AISHI MANULA “MKUDE KWENDA YANGA SI USALITI, SIJAONGEA NAE KABISA SIJAONA UMUHIMU”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 78

  • @methuselamisana4115
    @methuselamisana4115 ปีที่แล้ว +26

    Interview nzuri,,,,, fanya hivi ukamuulize na mwanasheria wa serikali kuhusu kuuzwa kwa bandari yetu tutashukulu kwa hilo

    • @kelvinngogo1819
      @kelvinngogo1819 ปีที่แล้ว +1

      😅umetisha

    • @fatma4628
      @fatma4628 ปีที่แล้ว

      Bandari haiuzwi broo inakodishwa 😂😂😂😂

    • @kelvinngogo1819
      @kelvinngogo1819 ปีที่แล้ว

      @@fatma4628 tuambie mwisho wa mkataba ni lini?🤣🤣🤣

    • @nasanrich
      @nasanrich ปีที่แล้ว

      😁

    • @fatma4628
      @fatma4628 ปีที่แล้ว

      @@kelvinngogo1819 ulizeni mama Samia lakini bandari haiuzwi

  • @samuelremigius7711
    @samuelremigius7711 ปีที่แล้ว +7

    Manula una akili sana,msisikilize mashabiki wasiojua mpira,shabiki na mchezaji ni vitu viwili tofauti,mchezaji mpira ndio ajira yako na maisha yako,ukiachwa nenda unapohitajika ili maisha yaendelee ukikaa kusikiliza mashabiki kisa hawapendi hakuna atakayekuja kukutumzia familia yako...soka ni ajira nenda kacheze timu yoyote!!

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 ปีที่แล้ว +7

    Jamaa hili linamajibu ya hekima sana

  • @PhilomenaSteven-tq2tx
    @PhilomenaSteven-tq2tx ปีที่แล้ว +3

    Handsome boy yupo kwao anakula vya nyumbani Swahili food 👍👍

  • @justinefanuel
    @justinefanuel ปีที่แล้ว +2

    ,Manula mm Ni yanga lakini nakukubali, Kwanza huringi uko home live

  • @elvasmbogo5311
    @elvasmbogo5311 ปีที่แล้ว +4

    Mimi naona ni sahihi kabisa kuachwa na ni sahihi yeye kwenda Young kwani ni Ajira yake na Simba wameona inatosha kwa huduma yake.

  • @doktmtanga7303
    @doktmtanga7303 ปีที่แล้ว +4

    Kazi njema nimemisi kukuona Tena pona uludi ukiwashe

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er ปีที่แล้ว +5

    Huyu kijana yupo vizuri sana maisha halusi sio yakuigiza japo wewe ni kolo ila nakukubali

  • @eliswed7812
    @eliswed7812 ปีที่แล้ว +1

    Kwa mbal jamaa anataka kufanana na King kiba

  • @taswiramedia
    @taswiramedia ปีที่แล้ว

    DOSARI EP 02 Love Story
    th-cam.com/video/8JX7s5DYwok/w-d-xo.html

  • @aboubakarjuma3378
    @aboubakarjuma3378 ปีที่แล้ว

    Mkude niwakwetu mpk kesho mpk Leo

  • @scopy0428
    @scopy0428 ปีที่แล้ว

    Manula umeongea point Sana chukua 5

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 ปีที่แล้ว +1

    Mbon kama anafanana na Alikiba uyu manula

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs ปีที่แล้ว +2

    Njoo yanga manura ule bata😂😂😂😂😂😂

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 ปีที่แล้ว +1

    Mkude tulikupenda sn ndani ya Simba na kwa sbb hukuondoka vibaya tnakutakia kila la heri huko uendako,kwani mpira ndy ajira yako

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 ปีที่แล้ว

    Pona haraka Air Manula...

