Martha Baraka Ft Bony Mwaitege - Mengi Umetenda (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- / @marthabaraka
Listen to Martha Baraka
Apple Music / martha-baraka
Boomplay www.boomplay.c...
Spotify open.spotify.c...
Audiomack audiomack.com/...
TH-cam Music / martha baraka - topic
Deezer deezer.page.li...
Amazon Music music.amazon.c...
Stay in touch with Martha Baraka
Instagram / marthabaraka_official
Tiktok: / marthabaraka_
Facebook: web.facebook.c...
For Booking WhatsApp / Call +255743502257
The official TH-cam channel of Martha Baraka. Subscribe for the latest music videos, perfomance and More.
#mengiumetenda #marthabaraka #gospel - เพลง
Nmeng umetenda Katka maisha yangu siwez eleza Mungu azd kunitia nguvu
Martha napenda kazi yako ..nyimbo zako zimenibariki sana ... be blessed so much
Nimeupenda uimbaji wenu umenibaliki
great are things that you done inn my life thankyou Jesus uncountable my redeemer
ahsante mungu kwa wema wako
Haki Martha mungu akubariki sana dadangu
Asante kwa wema wako Mungu mkuu
Hâta namimi mwenzangu
Mungu..akurinde
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu.mungu akutumie kwa viwango vya juu sana
Munguu ndiy kilakitu 💯💯
Amen,akika mungu NI mengi umetenda kwangu 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amina mbarikiwe Sana nakupenda Sana dada
Amen
Mtumishi unanibariki sana nahudumayako ya uimbaji Mungu akubariki
Wakenya hapa ndo naona mnakatambisha. Wacha katambe hivo na likes pia na views .such a beautiful lady from TZ. We love you so much.
Nimebarikiwa sana huu wimbo Mungu akuinue juu sana
Kwangu kuhesabu siwezi kiukweli Mungu amefanya mengi na Bado anafanya barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Wimbo mtamu Sanaa,,,,mungu abariki hudumu vnye baraka cinatutiririkia qw wingi cwabariki nanyi💓❤️❤️🩸🩸
Marther wewe una Mungu ndani yako
Kazi nzuri watumishi
Amina ❤
Wow wimbo nzuri saana
Here I am napenda sana nyimbo hizi za injili umeimba Mungu akubariki uongezeke kihuduma also gospel singer Mungu atukuzwe
Martha mungu akuzidishie zaid
Madam mantha nakupenda sana dada unajua kuimba
Ubarikiwe sana nakukubali sana
Ni mengi mungu ametendea Asante sana mungu❤
omg iiii imeweza Glory to God
We dada Mungu aku bariki sana sijui ni elezeje ila Mungu aku batiki sana tena sana
Nabarikiwa sana na wimbo huu
Asante 😢 Mungu nashukuru kwa yote ❤
AMETENDA HILI NA LILE....YAAANI MENGI TU....More Grace Watumishi...Glory be to GOD
This was me in the month of April 2023,i have a testimony God ambayo ametenda ni makuu.. walipikuja kula nyama yangu ulinifunikia Yesu kwako nitaishi
Matendo ya mungu hayafikiriki kwa akili ya kibidam
Napenda uimbaji wako sana mantha mungu akuinue zaidi.karibu sana Kenya. Mimi ni mwimbaji mwenzako ukifika kenya naomba tukutane face to face naishi Nairobi
I like your support to other musician. God bless you
Amina Sana uwepo wako
Where r Kenyans?
Amen 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
🙏🙏🙏🙏
Utukufu kwa Yesu christo
Da jamani munguakubaliki nakutiyemoyo sana
Napenda sana hiyi wimbo
Amen hiyo Bonny and Martha good song
Iko poa iko good bon father
Hongera Sana Dada mth
Amen ..yesu kwagu umetwnda🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amina wema wako Mungu nashukuru Mungu sijui ata niesabu nn
Ubalikiw Sana mtumish
Dada angu Martha nafurahi kukuona katika huduma ya uimbaji tangu penye riziki hapakosi vitina
Madam Martha Baraka thank you very much for this song which is extremely very special and indeed very nice and touching. You sang this song just after my mother's death and I really played a lot during the funeral and i still play and quite mostly. God bless you very much my sister, you are a true vessel of God and a true instrument of nature. God bless you very much. You have a talent and God is using to deliver the message of God that is deeply touching to many globally. Ubarikiwe sana. Mkenya wa Uholanzi 🇳🇱 Uingereza 🇬🇧 na Irelandi 🇮🇪!
