu😂😂😂
Hpo full ulinzi hta akienda Chooni pia ulinzi.... 🤣🤣
Hata kitandani! 🤦♂️🙆♀️🤣🤣
MASHA ALLAH
Mungu akuulinde maisha yko yote🙏🙏🙏
Macho hayo mashallah .Madam President
👌 mashaallah mama ana jitttoooo😃😃
Mashallah Mama umependeza Sana Mungu Akupe Maisha Marefu yenye Afya njema Amiin
Taarabu za siku hizi ni kukata mauno tu! Aramba aramba tena amuuu!.
😁😁
Asali hiyo kama sio mzanzibar huwez jua utamu wako
Mijicho Sasa🤣🤣🤣🤣
Mama anajicho nzuri
Wewe unaburudika watanzania tunabubujika machozi Mungu siyo kipofu
Hivi wewe maishani mwako hujawahi kwenda kwenye sherehe kweli? Au akifanya samia ndio kosa
Una uhakika watanzania tunabubujikwa na machozi???unatusemea sio,,,na hizo takwimu umechukua wapi??Jisemee mwenyewe asee!!unabubujikwa na machozi alahaa!!
Ndio rais kikubwa tumuunge mkono atuvushe salama.
Magreth usemalo ni kwel kbsa.....WATANZANIA tulio wengi na wazalendo tunabubujikwa na machoz ya uchungu....ila hawa wahamiaji ndo awaelew Tanzania Tanzania tumepoteza nn!
Sumu ya panya inauzwa 300/= inaua familia nzima, we nenda kanuue ! Utakuwa na raha ya milele!
Mrembo MAA Shaa Allah
Mwacheni mama yetu Rais wetu apunguze stress , binadamu habebeki utakavyo mfanyia hariziki ni sawa nakusema mvua na jua kipi Bora ikijamvua watu wanapiga zogo likitoka jua pia watu wana piga zogo Kwa hio mama chapa kazi anaekutaka sawa asiekuta sawa Ila ww ni prisedent of United Republic of Tanzanai
Acha kujipendekeza weye. Unakua kama mtoto wa kike...!! Hovyoo😏😏
@@enockabumba7513 WEWE DEMU NINI.
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojali
Yeah ...pata burudani kidogo baada ya kazi ngumu.
Samia ni mtoto nzuri mashalah nampenda Sana
We makengeza nn uzuri upi lol
@@erickenneth1512 WEWE DEMU NINI ACHA WIVU.
🤣🤣🤣
@@salimmalaka256 demu huyo
Mwacheni mama hata akicheza mieleka si kaamua mwenyewe jamani heeeeee
Mama mashaallah unajicho legelege sana
Safi mama nahilo pozi lakutafuna kabablishi Kama wasanii wakiwaga kwenye interview huwa nalipenda kweli
Mama anajicho hilo
Jina ya mwimbaji na wimbo??
Lovely drum beats..so sensual🏌🏾🇰🇪
Mungu ambariki mama yetu hana maadui kama mwenda zake kokote anaishi bila ulinzi wa kutisha,Mama Mungu akulinde na maradhi yyt uishi miaka mingi
Sasa hapa mwenda zake inamuhusu nini wakati yeye ameshajipumzikia.Hebu tuache mambo ya unafiki.
Mgenchangua uko ukutulimtaka kwenda zake afu hapo njee askr wamechoka kulinga na uyo wapembeni sena wewe ndio sio adui y'ako usisee wezio
ongea umbea wako achana na mwendazake kwanza wee ni kengetu huji tambui
Nini cha ajabu? Binadamu kama mwingine ana muda nafsi yake inajiunga na burudani acheni ajinafasi,is not an issue
Mwacheni Mama yetu
Mama nae kama unajichanganya kidogo tu unaweza kujikuta mikononi mwa dola,hatari sana yaani,apo ndo yuko na kitu kama 60,vuta picha enzi za 30 apo,kula raha mama kesho kazini ukonyooshe vichwa ngumu uko
Hana jipya.shame
Namwona Binti Suluhu leo!
@@paulinacherement2534 WEWE UNA JIPYA ZAIDI YA KUDANGA DANGA OVYO.
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yangu hapo kama hautojli
Safi sana kazi na burdani kidogo
Mashaallah
sio km alikwenda club au kwenye tarab hio ilikua shughuli ya harusi ya mtoto wa raisi mstasfu wazanzibar dr shein
Kumlinda mh rais sio kazi ndogo...TUNAKUPENDA sana mama yetu Samia....Tunakuombea 2025 utuongoze TENA.
Mama Samiath Suluhu umedamshi na umetokelezea.... umependezaje.... yaani Uko Vizuri Sana.