  • @allenmethod6788
    @allenmethod6788 ปีที่แล้ว +1

    Upo vizur sana Manula MUNGU akutie nguvu

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo ปีที่แล้ว

    Manula yupo vzriii Sana'a
    Waandishi wakubwa kama nyie mhoji kuhusu bandari sio mnaachia kina mbengo TV, Jambo TV n.k

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 ปีที่แล้ว

    Ila manula amejibu kiume
    Kuna MAISHA baada ya mpira (facts)

  • @Evancemlema-k3i
    @Evancemlema-k3i ปีที่แล้ว +7

    mungu awajarie sana wafanyakaz wa ayo tv kwa kaz nzur

  • @maxmillanayo2979
    @maxmillanayo2979 ปีที่แล้ว +3

    Kweli saimba ni yakufanya wachezaji wao maskini,,,yani kweli manula wakukaa haya mazingira!!!!!

    • @eidallyeidally5093
      @eidallyeidally5093 ปีที่แล้ว +1

      Timu inalipa ila kujenga nimajukum ya mpokea pesa timu haina jukum la kuhakikisha kila mchezaj anajenga

    • @gabrielmoses6860
      @gabrielmoses6860 ปีที่แล้ว

      Sio tatizo la Simba,, swala ni kwamba yeye anatumiaje pesa!
      Majukumu kwenye familia ni mengi sana kijana ,,, unakuta anasomesha .n.k
      Pia jamaaan ni mwamba,,, kafanyia interview pale pale home na Wala Sio hotelini Wala kwenye gari

    • @naomifesto8616
      @naomifesto8616 ปีที่แล้ว

      @@eidallyeidally5093 kwani ni lazima afanyie interview kwake unahakika kama hapo ni kwake

    • @عبداللهالعازمي-ع3ش
      @عبداللهالعازمي-ع3ش ปีที่แล้ว

      @@eidallyeidally5093 apa nikwao manula ana nyumba 2 dar chamanz nahiyo pia sio mbaya manula ana umwa tu

    • @maxmillanayo2979
      @maxmillanayo2979 ปีที่แล้ว +1

      Kwani wachezaji wengine hawana majukumu ya kifedha??manula hana nyumba mbili dar angekua nazo asingekaa huku vichakani na pia Ayo Tv kumfuata mchezaji kwenye haya mazingira ni kumvua nguo adharani,,wachezaji wasitiriwe jmn

  • @petermsechu1519
    @petermsechu1519 ปีที่แล้ว

    Inamaana Kumbe Kweri Hapo ndo Nyumbani Kwa Aishi Dah 😅

  • @SuzanaKasanya
    @SuzanaKasanya ปีที่แล้ว +6

    Mkude kwenda Young Africans lisiwasumbue wapenzi wa timu ya Simba maana mpira wa miguu ndo ajira yake. Naamini kule kafuata pesa ila bado timu alokaa muda mrefu itabaki moyoni mwake

    • @jumasoli7818
      @jumasoli7818 ปีที่แล้ว

      Aliokaa nayo mda mrefu ndio ipo moyoni Nan nakuambia utajuaje Kama alikuwa anatamani aende timu nyngine

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 ปีที่แล้ว

    Hizi interview zinazo husisha wachezaji wa simba na yanga ziko kichokozi mno ukikosea pont tu imekula kwako panahitajiki umakini mkubwa ktk kijibu

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga ปีที่แล้ว

    Kutoka kwenda pahala pengne nikawaida muda ukifika kutoka nilazima israeli ya Sasa hapo zamani walikuwa watumwa wa misri WAKATOKA hata wakati furani shetan aliteka mateka kikambabadilikia kila lenye mwanzo linamwisho UGUMU WA MAISHA Ndicho KIPIMO CHA AKILI

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 ปีที่แล้ว +1

    Manura mungu akusaidie upone haraka

  • @isunga1964
    @isunga1964 ปีที่แล้ว

    Jamani mbona magongo anamaumivu kiasi hicho mungu akufanyie wepesi upone haraka Air Manula wetu

