Haloooooo! wametisha sana, huwezi kuamini kama ni Kwaya ya MIBIKIMITALI NILIKO ZALIWA MIMI. Yaani nimekuja kuamini baada ya kumuona Dada yangu na Jirani yetu nyumbani mama Mashaka au Melanya Sekibiki. Hongereni sana, mimi Ni Muumini sana wa muziki wa namna hii, mbarikiwe sana, Abarikiwe Organist, kinanda alikitendea haki. Wabarikiwe waimbaji, sauti zilijitoshereza yaani SATB, Melody, harmony, tempo, na Dynamics zilikuwa Vizuri sana. Niambieni siku ya mazoezi siku moja nitakuja kuwa tembelea Tuimbe wote nimefurahi sana. Na kama nitapata DVD yenu nitabarikiwa mno.
So nice😍
🥰🥰🥰🥰
Haloooooo! wametisha sana, huwezi kuamini kama ni Kwaya ya MIBIKIMITALI NILIKO ZALIWA MIMI. Yaani nimekuja kuamini baada ya kumuona Dada yangu na Jirani yetu nyumbani mama Mashaka au Melanya Sekibiki. Hongereni sana, mimi Ni Muumini sana wa muziki wa namna hii, mbarikiwe sana, Abarikiwe Organist, kinanda alikitendea haki. Wabarikiwe waimbaji, sauti zilijitoshereza yaani SATB, Melody, harmony, tempo, na Dynamics zilikuwa Vizuri sana. Niambieni siku ya mazoezi siku moja nitakuja kuwa tembelea Tuimbe wote nimefurahi sana. Na kama nitapata DVD yenu nitabarikiwa mno.
Hongereni sana kwaya ya Mt. Norbert
Hongereni sanaaaa wanaaa kigango imara big up kweni🙏🙏🙏🙏👌
Wimbo mkali sana hongereni Mibikimitali
🙏🙏🙏