MAKUBWA, MTANZANIA ALIYEGUNDUA DAWA YA UKIMWI AELEZEA CHANZO CHA DAWA HIYO,MSIKILIZE AKIFUNGUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • #uhondotv #uhondo

ความคิดเห็น • 144

  • @daudimwangoka4356
    @daudimwangoka4356 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dokiter. Mungu. Akulinde. Utaokoa. Watanzania. Wengi

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 10 หลายเดือนก่อน +8

    Mama Samia tusaidie mpe ushirikiano mpe kazi ndugu yan gu Msigwa awe waziri wa afya

  • @JosephJulus-wi6xy
    @JosephJulus-wi6xy 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hyo dawa inapatikana kwa Gani

  • @AnathIssa
    @AnathIssa 7 วันที่ผ่านมา

    Emwenyezi mungu mlinde huyu kwa msaada halio huleta nchini mungu tusaidie

  • @jaydjuma8255
    @jaydjuma8255 ปีที่แล้ว +5

    Lakini jamani Africa sis tunalana gani lakini mbona maisha yetu Yana zidi kuzorota sana day by day kisa ubinafsi sana watu wanateketea na watu mpo

  • @ElizabethNdalahwa-x5n
    @ElizabethNdalahwa-x5n 11 หลายเดือนก่อน +8

    Mnaomponda huyu tr ndo mabarozi wa vvu mnatetea matumbo yenu mnafulahia watu wateseke dawa isipatkane na mungu amekataa kamleta huyo kuikomboa dunia.

  • @wilsonslaa5533
    @wilsonslaa5533 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akusaidie San uendelee ivo ivo

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 ปีที่แล้ว +4

    Be bless kaka usife moyo kama unsitaji clincl mororogo nitakuoa bei nafuu kabisa weka simu nitakupigia

    • @masalachifumbo389
      @masalachifumbo389 ปีที่แล้ว +1

      Musigwa ijtahidi dawa yoko saidia watu wapone mambo haha magu biyashala ya dunia watu watalala bila kula

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata3650 ปีที่แล้ว +13

    Huyu asipoangalia watamuua...ukimwi au virusi vya HIV vilitengenzwa na wamarekani ni biological weapons...lengo ni kupunguza watu ila pili lengo ni kupiga pesa!!!!kuwa makini doctor

    • @MariaIddy-gg9zf
      @MariaIddy-gg9zf ปีที่แล้ว +2

      Kaka nakuomba kwa mungu uishi milele na mungu akutangulie jamani

    • @MariaIddy-gg9zf
      @MariaIddy-gg9zf ปีที่แล้ว +1

      Kaka nakuomba kwa mungu uishi milele na mungu akutangulie jamani

    • @MacrinaMtunguja
      @MacrinaMtunguja ปีที่แล้ว +2

      Kaka naomba namba

    • @Paskalinaakonaay
      @Paskalinaakonaay ปีที่แล้ว +2

      Mungu akutunze sanaa

    • @geofreymulei5695
      @geofreymulei5695 9 หลายเดือนก่อน +1

      Wacha kujianika bro watakuua

  • @SalviusLupenza
    @SalviusLupenza 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde Mr msigwa

  • @BUYEGILAZARO-dx5ug
    @BUYEGILAZARO-dx5ug ปีที่แล้ว +1

    Hongera nimekusoma,,

  • @FrancineLuciaAssani
    @FrancineLuciaAssani หลายเดือนก่อน +1

    Jambo ukweli nime kubali somo lako

  • @reubenjoram9675
    @reubenjoram9675 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana tumechoka nahisi hali

  • @StephanoWiliam-oy5bz
    @StephanoWiliam-oy5bz 8 หลายเดือนก่อน +1

    Namba brother

  • @NuruBakari-w7l
    @NuruBakari-w7l 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo dawa angeigundua mzungu wala kusingekuwa na kikwazo lakini mwafrika mmmm tutakapotoa taarifa ulimwenguni tunaogopa tutakosa missada kwa hisani ya mareka lakin inshallah tunazidi kumuomba mw MUNGU atie wepesi kwa hilo

