ANOTHER VIDEO BONNKE PREACHING IN TANZANIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Haya ndiyo maajabu ya uponyaji ishara na miujiza katika mkutano wa injili uliofanyika jijini Mbeya na mhubiri wa Kimataifa REINHARD BONNKE
Reinhard Bonnke ni Mwinjilisti wa kimataifa ambaye katika mikutano yake hasa barani Africa ametumiwa na MUNGU kuongoza kwa YESU watu zaidi ya million 75, ujazo wa Roho mtakatifu katika mikutano yake iliyojulikana kama FIRE CONFERENCE na ishara miujiza na uponyaji isiyohesabika
Pia ametumiwa kuimarisha na kuinua huduma hasa katika bara la Africa,mahubiri haya yakuimarishe na kuongeza shauku kwako unayetamani kutumiwa na Mungu kuleta watu kwa YESU na ishara na miujiza
Subscribe kwa habari zaidi za injili, mafundisho yenye uzima na Historia za wahubiri kote ulimwenguni waliotumiwa na Mungu kuleta uamsho duniani kwa kufanya hivyo utakuwa unatoa sadaka yako kwa Mungu na kutuwezesha kuleta habari njema zaidi.
UBARIKIWE SANA
Ubarikiwe sana uliye tunza hizi video za Mtumishi wa Mungu Bonke Asante sana.
Mimi nashangaa mbona ezi izo watumishi warikua wana fanya miujiza bira matuta rakini sasa ivi watu ni mafuta muache kutumia mafuta
i love a man of God the real power of God natural power from Jesus
Hakika umepiga kazi mzee bonke
Amen
Amen and Amen
Be blessed son of God
Reinhard bonke! Our spiritual father
Amen
Amina
Hii injili ni tamu
I remember his name though nlikua mdogo sana alipokujaga dodoma
Ubarkiwe mtumushi WA Bwana. R.Boinke
Naweza kupata video Zaidi za Bonke akiwa Tanzania
Tupate wap mtu kama huyu ambaye nguvu ya Mungu inakaa ndani yake
Wa kipekee sana!!!
Rest in peace mama Margaret missing u 🙏🏿
Which one in the clip?
@@timxtv2621 I miss the old preachs and pastor's but nowadays churches are people's business
Hey 👋my namesake me too I miss him from Nairobi kenya 🇰🇪
Hey 👋my namesake me too I miss him from Nairobi kenya 🇰🇪
Hata Sasa Yesu Kristo anatenda,nabarikiwa sana na video za mtumishi huyu😢
Ameni Yesu anitemberee🙏
My role model rest in peace😢😢
You may prosper in your ministry
Amen
Praise The Lord
WOAHHHH PRAISE THE LORD!!!!!!!!
Amen amen amen
Hallelujah
Asante YESU
7
.
Amen
NEEMA KUBWA SANA HAPA UNAAMBIWA MIUJIZA LAVU LKN KWAIMANI UKIAMINI TU HAPA UNAPOKEA BILA SHAKA