DOTTO MAGARI,AMVAA WEMA SEPETU ,UMEKOSEA WIVU ANANYUMBA YAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • #bongo24 #wema #whozu

ความคิดเห็น • 106

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 11 หลายเดือนก่อน +7

    Eti msiwalike wazazi wacheni nimeipenda hiyo😂😂😂😂😂❤❤❤❤

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂hatari

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mama uzee unakaribia sijui anatafuta dogodogo😂😂😂nimenukuu toka kwa doto

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 11 หลายเดือนก่อน +6

    Vunja bei na Frank Nozzzzzy imetajwa mara nyingii...

    • @mshefabiro3299
      @mshefabiro3299 11 หลายเดือนก่อน

      hehehe huyu amelenga mbali

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 11 หลายเดือนก่อน +7

    Mama hana makosa usimtukane mama wawatu anamtakiya mtoto wake mazuri kakaa kwenye zinaa amuachiye acha porojjo brother

    • @user-zj1ep6hn4p
      @user-zj1ep6hn4p 11 หลายเดือนก่อน +1

      Alikuwa wap mama kumkanya mpaka kwenye sherehe mama hajtambui

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 11 หลายเดือนก่อน

      Angemsemea nyumbn kama kwl anampenda kwel

  • @iddirajabu-vk7ej
    @iddirajabu-vk7ej 11 หลายเดือนก่อน +7

    Doto magaribunapotolea mfano Mtume Mohammad S.A.W angalia kwa umakini ikiwezekana acha mtume alioa ,nakuuliza je wozu kaoa?

    • @Anuaryomary-su9cd
      @Anuaryomary-su9cd 11 หลายเดือนก่อน

      Crazy uyu Dotto utafikili sio mtoto wa kiislamu

  • @user-nl6wu6cq1i
    @user-nl6wu6cq1i 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mama ajamuelewa whozu 😂😂 kabisa iyo siku alikuaa anaisubiliaa kwahamu

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 11 หลายเดือนก่อน

      S ndyoo

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli kabisa yule mam hajamwelewa wozu

  • @user-qu1dz2ed1b
    @user-qu1dz2ed1b 5 หลายเดือนก่อน

    Dotto iyo imeenda 😮😮😮😮

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 9 หลายเดือนก่อน

    dah kaka nakukubali sana ila hapo kwa mtume umekosea m tume alioa hakuwa anazini

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +4

    Liwema zinifu ata likiambiwa halisikii

  • @hassanchuji8965
    @hassanchuji8965 11 หลายเดือนก่อน +8

    Mdogo wangu doto humeongea vitu hambavyo nilivyo kuwa Nina viwaza mimi sema nina kuku bali sana😂😂

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน +3

    Duh kumbe hauna akili aisee

  • @rashidiadamu4674
    @rashidiadamu4674 9 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅😅😅😅huyu jamaaa noma sana aisee oy sio poa mama umekosea mama umefeli

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 11 หลายเดือนก่อน +7

    Usimtaje mtume lahaula walakuwat ilabilah 😢😢😢😢

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 11 หลายเดือนก่อน +1

      Linajfanya halina akili eti chizi mjinga uyuu

    • @kelvindagine9571
      @kelvindagine9571 10 หลายเดือนก่อน

      Kwan kaongopa au mtume anatajwa wp .. achen mihemko ya Iman

  • @PriscaPhedrick-bl7kh
    @PriscaPhedrick-bl7kh 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe huna mamlaka juu ya mama wema tulia acha kuingilia watatengenezana wenyewe

  • @user-uj8yv6vx3i
    @user-uj8yv6vx3i 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂 uhakika doto waelekeze

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 3 หลายเดือนก่อน

    Mtume hakukaa kwa hawara wala mwanamke Mtume amekaa kwa mke kaoa sio mwanamke tu mama yupo sawa tu hajakosea Dotto

  • @estonsaimon6671
    @estonsaimon6671 11 หลายเดือนก่อน +3

    Hili jamaa linaabudu watu lakn sio kufuata maadili na sio busara kama lenyewe linavosema kwahyo wakiwepo anaowataja ata kama wanakosea awe anasifu tu

