Moleli nakukubali Sana pamoja na mwalim mkuu wa pamoja mwenyezi mungu awatunze tunawaombea watoto wetu wote Amani,upendo,afya njema na safari yao ya Elim ikawe ya baraka na mafanyikio tele walim mnabidii Sana yaani mnajitoa kwa moyo mkuu hiyo ndio taaluma👏👏
Hongereni jamani...mnastahili pongezi kwakweli
Habari na omba namba ya mkuu washule
Moleli nakukubali Sana pamoja na mwalim mkuu wa pamoja mwenyezi mungu awatunze tunawaombea watoto wetu wote Amani,upendo,afya njema na safari yao ya Elim ikawe ya baraka na mafanyikio tele walim mnabidii Sana yaani mnajitoa kwa moyo mkuu hiyo ndio taaluma👏👏
Naombeni namba za huyu mwalimu jamani