Mungu azidishe hicho kipaji chako mana tunabarikiwa xana.mungu akubariki dadangu
Nice song,Keep up
Mungu akuinue zaidi
Weni mfano waku igwa dadangu hongera sana mtwa wa Mungu jmn
Nijibu ata sms yangu jmn dadangu mtumishi wa Mungu bariki wa sana
Asante kwma wako mungu mkuu
Congratulations be blessed
Nakumbuka alivyoniokoa,,asante umenisaidia kushukuru
Enyewe baba umenitoa mbali❤❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
mungu akuongoze madam na akulinde
Madam matha balaka
Sauti yako lmebeba majibu ya watu na umekutana na fundi wa mzc mtumishi bonn mwaitege shetani Atajuta
Amina mtumish Kwa ujumbe mzur
Barikiwa sana dada
Ni mengi umetenda kwangu siwezi kuwhesabu hsante mungu kwa kunipa uhai sio kwa ujajawangu milele nitaimba🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏
Amen nakupenda sana mum nyimbo zako hunibariki ubarikiwe sana🙏🙏🙏🙏
Mungu akupe nehema ya kuisha Martha ...nakupenda sana ,,uko na kibao Cha kuimba ,sauti nzuri sana na sura nzuri mungu akubaliki sana madam
Aise umemkumbuka kakayako wakitambo mliimbaga vzr sana ule wimbo wa. Kwanza
Nipendezewa wimbo wako imenikumbusha mengi
Huu Wimbo unanibariki na kunitia nguvu kila asubui niamkapo nikienda kazi... Nashukuru Mungu 🙏🙏
Amen dada madam Martha mungu azidi kikupeleka mbali
Amina mungu Hawa bariki
Jamani mbarikiwe sana kwa kazi nzuriiii mungu aendelee kuwatumia zaidi na zaidi,
Ubarikiwe sana dadangu hii nyimbo ina nitia nguvu zana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nyimbo zuri sana
Ahsante mungu wangu ni mengi umetenda kwangu kuhesabu binadamu asingeweza
Amen Mungu akubariki ❤
Napenda sana nyimbo.zenu mbarikiwe zaidii ndungu zangu
Mungu awabariki sana watumishi wamungu nyimbo hii imenitia nguvu zidi yayale ninayo yapitia nasikiliza nyimbo kila wakati nikiwa daresalam
Amina Good 👍 congo 🇨🇩 Tanzania
Hakika Dada angu Martha baraka simbeye umetu saprise nyimbo nzuri sana unapeperusha vizuri bendera ya mkoa wetu na nchi kwa ujumla
Huo wimbo imenitia nguvu🙏ubarikiwe zaidi.
Da kwel mwanadmu asingweza kutenda hayoo mungu wahuruma Amsterdam jmn❤
Ameeeen Mungu ni mwema
Kweli Mungu anatenda.
You are such a blessed woman
Nabarikiwa Sana na huu wimbo
Madam martha uimbaji wak unanibariki pamoja na boni mwaitege
Ume nenepa sana 😂😂😂😂ivi unaweza guceza tena viri urikuwa unaceza jina kubwa😂😂😂😂❤❤❤
Mzr sana
Asante mungu kwa wema wako mile nitainba huo wema wakoo.hakika nimependa mungu awazidishie
Nikweli mengi atutendeayo Mungu mwanadamu hawezi asante kwaujumbe mzuri.
Nimependa sana wimbo huu umenikumbusha mbali sana wakati nilikua mgonjwa Asante sana yesu kwa wema wako barikiwa Sana dada pamoja na mtumishi wa mungu bony mwaitege mungu akutie nguvu uendelee kutangaza injili kupitia uwimbachi hallelujah Amina 🙏🙏🙏 thank you Lord
Nabarikiwa sana na uimbaji wako dada angu Martha simbeye jina la yesu ni dawa penye ridhiki na namshukuru mungu ulicheza sana ila nasikitika jambo moja tu kumuacha baraka
Madam marther si ufike Nairobi tu utusalimie na ujue vile tunakupenda haki .
Nakupenda sana sana toka nikiwa mdg mungu ni mwema nataman cku moja nikuone penda sana mungu akujalie aman
Amina ubarikiwe sana
Madam Martha, huduma yako izidi kuinuliwa na Mungu na ninaomba nigawiwe sehemu kidogo tu.
Halleluyah 🙏🙏🙏,, Mungu Ni Mtenda Kazi na Umaarufu saana...
nasikiza wimbo nikiwa mikindani weka like
Asande Baraka your songs makes one to know God is with wanyoke
AMEN,NI MENGI UMETENDA KWANGU SIEZI ELEZEA
Bony mwaitege hazeeki jmn,,ukiwa ndani ya YESU ni Raha sana,,, hongera sana madam Martha na brother boni YESU awatunze
Dada unanikoshasana unavoimba mungu akutendee sawsawanahajayamoyowako
Mungu akumbariki sana
Thanks madam Martha unanibarki sna na nyimbo zko na Mungu wa mbinguni akutendee mema pamoja na familia Yako ,🙏🙏
Your,songs are very blezing,,kwanza Hiyo ya nashukuru mungu, for sure me too sikujua ntakua mtumishi wa mung u,,,niliimba kwa my bible graduation
Ubarikiwe sanaaaaaa mtumishi wa Mungu
Mungu akubaliki
I'm blessed,and be blessed