Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 102

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akuzidishie, busara, hekima, uvumilivu, lakini pia na ujasiri mkubwa. Binafsi sitapenda mheshimiwa Mwambukusi upotee mazima. Mungu akubariki sana..❤️🙏

  • @tbreakerboysir5031
    @tbreakerboysir5031 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akubariki sana Mh. Rais wa Tls Boniface Mwabukusi

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu yuko nawe brother mzalendo wa kweli . Ubarikiwe sana

  • @ignacekiwale7281
    @ignacekiwale7281 5 หลายเดือนก่อน +7

    Dhahabu "HUPIMWA KWA MOTO"Nakupongeza sana Mhs: Adv.Mwabukusi...watetesi mpo wachache...Ubarikiwe sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwambukusi Mungu akubariki sana na elimu unayoitoa kwa sisi jamii imenijengea kujiamini kuwa mimi Mtanganyika sitakiwi kutishwa tishwa hapa Tanganyika tumebaki kutetemekea CCM ati sisi tunabaki kuitikia utumwa. Usiogope Tunakuaminia na tunakupenda sana

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwabukusi' waliyo kupa onyo ni CCM na sio mawakili
    Na hatahivyo' unapewa onyo kwalipi baya ulilotenda'!? Mwabukusi ukosahihi kabisa kwakutetea Nchi yetu na raslimali za Nchi yetu Tanzanian

  • @fredimtaze9982
    @fredimtaze9982 5 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏Haina shida mzee wetu sisi tuko pamoja wewe hao machizi pigania haki za watu wanao oonewa mungu akubaliki

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 5 หลายเดือนก่อน +1

    Big up kaka Mungu yupo pamoja nawe.ukweli mara nyingi hushinda.

  • @SephaniaMsigwa
    @SephaniaMsigwa 5 วันที่ผ่านมา

    Asante mwabukusiiiiiiiiiiii🎉🎉🎉❤

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 5 หลายเดือนก่อน +1

    MSHUKURU RAIS SAMIA.ANA HURUMA.ACHA KIHELEHELE

    • @mzarendo.com9624
      @mzarendo.com9624 5 หลายเดือนก่อน

      Mkundu wako jinga wewe.
      Ndiyo nyie mkijazwa mimba mna mshukuru Samia.
      Hovyoooo !!!
      😳😳😳😳

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 4 หลายเดือนก่อน

      Wakati magufuli kafuta mikutano na kubinya democracy akujitokeza alikuwa wapi kama siyo unafiki

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 5 หลายเดือนก่อน +4

    Kiongozi tunakuelewa sana na tunakuombea sana Mungu azidi kukutetea katika majukumu yako siku zote, Ameni

  • @amos878
    @amos878 5 หลายเดือนก่อน +1

    This is my guy Mr mwabukusi I will stand with you sir mungu utuamshe sisi watanganyika kwa kweli barikiwa baba 👏👏👏

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 5 หลายเดือนก่อน +1

    Stay blessed lawyer Boniface Mwabukusu.

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti 5 หลายเดือนก่อน +1

    Usijisahau sana bro, pamoja na kwamba unafanya harakati zako. Ila chunga sana baadhi ya maneno. Ni ushauri wangu kama mdogo wko.
    I STAND TO BE CORRECTED🤝

    • @SiphaheryJafarymsogoya
      @SiphaheryJafarymsogoya 5 หลายเดือนก่อน

      Sjajua kwani kakosea wapi ndugu yangu kama wewe unakubaliana na mifumo sawa ila ukweli usemwe jamaa kasema ukweli

  • @YohanaMathayo-r7p
    @YohanaMathayo-r7p 4 หลายเดือนก่อน

    Nakupongeza Kaka yangu tukopamoja🙏

  • @gracyusoy9435
    @gracyusoy9435 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa huwa ananifurahisha sana ...ni miongoni mwa watanzania wachache sana wanaotupa tumaini kwamba Tanzania inaweza kupata viongozi wazuri....watu wa Busokelo msifanye makosa hakikisheni Mwabukusi anakwenda Bungeni 2025 halafu menine yatajulikana

