BONIFACE JACOB MIKONONI MWA POLISI “HAJATEKWA”
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- #tanzania Jeshi la Polisi nchini limesema zipuuzwe taarifa za uongo zinazosambazwa mitandaoni kwamba #Bonifacejacob maarufu kama Boni Yai ametekwa, bali Jeshi hilo linamshikilia kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.