  • @alipizaro1835
    @alipizaro1835 11 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa mwaeka interview ambayo haina sauti mwamchoresha influencer

  • @AishaAly-nl5ud
    @AishaAly-nl5ud 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mama hana makosa alicho kikosea mama nisehemu ya kutapika dukuduku lake siku ya sherehe yale maongezi yale yalikuwa ni yakifamilia

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 11 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu vip mama kawaambia sana hawaskii ndo maana kawachana live,,na hajakataa waish wote hayo n makbliano ila wajlkane nymbn kama ndo ww ungefrai umeecha bdy y mwanao ukute wanarambanarambana utajiskieje?acha kittea ujinga

  • @daudminzi-pb3je
    @daudminzi-pb3je 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali sana doto magali

  • @rahimchardluck
    @rahimchardluck 11 หลายเดือนก่อน +2

    KAMA NI MZAZI NA UNAWATOTO AMBAO UMEWALEA NA UNAMPANGO WAFIKE MBALI UTAFEEL UCHUNGU WA MAMA ALIVYOONGEA.KWELI DUNIA INAPOELEKEA TUTACHOKA SANA.KIJANA MDOGO ANAONGEA IVI MTANDAONI!

  • @edithnduwayo2207
    @edithnduwayo2207 11 หลายเดือนก่อน +1

    ❤😂😂😂😂DOTTO WEWE CHIZZY KWELIII ATI MAMA KAONDOKA NA UBBER😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MxVisualsTz
    @MxVisualsTz 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kama lana kila mtu ana lana 😂😂

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba leo umechemka sana

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mama karudi na Uba sijui karudi na gari ganii😂😂😂😂

  • @godymastermind9534
    @godymastermind9534 11 หลายเดือนก่อน +1

    Yule ni mama na yale maneno kamweleza mwanae, huwezi jua ameongea nae mara ngap ila hawakujali na ndio sababu kaona aongee pale. Ukiona moshi ujue ulianza moto. Cha msingi Wema na Whozu wafanye kama mama alivyo agiza coz anaonekana hakubali mahusiano hao

  • @mshefabiro3299
    @mshefabiro3299 11 หลายเดือนก่อน

    hehehehe vunja bei na frank noise msenge umewataja sana..

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahaaa ati mama karudi na huba😂😂😂

  • @fatumakiwera7145
    @fatumakiwera7145 11 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂 Frenk Nouce Vunjabei

    • @hassanbuji1721
      @hassanbuji1721 11 หลายเดือนก่อน

      nyamaza wewe mafiga matatu

    • @hassanbuji1721
      @hassanbuji1721 11 หลายเดือนก่อน

      huyu jamaa ni pimbi unamfananisha mtume na wazinifu mbwa huyu

  • @MunahSadiq-bh7ol
    @MunahSadiq-bh7ol 11 หลายเดือนก่อน +7

    Doto magari ameongea vizuri sana🎉🎉

  • @user-hi9xd9ok1e
    @user-hi9xd9ok1e 11 หลายเดือนก่อน +1

    Doto magari

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 11 หลายเดือนก่อน

    Upo Sawa bro

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe achana namtume koma kumtaja mtume shenzi we

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 11 หลายเดือนก่อน +5

    Dotto mambo ya mtume wetu tunakuomba tafadhali tutakupiga hanisi

  • @teminajeuri347
    @teminajeuri347 11 หลายเดือนก่อน

    Very true sio mahala pake amekosesa sana

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kaongea sana

  • @rehmakondo
    @rehmakondo 11 หลายเดือนก่อน +1

    We fala kwel kama anafatwa mtume kwann wasiowane??? Cjui kwann ww na mwijaku mkiongea mnajifanya kama mmesoma dini kumbe mnachukua vpnde vya mashekhe wanavyoongea,acheni mambo yenu ya kiki eti hata wakikaa utupu waache weeee huna wtto??yule mama anajitambua yule hana shida ya maokoto yakampekeka motoni kwa kuhamasisha uzinifu

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 11 หลายเดือนก่อน

    Dotto umeongea kweli. Ila ukimchunguza mama Kuna kawivu flani. Maana si lhiyo tu. Wazazi mnachosha. Mtume S. W. Bi Aisha naye aliishi na mtume wetu.