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 5 หลายเดือนก่อน

    Baba tipo pamoja, Mungu akiwa dereva wako moja kieleweke. Usiwaogope mafisadi hão wasiyo na haya

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 5 หลายเดือนก่อน +1

    HAYO TUME YASIKIA WOTE NA TUKO PAMOJA KAMA UKINYAMAZISHWA MAWE NA ARIDHI YA NCHI HII YATA SEMA NA KULIA NA MUNGU ATASIKIA NA KUJIBU

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 5 หลายเดือนก่อน

    TUNAZIDI KUKUOMBEA WAKILI MAHIRI SANA BWANA BONIFACE MWABUKUSI

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 5 หลายเดือนก่อน +3

    KAA KARIBU NA MICROPHON USIKEKE PUMBAVU WEWE UMEZOWEA KUWAPOTOSHA WA TANZANIA " UKIENDELEA KUWAPOTOSHA WA TZ SHERIA HAIJAENDA LIKIZO" TUTADILI NA WEWE TUU HAKUNA NAMNA NYENGINE.

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 5 หลายเดือนก่อน

      Ivi wewe na yeye mpumbavu ni nani?

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@nabimanyafesto5014Nashangaa eti hamna namna "nyengine"😊 .Lione kwanza ya Mchambawima anataka kuhamishia kwa wasomi. Nyooo!!!

    • @SephaniaMsigwa
      @SephaniaMsigwa 5 หลายเดือนก่อน

      We shoga nin mavi wewe

    • @austorb.nyondo2708
      @austorb.nyondo2708 5 หลายเดือนก่อน

      Nilijua shetani yuko kuzimu kumbe upo duniani? Acha ujinga jifunze kwa mwanasheria mwenye utu na mtetezi wa watz wetu.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 5 หลายเดือนก่อน

      Kuendelea kuwalinda wasipotoshwe kwa hoja dhaifu ni udhaifu pia. Wanakula na kushiba huwaona raia wengine ni nusu watu au waliumbwa na Mungu mdogo. Binadamu wote sawa tunaelewa kama wewe. Labda wale wachache waliodumaa. Wengi wetu tumijifunza kutumaini tu
      Ipo siku tutachazana fimbo kwa tabia ya kudharau. Anatupotosha sisi hatuna akili? Hûwa tunatafakari kila jambo ndugu kwa akima sana. Ni bora useme kakupotosha wewe. Utawala hautetewi kwa akili nyepesi kiasi hicho.

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 5 หลายเดือนก่อน

    Professional misconduct!!..I like it!

  • @FESTOMBILINYI-mr2gr
    @FESTOMBILINYI-mr2gr 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki sana, tunakuelewa sana Wakili Msomi

  • @joelmwaitege2121
    @joelmwaitege2121 5 หลายเดือนก่อน

    Amen.
    Ubarikiwe sana

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 5 หลายเดือนก่อน

    MUNGU ni mwenye haki, huwa siachi kukuombea mtumishi wa kweli wa BWANA.

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud 5 หลายเดือนก่อน

    Boniphas Mwabukusi , Musa uliyetumwa kuwakomboa wana wa israel(watanganyika) kutoka utumwani misiri(ccm) Viva walkili

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 5 หลายเดือนก่อน

      Eeh! Watanganyika kutoka utumwani wapi....? Watu mnafikiria mbali!

  • @israelmwalukasa7295
    @israelmwalukasa7295 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo anakuanbia kutathimini maneno ni wachawa tu kwa sababu hujatumia maneno yaliyo ya kutukana na yasiyo ya ustarabu. Je hawaoni yanayo fanywa na watawala wa CCM? KWA KWELI SISI WANAINCHI TUMEBAKI NA WEWE NA WACHACHE WANAO ONA WATANGANYIKA WATU. KEEP IT UP.

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 5 หลายเดือนก่อน

    Salute to

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikuwa nimekumiss Nondo zako Wakili Mwambukusi nilikuwa nafuatilia mitandao karimbia wiki moja hivi. Mungu mwema.

