Tatizo Shetani Kaiteka Dunia na Hizi ndo Siku Za Mwisho Kwahiyo Kama UPENDO Umetoweka miongoni mwa Ndugu na Ndugu Machafuko na Vita Viliandikwa Hadi Kwenye Bible Kuwa Ifikapo Siku Za Mwisho Yatatokea Mambo Haya Tuombe Mungu Yasitokee"
Lazima kutokea hili kuzibitisha una biii, kilichopo niwewe na Mimi ,kukubali Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wako, na sio kubeba dini au zeebu, nikubeba Yesu ndani Yako, kama una unaamini katika dini au zeebu kazi unayo maana Yesu Kristo mwenyewe atakujulisha kilakitu
Eee Mungu, turehem wanao, rehema zako zatutosha
MUNGU IYOKOWE TANZANIA
Ee Mungu turehemu sisi waja wako katika jina la YESU kristo aliye hai Aminaa
Eeee Mungu uturehemu sawasawa na fadhili zako
Eee BWANA utuhurumie ,Uzikumbuke Rehema zako Juu Yetu wa Tanzania
Tusikie watanzania sauti ya BWANA.
Tugeuke na kurudi kwa BWANA MUNGU.
Eee bwana utuhurumie
Watanzania tukubali kutubu ili damu isimwagike .Bwana uturehemu wanao.
Tatizo Shetani Kaiteka Dunia na Hizi ndo Siku Za Mwisho Kwahiyo Kama UPENDO Umetoweka miongoni mwa Ndugu na Ndugu Machafuko na Vita Viliandikwa Hadi Kwenye Bible Kuwa Ifikapo Siku Za Mwisho Yatatokea Mambo Haya Tuombe Mungu Yasitokee"
Lazima kutokea hili kuzibitisha una biii, kilichopo niwewe na Mimi ,kukubali Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wako, na sio kubeba dini au zeebu, nikubeba Yesu ndani Yako, kama una unaamini katika dini au zeebu kazi unayo maana Yesu Kristo mwenyewe atakujulisha kilakitu
Ee MUNGU turehemu sisi wanao.
Amen Amen mtumishi wa Bwana Yesu Kamanda Wa BWANA wa Majeshi Yesu kristo