  • @luhengosluhengo6926
    @luhengosluhengo6926 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mama hajakosea liwe fundisho Kwa wazinifu wote yaaani anamuokoa mwanawe na moto acha kulaumu mzazi ndio mwenye jukumu lá kukataza hizo sifa unazosema wasifiwe hazina nafasi hapo kajitoa na Allah kashudia maneno ya mama bani Israel waliangamizwa Kwa kutokukatazana mabaya kwahiyo mama Hana kosa naam

    • @DM_15
      @DM_15 11 หลายเดือนก่อน

      Mama kazingua tuu kiukweli kama anauchungu na mwanae angesha mnyoosha.tangu enziza yule mwana mziki wa dance kabla ya diamond. Aliwaihojiwa nakuhusu kesiile yakanumba alizingua tuu

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 11 หลายเดือนก่อน

      Kakosa busara kropoka vt vya kifamilia kwenye media

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 11 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli mama ameongea maneno makali,furaha ya siku ya kuzaliwa Ika ppoa,mama kakosea

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe unamfata mtume muhammad (saw)? Mtume hakuvaa cheni zakike mbona ww umevaa? Wewe usimfananishe mtume muhammad (saw) na chizi mwenzio whozu, koma wewe! Na ingekua unamfata mtume muhammad usingepinga maneno ya mama sepetu kumkana binti yake, coz mtume alkua anajua kama mzazi hakosei maana alkua anajua na alkua anafundisha kuheshimu wazazi, ukome kujifananisha na mtume wakati hamumuwezi kumuiga na hakuna mwanamme yeyote wa kiislam kujifananisha na mtume mukomee!! Hamumuwezi.

  • @user-eq7tz2lv6i
    @user-eq7tz2lv6i 11 หลายเดือนก่อน

    Kweli 👌

  • @user-wn4jl7bi3c
    @user-wn4jl7bi3c 11 หลายเดือนก่อน

    Kubari sanaa

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mtume anatangazwa nyie mnapaniki mbn me sjaona baya apo amesema tusione ajabu kukaa kwa mwanamke si mtume alikabidhiwa mali ya khadija au??!

    • @mshefabiro3299
      @mshefabiro3299 11 หลายเดือนก่อน

      kwly haja mtaja kwa ubaya watu wanaelewa vibaya

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww5694 11 หลายเดือนก่อน +1

    Acauongo mtume mu hammad s w w yeye aliowa siyo awo wanafanya zina waowane siovibaya mwanaume kuishi kwamwanaume kama hana uwezo ila sio zina

  • @nauwarykabuma3793
    @nauwarykabuma3793 11 หลายเดือนก่อน

    Mama aliongea point sana kwa mwanawe ww unaongea pumba tu

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 11 หลายเดือนก่อน

    Haaaaa michanooo

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 11 หลายเดือนก่อน

    Nikiwa Nairobi gikomba . Kutoka
    Rombo

  • @azaniayoub6971
    @azaniayoub6971 11 หลายเดือนก่อน +29

    Bwana mkubwa usilete ujinga kwenye dini za watu unamjua mtume muhammad wewe ata umfananishe na Whozu mfananishe Whoz na baba ako si mtume koma mjinga wewe.😡

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 11 หลายเดือนก่อน +1

      Umeon ee chizi mkubwa uyuu

    • @DijaMriri-wc4qd
      @DijaMriri-wc4qd 11 หลายเดือนก่อน +1

      Umaarufu unamlevya

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @mwinyiabdallah4383
      @mwinyiabdallah4383 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mshamba huyu limbukeni

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 11 หลายเดือนก่อน +2

      Kipenzi chetu cha mwenyezi mungu hajawa mzininifu mpuuzi huyu

  • @davidrulobhavako8551
    @davidrulobhavako8551 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wa fact

  • @halimakassim7065
    @halimakassim7065 9 หลายเดือนก่อน

    Soto.unafirahisha

  • @Chemba67
    @Chemba67 11 หลายเดือนก่อน

    ETI MAVYUMA HAYO YANAUZWA BUGURUNI😂😂😂😂

  • @rahmaabubakarisaanatu1961
    @rahmaabubakarisaanatu1961 11 หลายเดือนก่อน

    Jmn Doto umeniua kwa kucheka Eti kina nulu diva .