  • @FaustineRobati-v6n
    @FaustineRobati-v6n 6 หลายเดือนก่อน

    Usife moto Mr msigwa mungu atakusaidiya

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 10 หลายเดือนก่อน +2

    Angalia ndugu yangu Msigwa wasije wakakupoteza maana wazungu ni waongo sana mitishamba ndio dawa Bora duniani

  • @AminaDesgner
    @AminaDesgner 2 หลายเดือนก่อน

    Munguakulinde

  • @habibahamisi2367
    @habibahamisi2367 4 หลายเดือนก่อน

    Dr,selikali hautakubali kukutangaza kwasabababu hawana uchungu na watu wao,lengo lao nikuua nguvu kazi basi wasaidie watanzania toa namba za sim wananchi wanakuelewa,

  • @JacksonKisiri-w1n
    @JacksonKisiri-w1n 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutete na kukulinda,

  • @kamugishaurban1995
    @kamugishaurban1995 ปีที่แล้ว +2

    dokita je una hospitar yako?

  • @AGRICOLAKIMOLO
    @AGRICOLAKIMOLO 11 หลายเดือนก่อน +3

    Samahani ninapokuja kwako natakiwa niwe najua wingi wa vijidudu kwani nikija huwezi kunipima wewe ukanipatia damu na vipimo vyako ni bei gani?

  • @mildredsophia7122
    @mildredsophia7122 ปีที่แล้ว +1

    May God preserve you for us. Kuna watu wengi wanatumia HIV kama kitega uchumi na hawataki tiba ipatikane.

  • @MackHd-u2r
    @MackHd-u2r 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubarik

  • @samwelkulagwa861
    @samwelkulagwa861 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nitakuwa balozi wako Dr.

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 ปีที่แล้ว +2

    Waafrika tunashida sana.Kumwani mwafrika mwenzeke kwlolote lile nikazi.Hpo angekuja mzungu akatangaza amepata dawa yaukimwi,hyo angepokelewa naangepewa ushirikiano wte mpka eneo angepewa.Namsamahaa wekodi angepewa.Nawananchi wngetangaxiwa nakushauriwa kwanguvu sana walekee hko kwamzungu.Lakini simwamfrika

    • @neemalkiswaga6126
      @neemalkiswaga6126 6 หลายเดือนก่อน

      Aende Kwa wazungu wamuuwe

    • @Kanga-pu6yl
      @Kanga-pu6yl 3 หลายเดือนก่อน

      Siasa za magharibi na Africa hakuna ni binu na lugha ya biashara.
      Magharibi watu wafa bona wapinge maarifa kama inamanufaa.
      Karanga ni lugha ya kudharau kazi ya wengine, toa yako Bure zifanye kazi basi biashara itanoga.

  • @Kanga-pu6yl
    @Kanga-pu6yl 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bona Kwa TH-cam yake hakuna comments hata mmoja Kwa jambo la hatari kama vvu.
    Hapa comments kibao hakuna kufuta.

  • @isaacashel3328
    @isaacashel3328 10 หลายเดือนก่อน +2

    😢jaman tupeni hiyo vvu inatesa atali kwakweli

  • @ErickMasika-zf2xx
    @ErickMasika-zf2xx หลายเดือนก่อน

    Unapatikana wp

  • @kamugishaurban1995
    @kamugishaurban1995 ปีที่แล้ว +2

    dawa yako inapatikana wapi ? nasikia inatibu presha baba.

