kuna namba nyingi na aina tofauti tofauti za sindano, kujua chereani yako inatumika na aina na namba ngapi ya shindano ni lazima kujua kwanza aina ya chereani unayo tumia
jaribu kurekebisha pasi yani sindano iwe inagonga kwenye tundu na sio pembeni, Shida inaweza kua za namna 2 1. sindano inakua ndefu zaidi kwaio ikishona inagonga. 2. Rekebisa pass au angalie mwichi wa sindano umekaa vp laba unaweza kua umepinda.
Fundi naomba unisaidie mimi cherehani yangu inasumbua pasi inapanda kwa shida yan inasumbua sana pasi hua inapanda kwa shida sana sijajua tatizo ni nini naomba unisaidie
Safi sana swali :vipi hereani inaweza kushona nguo aina ya mipira ao vitambaa vya aina ya mpira nataka unipe muelekezo asante.
inaweza lakini sipidi haina kabisa tatizo nini apo?
Cherehan yangu inatatizo la ukishona nguo ina jaza uzi chini nisaidie tatizo nini?
Je fundi Ni kwa namna gani cherehani inasetiwa ili iweze kushona nguo za mpira?
Ahsante sana fundi.
Cherehani yangu inakata uzi mara kwa mara
Asante mwalim Leo nimeteseka sana naomba utufundishe jinsia ya kuweka Uzi kwenye sindano
th-cam.com/video/Tzvp0aLGZYU/w-d-xo.html
Unarekebishaje hicho kidude kinachokaza Uzi mwalim?
Samahan jmn cherehani yangu inakata Uzi Sana shida ni Nini?
Asante mwalimu nakuomba utufundishe mashine ikikata sindano
samahani naomba kujua siyo cherehani kwasasa bei gani
Samahani naomba kusaidiwa mashine yangu nikishona nikifika sehemu nzito haishoni inarukaruka
haiwezi kushona sehemu ngumu, aiza ubadili namba ya sidano unayo tumia au urekebishe urefu wa sindano
Cherehani yangu ilikua inashona inakata Uzi nikatoa Uzi ulikua umejaa kwenye kichwa nimetoa imekua haishoni tatizo Nini?
Kaka asant kwa somo nitakupa mlejesho ilo lilikuwa tatizo langu kubwa
Jamni mm cherehn yangu ring lmgoma na sindano hiashuki yani kushm ukizunguza ring ingota shm hafiki kweny meno
Asante xana nimekuelew
Samahani naomba unisaidie nikiwe mkanda kwenye cherehani peda inakuwa ngumu kuzunguka cherehani haizunguki unazunguka mkanda tu je tatizo nini?
Je mashing inayojaza uzi was chini tunairekebishaje? Naomba unisaidie
rekebisha sindano ya chini na bobini
Samahani kaka naomba msaada cherehani yangu unashona taratibu saaaana sababu nn
Asant sana fund, samhan fundi kuna aina ngapi za namba ya shindano? Na unajuaj kuw chelehani ina endana na namba Frank?
kuna namba nyingi na aina tofauti tofauti za sindano, kujua chereani yako inatumika na aina na namba ngapi ya shindano ni lazima kujua kwanza aina ya chereani unayo tumia
Naomba munifundishe nikiwa nashona nguo hayiendi mbere sijui tatizo ninini munisaidie.
Jamn yakwang inajaz uzi
Naomba kuuliza Mashine ukiwa unashona inajaza uzi tatizo inakuwa nn na ina setiwaje?!!
Namim natatz km lako lkn mbn hajib
Na mimi ninalo hili tatzo
@ElimmzabethJonas-cz1tq
Je chelehani ikiwa inashona Kwa juu inakaza lakini chini haikaK tatizo ni nn jamn
Fundi naomba unisaidie cherehani yangu haizunguki tatizo litakuwa nini
Mwalim me nataka kuuliza kwann machine zengne huww zinavunja sindano?
kulingana na ulivyo weka sindano yako au ushonaji wako, pia inawezekana kitu unacho shona ni kigumu.
Naomba nifundishe jinsi ya kuweka kamba kwenye cherehani
Mimi cherehan yangu inajaza uz chini na haishon msaada jqmn
Asante kaka
Cherehan yangu inatatizo la kurundika uzi kwa chini mala kwa mala,, nifanyaje???
unapo shona chelehani haitembei sana tstizo nini?
unapo shona haitembei sana au haina sipidi shida nini?
Naomba kuuliza et tatizo la meno ya chelehan kushyuka na kutokushika nguo husababishwa na nn
izo nati zimechea fanya kuzikaza zinakaziwa kwa ndani
Jamani Mimi sindano haichoti Uzi wa chini
Cherehan yangu aina ya jack heavy duty inashona inarudi nyuma tatzo nn
umenichekesha apo kweny kukunja nyuzi mara 4 hhh..Mm shda iko kujaza uzi chini t ukishona n kwnye nguo unajaa ubale wchni aah
Mko wapi
Xamahan mim maxhine yangu ringi la gonga na xindano haixhuki
Mimi cherehan yangu inajaza uz chini na haishon
Samahani mwl cherehani yangu inakata sana sindano Hadi nimeacha kushona Yani kila nikiweka inakatika tu naomba msaada nifanye nini na sababu ni nini 🙏
jaribu kurekebisha pasi yani sindano iwe inagonga kwenye tundu na sio pembeni,
Shida inaweza kua za namna 2
1. sindano inakua ndefu zaidi kwaio ikishona inagonga.