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 5 หลายเดือนก่อน

    Kichaa ni were hayawani makubwa mnaoimeza nacho yeti. Namwimba Mungu azine Koo lako

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 5 หลายเดือนก่อน

    Watawala wa CCM wataenda wanako kwenda na matendo yao maovu yattangulia mbele watashangaa yote wanafanya yatawashuhudia mbele za Mungu ni watu Wabaya sana na wametufanya watumwa muda mrefu kiasi kwamba watanganyika hawajielewi mpaka wanafurahiwa na utumwa sasa kiasi kwamba ukiwauliza wanasema ee tusije tuasikika tukaleta. Nyerere mwenyewe angekuwa mwoga kiasi hicho Mpaka leo tungekuwa na Waingereza wakitutwala bado. Watu mfano wa Mwambukusi tunawaitaji ili watu wapate kujiamini tena Inchi kwetu Tanganyika. Ndiyo sababu wazika Tanganyika na sisi tunawachekea na kusema saw ati wanaogopa kuuwa kwani wao Mungu?

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 5 หลายเดือนก่อน

    Haya mafisadi wanataka wanganyika wote tuwe machawa, wa ufisadi wao,pongezi kwako wakili

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ungekuwa mkweli ingekuwa vizuri sana lakini ubaya wako mengi unayoyasema si ya kweli kwahiyo jirekebishe

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 5 หลายเดือนก่อน

      Yeah right! Jina lako linaotujuza unakoelekea. Ukweli ni Ukweli tu hauna kuupuliza kuupoza. Unatakiwa uwe jasiri au muoga. Unatakiwa uwe unatazama pande zote mbili kwa usawa. La sivyo wapoteza muda wako na kujiaibisha ndugu yangu. Mwambukusu yuko sawa na anasema kweli. Huo uwongo wake tujulishe basi nasi tujue. Usijifiche nyuma ya maneno ya jumla jumla eh bro😊

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 4 หลายเดือนก่อน

      Ana chuki tu alikuwa wapi wakati magufuli anawapiga pini kina lisu mpaka wakakimbia nchi

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 4 หลายเดือนก่อน

    Daud alimuangusha goliati na ww amni tuko nyuma yako my brother

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 5 หลายเดือนก่อน +1

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @viktamassawe2925
    @viktamassawe2925 5 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana wakili msomi

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 5 หลายเดือนก่อน

    Smart guy ..lazima ujue gharama ya nafasi yako..
    Kazi ya wakili Ni ya Mungu
    Ukikosea utahukumiwa na Mungu
    Lazima mtende haki na kusimamia haki

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t 5 หลายเดือนก่อน

    Fanya mazoez bro, tunakutegemea sana

    • @IbrahimTabu-qh9il
      @IbrahimTabu-qh9il 5 หลายเดือนก่อน

      Tunatakiwa tukubali lolote litutokee hatakama nikutoa uhai wetu. Sisi laia wavuja jasho ndiyo nguvu yahao wanao ongea ukweli. Siyo kusifia nakuwaombea mungu...

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 5 หลายเดือนก่อน

    nchi yetu haiongozwi kwa mujibu wa Sheria Tanzania is a banana republic

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 5 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sana Wakili msomi mwabukusi tupo pamoja sana kaka

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti ya mungu unajua wewe siungekuwa mchungaji njaa tu kiboko yenu makonda

    • @sindaslyvester1007
      @sindaslyvester1007 5 หลายเดือนก่อน

      Sauti ya MUNGU si lazima uwe mchungaji: Kuna wachungaji wachumia tumbo

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 5 หลายเดือนก่อน

    Respect

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 5 หลายเดือนก่อน

    Tukikosa watu kama Mwabukusi, basi ujue Tanganyika nzima ni kusanyiko la Matahiira .