  • @rehemasuwedi7653
    @rehemasuwedi7653 8 หลายเดือนก่อน

    Toa tiba watu wapone mungu hamekuonyesha husaidie

  • @SubiraMgelwa
    @SubiraMgelwa 8 หลายเดือนก่อน

    Dr.naomba namba

  • @HoneyOdemba
    @HoneyOdemba 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba

  • @AnnaNdimbo
    @AnnaNdimbo 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba namb yk plz

  • @lilianimachumi4508
    @lilianimachumi4508 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu asaidie

  • @AnnaNdimbo
    @AnnaNdimbo 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba namb yk plz

  • @wilsonslaa5533
    @wilsonslaa5533 7 หลายเดือนก่อน

    Docta no zako pliz

  • @ErickMasika-zf2xx
    @ErickMasika-zf2xx หลายเดือนก่อน

    Naomb namb yako plz na maswalii na ww

  • @abuumitema548
    @abuumitema548 ปีที่แล้ว

    Krinic yako iko wapi

  • @FloraB-p5z
    @FloraB-p5z 2 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba uletwe arusha

  • @mamaafrica-kq6ni
    @mamaafrica-kq6ni 7 หลายเดือนก่อน

    Unapatikana wp doctor

  • @UmutuTz
    @UmutuTz 10 หลายเดือนก่อน

    Tunahitaji namba

  • @habibahamisi2367
    @habibahamisi2367 4 หลายเดือนก่อน

    Eeh mungu baba mlinde huyu kiumbe wako na watu wenye chuki na binadam wa tanzania,Tr tunakuamini ila toa namba

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula ปีที่แล้ว +1

    Njaa mbaya

  • @BabdulyZaharani-en9br
    @BabdulyZaharani-en9br 6 หลายเดือนก่อน

    Namba zako

  • @hashimuShaidu
    @hashimuShaidu 3 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi mungu akuwekee wepesi ktk hili.igekuwa vzr sana ukatoa na namba zako za cm na kituo ambacho unapatikana

  • @AminaDesgner
    @AminaDesgner 2 หลายเดือนก่อน

    Tunaombanamba plees doctor

  • @emmauszinedin2954
    @emmauszinedin2954 9 หลายเดือนก่อน

    Ndiyo hoho utafuti unewezekana Arakini utureteye watu 50 wenye nimzsha wapa sawa bakapona VHV Ndio tutapata ukweri sindio

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi Dr msigwa unavyotuambia si uandike namba Yako ya cm watu wakutafute Cha msingi namba ya cm kaka hayo ya serikali ikuruhusi ni ngumu maana wanajali maslahi yao tuu angekuwa magufuli angekuruhusu hao wenzangu na Mimi haaaa

  • @Kanga-pu6yl
    @Kanga-pu6yl 3 หลายเดือนก่อน

    Wapi walio pona, hakuna orodha yoyote.
    Vita vya vipimo, wasomi, wamagharibi na wazungu.
    Daktari hakuna research inafanya anatibu Kwa mjibu wa kanuni ya masomo.
    Toa dawa Kwa watu kumi, wapone na Dunia mzima itafata wewe, hii ingine ni biashara na sarakasi.
    Matendo si maneno, porojo na kudharau kazi ya wengine..

  • @Lupamwakyoma
    @Lupamwakyoma 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba yako Nita kutafuta

  • @BeltaMatius
    @BeltaMatius 8 หลายเดือนก่อน

    Tupe namba zako

  • @khadijamasoud4238
    @khadijamasoud4238 ปีที่แล้ว

    Doctor namba yako

  • @isaacashel3328
    @isaacashel3328 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tupe dawa dr watu tupone tu

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel8022 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona hujaanza kutibu sasa?

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 หลายเดือนก่อน

      Serikali haijamruhusu bado

  • @NuruBakari-w7l
    @NuruBakari-w7l 3 หลายเดือนก่อน

    Na mkimuua huyu kaka wallah tutafunga siku 40 kisha tutatandika kisomo cha kufa mtu atakehusika kwnza tunaanza na familia yake then mwenyewe ankuwa wa mwisho apate uchungu kwanza wa kufiwa alafu anamalizika mwenyewe