Mashaalah rais wetu
Kazi na dawa,na Utamaduni ni sehemu muhimu na kielelezo Cha jamii iliyostaarabiki hivyo mtu hata akiwa kiongozi kubeza Utamaduni wa jamii yake huyo ni mtumwa,hongera sana mama Samia
kuonyesha mfano kwa kushiiki kuonsha mfano na mwongozo.Kazi iendelee uko juu kivitendo
Mungu amlinde Mama yetu.
Mama samia nakupenda sana achana na wajinga wajinga burudika mama etu
Mama mrembooo huyu ,my president iiiii
MSIMSAHAU MOLA WENU JMN, DUNIANI TUPITA HAPA
Vibanda vya watu mnabomoa usiku wa manane na mnawaibia Mali zao. Umeme umetuongezea Bei umeshindwa kutofautisha umeme wa rea na tanesco. Kwani Nani ajui umeme wa rea ni mkopo tumepewa kwa ajili ya umeme vijijini nyie mnafunga huo wa rea mjini mnataka tulipie. Kuleni Bata Ila ipo siku mtakula batiki
Acha kupotosha umeme vijijini bei ni 27,000
Kuwa rais ni kazi ngum sana unawabeba wajinga na welevu kwa pamoja muhim ni kuijenga nchi hayo mengne yanayosemwa waachie waliobebwa
Yeye ndio rais magufuri hakuwa raisi? Malipo hayana muda..na yeye .mungu ayajua yote na malipo na dhoruba kubwa linakuja cabana la kukosa mvua libyacha mtoto.
Acha muumba aitwe muumba.
Innalillah wainna ilaih rajiun
We nawe Katombwe bwana
@@paulinacherement2534 MALAYA UNAJUWA KUTABIRI.
Nchi za mabara wanacheza bolingo pia.
Tumia ela zet
Raha za pwani taratibu hakuna jasho.
Inna lillah wainna ilaih rajiun
ka kuokoa ana kusomeshea familia yk nn Babu machawa nyinyi utawatu mpaka uku asaivi ukiwa napua ndefutu zanzibali una pata mkopo uku tuna ula wachuya nchi hii yaovyo
Safi sana sio kila siku kuumiza kichwa mapumziko muim pia
❤ Mungu azidi kukulinda
Hongera mama Samia! Punguza stress halafu utunyooshee watu! Watakuelewa tu na watakuheshimu!
Kweli bn anaonekan kuwa na stress
@@jescajulius8023 anawaza kwa nini alikua anatoa siri za IKULU huku ameaapa na UHAI WAKE UNAZIDI KUPUNGUA
Muta jiju
Safi sana Mama yetu... Unapendeza! 💕🌹🇹🇿Mungu akubariki milele!
Nani wakumuheshimu..maybe asiyejua kufa...yanapita hayoo.hana jipya na malipo hapa hapa duniani
mama ana jicho ❤️❤️❤️
😁😁🏃♂️🏃♂️🏃♂️
🥰🥰Very beautiful ! 💐
kawashinda haya wala nauli daaah 😔😔
We Acha tu
Li lol ww makengeza nn
Nyumban Raha weeeee atakae aje
Kuna mtu ametupiwa macho makali sana na wadada nyuma ya mama wako radar 254
Poleni saana..hasara iliyooje ya RABBI tustir Tanzania na maana haya.
Unataka watu Walie au?? ebu Waachie watu wajitumbuize wenyewao inakuhusu nini?? Umetumwaa??
Anayejua jina la hii taarabu plz
enjoii mama baada yakazi nzuri
ماشالله دارسلم
Mama samia kipenzi chatu wanaoumwa na waumwe watakufa siku si zao tamba raisi wetu tunakupenda mmungu akueke.amin
Acha upumbavu ww
@@erickenneth1512 MPUMBAVU WEWE FALA
Mama kama mama
Kitandawili natega kipwaga chapagwa moto ukamwagika sijui vikalipukaa mama embu nikumbushe kile kitandawili,President....
Raha jipe mwenyewe Mama pendeza weweeeeee❤️❤️❤️❤️
Mashallaaah love you mumy🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💓💓💓💔
mama kusini hiku mbona hamtembelei hamna manufaa nako
Karibuni sana
Bibi tozo umejua kulembua jicho Mashallah
jina la wimbo plz au access ya kuupata full
Kibali chako
Nani aloimba huu wimbo na niupi naomba munisaidie
Na ndo maana ana maneno ya taaalabu sana duu wa tz tumekula hasala temu hii rais kalegea ivi
MAMAKO KALEGEA MALAYA WEWE.
Emu kajifunze kuongea kiswahili ww mbona unatuharibia lughayetu taalabu ndonini sema Taraab natumekula hasala ndonini sema Hasara pumbavu unusu
Kalegea au karegea sasa ivi ulivoandika karegea yy au umeregea ww ?
