NILIKUWA NAJIPAKA MASIZI ILI WATU WACHEKE / NILIKUTANA NA MCHUMBA WANGU BARABARANI - MKOJANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Huyu Mjomba anavyo tune Sauti yake ana uwezo wa kipekee... #Mkojani_gang. Kubadilisha sauti kwa Scene na natural voice
Mm Mkenya lakini napenda vipindi vyenu,Kiswahili dah!! ❤️ 💯
Naona dimpoz kwenye machavu ya wifi yetu wa taifa tena og sio za uturuki❤
punguza vingereza mama nshakwambia na sirudii.
Uyu dada kafanana na yulemtoto alieigiza na kanumba BiG DADY
Kabsa
Huyu dada mzuri
Huyu Dida ana-pretend kujuwa English but kunacku utapata mtu wakukunyamazisha. Heshima kwa mkojani kuheshimu Kiswahili
Hhhhhhh
Kitovu cha kiswahili ulimwengu mzima ni Tanzania 🇹🇿 kama vyombo vya Habari vita acha kukitukuza kiswahili basi ndo mwanzo wakuporomoka kwa kiswahili ulimwenguni, watangazi katika vyombo vya Habari Tanzania waache kutweng tweng kingereza hewani hakileti shangwe kabisa kwa mashabiki haswa wale tuko Afrika mashariki na Kati. Hapa Kenya 🇰🇪 tumekihenzi kingereza hadi leo lugha ya kiswahili imeharibiwa kabisa kwa mchanganyiko wa maneno yasiyoeleweka kabisa, For those who pretend to be very well educated by imitating the western cultures and pretending to speak like the white men you are slaves to those people.
Hahahahaaaa Et punguza viingereza nishakwambia usirudie,
"Punguza vizungu mama" mkojani unazingua sana 😃🤪😆😝
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kabisa
Amesema ukwel wake
Yani Kuna muda nataman nisiangalie humu ndani kwasababu Kama anawazalilisha wasiojua kizungu naomba ujilekebishe DIVA DIVA DIVA nakuita mala 3 acha ujinga wako
Diva punguza kengerezaa hahahaa🤣🤣🤣🤣
Punguza kingerez umemwambia ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Punguza kingereza ongea kiswazi bhan diva 😂😂😂🤪🤪
punguza kingereza🤣😁😁
From ,🇳🇬🇺🇸
Maswali mengine bwana
😁😁😁😁punguza vingeereza 😂
ujue uyu jamaa anaojiwa yuko serious lakn me nacheka uku
😀😃😃 vingereza visizidi
Punguza vingereza😂😂😂
😂😂😂
😂😂
Azam tv bondita
Huyu nae kutwa vingereza kam ulimpeleka shule mtu ww
Mm nachukiya Sana M-TANZANIA kama Dida kujifanya kujuwa English.. Damn!. Trust me unapo muongelesha mtu English while yeye anakuongelea kiswahili kiukweli wanifanya hata nisiangalie tena hio interview. Vp ww una force English mbona unakuwa Kama element.
Uyo dem ni mrembo
Punguza kiingereza
Pungusa kingeresa
Mkojani 🤣🤣🤣🤣
Nani kasikia diva kasema hi mama mkojan kataka kuitikia
😂😂😂
Mashallah , iwe ndoa ya kheri na baraka
Mkojani kutoka msili😂😂
Msiri sio msili
Kafanana mdogo ake sofia wa big dady yakanumba haki had vidimpozi
BIG UP Mkojani mimi siyo mpenzi sanaa wa sanaa yako lakini uku ulipoanzia mpaka ulipofika heshima kwako. Vijana inabidi wakuchukulie kama inspiration kwao. Aina kukubali kufeli aina kukata tamaa
Oyoooooooooo
POMBE BARAKA MAGUFULI th-cam.com/video/SHhvVmylpzA/w-d-xo.html
Nakubali ulipambana...nilikua nakuona mitaa ya ilala home kwako
Punguza vingereza mama
Haaaaah kingeleza mkojani kinamchangqnya
Mashallah mungu awabariki mfungr ndoa
TANGA ndio home 💚
Yaan hadi raha jaman nimewapenda😍😘
Miaka mitano mingi sanaaa, I spent 12 years with girl and no marrige
Ndio maana munatakiwa muoane
Diva maswali ya ovyo tu
Nice
Kademi kazuri
Punguza kingereza
Vingereza visizidi mama angu😅😊
😀😀😀😀😀
Sikupendi wwe Dad diva sijuwi kwa nini maan unavyoongea kingereze chako nyau weekend
Diamond plantum
Mkojoni the best keep doing the good work
😂😂😂
🤣🤣🤣😅😂