  • @christinamabula416
    @christinamabula416 11 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂karudi na huba

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 11 หลายเดือนก่อน

    Watoto wananyonya wle kwn hyo wema mwanmme w ngapi yle ni mtu mzma htak aibu mtto mwny mmja anchzew na wangpi

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 11 หลายเดือนก่อน +4

    Dotto kaongea kwer

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 11 หลายเดือนก่อน +1

    Duh...😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mbwa we kakosea nini

    • @JacklineNamundengozi
      @JacklineNamundengozi 11 หลายเดือนก่อน

      Mbwa niwewe🤣

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@JacklineNamundengozi nimeona nikujibu kabla sijafa sasa nikuulize yeye kataja mtume mtume aliishi nakimada

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

      Kuwa naabadu ukitaja mtu mbwa wewe namamaako

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

      Hujielewi eti ndio maana unaona sw

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

      Mshenzi.we

  • @LukeloKibumo-uu2oh
    @LukeloKibumo-uu2oh 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbehatawewedoto mwehu

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi 11 หลายเดือนก่อน +4

    Very true Dotto she said the right things at a wrong time she's such a bad woman.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +2

    We mshenzi nyamaza usitaje mtume mbwa we

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 11 หลายเดือนก่อน

    Mtume alikaa kw mwanamke sawa lkn alikua ndani ya ndoa sio nje ya ndoa mpuuzi mkubwa ww na ukome kumtaja Mtume wetu kwny vitu vyenu vya kipumbavu ghabi

    • @kelvindagine9571
      @kelvindagine9571 10 หลายเดือนก่อน

      swala alikaa kwa mwanamke. . kwa hiyo akiwa kwenye ndoa anaruhisiaa . . unamkinga mtume halafu unatukana mtume wetu aliishi kwa mwanamke na baadae aliondoka ndo alichosema doto

  • @nasrahamisi479
    @nasrahamisi479 10 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 11 หลายเดือนก่อน

    wandashi wa hbar wa mchongo kizungu cha kajamba nani kwn hmuez kuongea lugha ynu y kiswahili mkapndzesha lugha ynu

  • @stanleynyale2755
    @stanleynyale2755 11 หลายเดือนก่อน

    Kifaranga cha kuku wamejaa mjini

  • @ShaniBihoiki-lx9jl
    @ShaniBihoiki-lx9jl 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 11 หลายเดือนก่อน

    we we we acha ujinga we unjuwa maish y mtume wwe unzengua naon saiv maish y mtume unayjua wwe kwhio mtume alkuwa mzinzi unavykusdia kusema au kuw na adbu na dini za wenzio mtume wtu mohmad alioa wke zaidi y 10 kw amri y mngu we ulimuon kaish na mwanmke bla ndoa alfu hyo ni storia ya karne sio wwe kulet ujinga

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s 11 หลายเดือนก่อน +1

    Rip English 😂😂😂😂😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

    Nguruwe nyamaza

  • @zainabibrahim9734
    @zainabibrahim9734 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huna adabu wewe

  • @DeBeasts66
    @DeBeasts66 11 หลายเดือนก่อน

    3:46 😂 3:51 😂 6:11 😂 6:17 😂 6:22 😂 7:26 😂 10:55 😂 11:09 😂 11:15 😂 11:30 😂 11:36
    #vunjabei #vunjabei
    #franknouz #frenknoz
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅

  • @fatumakiwera7145
    @fatumakiwera7145 11 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂 Frenk Nouce Vunjabei