Mwamba unatangaza vizuri. Japo nadhani ukitangaza bila kuonekana ni bora zaidi. Nadhani ni kutokana na quality ya video, setting na sauti (hivi kiwango chake hakilingani na brand yako uliyokwisha itengeneza). Mf. Hakukuwa na ulazima wa kufungua pazia nyuma yako maana huo mwanga umeharibu sana video. Pia kama utaona ulazima wa kufanya video basi unaweza kushot "closeUp" n.k NB: inabidi pia kukubali kuwa "Si Kila Mtangazaji wa Redio anafaa kutaangaza TV) Mf. Hai ni Clauds Fm na Clouds TV. Lakini kazi ni nzuri mno.
Wivu wa mtu mmoja unasababisha vifo vya watu weng wallah nasra hizo nafsi zitakulilia siku ya Qyama watakuuliz kwa nn uliwauwa? Yaan wanawake wa kiarabu wanaroho chafu sana huu ni mwaka wa 4 naish nao ni htr wanawivu sijapata ona pamoja na kwamb din ilianzia huk kwao lkn hawana din wamejaa unafki tu Allah atuongoze wanawake sasa kanyongwa umemuacha mume na anaowa mke mwingn 😂😂😂😂yaan kabla hujafanya maamuz fikir kwanza
Ndugu justin shedi ni vizuri utangaze usionekane
Bhna tangaza ukiwa huonekani maan hapo kuna kitu kinakuwa hakipo sawa, Raha sana kusikilzia sauti
Huwezi lizisha binadamu Mimi napenda akionekana wewe hupendi na una sababu zako nAmimi Nina sababu zangu ko yeye afanye kilichomo damani ❤
Nakukubali sana Justin Shed
Hahah nikajuwa ni mzee kumbe kijana baanaaa! Salaaalaa!
Inauma sana kuletewa mke wa pili yeye amaeza kubali kuwa mwanaume 2
😢😢😢 dahhh mapenzi yanauma Ila huyu ajatumia Akil.
Sasa twende kazi 🔥🔥🔥🔥
Safii snaa brooh
Bas nlikuaga najua n mtu mkuuubwa 😂😂😂ya bongeee kumbe kadogo dogo
Justin,,kale kabiti kananogesha bro kaweke
Kusimulia unaonekana haipendezi pia hata sauti inabadilika sio poa ila nakukubali hivo hivo
Kazi saffi Ila nimekuzoea nyuma Ya oasis
Kumbe mwenyesauti nnayopenda kuskilza niwewe
Amekufa kaacha mwanaume anaoa tena...bora angeachana na mwanaume
Lkn hujatwambia kuwa Bi harusi kapona au kafa 😢😢😢 INNALILLAHI WAINNAILAYHI RAJIOUN ALLAAH awasamehe wote walio dhulumiwa na Nasra
Alikufa
Sauti haiko powa
Kaka usionekane kunafreva tunakosa, ukionekana
Duh ubaya una mwisho wema una mwendelezo khaaa inawaka taa au, iv kaka ched kuna hii yamiez miwili watu wanakufa arusin nayo naomba kujua
Uko safi
Broo tangazo ikiwa atukuoni ndo tunapenda sana 😂kukuona tutakuona instagram 😊
Mke mwenza alikufa au mbona hukusema
Sauti inakuwa chin san shed
Mwamba unatangaza vizuri. Japo nadhani ukitangaza bila kuonekana ni bora zaidi. Nadhani ni kutokana na quality ya video, setting na sauti (hivi kiwango chake hakilingani na brand yako uliyokwisha itengeneza). Mf. Hakukuwa na ulazima wa kufungua pazia nyuma yako maana huo mwanga umeharibu sana video. Pia kama utaona ulazima wa kufanya video basi unaweza kushot "closeUp" n.k
NB: inabidi pia kukubali kuwa "Si Kila Mtangazaji wa Redio anafaa kutaangaza TV) Mf. Hai ni Clauds Fm na Clouds TV.
Lakini kazi ni nzuri mno.
Taftuta microphone nzuri bro
Bola ujifiche mana watakuzowea
Ni kweli kabisa
Leta story ya Yule dada amecheza movie ya nun 😅
Mbona kama sauti imebadilika
Boring Bana tunataka sauti tuu😢😢😢
Wivu wa mtu mmoja unasababisha vifo vya watu weng wallah nasra hizo nafsi zitakulilia siku ya Qyama watakuuliz kwa nn uliwauwa? Yaan wanawake wa kiarabu wanaroho chafu sana huu ni mwaka wa 4 naish nao ni htr wanawivu sijapata ona pamoja na kwamb din ilianzia huk kwao lkn hawana din wamejaa unafki tu Allah atuongoze wanawake sasa kanyongwa umemuacha mume na anaowa mke mwingn 😂😂😂😂yaan kabla hujafanya maamuz fikir kwanza
👍👊✌️.
Bora mpango ule ukee tukusikie sauti tu
Ukitangaza hivi nibora kuliko kutangaza hauonekani ❤
Umeona eee atangaze hvhv
Utakua na matatizo kiufupi kapoteza sifa ya sauti yake ......
@@AishaAisha-rh1fckwel sauti yake imekua tofauti na ile akiwa haonekani
❤❤❤❤❤❤❤
😔🙏🏼
inayovutia ni sauti yako lkn sio muonekano wako tunaipenda saut baasi🙅
Ndugu justin shedi ni vizuri utangaze usionekane