Kwanini Mukizua Nyinyi ni Kheri Wakizua Wengine ni Bidaa | Sheikh Mbarak Awes

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 41

  • @adilmansur4177
    @adilmansur4177 ปีที่แล้ว +1

    وعن عوف بن مالك رضي الله عنه قال " قمت مع النبي صلي الله عليه وسلم ليلة فقام فقرأ سورة البقرة ولا يمر بآية رحمة إلا وقف وسأل ولا يمر بآية عذاب إلا وقف وتعوذ

  • @AshrafAKhan-ql1tb
    @AshrafAKhan-ql1tb ปีที่แล้ว +2

    Assalamu alaykum warahmatullahi shaikh mbaarak awes
    1. Unatoa hukmu gani kwa aalim (anaekubalika kwa waislam/maulamaa wa kiislaam) anaesema jambo fulani ni bidaa na aalim mwingine kusema si bidaa
    2. Aliesema jambo fulani ni bidaa (kwa daliil) na likaungwa mkono na maulamaa wa pande zote wa kiislaam, ikatokea akakubali jambo fulani (bila dalili) linafaa, jambo hilo hilo likawa halifai kwa mwanazuoni/wanazuoni mwengine/wengine (kwa dalili) je jambo hilo litakuwa lafaa au halifai kufanywa?
    Shukran

  • @zumratissa7233
    @zumratissa7233 ปีที่แล้ว

    Ustadh je ni kwely kusoma tawasul ni bidaa

  • @abdulshakurmshindo9040
    @abdulshakurmshindo9040 7 หลายเดือนก่อน

    Mawahabi wana Ufahamu wa kilokole

  • @adilmansur4177
    @adilmansur4177 ปีที่แล้ว

    Na heri katika musabaqa watoto wahifadhishwa maneno ya Allah na sio maneno ya kishirki wanayosomeshwa kwenye maulidi.

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy 9 หลายเดือนก่อน

      Wapi MTUME amefundisha watu wafanye mashindano ya qur-ani ??
      Kama wanaosoma MAULID ni watu wa bida'a kwasabb mtume hajafundisha .... basi pia wanaofanya mashindano ya QUR-ANI ni watu wa bida'a .
      Maana MTUME hajafundisha hii ndio lnswafu.

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 6 หลายเดือนก่อน

      Sawa kabisa ​@@SaidiOmy

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 4 หลายเดือนก่อน

      Yani wewe ninyani anaemcheka nyani mwenzake.

    • @AhmadSalim-dm4uk
      @AhmadSalim-dm4uk หลายเดือนก่อน

      Issue ni wapi mtume alifnya ama sahaba zake? Au ndo kunya anye kuku akinya bata kahara?😂😂😂

    • @adilmansur4177
      @adilmansur4177 หลายเดือนก่อน

      @ huo msemo jitayarishe kumuuliza Allah atakapokuuliza kuhusu bida'a zenu alafu utapata jibu ya kisawa sawa

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe shekh mbona mishipa yakutoka sana?

    • @AhmadSalim-dm4uk
      @AhmadSalim-dm4uk หลายเดือนก่อน

      Nini wewe elewa kwanza hoja usitafute upenyo

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c ปีที่แล้ว

    WAO NDO WANAJUA ZAIDI NA WANAELIMU ZAIDI KULIKO WATU WOOOOTE.

  • @adilmansur4177
    @adilmansur4177 ปีที่แล้ว

    Kwa hivyo mtume صلى الله عليه وسلم alipofanya hivi inaitwa sunnah ama bida'a.
    Musidanganywe na watu wasojielewa hawatofautishi baina ya gumba la mkono wala la mguu.

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c ปีที่แล้ว

    WATUJIBU MASHINDANO YA QURAN KAMA TUNAVYOFANYA SASA YA KITAIFA KIMATAIFA MIKOA NA WILAYA MASAHABA WALIFANYA??

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 ปีที่แล้ว

      Mashindano ya quran sio dini ama bidaa nijambo lililo katika dini

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@maalimhamad1297
      NDUDU YANGU (( maalimhamad) kwa jawabu lako kama ni mtihani UMESHAUFELI .
      KWASABABU UMEULIZWA MASWAHABA WALIFANYA MASHINDANO YA QUR-ANI ??
      JAWABU LINALOTAKIWA USEME NI : IMMAA !!
      *** NDIO WAMEFANYA na ulete ushahidi wako . AU
      ** HAPANA : MASWAHABA hawakufanya mashindano ya QUR-ANI .

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 ปีที่แล้ว

    Imam ibn uthymeen ni mwanadam anakosea asiekosea ni mmoja tu Mtume sala na salam Ziwe juu yake kwa hiyo kama hakuna kauli ya Mtume au kitendo chake au kitendo kimefanywa na maswahaba zake halafu hakukataza hui utakuwa ni uzishi

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 ปีที่แล้ว +1

      Bado hujamjua aliekua hakosei ila Mtume anakosea

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy 9 หลายเดือนก่อน

      Suali :
      Kama unakubali KUWA jambo ambalo halina kauli ya MTUME wala kitendo chake wala ridhaa yake ni uzushi ...
      Jee mwenye kuukubali au kuunga mkono uzushi huo anakuwa ni mtu gani ???

  • @abdulshakurmshindo9040
    @abdulshakurmshindo9040 หลายเดือนก่อน

    Ujinga wa mawahabi watasikia mambo ya haqq lakini bado watapinga Tu

  • @jumamaabadi
    @jumamaabadi ปีที่แล้ว

    Kama mwaikubali hadithi inayokataza bidaa nashauri ukiona mtu afanya bidaa mzuie hilo ni katazo kutoka Kwa mtume

    • @asa9268
      @asa9268 ปีที่แล้ว

      We zuzu hebu nenda kasome taarif ya bidaa kwanza kisha uje uongee matope yako hapa

    • @jumamaabadi
      @jumamaabadi ปีที่แล้ว

      @@asa9268 haya nishamaliza niandike tena kwa hyo ama utajibu hyo hyo

    • @mohamedmasanga9134
      @mohamedmasanga9134 ปีที่แล้ว

      Kasome

    • @jumamaabadi
      @jumamaabadi ปีที่แล้ว

      @@mohamedmasanga9134 Kwa nini mnapenda kujikweza?? Yani umeaminishwa we tayr ushasoma??!! 😂😂😂

    • @abubakarhussein2186
      @abubakarhussein2186 ปีที่แล้ว

      @@jumamaabadiunaelewa nin maana ya bidaaa kwanza au unarukia kweny hadithi imekataza bidaaa ile hali bidaa yenyew huijui??