4 -KUONDOA MAZUIO YA KIROHO YANAYOKWAMISA KIPATO CHAKO || Mwl Christopher Mwakasege || Mwanaza 2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2023
- Semina Ya Neno La Mungu || Mwanaza || DAY 4 || TAREHE 16/9/2023
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Nilipo kua nikiomba katika saa ya maombi juu ya kuondoa zuio la ukiwa ,katikati ya kiganja cha kulia kuliwaka maumivu makali sana, na ulipo sema kazana kuomba nilikazana kwa nguvu mpaka nikasikia yale maumivu yameondoka na nikaamini kufunguliwa .Namtukuza Mungu ....Hallelujah Hallelujah
Tunamutukuza kwa Siri zito anaendelea kutufunulia kupitia Mtumishi wake mwalimu mwakasenge ni neema kubwa kwangu kutana na somo hili nimejifunza mambo mengi kulingana na maisha yangu ya kila Siku Mungu ni mwema sana asiache kutufunulia kila iyitwayo leo ili tuweze kushi na kutajirika kwa misingi ya Agano lake jina la yesu kristo liimidiwe milele ❤️
Baba Mwalimu Mwakasege Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu sana hapa duniani.,uendelee kutufungua na vizazi vyetu wamjue huyu mungu wetu.
Nimefurahi kumuona Mwangosi Utukufu kwa Bwana
Nashukuru kwa maombi na neno lililonifanya nijue kukwama ngwangu ni mazuio. Kwa sandakan hii naomba Mungu anikumbuke na kunisamehe pale nilipotenda dhambi na naomba kuanxia sasa kila kilichochangu kifunguliwe, elimu ya watoo wangu, ndoa yangu, imani yangu na familia yangu na kaxi yangu. .
Bwana Yesu asifiwe sana.
Mungu wangu nikumbuke tena usiku huu
Hamina baba nafutalia maombi mafundisho na sara na neno la MUNGU kwa imani napo na wewe mtumishi ❤❤
Mungu Baba asante kunikumbuka mimi majira haya na kuniondolea mazuio na ukiwa nitajenga nyumba nitakaaa nitalima nitakula sitafanya kazi bure sawasawa na neno lako Mungu Baba ISAYA 65:18-25 Katika jina la Yesu Kristo Amina. Mwalimu Christopher Mwakasege ubarikiwe sana kwa neno na ujumbe wa wakati kwangu na uzao wangu... Asante Yesu Kristo.
Mungu naomba uondoe zuio la uponyaji wa afya kutokana na kupararaizi upande wa Julia pamoja na jicho langu juwa na ukungu hata kushindwa kuona
Navunja kila aina ya mazuio katika njia zangu, ndoa yangu, biashara yangu, watoto wangu na mifugo yangu yote.
Amina baba atunze utumishi wako,afya,Yako pamoja na familia Yako,miaka mingi kwako lango letu ilituendelee kuvukaa na kupata maarifa ya mungu.
Mungu wa mbinguni amenikumbuka leo ni somo langu kabisa asante yesu kupitia mtumishi wake mwalimu mwakasenge mungu wa mbinguni akutumie kwa viwango vikubwa mno
Mungu akutunze mtumishi,nabarikiwa sana na mafundisho yatokayo kwako, irene william toka simiyu
Kila mazuio yameondoka kwangu kwa jina la Yesu
Asante yesu
Jehovah Mungu atukuzwe Sana kwa ufahamu huu niliopata, Mungu kutunze Sana Mwalimu Mwakasege
Amina mtumishi wa Mungu naomba mwaka huu na mimi niwe mama kijacho haijalishi ni muda gani nimekaa amin
Mungu wa mbinguni akutunze mtumishi wa mungu
Mungu akutunze baba Mwakasege umekua funguo ya vizuizi vyangu kwa dam ya YESU ya agano jipya ninaendelea kuomba na kufunguliwa