2. Rekebisa pass au angalie mwichi wa sindano umekaa vp laba unaweza kua umepinda.
Mm cherehan yangu inajigongagonga shida ninin
Ahsante bro umenisaidia xn.ila je,kama setting inajipandisha yenyewe inanitesa
Izuhie kwa kuifunga kamba ili isipande
Asante,naomba kujua cherehani yangu inakelele kwenye kanyagio
weka mafuta au badili kanyagio weka jipya
Naomba nisaidi kaka mimi machine yangu ukishona aitembei paka nivute kitambaa namkon
chunguza hatua ulizo set pale kwenye rivese gear
Nifundisheni kutengeneza chelehani
soon
Inakusanya Uzi Kwa chini na pasi yake haiwezi kusukuma nguo tatizo ni nn
Ahsante nmesaidika
Nataka kujuwa jisi ya kueka kamba kwenye machine
Mm nataka cherehani mbili Kama una uza nambie used
vipi chelehani ikiwa inakaza sana halafu meno yake hayasogezi nguo
Upo kijichi sahemu gani? Nikuletee cherehani yangu, inanisumbua sana.
Saf Sana vip bobn Kama haijakaza
Mm charahan yng ringi halitembei
Hello
Mim kaka cheleani yangu inakata sindano sijui shida nini
rengesa sindano vizuri ili iwe inaingia kwenye tobo lake bila tatizo yoyote, pia kaza sindano ya chini laba inatikisika wakati wa kushona
Mwalim me nataka nikuulize machine yn pasi inalegea kwahy nifanyaje inaxababixha kuvunja sindano
ikaze kwa kutumia dispice au plaiz ikigoma tafuta nyingine
Fundi naomba unisaidie mimi cherehani yangu inasumbua pasi inapanda kwa shida yan inasumbua sana pasi hua inapanda kwa shida sana sijajua tatizo ni nini naomba unisaidie
kaa tayari nitafanya ivo
Na mimi pasi yangu imegoma kushuka
Vp kuhusu inayovuta kitambaa
Chelean yangu imejaza mauz kwenyekilingi yaan mauz yapo ndanikabisa atyakuyatyoa siwen nielekeze
Samhn ikiwaa nguo inaganda BL kuingy uzi
Kama cherehani inatoatoa kamba wakati wa kushona, tatizo linakua wapi??? Na nini kifanyike??
kamba ni ndefu
😊
Naomb unielekeze jinsi ya kufunga sindan za chini
Shinda ya chelehan yangu pakubadirishia stichi pamerengea san nifanyeje
Cherehani yangu inakuwa nzito kwenye galawa pia inakelele sana kama inasaga chuma shida nn nisaidie mwalimu
iwekee mafuta mara kwa mara, pia ifanyie service badilisha vyuma weka vyuma vipya
Maduka ya cherahani
Mwalimu naomba unisaidie Cherehan yangu haikazii uzii inalegeza uzii
th-cam.com/video/Tzvp0aLGZYU/w-d-xo.html
Nimeitunia mwezi mmoja tu
Shukran
Sindano ya chini unarekebisha vipi
Kaka mimi swali langu ni tatizo gani linafanya sindano inakatika aswa pale ukiwa unataka kufunga mshono wako. Mashine yangu ni mpya na ina ilo tatizo
th-cam.com/video/Tzvp0aLGZYU/w-d-xo.html
gusa link hapo juu
Chelean yangu inafuma chin
Charahni yang haishon inaruka uzi
fatilia somo ili mwanzo mwisho au ipeleke kwa fundi aliopo karibu yako
Jaman mnisaidie pakulekebishia stichi pamelenga nisaidien
Kaza
Naomba namba ya cm
NAMBA ANGALIA KWENYE VIDEO HAPO
Kuhusu meno ya sindano ya cherehani kutoka kwenye nafas yake
yamelegea kaza nati ambazo zimeshikilia meno
@@sakapallaTV Asante sana
Charahaani ya zikzak ikiwa ina katka utakufa fanya nini
Kamauzi una jaa chini unavyoshona
Chelehan yang inasumbuwa mpira nifanyej
kama aishoni mpira tumia njia nyingine laba ya kuwekea karatasi
Mimmashineyangu haikamatikabisa sasasijuitatizomsaaadawakonaomba
Naomba msaada bobin case inakuwa ngumu Uzi hauzunguki kwa Uhuru umekaza san
nunua nyingine mpya, pia angalia namna unavyo wekw bobin ndani yake
Beigani
bei ya kitu gani?
samahani fundi naomba kujua bei ya cherehani kwasasa
240,000 mpya
Je chelehani ikiwa inashona Kwa juu inakaza lakini chini haikaK tatizo ni nn jamn
Asant sana fund, samhan fundi kuna aina ngapi za namba ya shindano? Na unajuaj kuw chelehani ina endana na namba Frank?
Mi shida yangu bobini isumbua
Cherehan yangu inatatizo la ukishona nguo ina jaza uzi chini nisaidie tatizo nini?
Dah Yan Hilo tatizo linani