Kendrick Lamar alifanya mda mrefu afanyi music Ila Kendrick Lamar ni next level kwa hip pop wa subiri sasa wataona cha moto na wataona maana ya hip pop from New york na drake sio rap kabisaa
If you talk about lyricism, K. Dot is on his own league.. Lakini kama kurap Drake anajua kurap na anaweza kudeliver bars, cadence, melodic flows and pettiness
Kwa watu ambao awajui Kendrick na Drake wamekuwa wakitumiana diss kwa muda sasa sema ikagika stage drake akawa ajibu ila akawa anamtupia jiwe la gizani ila. Hizi wiki mbili zimekuwa zamoto baada ya Kendrick kutupa jiwe kwamba yeye nimkubwa kuliko Rap wote wanao tengeneza G3 yani Drake na J Cole hii imemfanya Drake kutupa dongo kali sana kwa kendrink na katika diss zote mbili alikuwa anataka kendrick amjibu niwazi kuna kitu Drake anakijua kuhusu Kendrick ili amdiss vizur. Ila kwa watu ambao awamjui Kendrick jamaa ni moto pia tena moto wa mbali nikama Alikiba vile hata akikaa kimya vipi aki drop track inakuwa nikali sana na ni bonge la genius Rapper.
Drake hamuwezi Kendrick kwenye ngoma zaku diss, anaemuweza tuu ni J.cole, ila J.cole hataki ugonvi na mwanae Kendrick. Ila Drake aache tuu ingali mapema, Kendrick Ni mkali sn kwenye hizo ngoma.
@@ramadhanumbadrake amna kitu kabisa cos uyo Kendrick Lamar ni nyoko mbili huyo jamaa ni entertainer sio msanii kutokana na mitandao inayompa support hivi kuna tuzo Kendrick Lamar aliwahi kushiriki kwenye tuzo na akaikosa kama uyo drake AF hiyo jamaa mwenyewe anaban pua aje kushindana na msela
😂😂😂😂 nakumbuka kwenye Zeus ya Eminem.. Em alimwambia "And Drake they're gonna turn on you too, And more you win, The sooner the do, they'll be calling you a trash bin" Na kweli wamekuja Sasa Drake anadhihirisha Mambo anayaweza 😂😂 Great
Mwanang unafatlia san aya mmbo👊✌kmbe wanyamwezi tupo wengi,,af wengi wanaomchana drake amewpambaniaga sana wapate hits coz uwa wanafanya kawaida sana🚀🔥
@@dennisizzrael1178 uyo Rick Ross nyimbo zake Kali zote zilizo fanya vizuli dreck Katia mkono na mashail mengine katungiwa na kipande kinacho pendwa ni alicho imba dreck utamsemaje uyo mtu
Kendrick Lamar alifanya mda mrefu afanyi music Ila Kendrick Lamar ni next level kwa hip pop wa subiri sasa wataona cha moto na wataona maana ya hip pop from New york na drake sio rap kabisaa
Kuna vitu Wala havihitaji maelezo Drake yupo ligi ya peke yake kabisa hakuna rapa Sasa Hivi anamgusankwa chochote
😂😂
@@Oldskulgemini9991kbx
@@Oldskulgemini9991sawa ila hawez battle na lamar na huo ndo ukweli
If you talk about lyricism, K. Dot is on his own league.. Lakini kama kurap Drake anajua kurap na anaweza kudeliver bars, cadence, melodic flows and pettiness
Kwa watu ambao awajui Kendrick na Drake wamekuwa wakitumiana diss kwa muda sasa sema ikagika stage drake akawa ajibu ila akawa anamtupia jiwe la gizani ila. Hizi wiki mbili zimekuwa zamoto baada ya Kendrick kutupa jiwe kwamba yeye nimkubwa kuliko Rap wote wanao tengeneza G3 yani Drake na J Cole hii imemfanya Drake kutupa dongo kali sana kwa kendrink na katika diss zote mbili alikuwa anataka kendrick amjibu niwazi kuna kitu Drake anakijua kuhusu Kendrick ili amdiss vizur. Ila kwa watu ambao awamjui Kendrick jamaa ni moto pia tena moto wa mbali nikama Alikiba vile hata akikaa kimya vipi aki drop track inakuwa nikali sana na ni bonge la genius Rapper.
hauelewek
We need story like this please 😊...it pure intertaiment
Drake hamuwezi Kendrick kwenye ngoma zaku diss, anaemuweza tuu ni J.cole, ila J.cole hataki ugonvi na mwanae Kendrick. Ila Drake aache tuu ingali mapema, Kendrick Ni mkali sn kwenye hizo ngoma.