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 5 หลายเดือนก่อน

    Stand up with justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)

  • @ezekielmusa1390
    @ezekielmusa1390 5 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏

  • @fidelischibukwe543
    @fidelischibukwe543 5 หลายเดือนก่อน

    🙏🏾🙏🏾

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe 5 หลายเดือนก่อน

    Damu ya Yesu ikufunike na kukukinga nahila zao hawa wasio na haya wala soni Mungu akubariki na kukulinda ndugu yangu

  • @SephaniaMsigwa
    @SephaniaMsigwa 5 หลายเดือนก่อน

    Tunakuamin wakili wetu wewe ndo msomi

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 5 หลายเดือนก่อน +1

    Welldone wakili mwabukusi. ✌️👏🙏

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe na makonda na lisu mko sawa kuwa viongozi wa juuuu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 5 หลายเดือนก่อน

    Hawatakuweza jeova hameshakuweka katika mioyo ya watu hachana na matumbo ya tamaa Kuna siku tu yatanyauka si kitambo

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 5 หลายเดือนก่อน

    Amini

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 5 หลายเดือนก่อน

    hao ni machawa achana nao piga kazi kamanda tupo pamoja

  • @lupakisyoassa1579
    @lupakisyoassa1579 5 หลายเดือนก่อน

    Uoga ni dhambi kubwa, maana hata sauti ya Mungu akitaka kufanya jambo juu ya mtu wake alituma Malaika usiogope.

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 5 หลายเดือนก่อน

    Ulitete ubinafisaji bandari I lengo kutetea wapigaji ww uko kimasilahi Kwa wapigaji

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 หลายเดือนก่อน +1

    HAKINA ANAE KATAA KUKOSOLEA ILA INATEGEMEANA UNAMKOSOA KWA NJIA GAN UKIKOSIA KWA KUTUKANA HATUNA ATAKAE KUKALIA KIMYA KO REKEBISHA UONGEAJ WAKO

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 5 หลายเดือนก่อน +2

      Mwizi anaitwa Mwizi! Jambazi anaitwa jambazi! Fisadi anaitwa Fisadi! Mchawi anaitwa mchawi! Chawa ni chawa tu! Je wewe unataka akosoe vipi! Awaiteje hao watu! Wanufaika wa huu mfumo kandamizi wa mafisadi hawawezi kumkubali wala kumwelewa Mwabukusi! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

    • @rehemaanyisile6205
      @rehemaanyisile6205 5 หลายเดือนก่อน

      How

  • @maranduleshira3727
    @maranduleshira3727 5 หลายเดือนก่อน

    Malcom X.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 5 หลายเดือนก่อน

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @AlexPetro-z1e
    @AlexPetro-z1e 4 หลายเดือนก่อน

    Tuko pamoja

  • @ElizaNdomba
    @ElizaNdomba 5 หลายเดือนก่อน

    Verified sentences I missed u

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu anapenda watu wajasiri ,serikali inapenda wenye hofu je wewe mwenzangu utakuwa upande gani ?

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 5 หลายเดือนก่อน

    wanaojua makosa ya inchi hii wasomi wakiwemo wanasheria wa kujitegemea ndio wanaotetea wanainchi sisi watanzania tuko na nyie musichoke maana wanasheria serikali ni ccm ndio maana hata mabaya ya viongozi wao wanayabariki

  • @MusyangiMatoti
    @MusyangiMatoti 5 หลายเดือนก่อน

    Kauli ilijazwa kwa jazba kubwa mno, maneno Yako vema, mawakili wenzako mbona wapo mbali kwa jambo hili?

  • @FrankSimkoko-h4d
    @FrankSimkoko-h4d 5 หลายเดือนก่อน

    Pambana tupo nyuma yako

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 5 หลายเดือนก่อน +1

    ALAFU BAADHI YA WADAU KUKUPA SIFA ZISIZOFAA PIA WANAPITILIZA...WEWE HUWEZI KUWA SAUTI YA MUNGU NI BINADAMU WA KAWAIDA HUO NI UPUUZI TU

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 หลายเดือนก่อน +1

    HATUPING KAZ YAKO ILA NA WEW UMEONESHA MADHAI KIBAO KWENYE KUONGEA NA KUTUKANA VIONGOZ WETU HUNA HAJA YA KUTUKANA VIONGOZ WAKOSOE KWA HESHIMA

    • @jovinjoseph1247
      @jovinjoseph1247 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mwizi ni Mwizi tu

    • @rehemaanyisile6205
      @rehemaanyisile6205 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna kupaka mafuta kwamgongo wachupa

