Julius Wambua apokezwa shamba la ekari 3 Kilifi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Julius Wambua ambaye kesi ya ubakaji dhidi yake ilitupiliwa mbali baada ya bintie kukiri kutoa taarifa ya uongo sasa ana tabasamu zaidi.
Hii ni baada ya muhisani kumpa shamba la ekari tatu katika eneo la Marafa eneobunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Shamba hilo alipokezwa na mfanyibiashara Muindi Mukoma cheti cha umiliki wa ardhi hiyo. Hatua hii ikijiri baada ya aliyekuwa mbunge wa Kibwezi Kalembe pia kumkabidhi kipande chingine cha ardhi ya ekari mbili na kuahidi kumjengea nyumba kuanza upya maisha yake. Kesi ya Wambua ilianza upya baada ya mahakama kumuondolea hukumu ya awali.
Baada ya thiki ni faraja mkewe alithani amemaliza kumbe amembariki tushukuru mungu kwa kila jambo
Mzee wambua nakuombea kila la kheri ,uishi maisha marefu na yenye furaha pamoja na watoto wako
@Benjaminmusyoki.I have watched this video for a while now.and i have been shedding tears.walidhani jela ndio mwisho wako na kusahau kunaye Mungu mtenda haki.Zidi kumtumainia huyo mungu.
Yaani its just amazing how God works'...your enemy celebrating somewhere thinking that you are finished' kumbe mungu naye ako na a different idea' this one is a very emotional strory' not only wambua is given freedom but also blessings on top' what a wonderful ending to a hopeless situation... 🙏🙏
msichana wake haki msupuu sana , Mungu akubariki msichana na akulinde mpaka akuajalie upate kwako , mheshimu babako sana na keep on trusting and loving God for there is nothing impossible with God.
May God continue blessing Mheshimiwa Kalembe Ndile. He is such a selfless, caring and kind leader.
Almighty God is good all the time................
Wish you happy new year wambua may God bless you more success coming 🙏🙏🙏🙏
Mungu ni Mwema sana
God is with you❤❤❤
We thank God
Love has no Boundaries ✌️
God bless you mzee
God bless u
Mwenyezi mungu awabariki nyote mliomsaidia wambua Allah Kareem
God bless u
kilifi lol
What's funny ?
God bless you
Thanks to the living God
Tutaskia bb amejinyonga penye ako i think she is feeling alot of pain
Atakua anavuna yenye mwenyewe alipanda
Good is great
Barikiwa sana
Good is great
Wapi tittle ya kalembe, na ndiye alikuwa wa kwanza kudonate shamba ?
There is God in Heaven
Huyo msichana I would suggest akuwe busy.kama ni shule aende. You can't be following your dad everywhere
Very true
On point anakaa
pia ningekua mm ningefuata baba yangu 🤣🤣🤣🤣
Na huyu msichana hananga time na boyfriend wake? Awache kufuata fuatana na babake
Ina kushu nini wewe
Kwani unataka kua boyfriend yake ghasia hii
Kwani boyfriend alimzaa,na akaenda jela?
@@jamesgathaiya6450 I thank God He granted me with wisdom to handle fools like you gathaiya
Ulikua wataka akufate ww zaa wako afate wanaume
May God bless you Wambua happy new year
Glory
Key to politics
Wee
Mungu akuonekanie
Gob bless.nanyinyi mtarogwa na uyo msichana yako ww.wambua kuwa macho
Hakuna mtu hatawaroga...Ule Mungu alimtoa geressni kwa kifungu Cha Life ndio Ule Mungu atamsimamimia na mtoto wake.amina
@@rosemarykatogomusanga1619 lamina
Unasema God bless alafu unaongelea urogi ??!!!!
Kesho atakuwa mp wa hio constituency