Mashaallah mama
Hapo alikua na harusi ya mtoto wake
Abaya ndio habari ya mjini
Rais nashida nakazi TU mm
Akitoka hapo anapandisha kodi mtaniambia
Jamani jicho hilo maaaa weee
mna tambatu kisa ndio mlio shikilia mpini hongeleni wapemba
Raharaha, bunge lipige kura atawale maisha yake yote.
Ng'0000
Atawale kwako...mungu lambda shemejio...acha mungu aitwe mungu libya cha mtoto
Milele daima!
Bunge linamuondowa huyu Mama kwa Jina la YESU hatufai Tanzania huyu Mama !!!! Maombi yatafanyika.
@@mandelamandela3150 😂😂😂
mama mimi macho tu,hatareeee,💯💯💯💯
Leo kajisahau maana huu mtandio hajajifunga ipasavyo kama siku zote anavyojutanda leo shingo iko wazi na nywele pia
Kilemba kilee so nyweleee dear
@@swahifaabdijuma2782 ushindani sio mzuri hakuna kinakaa vile ni nywele zile
@@abuuayoubayoub9260 mmeonaa ni kweliii😂Mapenzi yakizidi ndio ilivo hutetea ata pasipotetewa😁😁
@@swahifaabdijuma2782 ni kweli umezidiwa na kumpenda mpk wamtetea
Nikwelii😂😂
Mashallah
Mama Samia hayo macho iseee
Huy mama wa kambo 😏😏😏 fyuuuu
Muuke mamaako bas
Hizo ni chuki zenu tuu
@Mwajuma Hamisi, Stress za nini? Utakufa mapema! Live happy, live long!
@@iddihassan316 libya cha mtoto mtalipwa..
Innalillah wainna ilaih
God is great...thanks alot.your vission it's too far.merci bouquet. +260
Huyu ndio mwasema ana imani ya dini au usilamu jina tuu asikiliza taarqbu
Imani ya mtu anaijua Allah. Kuna hadithi za Mtume sww zinaonyesha wako hadi walevi walizikwa na umati wa malaika sababu ya mema yao ambayo wengine hawakuyaona.
@@ZanzibarKamiliTV kusoma nako mhmh akhy ww naona wabwabwaja tuu yaani ww ufanye Dhabi kwa makusudi ujifananize na hao watu
Nice
Wew na kikwete ndyo walewale mnapenda starehe kuliko nchi yenu mda huu ungetakiwa ujue utaifanyia nn nch yako
Utajua mwenyewe
Acheni usenge huo kwani hao maraisi waliopita walikua hawaendi kuburudika tena walikua wakikata mauno hasa hamna isipokua ubaguzi kwakua Mzanzibari mwacheni mama atulize akili apate burudani za pwani
UNAMPANGIA MUDA KWANI WEWE NANI DAGAA WEWE WACHA KUDANGA NA FITINA FANYA KAZI UMEJICHANUA UNA JAMBA JAMBA 2
Shame with your name for criticising your fellow Muslim.
Mashallah mashallah mashallah
Jicho analo na anajua hivyo anajua kulitumia mahala na wakati.
Hakika Mungu kampendelea.
Mashallah Raisi mrembo sana tena sana.
Allah muhifadhi "Aamin "
🤣🤣🤣Kweli!
Inna lillah wainna ilaih rajiun..hakika mumo hasarani na malipo yapo hapahapa...libya cha mtoto
@@paulinacherement2534 wewe unamatatizo ya akili wewe,kila mtu akicomment wewe unaenda kupinga kwahiyo wewe ulitaka watu wote wawe na mawazo kama yako,kama wewe humkubali basi ujue wako wtz wengi sanaa wanamkubali.hiyo dua yako haifiki kokote.
@@paulinacherement2534 KAMA KAZI HUWEZI KAUZE KUMA DUBAI.
@@mkude DUWA GANI INATOKEA MKUNDUNI HUWO NI USHUZI.
Kula bata kwa kwenda mbele
Bimkubwa kimondo Siyo poa
Jina la wimbo anayejua pls?
Nataman kujua pia
Nyimbo inaitwa kibali iliimbwa na kikundi cha culture
Basi haya
Wewe unakula rahaa huku kuna kundi LA watu wasio na hatia umewaweka ndanii,,,, inajikuta hii dunia umeiunda wewe kuamua Uhuru wa watuuu,,,,, mungu anakuonaa na wakati wako unakuja tuuuu ,,,, In shaa Allah
AMIIIN
Tanzania it's going to bad economy.
Ready nothing's easy. +250
NA WEWE MUNGU ANAKUONA NA WAHUNI WENZAKO MTAKUFA MAPEMA KWA HUSDA ZENU.
Safi mama raisi wetu
Sasa Kuna ubaya
Nisawa na waliotangulia kwenda sikinde . Juwata. Jazz, kumuangalia konde gang nk😬😜😜😜😜wabongo mnataabu sana
Mh anajicho bwana wee