  • @KhalidAli-t9x7e
    @KhalidAli-t9x7e 7 หลายเดือนก่อน +1

    Doctor unapatikan wapi

  • @bundalamabula6264
    @bundalamabula6264 ปีที่แล้ว +1

    Mimi sijakuelewa, wewe tangaza dawa zako kuliko kupondea dawa zingine

  • @SaraphinaMange
    @SaraphinaMange 3 หลายเดือนก่อน

    Unapatikana wap

  • @LemmyJoseph-ye3dp
    @LemmyJoseph-ye3dp 3 หลายเดือนก่อน

    Ok

  • @SemeniJuma-x8i
    @SemeniJuma-x8i 7 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye gharama kuondoa ndio tatizo..wenzio wanapiga pesa kwa kuuza hizo dawa huu ukinwi ni biashara y watu

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wape dawa watu wapone sio kuongea mambo mengi

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 10 หลายเดือนก่อน +3

    Watu kama wewe Msigwa Mungu huwatumia kuwasaidia watu kupona huo ugonjwa wa ukimwi

  • @JosephMchele
    @JosephMchele 6 หลายเดือนก่อน

    Mtu akitaka kukupata anakupateje

  • @lilianrwegasira2769
    @lilianrwegasira2769 ปีที่แล้ว

    Namba yako baba atakayetaka atakutafta

  • @StephanoWiliam-oy5bz
    @StephanoWiliam-oy5bz 8 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba brother

  • @YussufSaid-ok4pu
    @YussufSaid-ok4pu ปีที่แล้ว

    Iyo dawa inapatikana wapi

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 ปีที่แล้ว +2

    Mheshimiwa rais mama samia ,tazama suala hili ,kwani sisi hatuwezi kufika mahari tukajitegemea kama ichi Kwa vitu vyetu vya asili? Nina imani na wewe mama kama ulivyo tazama kero zingine kwa jicho la pili hata hili mama yetu msikivu unaweza kulitazama kama linaukweli ,Ama hapana halina ukweli.?

  • @allymohamed2630
    @allymohamed2630 ปีที่แล้ว

    Mimi nahitaji naipataje sasa

  • @reubenjoram9675
    @reubenjoram9675 8 หลายเดือนก่อน

    Unatufaa wamarekani niwashenzi siwspendi

  • @wanyonyiemmanuel1990
    @wanyonyiemmanuel1990 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi niko kenya nitapata aje hii dawa?

    • @Kanga-pu6yl
      @Kanga-pu6yl 3 หลายเดือนก่อน

      Karibu dawa zake na toa ukweli Kwa wengine

    • @AbcrahDemoraj
      @AbcrahDemoraj 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Kanga-pu6ylwe unaptikan wapi .

