"DAR HATUJAPATA MAFURIKO YOYOTE, YAPELEKENI MAJI MAHAKAMANI, MIMI MMENIKOSA" RC CHALAMILA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 13

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 11 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa kama hayo maeneo yabondeni ni mikondo ya maji, kwanini serikali ina sajiri hizo nyumba na ina pokea kodi.
    Mimi nazani serikali inatakiwa itoe mpango kazi (master plan) ya ujenzi wa nyumba nchi nzima, ikiwemo kuweka hiyo master plan kwenye online portal wananchi wajue sehemu gani inaweza kujengwa na kwa ubora gani, na sehemu gani haiwezekani kujenga na kwanini. Pia ngazi za chini za ki serikali zihusishwe kuanzia ngazi ya mjumbe wa nyumban kumi kumi n.k.

  • @ibrayusph5603
    @ibrayusph5603 9 หลายเดือนก่อน

    Hii kauli itakuja kutugharimu wana Dar-es-Salaam.. Mungu hataniwi

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 11 หลายเดือนก่อน +1

    Chagueni tiles zisizotereza msivunje watoto miguu

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 10 หลายเดือนก่อน

    " Na Maji ya kutosha yanapitia mpaka Madirishani -
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @olarivolariv1313
    @olarivolariv1313 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kati ya kitu ambayo huwa nashangaaa ,ni engineers wetuu wa barabara wamesomea iyo kozi kweli

  • @bongo39
    @bongo39 11 หลายเดือนก่อน

    Basi kama dar hamna mafuriko watu wa bondeni basi tuendeleeni kuishi huko mabondeni

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mh mnaenda kwa mwendo wa kobe

  • @mosesibmshangamshanga7885
    @mosesibmshangamshanga7885 11 หลายเดือนก่อน

    Njoo balabala ya makabe msakuzi msumi utusaidie. Hayo yapo

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 11 หลายเดือนก่อน

    Pamoja na yote mazuri unayoyaongea Nashauri mito,mikondo ya bahari waliyozuia barabara peleka jeshi lako waaminifu wanafungue mikondo, mitaa ili tatizo hili lifike mwisho.serikali za mitaa wekeni watendaji siyo kuwa genge la wala rushwa.

  • @Mojabo-l8u
    @Mojabo-l8u 11 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂mungu ni mwema fanya kazi baba balala mbovu sana ila kauli nyingine jamani

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 11 หลายเดือนก่อน

    Sina jins lazima nicheke tu

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 11 หลายเดือนก่อน

    Peleka maji mahakaman

  • @pdwanakaza2411
    @pdwanakaza2411 11 หลายเดือนก่อน

    Hahhahhahahah