😂 We kaa kimya Weee nani Kama drake wee
@@ramadhanumbadrake amna kitu kabisa cos uyo Kendrick Lamar ni nyoko mbili huyo jamaa ni entertainer sio msanii kutokana na mitandao inayompa support hivi kuna tuzo Kendrick Lamar aliwahi kushiriki kwenye tuzo na akaikosa kama uyo drake AF hiyo jamaa mwenyewe anaban pua aje kushindana na msela
Kikubwa Pongezi Kwa Kendrick kumrudisha Drake kwenye rap kali ambayo ilimfanya lil wayne ampe dil pale Young money.
😂 sky hizi vita unazipendaga sana aiseeeeh
Shukran Kwa uchambuz
Bonge la ngoma Drizzy kaua
Drizzy
Both Drizzy and Kendrick Lamar are the best in their ways, they are both lit🔥🔥
big time
Drizzy nailed it
Mtu ana ma ghost writers afu mnamsifia,diss track haitakiw kuchukua wik mbil au tatu kureply diss nyingin inakuw kam hun uwez wa kujib diss.
Kumekucha😂😂😂😂😂
That's what Drake's ghost writer managed
KDot kaachia kitu huko mbona upo kimya tu
Lamaa ni mnyama. Sana. Hawez. Kumjibu
😂😂😂😂 nakumbuka kwenye Zeus ya Eminem.. Em alimwambia
"And Drake they're gonna turn on you too, And more you win, The sooner the do, they'll be calling you a trash bin"
Na kweli wamekuja Sasa Drake anadhihirisha Mambo anayaweza 😂😂 Great
Mwanang unafatlia san aya mmbo👊✌kmbe wanyamwezi tupo wengi,,af wengi wanaomchana drake amewpambaniaga sana wapate hits coz uwa wanafanya kawaida sana🚀🔥
Ili album itoboe lazima umdiss drake
Soma vizuri kichwa Cha habari
Na hicho ni kiswahili tu
Ni bonge la ngoma aisee hio ya Drake
Ngoma iv fresh 2 diss track
Kendrick ni mzizi,kama jcole na ukali wake wote kaomba msamaha,drake ni nani? Drake haezi ata freestyle
Ujuwi mziki tulia
@@jeremiahevodius925 bro wewe ndio hujui mziki,kama Rick Ross amekiri Drake ana ghost writer who are you kunipinga
@@dennisizzrael1178 uyo Rick Ross nyimbo zake Kali zote zilizo fanya vizuli dreck Katia mkono na mashail mengine katungiwa na kipande kinacho pendwa ni alicho imba dreck utamsemaje uyo mtu
J cole kaonesha udhaifuu nmemshsha viwango
Walimtaka sana drake ngoja uone diss track zitakavyotoka. Huu jama for now Ndoo ameshikiria hip hop so everyone need to take advantage kwa hii bif
Kendrick Lamar is the next big man
Yah mwamba anawakimbiza sku zote
Kikubwa wasishikiane mitutu washie kwenye maneno tu
Hawa wenzet biff zao znawaingzia hela ss bif zetu ni majungu
@@josephsamwel6511 upande wa pesa ni flesh
Kendrick Lamar is the best rap more than drake but Lamar is the new king 🤴 just waiting for king 🤴
Drake always win
Hii ndo maan halisi ya hip pop tunataka vita liendelee tunataka kumjua Dizasta vina wa worldwide ni nani😅😅😅😅
😁
lamar ni mtu hatari
Ngoja tuone KDot atakujaje
Lamar ni king 🤴 kabisaa
King wa nan akat awezi kumfikia mauzo drake kwa mauzo uyo ni king wako wewe😂😂
@@youngbona3804uwez wa msani sio mauzo. Drak he's nowhere near kendrik
@@BenMamadou-w9e King wa wanafiki kama ulivyo bongo Alikiba anavyoitwa king mbele ya mondi😅
Ili utrend inabidi umdisi Drake ndoma wasanii wengi wanamdisi sana
Drake copy and paste 😅😅😅 nyimbo zake zote anacopy
Hamna cha maana ulichoandika Mzee🚮
Hujui mziki
@@ramadhanumba we ndo hujui bro we jua nyimbo zake hanacopy nikama haujui hilo ama unataka nikuandikie nyimbo amecopy
Nop bruh now days idea n zlezle 2 yaan wan modernize 2 there's nothing new anymore
Drake choko tu
Labda wewe na ukoo wako
KENDRICK N NYOKOOOO WEWE HUEZ WEKA SAWA NA DRAKEE
hauelewek