  • @KhadijasamsonMhelela
    @KhadijasamsonMhelela 8 หลายเดือนก่อน

    Sambaza maduka yadawabasi utuelekeze

  • @SittyNduka
    @SittyNduka 9 หลายเดือนก่อน

    no yako

  • @maryjoseph6255
    @maryjoseph6255 ปีที่แล้ว

    Namba tafadhari

  • @MelisaFravianus
    @MelisaFravianus 8 หลายเดือนก่อน +1

    Muongo huyo

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 10 หลายเดือนก่อน +1

    DAWA CPO WATU WANAKUFA BURE TENA MIT AMBAO TUNAIPANDA NYUMBANI MUNGU HAWEZ KULETA UGONJWA BILA DAWA UKIMWI UNADAWA ZAKE

  • @FloraMushi-g4t
    @FloraMushi-g4t 9 หลายเดือนก่อน

    Wasaide

  • @PricillahNdombi
    @PricillahNdombi 7 หลายเดือนก่อน

    Naimba number

  • @KingStationery
    @KingStationery 7 หลายเดือนก่อน

    Aliyetumia akapona nani😊

  • @EnockFred-hs3wo
    @EnockFred-hs3wo ปีที่แล้ว

    4 in 9 zinapatikana madukani au

  • @maisarahakizimana7074
    @maisarahakizimana7074 ปีที่แล้ว

    Namba

  • @agnessjoseph3199
    @agnessjoseph3199 ปีที่แล้ว

    Tupe no kaka

  • @pmnyabaturi4484
    @pmnyabaturi4484 ปีที่แล้ว

    #samiasuluhu

  • @abdalahmrisho3076
    @abdalahmrisho3076 ปีที่แล้ว +3

    Ww mwongo mwongo acha kudanganya watu

    • @DottoGodifrey-np6jb
      @DottoGodifrey-np6jb ปีที่แล้ว +1

      Kwamba atibh n muongo au n vp saman lkn naomb jib

    • @salmarajabu4890
      @salmarajabu4890 ปีที่แล้ว +2

      Ni kwl dear mm nimepona

    • @mponziney5845
      @mponziney5845 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@salmarajabu4890 umetumia hiyo dawa?

    • @lawijosephezekieli1078
      @lawijosephezekieli1078 10 หลายเดือนก่อน

      Uxhafanya utafiti ukagunduwa mwongo

    • @isaacashel3328
      @isaacashel3328 10 หลายเดือนก่อน +2

      Jaman anaejuwa dawa na alietumia akapona aseme aokoe wengine

  • @joramkimario9321
    @joramkimario9321 ปีที่แล้ว +2

    Kama hamuamn bas ngojen zungu aseme

    • @geofreylucas7870
      @geofreylucas7870 9 หลายเดือนก่อน

      Zungu ndo nani mze?????

    • @joramkimario9321
      @joramkimario9321 9 หลายเดือนก่อน

      @@geofreylucas7870 bas mzungu.umefurah sasa

  • @neemachrispine2342
    @neemachrispine2342 ปีที่แล้ว +1

    Namba yako tutapataje

    • @mponziney5845
      @mponziney5845 10 หลายเดือนก่อน +2

      Namba yake unaipata kwenye TH-cam na ukimpigia anapokea na anakuelekeza kulingana na shida yako

    • @rosemwenda8281
      @rosemwenda8281 9 หลายเดือนก่อน

      @@mponziney5845Mbona you tube hamna

    • @selemanifikirifundi8952
      @selemanifikirifundi8952 8 หลายเดือนก่อน

      @@mponziney5845 dada mponzi naomba unitafute na maswali nataka unisaidie tafadhali

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 หลายเดือนก่อน

      ​@@mponziney5845youtube gani??

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona yupo Hajibu sms

  • @AmourMahemba
    @AmourMahemba ปีที่แล้ว +1

    Weka no

  • @kamugishaurban1995
    @kamugishaurban1995 ปีที่แล้ว +1

    Weka hospitali yako unze kazi utibu wa Afrika , watakao pona ndo watatoa ushuhuda

  • @RaynathaRangson
    @RaynathaRangson ปีที่แล้ว

    Namba tafadhali

  • @KennethMaganja
    @KennethMaganja ปีที่แล้ว

    Dr naomba namba yako

  • @sophiamwasha7445
    @sophiamwasha7445 ปีที่แล้ว

    Dr Mungu akulinde

    • @rashidkapile
      @rashidkapile 10 หลายเดือนก่อน

      Kifupi nitakupataje? Afya nibora

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 ปีที่แล้ว

    duh

    • @chiku6136
      @chiku6136 ปีที่แล้ว

      Weka namba

    • @abubakarimburu9096
      @abubakarimburu9096 ปีที่แล้ว +1

      Sisi binadamu ukweli tunaukataa kabisa kwa sababu tumezoea kudanganywa na wazungu

    • @elizabertkabadi3090
      @elizabertkabadi3090 ปีที่แล้ว

      Wanaompinga ndo wale anaowasema wamekalilishwa nawazungu wanaona watakosa kazi

    • @elizabertkabadi3090
      @elizabertkabadi3090 ปีที่แล้ว

      Na wengisana wanampinga msigwa ukiangalia nihaohao wanaotumia karanga iv sisi binadamu akiri yetu inafanyakazi kweli??

    • @elizabertkabadi3090
      @elizabertkabadi3090 ปีที่แล้ว +1

      Et mtu anakubali kufa na bomu shingoni kulko kuondosha hilo bomu akawa salama.