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 ปีที่แล้ว

    Nilichopenda ni hiyo nyumba ya udongo yaani Aishi hana mambo ya maigizo japo nafahamu pesa anazo tu za kutosha

  • @zuberirashidi6356
    @zuberirashidi6356 ปีที่แล้ว +2

    Uyu ana kitu atafika mbali😂

  • @nassoropongwa8022
    @nassoropongwa8022 ปีที่แล้ว +1

    Manula umeongea point sana

  • @revocatusmtahaba9955
    @revocatusmtahaba9955 ปีที่แล้ว

    Nimependa hiyo et vitu vya kukufanya ujue umo au haumo

  • @ElimiliusNduhe
    @ElimiliusNduhe ปีที่แล้ว

    Kama ametemwa simba , kwahyo wanasimba wanatamani mkude aendelee kukaa mitaani?

  • @HusseinKoja-nw2vq
    @HusseinKoja-nw2vq ปีที่แล้ว

    Hilo jibu la mwisho ndio jibu la ushauri wa manula kwa mkude limeshajibika hana haja ya kupiga simu

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 ปีที่แล้ว +1

    Manura fanya upige rip nyumbani hapo bana

    • @athumanmsuya2688
      @athumanmsuya2688 ปีที่แล้ว +1

      Wewe nyumba za asili hizo,ni ukumbusho so kwamba hawezi au hawana nyumba nzuri

    • @alicenice1711
      @alicenice1711 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @musason1680
      @musason1680 ปีที่แล้ว

      Hiyo nyumba watu zinawakumbusha mamb mengi hata nzr ziwepo hiyo itabaki mpaka siku ikianguka yenyewe watu wamekulia humo

  • @revocatusmtahaba9955
    @revocatusmtahaba9955 ปีที่แล้ว

    Yn manula yupo smart sana namependa na nimekubali maelezo aliyoyatoa kuhusu kusaliti timu

  • @jumasoli7818
    @jumasoli7818 ปีที่แล้ว

    Kuna sku chama ndan ya yanga au mzze ndan yasimba kawaidatu

  • @jacobkilagalila-gu2mh
    @jacobkilagalila-gu2mh ปีที่แล้ว

    Anamajibu mazr

  • @nestorymasale2714
    @nestorymasale2714 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana dogo

  • @JerryMwandenje
    @JerryMwandenje ปีที่แล้ว +1

    Big up sana

  • @dijahmriri523
    @dijahmriri523 ปีที่แล้ว +2

    Wachezaji mnatakaga mishahara mikubwa ata cha maana mnachofanyaga hakuna sasa kwa ukubwa wa manula iyo ndo nyumba ulisema umejenga nyumbn kwenu duh

    • @michaelpaul245
      @michaelpaul245 ปีที่แล้ว +1

      Yaani kwa manula Nampa pongezi hajafeki life na wengine wawe mfano wa kuigwa.kamaliza yake na nyumbani ipo kwenye Renta.hiyo anayofanyia interview ndo ya zamani na hua hatuzivunji kwa sisi tuliotoka village tunaelewa

    • @azizimangara9024
      @azizimangara9024 ปีที่แล้ว

      Sio kila kitu chako ukitangaze, ulitaka akae kwenye nyuma nzuri za watu na gari la samani kama wanavyofanya wasanii!!!? Kwanza Iman ya dini yake aziruhusu kuringa juu ya ARDHI, ndomaana hata bakharesa yupo kawaida saana, amejitambua dini yake inataka nn. Na huenda manura ana nyumba nzuri kuliko yako, Ila aireti maana aionyeshe, kwani ni yakwake sio yako. Big up manura Kwa uharisia. Ulio uonyesha.

  • @victormkini2708
    @victormkini2708 ปีที่แล้ว

    Manula uko sahihi na maneno yako big up

  • @lugalilamibako2834
    @lugalilamibako2834 ปีที่แล้ว

    Get well soon air manula