    • @austorb.nyondo2708
      @austorb.nyondo2708 5 หลายเดือนก่อน

      Nafikrii ukiibiwa au mwanao kubaka nafikiri mbakaji utamuomba mzungumze kwa heshima maana mbakaji kwako anastahili heshima kuliko dhambi ya ubakaji aliotenda

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 5 หลายเดือนก่อน

    Ww ni sauti ya mungu kama hutojali no yako ya cm muheshimiwa pls

  • @khamismakame
    @khamismakame 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Kichaaa afutiwe usajili Hana adabu wa code of conduct Anachnganya uwakili na Siasa Futa certification yake akalime Mahindi

    • @rehemaanyisile6205
      @rehemaanyisile6205 5 หลายเดือนก่อน +3

      Pumbavu kalime wewee,bwege mkubwa

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 5 หลายเดือนก่อน +2

      Punguani weye umeishia la pili unataka nawe uonekane mtu😊

    • @MirajiMiraji-v2j
      @MirajiMiraji-v2j 5 หลายเดือนก่อน +1

      Pumbavu msukule wewe

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 5 หลายเดือนก่อน

      Tunaweza kushugulikiana sisi kwa sisi, ila nyuma ya pazia umaskini unatushukia wote.magonjwa yanayotibika yanatumaliza, vifo vya ajali vinatumaliza, rasilimali zinaporwa, ujenzi wa barabara kandarasi wanagenga wageni! Rushwa,wizi, uzembe CAG kila mwaka anatuonyesha.unatumia nguvu kubwa kushugulikiana? Haya nayo maendeleo? Au ni woga wa mtu aliye panda mgongoni mwa siba? Anaogopa kushika? Dhana kushugulikiana ni kikwazo cha maendeleo yetu. Uadui kila mahari utadhani tutaishi milele. Ajabu tunakomoana Kwa hasara ya uzao wetu wenyewe.

    • @frankremishoy5778
      @frankremishoy5778 5 หลายเดือนก่อน

      Msukule kabisa.kwanza kazi ya uwakili ni mtetea mtu yeyote aliye onewa hata kama siyo mahakamani

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 5 หลายเดือนก่อน

    Gombea ubunge ccm

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 5 หลายเดือนก่อน

    Unapambana kukosoa mapungufu ya baadhi ya mambo LKN KASORO YAKO ni namna ya KUWASILISHA ndipo unakosa hekma na BUSARA na MWISHO WA SIKU HATA hayo unayoyasema yanaonekana ni UTUMBO Kwa baadhi ya watu

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 5 หลายเดือนก่อน

      Hekima ipi ?? Watu wengine ni kwasabb hata wivu wa Mungu hamuujui. Hizo ni hekima za wizi mnazo zitaka anyway.

    • @IbrahimTabu-qh9il
      @IbrahimTabu-qh9il 5 หลายเดือนก่อน

      Mtu yeyote akikosea anambiwatu hata kutukanwa sawatu haijalishi ninani.

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 5 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Mwabukusi !
    Tunakuomba UMSHUKURU MwenyeziMungu.
    Hakuna anaekutisha wenzio wanakupenda ndiyo maana wamekusii ukae kimya.
    Kama kashindwa Jaji Mkuu Nyalali !wewe ni nani ? kama Jaji kissanga , Jaji Samatta hawa wote ni weledi wa sheria ! wewe nani ?
    Tunakuomba nenda jimboni kagombee ubunge au urais ili ukapiganie hayo unayoyataka.
    wameshindwa manguli wa sheria itakuwa hawa wa Leo.
    Matatizo ya nchi hii yslianza pale waasisi wa uhuru walipoenguliwa kwa dhulma wengi wao walikuwa waislam ndiyo maana dhambi ile inatafuna nchi mpaka na kesho.
    dhulma mwisho mbaya.
    wazee wetu walitafuta uhuru ili watu wote tupate haki lakini matokeo yake wakabaguliwa baada ya uhuru kupatikana . msimtafute mchawi ! wachawi wanajulikana hao ndiyo wametufikisha hapa. Mheshimiwa usilaumu tulipo angukia ukasahau tulipo jikwaa. Aksante